Jamani mm napenda sana ushirikiano wa wanafunzi 🎉iwe kwa shida au kwa Raha 😂wao hushirikiana tuh🎉❤️hongera sana mwalimu mgeni kwa kuwafanya wanafunzi kuwa na kiasi hicho Cha hushirikiano 🎉🎉🎉🎉
Motooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥... ita wazima moto na dawa ya moto ni moto uuuiiii 🚒🚒🚒🚒🚒. Next episode ni Motooo 🔥🔥🔥😅... all the way from UAE likes zangu bana 😅😅😅😅 nawapenda sana wote. I can sleep now 🥱
Lazima tupambane na mahusiano ya kimapenzi kati ya walimu na wanafunzi!!! Mahusiano ya kimapenzi kati ya walimu na wanafunzi ni kinyume na taifa, utamaduni na kiraia!!! Na nguo za dico are against education.
Watanzania mna ubunifu sana katika sanaa ya uimbaji na uigizaji hii ni moja kati yapo mimi ni mkenya fwatilia chaneli yangu pia naipenda kazi yenu ndugu na dada zangu ❤254🇰🇪
Asante ndugu yetu na pia jirani yetu! Hata sisi Tanzania tunawapenda sa na nyiye ndugu zetu wananchi wa Burundi. Binafsi, mke mdogo wa baba yangu ni Mrundi, anaitwa Katarina Malila Kumelamakombe.
Japo nimechelewa Leo..ila nimefika.. napenda kila kijacho KATIKA kila Episode...keep up the good work @babajoan na team yako nzima🎉 NAFATILIA KUTOKA KENYA🇰🇪
I can't wait for next epsod, nimemkubli mkuu wa shule very snich sijui anampenda magesa ,ila mwl mgeni pole unapitia magumu 😂😂😂 ,ni kazi nzuri keep it up
Joti ni mchekeshaji na ana pesa"ila hana views wengi youtube.)kagua youtube)joti,clam,stive)clam na stive wana views wengi kuanzia milion na kuendelea"lakini joti vichekesho vyake vyote"kichekesho kimoja hafikishi milion"utajiri wa joti ni matangazo
Watching from Kenya , Nairobi,watu wa nai leta likes wajue pia sisi tunawatch
Nime-like though nipo Dar
@@josephstephen2047ok
Iko sawa
😊uz@@mungaiwachaiyu1359
😊
Jamani mm napenda sana ushirikiano wa wanafunzi 🎉iwe kwa shida au kwa Raha 😂wao hushirikiana tuh🎉❤️hongera sana mwalimu mgeni kwa kuwafanya wanafunzi kuwa na kiasi hicho Cha hushirikiano 🎉🎉🎉🎉
Ninzuri sana hakika inavutia sna
Kweli eee😂😂
Pôle Sana mwalimu mgeni,inauma Sana Sana Sana,hâta n'a mwenzio mimi yalinipitia hayo hayo
Je ingekuw we ndo mwalimu mgeni ungefaje
😂😂😂😂😂😂
Motooo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥... ita wazima moto na dawa ya moto ni moto uuuiiii 🚒🚒🚒🚒🚒. Next episode ni Motooo 🔥🔥🔥😅... all the way from UAE likes zangu bana 😅😅😅😅 nawapenda sana wote. I can sleep now 🥱
Tamuuu hii episode ziendeleee kutiririka ni tamuu walai❤❤
0:45 "Usiku tena usiku wa manane"
Mwalimu mwalimu kweny ubora wako❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Jaman wap likes zangu nafatilia episode kutoka kenya county 001 likes kwa wingi bas
Mwalimu mwalimu tuso,,,sijui nani anaupiga mwingi mwamba apewwe maua yakeee🔥🔥🔥
Tap tap screen 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wakenya mpo 😅
Tap tap guy's mpaka waishe 😂😂
Much love from kenya...naifatilia sana.
th-cam.com/users/shortsAH1-g_4lOqs?feature=share
❤❤❤❤❤ thic movie because ni nzuri sana na inafundisha kabisa🎉🎉🎉🎉🎉
Hahahaha 🤣🤣🤣 Mavazi hayo yakuvaa Usiku😅 tena usiku wa Manane 😅
😅😅😅ni matesoopp
ለሁሉም ነገር ቦታ አለው የቀን ልብስ ለመኝታ አይሆን የማታ ልብስ ቢጃማ አንሶላና ብርድ ልብስ አለ።
Uyu mwalimu mkuu mshenzi sana kumbe Allah awape laana walim km uyu 😢😢😢
So sad
@@ChristinaOnditi-el3xo anazinguaa
Namimi naipenda sana iyi filamu,inafudisho mazuri kuwalimu
Lazima tupambane na mahusiano ya kimapenzi kati ya walimu na wanafunzi!!! Mahusiano ya kimapenzi kati ya walimu na wanafunzi ni kinyume na taifa, utamaduni na kiraia!!! Na nguo za dico are against education.
Hii movie nzuri sana yani wamecheza vzuri sanaaa❤❤
April niliagalia 😂 😊 ❤
Nimejikuta nimecheka na nguvu jamani mwalimu magesa kalivuruga😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tap tap screen😅😅😅
Hebu nipeni Likes zangu niringe..nampenda Sana mwalimu mgeni.....Leo nimerauka.mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪
Wa mombasa pia
Wa mombasa pia
All the way From Tana River CG
Mwalimu ameshangiliwa mpaka nimelia😭😭😭
@@dhineronikohapa pia nafatilia Mimi 254mbs
Watanzania mna ubunifu sana katika sanaa ya uimbaji na uigizaji hii ni moja kati yapo mimi ni mkenya fwatilia chaneli yangu pia naipenda kazi yenu ndugu na dada zangu ❤254🇰🇪
Ahsante sana Tanzania tunawapenda pia kenya❤
Like za mwalimu mgeni niapa jamani
Namsikitikia sana mwalimu mgeni 😢😢😢😢
th-cam.com/users/shortsAH1-g_4lOqs?feature=share
Jamani namwonea huruma Mwalimu mgeni Kwa kosa Ambala linawekelewa jamani.watching from Kenya Nairobi
Baba joan n actor nzr sana umejuwa kucheza
Hili darasa wanaume Wanakaa nyuma n poa Tu anyway amazing film
From 🇰🇪nafuatilia Hadi mwisho,,kazi nzuri
Kiukweli.nizamu.nijambo.lamsingi.tubadilike
Ok.pow
Madam mbn utapenda TU.we kavae Madera 😂😂❤Diana hapaaaaaa from Kenya 🇰🇪
Weeeee
Jamni nawapenda kunmtu kaniboa nilikuta Sina amnii lkinii nilvo Anglia hii movie amnii imlidii nfraha nawapenda sana
More love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
th-cam.com/users/shortsAH1-g_4lOqs?feature=share
Kenya Mie Ni Wa kwanza hapa
Oyaa mbona watushusha wekenya wapo wengi katika ulingo huu
aisee nafuatilia sana hii gemu, tamu sana aisei
th-cam.com/users/shortsAH1-g_4lOqs?feature=share
HB
Found well well done
🎉2po pamoja mwalimu mgeni
Kama mwalimu hapa Kenya, naafiki masaibu haya humu...khatari kweli
From Burundi.napenda kiswahili ca tanzania pia napenda mouvie zao pia napenda wana inchi wote wa Tanzania
Asante ndugu yetu na pia jirani yetu! Hata sisi Tanzania tunawapenda sa na nyiye ndugu zetu wananchi wa Burundi.
Binafsi, mke mdogo wa baba yangu ni Mrundi, anaitwa Katarina Malila Kumelamakombe.
Tunakupenda pia tunawapenda wote wanaotupenda❤❤
Naomba part 11 ya Mwalimu Mgeni na part 6 ya Umalaya Shuleni naomba sana
Hii episode ni funzo nzuri kwa jamii
Nimeipenda sana mwalim mgen
Tap,tap screen, tap,tap screen 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤jamani magesa unavituko isee
Hahahahha😂😂😂mamae zake
Hongera sana kwa kutuongezea dakika kutoka 9 hadi 20 safi sana
Wa kwanza kukoment naomba Like zangu jamn ❤❤❤
Ndo naanza kuangalia ii move ila nimeipenda hatali ninzuri apewe mauwa yake mtunzi jamani nikalibishen mgeni kwa like ata 10
Like 10 kwa mwalimu mgeni kwa kazi nzuri jomon♥️♥️♥️💕
th-cam.com/users/shortsAH1-g_4lOqs?feature=share
Very good teacher tusuvile am so proud of you, umenifanya nijifunze mengi kutoka kwako
Maskin mwalimu mgeni😢😢😢
Hatal,hizo nguo hazi staili mbele ya watoto wa shure
Watching from Kenya,,napenda video zenu
Kutoka Kenya 🇰🇪 😍 Kiswahili chenyu ni kizuri sana!
