Asalaam Alaykum mie nachukuwa fursa hii kumpongeza sana alieuliza suali la maana sana na Sheikh umetuoa elmu ya hali ya juu Allah akuhifadhi yaana hawa viongozi wwngine wa dini wanajisahau kwemye elmu lazima kabla hujasema kitu kama hukijui basi soma kwanza ukizia kwanza usipoteshe umma tu Dr Sule jitafakari ssna kwenye hoja zako unawapa waislamu mkanganyiko kwa maneno yako
Sisi Waislamu kiigizo chetu ni Mtume wetu Muhammad Swalla llahu Alayhi Wassalaam, Dr. Sulle aliwahi kusikia Mtume Muhammad katumia majini kuendesha maisha yake, Laa Hasha Mtume Muhammad Swalla llahu Alyhi Wassalaam hajawahi kutumia majini wa aina yoyote katika maisha yake yote, Dr. Sulle umeteleza muombe Msamaha Allah, Sisi binaadamu hatujakamilika kila siku tunakosea, hakika Sheikh huyu amekupa nasaha njema, kujikwaa si kuanguka.
@@salamanyale2226 Nilipokua Makka huo msikiti niliuona, na una jina hilo, ila si kwamba majini waliujenga, umejengwa na wanadam, hapo kihistoria ndio pale Mtume anasoma Quran majini wakapita na kuambizana, Hebu tunyamaze tusikilize. Kisha wakaondoka kuenda kwa wenzao kuwapa taarifa walivyoisikia Quran ya ajabu.
MashaAllah,Allahu Akbar, Shekhe wallah Allah. Akulpe Ujraa Mwema,kw Kutoa Fatua Ya Maneno yk Mazur Tena Maneno ya Allah Uloyatoa Quran,Allah Akuhfadh na Elmu Yk hyo,Hamdullah MashaAllah,Hta Bna Adam Anaweza Akakutendea Wema Kumbe Nafsn Mwke yupo na Roho Dhaifu,Amekosea Dr Sule,Ht Majin Huwajui Nasfs yeo ipojee,Allah Peke,Lait Allah Angetufunulia Nafs tukaziona Huyu na yule wallah Ndugu zangun Tungekmbianaaa,Turejeen Kw Allah ,Hakika Shetwan Aduiw Mubin🙏🥲,Wamaghalakatu Jinni Walinsi Ilaa Liayaabud ,Hakumba Majin na Bnaadam ,Icpokua Waje Kumuabudu Allah Bc ,inatosha ,cc Bina Adam Na Majin Tumeletwa Lengo Kuja Abudu Allah na Kufanya Yalo Kher,Anaeombwa Utajr Risk N Allah Pekee,Hana Mshrkaa
@@paulmushi2428hata wewe unae huyo ndo anaekuamrisha mabaya ndo maana hutaki unaona ugumu kuja kwenye haki kwenye uislamu,emu mshinde huyo jini njoo kwenye Uislamu
Mashaallah umeongea kwa akili kubwa sana.allah akubariki huu ndio uislam bwana .siku moja nataraji kuona tanzania tunaswali idd pamoja mwezi wa kimataifa sioni km inapendeza
Shekhe Maasha Allah umeeleza vizur sana, ila waliowashirikina watakuja na waseme haujajib kitu kwan walishapata fursa Sasa wajaiondoa. Wengine watadai ata mwanadam muovu haumjui ili pia la ajab tofauti ya Jinni haumuoni ila mwanadam nakuona ukiwa unashirik,unalewa,unaiba na inazini halafu ww iwe nana? Je Jinni akofanya ayo unamuona? Kua haujaeleza kitu ni madai ya Washirkina!
Hakuna mwanadam ana elmu ya kufahamu jini m baya na jini mzuri, Ila jini ana maarifa hayo so manake jini ana ujuzi zaidi ya binadam, Hii inatosha sana kujua hawa Ma sheikh waganga wa mitandaoni ni wapiga deals tu wapate pesa.
Asalamu alaykum warehmatunlah wabarakatuh mashekh lakini mungu si amesema yeyote atakae nitukuza kwa siri mimi nitamtukuza kwa dhahiri na atakae nihasi kwa siri mimi nitamdhalilisha kwa dhahiri kabla ya kukutwa na umauti kwahiyo hiyo ndio kazi ya Mw. Mungu acheni tuyadhihishe yale tunayoyafanya ya siri.
