HIZI NDIO FLYOVER ZINAZOJENGWA ZANZIBAR, MRADI WA BARABARA KILOMITA 109 ZA MJINI HAUJASITA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 28

  • @Juma-om7ho
    @Juma-om7ho 5 หลายเดือนก่อน +4

    dk Husseein hongera sannaa upo vizuri

  • @kassimsaid9316
    @kassimsaid9316 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Rashid kwa kutuletea habari zinazofurahisha mioyo yetu Wazanzibari. Tunapenda kuona maendeleo ya vitu pamoja na ustawi mzuri wa hali za kimaisha za wanachi wote. Allah azidi kumjaalia kheri raisi wetu DR HUSSEIN ALI MWINYI. AMEEN🙏

  • @ahmedissa1827
    @ahmedissa1827 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mnganganieni vizuri kiongozi mliokua nae,hongera sana, maana hamumjui,ajae

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 2 หลายเดือนก่อน

      Wengi wao wazanzibari washazowea kudanganwa Mwinyi Zanzibar ameibadilisha na hao hao wanaobisha ndio watakao kuja kupiga picha maeneo mazuri kukuelewa muhimu sana

  • @SalumMohammed-r8n
    @SalumMohammed-r8n 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mheshimiwa

  • @alhajjkassim2648
    @alhajjkassim2648 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Sana Rais Mwinyi

  • @fakijecha
    @fakijecha 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa nin barabara ya bububu kiyongozi ni shida viyongoz kubwa sana

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 5 หลายเดือนก่อน

    Go go go MWINYI🙌🏼🙌🏼

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ni maendeleo tunayoyaitaji kwa nchi yetu siyo tunayaona kwa nchi nyingine. Japo baada ya haya tunaomba taa zaidi na kamera zitakazo mlika uvunjifu wa sheria barabarani ili kupunguza usumbufu wa tarafiki

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 5 หลายเดือนก่อน +1

    Barabara ya Fuoni Chunga tafadhali

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 5 หลายเดือนก่อน +1

    Pemba jamani mbna haijatajwa hapa

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 5 หลายเดือนก่อน +2

    Suala la kuboresha bara bara zanzibar nampongeza raisi ni suala zuri sana ila mbona wanabiresha tu hawaongezi upana ni ule ule ???

  • @SiabaFadhili
    @SiabaFadhili 5 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa jamani ya bububu kwanini msianzie bububu polisi 👮 mpaka hapo ulipo sema kinazini bank 🏦 kwanini muamzie mtoni?au mnaogopa fidia itakua kubwa?

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 5 หลายเดือนก่อน

      Lazma zimalize hizi za mjini ndio ije bububu

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 5 หลายเดือนก่อน

      Itajengwa kwa mujibu wa kauli ya raisi

  • @mussachichajr
    @mussachichajr 5 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani mmeacha barabara sumbufu kama BUBUBU

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 5 หลายเดือนก่อน

      Raisi ashajibu kua iyo pia imo

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 4 หลายเดือนก่อน

      Ile tunataka kuweka tram(mabasi ya umeme yatakayotumia njia yake pekee)

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 5 หลายเดือนก่อน

    Mm nilitarajia utamhoji wakat yako njiani anakagua barabara kumbe yupo oficini

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 5 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa mbona kama lami ziko zaifu kweli ubora upo kweli musikae mahofisini tu kakaguweni na ubora

  • @Pemba680
    @Pemba680 5 หลายเดือนก่อน +2

    Chake mkoani mumeiyona????

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 5 หลายเดือนก่อน

      Pemba hajazitaja Bara Bara lkn iyo pia imo kwenye mradi

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 2 หลายเดือนก่อน

      Nyie wote si hamtaki mji kujengwa Mwinyi anata Zanzibar yote akibadilishe ila nyie ninasikiliza porojo la wizi la ACT.lengo lau kukaa madarakani na kuiba Tu kama wale kina sheni na Amani.macho hamuna basi mpaka akili pia

    • @Pemba680
      @Pemba680 2 หลายเดือนก่อน

      @@hajiabdalla5772 huna akili wewe Wala hujielewi unaongea tu ukuma

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 2 หลายเดือนก่อน

      @@hajiabdalla5772
      Unakusudia nini

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 2 หลายเดือนก่อน

      @@hajiabdalla5772
      Nani hataki nchi ijengwe