Dada Acha tu mimi nilikua wa kwanza na nimekubali ukiweza Lakini sikupata salama Hata kwa mke yoyote alungia baada ya mimi. Wakishdwana waachana wenyewe. Aeudi kuia tena na kila akioa akiacha Mimi bado niko kwenye ndoa Na mume akiia tu basi wewe hutambuliki na huyo mume Mpka Nyumba ndogo wakianza kuchokana Ndio na wewe wanza kukumbuka Na hanijui mimi wala watoto wake
Kama wewe umebahatika Sema Alhamdulilah tena mshukuru Allah sana kwa kupata mume bora Na wake wenzio bora. Mume akioa huna rusa hata kumpigia mumeo simu Mke mdogo atapokea yeye na kukutolea maneno Wee achaa tuu Usiombe ukiwenzaaaa Kwa wakati tuliina nao
Na akiacha Arudi na kuomba msamaha Na akiia tena kazi ndio hiyo hiyo Mpka nimea chika bula sababu alioa mke hataki ukiweza Nikachika Na mume sasa kamuacha huyo Ataka tena kurudiana na mimi Wanawake tunakaa kwenye ndoa Kwa imani Lakini wanaume wanatu toa imani Mpka ndoa tuna zuogopa Kama mimi sasa naiogopa ndoa Kwa mitihani ya mume na wanawake wanaongia kwenye ndoa ya mke wa kwanza
Sijui hawa wa skuiz naoan wapo wengi wanajiona ila kidini haifai maaan hpo kusogeleana sio vzr mke wa mtu hyo alafu pia haifai mwanamke hatak kuonekana hovyo hovyo kma kufikisha ujumbe madarsa ypo mengi sna kufikisha ujumbe .
Inafaaa hakuna makatazo yeyote dini ilikataa mwanamke na mwanamme kukaa faragha je hapo wapo faragha hebu acheni chuki na kurupuka izzudin na Fatma wanajua dini kuliko nyie vibendera
@@tanzaniaonmzamiloon8627 titizo unaropokwa tu ila hujui unachoongea ikiwa wapo fargha ikiwa wapo peke yao haifai surat al ahzab aya 59 soma vzr ufahamu . Na kama hujafaham niambie
@@osmaniidrisa6290 Kuna haqi Gani umelingani je unataka ajistiri vipi mpk avae niqabu ndo kajistiri hebu turudi kwenye Sheria uchu wa. Mwanamke dini umesema uso sio uchu na vinganja je hapo sehamu Gani kakaa uchi
mashaa Allah
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Baaraka Allahu Fiikum Wa Jazzakumu Allahu Khairan ❤
Maaa shaa Allah dada fatma mwenyezimung akuzidishie
Maashallah Ukhti Fatma Mdidi
Safi sana sheikh izzudin Mashaallah umeongea ki hikma zaid
MASHALLAH matron wangu wa kunduchi girls fatma mdidi I support u all the way from SAUDIA Arabia Iluv uall
Umeshaolewa huko
😅😅😅
Assalam aleykum sis Sarah
Maa Shaa Allah .wasia mzuri sheikh Izuddiin
MASHALLAH MASHALLAH.
Masha Allah Walimu Wangu Kwa Kutwangana Maswali Magumu Na Kujibizana Kiufasaha Bila Uwoga
Mashallah tabaraka llah 🥰❤❤❤❤
MashaAllah amepambika kwa elimu na adabu za Mashekh
MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚💚
Mashaallah tabaraqallah ukhty fatma, mm nkipata mwenye dini kikweli n aje niongeze wa2
Maash Allah jazakallah kheir
MashaALLAH
Masha ALLAH
Mashaa allah ❤❤❤
mashaallah jazakumullah khayra
Maashallah majibu mazuri
Maa shaa Allah
Maa shaa Allah sheikh Izudiin unahekma sana kwa nasaha ulompa dada yangu hapo.
Maashaallah
Jazakallah khayran
Tumefaidika sote,, aaamiiin
Asalam alaykum
Dada Acha tu mimi nilikua wa kwanza na nimekubali ukiweza
Lakini sikupata salama
Hata kwa mke yoyote alungia baada ya mimi.
Wakishdwana waachana wenyewe.
Aeudi kuia tena na kila akioa akiacha
Mimi bado niko kwenye ndoa
Na mume akiia tu basi wewe hutambuliki na huyo mume
Mpka
Nyumba ndogo wakianza kuchokana
Ndio na wewe wanza kukumbuka
Na hanijui mimi wala watoto wake
Nimejifunza tufurahi tunapokosolewa unapanda na ukififiwa unabaki palepale 😊
Huu ni mtihani sana shekhbkama wewe unaongea na mwanmke kama hivyo, na huyo mwanamke mtihani sana
Allah awahidi
Mtihani gani hapo kwani watongozana au wa ongea kunong'ona ata useme ni mtihani😊
@@sameraakhf5605akhiy kwahiyo hiyo halali si haram et
Kama wewe umebahatika
Sema Alhamdulilah tena mshukuru Allah sana kwa kupata mume bora
Na wake wenzio bora.
Mume akioa huna rusa hata kumpigia mumeo simu
Mke mdogo atapokea yeye na kukutolea maneno
Wee achaa tuu
Usiombe ukiwenzaaaa
Kwa wakati tuliina nao
Umesema ukweli my Dada Fatumaah
Nataka Nije Kuchumbia Mtoto Wako wa Kike Najua Utakua Umemlea vema
Na akiacha Arudi na kuomba msamaha
Na akiia tena kazi ndio hiyo hiyo
Mpka nimea chika bula sababu alioa mke hataki ukiweza
Nikachika
Na mume sasa kamuacha huyo
Ataka tena kurudiana na mimi
Wanawake tunakaa kwenye ndoa
Kwa imani
Lakini wanaume wanatu toa imani
Mpka ndoa tuna zuogopa
Kama mimi sasa naiogopa ndoa
Kwa mitihani ya mume na wanawake wanaongia kwenye ndoa ya mke wa kwanza
Pole sana Allah akuzidishie subra
Jamani mume wangu hataki kuoa na anavigezo vyote nifanyeje😢
Kama afanyi zinaa sio lazima aoe
Km hataki ndio hana vigezo vyote huyo. Mwenyewe anajijua zaidi😊
@@Fear_Allah394 unasema tu laiti ungejua wala usingesema😔
@@nasymchuzi8667 we unaridhika wenzetu wasipate stara😔
@@fatmakhanii1676. Mwenyewe ndie anajijua zaidi na sio mm wala sio ww.
Jee inaafa jamii imuone mwanamke hiv
Sijui hawa wa skuiz naoan wapo wengi wanajiona ila kidini haifai maaan hpo kusogeleana sio vzr mke wa mtu hyo alafu pia haifai mwanamke hatak kuonekana hovyo hovyo kma kufikisha ujumbe madarsa ypo mengi sna kufikisha ujumbe .
@@malak-lz6kx mtume alisema kutakuja watu wanalingania katika mlango WA jahannam ndio hap sasas
Inafaaa hakuna makatazo yeyote dini ilikataa mwanamke na mwanamme kukaa faragha je hapo wapo faragha hebu acheni chuki na kurupuka izzudin na Fatma wanajua dini kuliko nyie vibendera
@@tanzaniaonmzamiloon8627 titizo unaropokwa tu ila hujui unachoongea ikiwa wapo fargha ikiwa wapo peke yao haifai surat al ahzab aya 59 soma vzr ufahamu . Na kama hujafaham niambie
We fala kweli. Inamaana we huoni wanawake Bali unaona wanaume tu kila unapoamka
Wewe kama nishekh basi haifai kumuhoji mwanamke karibu yake hivi. Sisi niwaislamu hatufai kutangana nawanawake.
Leta dalili
Alhamdulilah
Kama hatuna ucha mungu ata dada zetu tutawatamani
Kaacha disntace hapo kiti kimoja kama unaona hajakikaa kakiwacha kuweka distance ili asiwe karibu nae zaidi
maswahaba walisomeshwa na Aisha رضي الله عنها nyuma ya pazia
hawa wafanya nn sasa
masufi wana shida matamanio yao katika dini yawasumbua
Ukosefu wa adab huu mashkhe wa mitandao mna matatizo mengi sana
Hivi Mtumeﷺ ndo kafundisha mambo haya au mwayafanya kwa misingi gani
Shekh muusie kwanza ajistir
MashaaAllah mbona yuko vizurii 2
Wataka ajistili vipi
Mawahabi wanashida sana niqabu haipo kwenye Sunna wala wajibu acheni ufinyu wa elim
@@tanzaniaonmzamiloon8627 kila anaelingania haki anaitwa wahabi
@@osmaniidrisa6290 Kuna haqi Gani umelingani je unataka ajistiri vipi mpk avae niqabu ndo kajistiri hebu turudi kwenye Sheria uchu wa. Mwanamke dini umesema uso sio uchu na vinganja je hapo sehamu Gani kakaa uchi