@@SoudShuraim unajihita saud shureim ...mwenzio shureim ni dr katika dini ya uislam ni mwanasheria lkn pia vice imam haramain...wew kalia kukufurisha watu
Wewe baada yakuuliza wa hukuna kuwa anaupaka matope mara anachafua uisilamu sio uwezi kumuona sema elimu yako imeishia apo jini unaweza kumuona na kumtumia bila ya shirki wala nini elimu ni bahari kama kitu ukijui sema sijui sio aibu elimu nibahari jamani
nakuambia sulle kachafua khari ya hewa mtandaoni, anasema kutumia majini kwa manufaa eti sio haramu, bila kusoma maandiko yanasema nini subhanahu!! Al Quran: Al-An'am/6:128 --- وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ Translations: --- Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua. -- Ali Muhsin Barwani .
Allah anasema katika Quran majini wanatuona sisi, ila sisi wanadamu hatuwezi kuwaona majini. Ukisikia mtu kamuona jini, huyo si jini, itakua kamuona mchawi, kajigeuza jibwa kajtia jiti la nyuma kama mkia, ama itakua umemuhisi na kuguswa na shetani aliyelaaniwa, mwenye kusumbua mwanadam. Jini hana habari ya kuonana na mwanadamu.
Shekhe suleiman alawi alikuwa na darsa la binadam na majini na akiwatuma wengine kuchumia karafuu, ,mwingine sharifu omary bin sumeyt alikuwa akiwatuma majini wengine wakienda kwake kusoma
Alaarham Sheikh Suleiman Alwi wa Zanzibar amewatumia sana majini kwa kumfanyia kazi zake kadha wa kadha. Hapa kuna utata wa kiilmu na upana katika ufafanuzi juu majini. Majini wapo na wanamilikiwa na binadamu
Halafu anatokea Mtu huko anawatusi Kina Fulani ni mawahabi. Huku huyo aliyesema Ndio yupo upande wa Dr.Sule na Sharifu Majini na wengneo....Na Anakwambia Hawa wana Makaraama...Na wao wanaona Ushirikina ni Mtu kuabudu Sanamu tu ya kuchonga.
Binadamu tuko mara mbili spirit na mwili,na tukumbuke ilimu NI bahari ,tutakufa Hadi bado hatujamaliza kuijua na tukumbuke kwamba kila siku mungu humchangua mja wake kuendeleza uvumbuzi wake.Quran iko wazi,na imesema tunapima jambo kwa kima cha faida zake
ndio mana mtume (sw)alitutowa shaka juu yaviumbe hawa majini wa islam kuwa ni ndugu zetu tunahaki ya kuwafa yale tulio amrishwa na Allah nawao pia nihivo hivo
Sheikh amejitahidi kama alivyojitahidi sule bado hatujapata jibu la kutushibisha...sheikh amejaribu kuunganisha aya na aya akachanganya na ufaham wake kama alivyofanya sule kuhalalisha hoja yake..ila mm nashauri anayekubali kwamba yafaa kutumia majini atueleze pia faida na hasara na anayesema haifai pia atueleze faida na hasara...asili ya kila kitu ni halali mpaka allah alipokuja kutuwekea mipaka ya kuharamisha baadhi ya vitu na hakutuharamishia kutumia kitu isipokua kitu hicho kina hasara kwetu
Yye Hajahalalsha juma faham,alchosema Yye n kupnga kua Hakuna Bnaadam kutumlia majn,km nhvyo tutakufur bure,,lkn Allah Amemleta Nabii kua Kiongoz na vyeo vyao,lkn wafuac Wa Huyo Nabii Allah hawakuwafunukia upeo Wa Elmu Zaid,Ndio mna Allah kaumba Majin na Bnaadam Waje Muabud ,Sasa ikiwa Tumeletwa Lengo n Moja Muomba risk Nan atakua ,Lazma mtafakar na nyny aklzenu
