REV. DR. ELIONA KIMARO: KISA CHA DAUDI CHA KUMCHUKUA BATHSHEBA MKE WA URIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 57

  • @barazamatibila8412
    @barazamatibila8412 ปีที่แล้ว +1

    Always following you from Washington DC nakupenda Bure mtumishi. Nikita Dareslaam January nitakutafuta nikusalimie katika jina la Yesu kristo.

  • @kelvinmwando-f2e
    @kelvinmwando-f2e 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe baba wa kiroho kwa mafundisho mazuri nakupata vizuri sana nipo zambia

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 2 ปีที่แล้ว +4

    Barikiwa sana Daddy nakupata hapa OMAN.

  • @mandeladuwe7747
    @mandeladuwe7747 10 หลายเดือนก่อน

    Wat a blessing i got 4m this massage God bless u Dr kimaro man of God

  • @dorothtobias8053
    @dorothtobias8053 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji KIMARO nakuelewa Sana tunaomba uwe na makongamano Live mikoani. Mungu AKUPE ufunuo Huo.

  • @elizabethsalingwa7404
    @elizabethsalingwa7404 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sanaa mtumishi....

  • @angelalaizer3762
    @angelalaizer3762 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Mwenyenzi Mungu azidi kukulinda nakukuinua viwango vingine uendelee kutufundisha neno lake.

  • @mickyvlogs634
    @mickyvlogs634 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu wewe nintegemeo langu🙏🏼

  • @miraclegospel3527
    @miraclegospel3527 6 หลายเดือนก่อน

    I'm blessed 😅

  • @dativapatrice9289
    @dativapatrice9289 4 หลายเดือนก่อน

    Amina sana mchungaji

  • @danstansilanda5420
    @danstansilanda5420 2 ปีที่แล้ว

    Dastan, Rwanda. What a good teaching. Stay blessed.

  • @omegamongi2654
    @omegamongi2654 ปีที่แล้ว

    Mungu anakutumia sana Mtumishi na watu wengi wanaponya.

    • @esthermashauri441
      @esthermashauri441 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho ya neno la Mungu

  • @gabrielinterschool3539
    @gabrielinterschool3539 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu ni mwema anakutumia Kwa kutuokoa sisi wenye shingo nguma Ameen

  • @JacoboKitunda
    @JacoboKitunda ปีที่แล้ว

    nayapenda sana mafundisho yako mungu akutunze Dk kimaro

  • @magrethhaule-wy4jh
    @magrethhaule-wy4jh ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumishi

  • @adrophinasalvatory
    @adrophinasalvatory 7 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika ujumbe mzito huu! Dhambi unayoifanya ofisini au kazini inaingia nyumbani! Mungu utusaidie tuweze kufikiri sawasawa🙏

  • @magrathmichael7475
    @magrathmichael7475 2 ปีที่แล้ว +1

    Pastor eliona mi nikushukuru kwa somo lako na mafundisho kutoka madhabahuni.nimekupata vzr kutoka Nairobi Kenya

  • @Paschalkahema-qb3em
    @Paschalkahema-qb3em ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana Baba

  • @epimackmbeteni8806
    @epimackmbeteni8806 7 หลายเดือนก่อน

    Mungo akubariki sana mchungaji

  • @Madam255
    @Madam255 2 ปีที่แล้ว +4

    Ubarikiwe sanaa Baba Kwa mafundsho mazuri nakupata nikiwa Nairobi Kenya

  • @paulomagodya6467
    @paulomagodya6467 ปีที่แล้ว

    Hakika Mungu azidi kukuinua viwango vya juu ktk utumishi wako!

