Eee Mungu Haya mahubiri yameniingia rohoni sijawahi kujuta kama Leo Mwenyezi Mungu Tusamehe sisi wanao Rev Kimaro nakupata kutoka London KWA KWELI UNAJUA KUHUBIRI
Ivi najiuliza watu wazima wanao fanya dhambi kila siku watasamehewa kweli, maana ata ulifanya dhambi ukiwa mtoto afu ukaokoka "utailipia tu"" Mungu awapatilishie maovu yao wayatendao sio watoto
Zaburi 100: 1 Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote; 2 Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njoni mbele zake kwa kuimba; 3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba... 4 Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake; 5 Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake vizazi na vizazi. *TWENDE MBELE ZA MUNGU WETU KWA SIFA NA SHUKRANI!! KAMA SIO YEYE HATUNGEFIKA HAPA TULIPO, HALELUYA!!!*
Ubarikiwe baba wa kiroho kwa mafundisho mazuri nakupata vizuri sana nipo zambia
Mungu ni mwema anakutumia Kwa kutuokoa sisi wenye shingo nguma Ameen
Barikiwa sana Daddy nakupata hapa OMAN.
Always following you from Washington DC nakupenda Bure mtumishi. Nikita Dareslaam January nitakutafuta nikusalimie katika jina la Yesu kristo.
Yesu wewe nintegemeo langu🙏🏼
Mchungaji KIMARO nakuelewa Sana tunaomba uwe na makongamano Live mikoani. Mungu AKUPE ufunuo Huo.
Eee Mungu Haya mahubiri yameniingia rohoni sijawahi kujuta kama Leo Mwenyezi Mungu Tusamehe sisi wanao Rev Kimaro nakupata kutoka London KWA KWELI UNAJUA KUHUBIRI
Pastor eliona mi nikushukuru kwa somo lako na mafundisho kutoka madhabahuni.nimekupata vzr kutoka Nairobi Kenya
Ubarikiwe sanaa Baba Kwa mafundsho mazuri nakupata nikiwa Nairobi Kenya
Mungu akubariki sanaa mtumishi....
Wat a blessing i got 4m this massage God bless u Dr kimaro man of God
Hakika ujumbe mzito huu! Dhambi unayoifanya ofisini au kazini inaingia nyumbani! Mungu utusaidie tuweze kufikiri sawasawa🙏
Mungo akubariki sana mchungaji
I'm blessed 😅
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Mwenyenzi Mungu azidi kukulinda nakukuinua viwango vingine uendelee kutufundisha neno lake.
nayapenda sana mafundisho yako mungu akutunze Dk kimaro
Hakika Mungu azidi kukuinua viwango vya juu ktk utumishi wako!
Uwiiiii mungu tusamehe
Dastan, Rwanda. What a good teaching. Stay blessed.
nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria
Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua
Barikiwa mtumishi
Amina mtumishi kwa mafundisho mazuri mno
Amen Amen
Amina
Ubarikiwe Mchungaji unanibariki
Barikiwa sana Baba
Very true pastor
Barikiwaaaa mchungaji
Maneno yako yananikumbusha JPM rip.
Mungu anakutumia sana Mtumishi na watu wengi wanaponya.
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho ya neno la Mungu
Amen
Katika watumishi ambao sijawahi kuwasikiliza nikakosa massege ni wewe Mchungaji Kimaro kwa kweli Baba Mungu akutunze
Amina sana
Nabarikiwa sana
Amina baba
🙏🙏
Tunafundishwa kuwa watu wema na tusimuonee mtu maana malipo ni hapahapa duniani
CLINTON NA MONICA LAWSKY! DAUDI NA MKE WA URIAH! DUNIANI HAPATOSHI TUNAVIACHA TUOMBEANE MEMA! DHAMBI SIO STAREHE!
Binafsi nilikuwa sikujui,nilipoanza kukusikiliza nimegundua kuwa wewe nimtu makini sana.Mungu akubariki.
Falsafa nimtazamo wa mtu kwanini iwe ofense
Nimekuelewa...
Kweli kabisa
Ivi najiuliza watu wazima wanao fanya dhambi kila siku watasamehewa kweli, maana ata ulifanya dhambi ukiwa mtoto afu ukaokoka "utailipia tu"" Mungu awapatilishie maovu yao wayatendao sio watoto
Mungu wetu ni warehema anasamehe na anasahau
God is great good message🙏🙏🙏🙏🙏
Kuua so
Zaburi 100:
1 Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote;
2 Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njoni mbele zake kwa kuimba;
3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba...
4 Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake;
5 Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake vizazi na vizazi.
*TWENDE MBELE ZA MUNGU WETU KWA SIFA NA SHUKRANI!! KAMA SIO YEYE HATUNGEFIKA HAPA TULIPO, HALELUYA!!!*
nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria
🙏🙏
Amen
Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua
Mungu akutunze sana Pastor!
Nimebarikiwa sana