Sheikhe kuna vitu hata wewe hujui kuna watu wanasomeshwa dini na masheikhe wa kijini alafu ndo ushindwe kujua huyu jini ni mbaya au mzuri... hata wew bado kapige goti usome
Kama hujamuelewa wewe sio mzima.unatabu ya kumuelewa labda nimusaidie,kwanza amejibu kwamba huwezi kumjua huyu jini mzuri au mbaya.wewe utatumia njia ya kumuita jini jini akaja kwako kukudanganya yeye mzuri kumbe waongo,halafu amemjibu sifa ya kutolea mfano nabii Suleiman kumiliki majini ni sifa yake pekee nabii Suleiman aliyomuomba mwenyeezi mungu na katoa ushahidi mpaka Kwa mtume s a w kuhusu nabiii Suleiman ni kipaji chake pekee.sasa ulitaka ajibi nini ili umuelewe
(SASA hapa ndio elimu inapanda kwa uisilamu ulikua ubinafsi wa nabii suleimani tu aliwatumia kama jeshi ndio maana uisilamu unachezewa yeye suleimani alikuwa m'binafsi mungu hajahalamisha bali shetani anaamrisha maovu kama utaenda kinyume na qur'aan elimu halali ya kutumia majini na malaika bado haijapatikana sasa elimu ya kitu chochote ipo ktk qur'aan isha'allah elimu ya ghaibu inapanda kidogo kidogo
Kwahio ,Doctor Sule anatumia mashetani ,wala sio majini ,Maana jinni ni viumbe na vya Allaah na hawaonekani,wakwake Doctor Sule madamu anawaona hao ni mashetani wa kujitengezea mwenyewe
Kama wako wahuni wanaotumia majini wabaya katika uvumbuzi mbona wasiweko watu wema wanaotumia majini Kwa mambo mema wakati tunajua fika kwamba Allah kaumba kila kitu katika uwili.
Sasa nyunyi mnamsikiliza Mpuuzi Mmoja asojitambua,Yeye nu Mchawi mtu anajisifia wanawake wanamtongoza huyo unsmuona yuko sawa??!Msameheni kama mlivyo msamehe Harmonize asemalo halijui Nae amekuwa Mpenda KIKI ya Mitandaoni,
Shekhe kazungumza vizuri ila bado hajajibu swali , swala la kutomjua jini kama ni wa heri au wa shari na hata binadamu wapo hivyo ndio maana watu wanasema usimdharau mtu usiemjua
Swali liko hapa jinii mwema amekuelekeza njia nzuri na bin Adam akuelekeza njia nzuri kosa liko wapi? Ama Kwa sababu Mimi Ni bin Adam na yeye Ni jinni ? Kwani bin adamu haezi kukuekekeza Kwa mambo machafu? So yeye atakua sheitwan kiumbe ndio mbaya zaidi .. kinao Poteza MTU Ni hawaaa nafs Yale matamanio au hawaaa ndio ukafata but jinni yeye atakushawishi Kama vile bin adamu .. ndio siku ya hisabu yule iblis atakanusha .. atasema Kwani hamukuambiwa kuwa mm Ni mpotevu? Quran ishasema Kwa nn umenifata ? Sasa Iyo Ni hawaaa yako umeskiza mwenyewe..nafs amaaratu suu.. imaa hadainahu imaa shaakiran WA imaa kafuraaa.. ama Aya ingine yasema ..Alam najaalau aineen walisaana washafateein wahadeinahuu najdein . Sura ya laa uqsimu..
musi seme waislam wanaluusu majini tu ayo mambo yapo atamakanisan yapo makani yanaitwa kanisa lasheitwan Mombasa lipo pia wapo atawaklsto wentekutumia ayo mambo sijupeleki mbali nenda mbea nenda msumbiji kaio iyo nitabia zawashilikina tu sio waislam atawaklsto wapo tembeen Dunian muone
Mimi ni Mlokole Ila huyu shekhe nitavaa kanzu nikaswali kwenye msikiti wake naomba mnambie msikiti wake uko wapi ana roho wa Mungu shekhe Amenyooka
Fika temeke maeneo ya mwembe Yanga uliza hapo alhikma..!!!!
