DR. REV ELIONA KIMARO. NI MBAYA KUWA BABA WA FAMILIA AFU UWAJIBIKI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ธ.ค. 2022

ความคิดเห็น • 19

  • @ponsyabeid242
    @ponsyabeid242 ปีที่แล้ว +5

    Tumsifu Yesu Kristu
    Tunakuombea baba Kimaro
    mama Maria mwombezi wa wapakwa mafuta azidi kukuinua kiroho na ki mwili milele

  • @felistamwashibanda7764
    @felistamwashibanda7764 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani nomeshindwa hata nisemaje maana kama nimajaribu tunaishi nayo kwakweli😢 yani inasikitisha mwanaume hawazi hata bili ya nyumba jamani mwe Mungu atusaidie

  • @felistamwashibanda7764
    @felistamwashibanda7764 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwe nikama unayajua maisha ninayoishi,mpaka mme anakutishia mm nitakbia nikuache humu kisa kodi ya nyumba!!! da inasikitisha wanaume wa hivi

  • @francjose9596
    @francjose9596 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🏽

  • @estherlemburismollel5901
    @estherlemburismollel5901 10 หลายเดือนก่อน

    Kweli baba, wapo sana. Mungu akutunze uzidi kutufafanulia wababa wafunguliwe

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 9 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa mchungaji

  • @user-ym6jf8zo7j
    @user-ym6jf8zo7j 7 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉

  • @user-si7yn1pg2y
    @user-si7yn1pg2y 10 หลายเดือนก่อน

    Yaaaa wapo

  • @lilianaswani5440
    @lilianaswani5440 10 หลายเดือนก่อน +1

    Z saa aaw wa zßl😘❤️🙌✌️

  • @saramsuya
    @saramsuya 7 หลายเดือนก่อน

    Baba mchungaji nimesikia neno lako naona ndio wa kwangu na amekoka na kiongozi wa fellowshipanasikiliza neno ila halimsaidii hata kidogo ninafanyaje sana sana ni ukati tu ndio mwingi

  • @estherlemburismollel5901
    @estherlemburismollel5901 8 หลายเดือนก่อน

    Raha leo wapo wengi baba

  • @tamranadiya2962
    @tamranadiya2962 6 หลายเดือนก่อน

    baba unaniongelea mm kbs yani wangu ameridhika na maisha hawazi akipata pesa ya kula tu basi kwanza analala hadi saa4 asubuhi mm naamka naenda kazini yy amelala

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 8 หลายเดือนก่อน

    Wanakatisha tamaawatu watu hao nawachukia sijui wapoje nimiziIgoeti

  • @jeniphajeremiah8008
    @jeniphajeremiah8008 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂

  • @felistamwashibanda7764
    @felistamwashibanda7764 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani nomeshindwa hata nisemaje maana kama nimajaribu tunaishi nayo kwakweli😢 yani inasikitisha mwanaume hawazi hata bili ya nyumba jamani mwe Mungu atusaidie

  • @felistamwashibanda7764
    @felistamwashibanda7764 4 หลายเดือนก่อน

    Mwe nikama unayajua maisha ninayoishi,mpaka mme anakutishia mm nitakbia nikuache humu kisa kodi ya nyumba!!! da inasikitisha wanaume wa hivi

  • @felistamwashibanda7764
    @felistamwashibanda7764 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani nomeshindwa hata nisemaje maana kama nimajaribu tunaishi nayo kwakweli😢 yani inasikitisha mwanaume hawazi hata bili ya nyumba jamani mwe Mungu atusaidie

  • @felistamwashibanda7764
    @felistamwashibanda7764 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani nomeshindwa hata nisemaje maana kama nimajaribu tunaishi nayo kwakweli😢 yani inasikitisha mwanaume hawazi hata bili ya nyumba jamani mwe Mungu atusaidie