  • @joycemlimba4926
    @joycemlimba4926 2 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi kwa mafundisho mazuri mno

  • @mashauriparapara4173
    @mashauriparapara4173 2 ปีที่แล้ว

    Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua

  • @bryasonlaizer
    @bryasonlaizer 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwaaaa mchungaji

  • @christinasanga9709
    @christinasanga9709 2 ปีที่แล้ว +9

    Katika watumishi ambao sijawahi kuwasikiliza nikakosa massege ni wewe Mchungaji Kimaro kwa kweli Baba Mungu akutunze

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dhambi siyo stareheee😭😭😭😭

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 ปีที่แล้ว +1

    Eee Mungu Haya mahubiri yameniingia rohoni sijawahi kujuta kama Leo Mwenyezi Mungu Tusamehe sisi wanao Rev Kimaro nakupata kutoka London KWA KWELI UNAJUA KUHUBIRI

  • @AkoKabanga
    @AkoKabanga ปีที่แล้ว

    Amina

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 2 ปีที่แล้ว +1

    Very true pastor

  • @jeniphajeremiah8008
    @jeniphajeremiah8008 ปีที่แล้ว

    Uwiiiii mungu tusamehe

  • @ney0015
    @ney0015 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Mchungaji unanibariki

  • @MichaelMpangala-tr3gf
    @MichaelMpangala-tr3gf ปีที่แล้ว

    nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 2 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa sana

  • @alicekatana1429
    @alicekatana1429 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweli kabisa

  • @janeisaac4530
    @janeisaac4530 2 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏

  • @annakadege8160
    @annakadege8160 2 ปีที่แล้ว

    Amina baba

  • @veilasharu2162
    @veilasharu2162 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 2 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa...

  • @MgayaFrank
    @MgayaFrank 4 หลายเดือนก่อน

    Kumbe watawala wasio wazalendo walikuepo tokea zamani, somo zuri juu ya nchi yetu kama mtawala anamasikio naasikie kama anajiita chura kiziwi upanga hautatoka nyumbani mwake

  • @augustinocharles3732
    @augustinocharles3732 2 ปีที่แล้ว

    Binafsi nilikuwa sikujui,nilipoanza kukusikiliza nimegundua kuwa wewe nimtu makini sana.Mungu akubariki.
    Falsafa nimtazamo wa mtu kwanini iwe ofense

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 ปีที่แล้ว +1

    CLINTON NA MONICA LAWSKY! DAUDI NA MKE WA URIAH! DUNIANI HAPATOSHI TUNAVIACHA TUOMBEANE MEMA! DHAMBI SIO STAREHE!

  • @estheriluta2482
    @estheriluta2482 2 ปีที่แล้ว +1

    Ivi najiuliza watu wazima wanao fanya dhambi kila siku watasamehewa kweli, maana ata ulifanya dhambi ukiwa mtoto afu ukaokoka "utailipia tu"" Mungu awapatilishie maovu yao wayatendao sio watoto

    • @janembalinga7074
      @janembalinga7074 2 ปีที่แล้ว +1

      Mungu wetu ni warehema anasamehe na anasahau

    • @augustinenjakusi4544
      @augustinenjakusi4544 2 ปีที่แล้ว

      God is great good message🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 2 ปีที่แล้ว +2

    Maneno yako yananikumbusha JPM rip.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 ปีที่แล้ว +1

    Tunafundishwa kuwa watu wema na tusimuonee mtu maana malipo ni hapahapa duniani

  • @soberkaleya5148
    @soberkaleya5148 2 ปีที่แล้ว

    Zaburi 100:
    1 Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote;
    2 Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njoni mbele zake kwa kuimba;
    3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba...
    4 Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake;
    5 Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake vizazi na vizazi.
    *TWENDE MBELE ZA MUNGU WETU KWA SIFA NA SHUKRANI!! KAMA SIO YEYE HATUNGEFIKA HAPA TULIPO, HALELUYA!!!*

  • @paulinaswalehe5298
    @paulinaswalehe5298 2 ปีที่แล้ว

    Kuua so

  • @MargaretVihenda-c4h
    @MargaretVihenda-c4h 11 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @ShigiHunju
    @ShigiHunju ปีที่แล้ว

    🙏🙏

  • @mashauriparapara4173
    @mashauriparapara4173 2 ปีที่แล้ว

    Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua

  • @MichaelMpangala-tr3gf
    @MichaelMpangala-tr3gf ปีที่แล้ว

    nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria