WATANZANIA WAMEVURUGWA NA MASUALA YA PETE ZA MAJINI, ELIMU KUHUSU PETE HAWANA SHEIKH NURDIN KISHK

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
    Facebook: / mzeewakhidma
    Instagram: / khidma_tv
    Tiktok: / khidmatv1
    TH-cam: / @khidmaonlinetv350

ความคิดเห็น • 41

  • @Shamsudeen-h5o
    @Shamsudeen-h5o หลายเดือนก่อน +6

    Jazakallahu khyrañ ....bora umetia neno shaykh naamini wengi tulikuwa twangoja taalik yako ktk hili janga

  • @RajabuLabu
    @RajabuLabu 10 วันที่ผ่านมา

    Hakika shekh wetu kishk Allah akujaalie mwisho mwema maana ameifundisha jamii ya kiislam Mambo mengi Sana

  • @RajabuLabu
    @RajabuLabu 10 วันที่ผ่านมา

    Jazakalau khayra shekh, kishk Allah akujaze kher

  • @FadhilChai
    @FadhilChai หลายเดือนก่อน +4

    Aslm alaykum ya sheikh, wallah, tumeshukuru sana kwa kuwazindua wakislam, Allah akutilie Barka kwenye ilimu ya dini

  • @user-wr5ce6lu8q
    @user-wr5ce6lu8q หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda Kwa ajil ya Allah ❤❤❤

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 หลายเดือนก่อน +2

    shukrain sheikh wetu kwa kutufuza ALHAMDULILA
    ALLAH azidi kuwapa afya njema mashekh wetu ALLAH azidi kuwa weka THUMMA AMIN AMIN 🤲🏼

  • @RajabuLabu
    @RajabuLabu 10 วันที่ผ่านมา

    Usichoke shekh kishik ukiwa Allah amekupa pumzi , na uhai itumikie dini hii Allah mwenye sifa zote hakika atakunusuru na Adhabu zake

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b หลายเดือนก่อน +1

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh umesemakweli kipenzichetu dr sule hana elim yadini ila anaelim yakuwatumikisa majin napete ambavyo viakupelekea kuamchawi kwakifupi niwachaw

  • @AbedPonda
    @AbedPonda หลายเดือนก่อน +1

    Allah akujalie umri mrefu wenye manufaa kwako skekhe kishk(mhadhir wa kimataifa)

  • @khalfaankauga294
    @khalfaankauga294 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah Allah Akuhifadhi shekh wetu

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y หลายเดือนก่อน

    Na ndio maana naupenda uislamu kila kitu kina asli yake na jibu lake.Allah barik

  • @user-yy2rk4wi3p
    @user-yy2rk4wi3p 27 วันที่ผ่านมา

    Walkum salama warahmatullah wabarakatuh karma kweli

  • @BadruHisha
    @BadruHisha หลายเดือนก่อน

    Jazakallah khayl

  • @NiyonkuruYazidi
    @NiyonkuruYazidi หลายเดือนก่อน

    Shukran sheikh wetu

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk หลายเดือนก่อน

    Aslam alykum cheikh wangu. Aksanti sana kwa mafunzo haho. Mungu wangu akulipe kila laheri.

  • @MwanatumuJumaa-rj4fg
    @MwanatumuJumaa-rj4fg หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabarakaallah tunaelimika

  • @AmadeSalimoSalimo-gw8ij
    @AmadeSalimoSalimo-gw8ij หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉 mashaalaah

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah

  • @rafikindugu4674
    @rafikindugu4674 หลายเดือนก่อน +1

    Kuvurugwa kwa watanzania kuhusu pete za majini; sababu ni kuwa ,1 imani ndogo
    2 ushabiki
    3 umaskini kati ya raia wengi ambao wamekata tamaa.

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r หลายเดือนก่อน

    Shukran

  • @user-fd5pb1dt4j
    @user-fd5pb1dt4j หลายเดือนก่อน

    S,a,w❤❤❤❤

  • @user-rk1cp5qs9d
    @user-rk1cp5qs9d หลายเดือนก่อน

    Asalam alaykum 🙏🙏💯

  • @user-cd9nk8yz2h
    @user-cd9nk8yz2h หลายเดือนก่อน +1

    Ikiwa kuna haramu na halali imeandikwa kwa kuruani mpaka kuhusu ushirikina na majini na mashetani na binadamu wanyama wadudu na vinginevyo vyote viliumbwa na allah tuu.

  • @user-oo7yr5zq6g
    @user-oo7yr5zq6g หลายเดือนก่อน +1

    Shida hap nilivy elewa ni mtume je wengine sio manabii Kila mtume amkuja kisadikish yalio nyuma au sio hivy ,

    • @universitylink
      @universitylink หลายเดือนก่อน

      Katika masuala ya kisheria na si mambo ya mubahaat au mapambo na Mtume hasadikishi yaani lazima afanye yote aliyafamya nabii Suleiman.
      Yaani kusadikisha si lazima afuate.
      Na mambo ya Nabii suleiman alipewa mambo yanayomuhusu yeye tu

  • @ruqiyanasir7141
    @ruqiyanasir7141 หลายเดือนก่อน

    Wabie hao wafunga majini halafu wanapotowa watu kwatama zao naja walozi weka bele halafu wakajifanya mashekhe wanaijuwa ndini

  • @zuhuraMangapi
    @zuhuraMangapi หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Sasa ndyo shekh na sio sule mtumiya majini

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu9981 หลายเดือนก่อน +2

    Nabi sulemani petezake zilikuwa zanini?

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 หลายเดือนก่อน +2

      Kigezo chetu waislamu ni Mtume Muhammad.
      Kuna mambo yalikuwa halali kwa uma zilizopita lakini ikawa haramu kwa zama za mtume saw and vice versa

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 หลายเดือนก่อน

    Tupe hadithi sahihi inayoonyesha kuwa Mtume alivaa pete mkono wa kushoto.

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 หลายเดือนก่อน +2

      Nyie majadida bwana
      Ivo vitabu alivotaja hujasikia au
      Yaani nyie masalafia jadida kazi yenu ubishii tuuu

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 หลายเดือนก่อน +1

    Mtajijua Wenyewe bora tushwali tu?

  • @HemedyKhamisi
    @HemedyKhamisi หลายเดือนก่อน

    Mtajiju

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 หลายเดือนก่อน

    Mhhh.toa dalili kuwa chafya ya kujitakia harehemew...

  • @BushDoctor-dw8el
    @BushDoctor-dw8el หลายเดือนก่อน

    Swali langu la kijingajinga ni hili.
    Yaani hii kuvaa pete ni katika dini?
    Au tu ni uzushi wenu?

    • @salamaalladini
      @salamaalladini หลายเดือนก่อน

      C ktk dini c umemskia xhkh ntumie altumia km muhur