Tz mko sawa❤
Wakenya mna-improve Kiswahili chenu. Ila msiseme tena (chenyu) ni (chenu)
Hongereni sana majirani
Upatanishi wa kisarufi kuzingatiwa
Japo nimechelewa Leo..ila nimefika.. napenda kila kijacho KATIKA kila Episode...keep up the good work @babajoan na team yako nzima🎉
NAFATILIA KUTOKA KENYA🇰🇪
Watching from Nairobi Kenya ❤tuko locked 🔒
❤nmeipend iyooo
@@user-nu9gq7sg2t nn kwani
siku nikifa msiache kujaku Play baba john juu ya kaburi jamny❤❤❤❤❤💯💯💯💯💯
❤❤❤ nawapenda sana nyingi watu ♥️♥️♥️
Pia
From Congo. Mina penda sana kiswahili ya tanzaniya pia nataka ni ishi hiyo inchi nielewe eleza kama wao. Mwalimu vaaga vizuri😂😂😂😂
Nampenda fetty 😂😂😂 mpaka raha
Proud of your vedios,,,,, from Kenya 🇰🇪
Jamani madam witness hi am elishua Petro lsaya off course your acting its nice get blessed madam wangu wa kiswahili play
Baba Joan unachelewesha kutuletea mambo mazuri
😅😅😅 jamani usiku Tena usiku wa manane nani kacheka kama mimi😅😅😅
M wapili naomba like zangu
From KENYA big up bro..nguo zinataka usiku wa manane. Msisahau OMOSH kenya
Kumbe kenya tumewa inspire usiku wa manane
Kwasababu ya vijana wenu wa ovyo
Un où une enseignants n'est s'habille pas à de telles manière merci Benoît Malemo Berger Congo Lubumbashi
Wouuuuu nimefulayi kwajili yawa wanafunzi kwel wamenikumbusha shuleni
Jaman leteni chap nyingine ❤❤
MWA NA FUMBU CHAWI
Naipenda saaaaaana Tangu RD Congo 🇨🇩🇨🇩❤️❤️
One love from kenya
Naombani likes jamani leo siku ya kwanza
Watu humu mnakimbilia kucoment ❤❤
Naona hii nisafi Sana.
0:18 0:22 haise nimeipenda. Sana ❤❤❤ nawapenda sana
❤❤❤❤l really love the way you enjoy your children lesson at class room please 🙏🙏
Mumemuandam huy mwalim mgen kwa sabab kawazid kiakil kwashiorkor munamchochoe ili afukuzwe kax
Pamoja sanaaah wazee.....from tz iringa
Kenya tuko ndani
Kazi nzuri mwalimu tusubile
Safi sana! Nimeitafuta mnooo!
Mwalimu magesa ana roho chafu xana😢😢😊
Kweli
Yaani napata hasira vibaya
😂😂😂😂😂😂
Mnachelewesha mwendelezo
Mjitahidi kuwahisha
Mwalimu mgeni Mungu akupiganie ushinde hiii vita
Mwalim magesa anaroho mbaya kama vile sura yake ilivyo
Nafatalia hadi mwisho nzuri Sana hii
Mm wa kwanza leo wewewe nimeua❤❤❤❤❤
nakupend
Much love from Kenya
I can't wait for next epsod, nimemkubli mkuu wa shule very snich sijui anampenda magesa ,ila mwl mgeni pole unapitia magumu 😂😂😂 ,ni kazi nzuri keep it up
Leo wakwanza naombeni likes 🎉😹
Wow love u
Mwalimu mgeni ndiye baba Joan😂
Ila naomba tafadhali hii movie isiwai isha
Eti usiku usiku....wa manane 😂😂😂😂kenyan made
asante sana,tuna ngoja kumi na moya kwa hamu
Dawa ya moto 🔥 moto tu uwakie mtoto 😂😂😂
Much love from 🇧🇮 movie nzuri sana ongeleni ❤❤❤
Thanks alot. We are patiently waiting for the next episode. Be blessed. It is so wonderful
Nakubar unyamaaaa ni mwingiiiiiiiiiiii yaniiiiii
Leo nimekua wakwanza kabisaaa Kuangalia Naombeni like zangu zakutosha
Uko sawa
Xana ww
Joti ni mchekeshaji na ana pesa"ila hana views wengi youtube.)kagua youtube)joti,clam,stive)clam na stive wana views wengi kuanzia milion na kuendelea"lakini joti vichekesho vyake vyote"kichekesho kimoja hafikishi milion"utajiri wa joti ni matangazo
Big up baba Joan unajitahd sana
Tunapenda sana kazi zenu
Huyu mwalimu mkuu so mzuri ni mchonganishaji sana
Following,all the way from isiolo kenya
Uyu mwanafunz ana nikela sn kwann anasumbua mwalimu
Jamani mwalimu mgeni nyie, majaribu yapo yakikuamulia mmh!! Kumuomba Mungu tu
Mwalimu mgen pole sana.Lakino nzuri❤❤🎉🎉🎉
Moja Kali sana nakubali kazi nzuri sana yaani
Mwalimu mkuu wwe ni wa hovyo
Nime furahi sana naiyo mchezo, mubarikiwe sana, I'm on DRC/ Kinshasa ,🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Huyu mkuu wa shule naye ndezi tu😅😅😅😅
Yaan ndez kbs yaan
😅😅😅
Mue mnatuangushia zigo kila siku basi
Mwalimu mgeni part 11 nakuomba kesho Leta