Hakuna mlokole wa kufanya hivyo, acha kupumbaza wakristo, pambaneni na ndugu zenu majini
Hana msikitini
Karibu katika njia ya haki, Allah akutangulie InshAllah uitamke shahadah
Karibu sana ktk dini ya haki
Yaa Rabbi tunakuomba utuoneshe hakki tuweze kuifata na batili tuweze kuiepuka, shukran yaa sheykh
Allaahumma aamiin
Amin amin amin
Allaahumma aamiyn
Aisha number please muhimu
Tumrudie Yesu ndiye njia ya kweli ndg zangu
shekhe sharif mashaa allah , Mwenyezimungu akuhifadh ina alihifadhi na sisi, umeongea kielimu zaidi na zaidi
Mashallah Allah akulinde Sheikh wetu
Masha ALLAH shk Shukran sana kwa ilmu na hongera kwa shk Suleiman kwa kazi kubwa ALLAH akubaarik
Allaahumma aamiin
Mashaalah jazzakallahu haira mwenyezimungu amjalie kheri huyu shehe Yuko vizuri sana
Alhamdulillah Rabbil Aalamiin. Allah aendelee kukutunza kukubariki kukullinda na kukuongoza ili tuendelee kunufaika nawe Sheikh wetu AbdulQaadir
Aameen
Mufti wa TZ should make a statement on this issue...its very disturbing.
Sheikh si huyo tayari keshamaliza, Kwa mufti Mbali saana
May be he knows nothing in this matter,
Mmmh Viongozi wa dini walio serikalini tz hatuwaoni kwenye mambo ya dini kama haya tunawaona kwenye maulid tu na kuandama kwa mwezi
It is not a Mufti Problem. The first word in Islam is "Read" and not "Mufti Read". Mufti already has enough on his plate.
Yeye mwenyew anavaa pete za majini
Asalaam Alaykum mie nachukuwa fursa hii kumpongeza sana alieuliza suali la maana sana na Sheikh umetuoa elmu ya hali ya juu Allah akuhifadhi yaana hawa viongozi wwngine wa dini wanajisahau kwemye elmu lazima kabla hujasema kitu kama hukijui basi soma kwanza ukizia kwanza usipoteshe umma tu Dr Sule jitafakari ssna kwenye hoja zako unawapa waislamu mkanganyiko kwa maneno yako
Yule yupo kwenye harakati za kutafuta rizki.hamna sheikh pale.
@@ahz6907kuna shehena tu.
Hekma ya sheikh ni kubwa sana na huu ni muongozo mzur wa elimu
Maamuma Allah sw atupe ilman nafiya, warzuqna fahma!
Na ww maamuma ni kwenye swala tu
@@YusuphRashidi-b1j una maanishaje! Huenda kwenye hili pia ni maamuma! Nielimishe
Km nabii alishafanya sio haramu kutumia majini bado hujaeleweka
We nae kayatumie sasa@@JoshuaSalimu
@@aminasaid6555 mie sio muislamu
Maashaa Allaah tabaarakallaah majibu mazuri Sheikh wetu Allaah akuongoze kwenye kheri
Sisi Waislamu kiigizo chetu ni Mtume wetu Muhammad Swalla llahu Alayhi Wassalaam, Dr. Sulle aliwahi kusikia Mtume Muhammad katumia majini kuendesha maisha yake, Laa Hasha Mtume Muhammad Swalla llahu Alyhi Wassalaam hajawahi kutumia majini wa aina yoyote katika maisha yake yote, Dr. Sulle umeteleza muombe Msamaha Allah, Sisi binaadamu hatujakamilika kila siku tunakosea, hakika Sheikh huyu amekupa nasaha njema, kujikwaa si kuanguka.
Mmmh ww nenda kasome mtume amesaidiwa n majini mpka kujenga mskiti ukaitwa masjidl jin uliza km hujui
kwani huo msikiti ni wa Mtume
@@salamanyale2226 Nilipokua Makka huo msikiti niliuona, na una jina hilo, ila si kwamba majini waliujenga, umejengwa na wanadam, hapo kihistoria ndio pale Mtume anasoma Quran majini wakapita na kuambizana, Hebu tunyamaze tusikilize.
Kisha wakaondoka kuenda kwa wenzao kuwapa taarifa walivyoisikia Quran ya ajabu.
Ushahidi gani
MashaAllah,Allahu Akbar, Shekhe wallah Allah. Akulpe Ujraa Mwema,kw Kutoa Fatua Ya Maneno yk Mazur Tena Maneno ya Allah Uloyatoa Quran,Allah Akuhfadh na Elmu Yk hyo,Hamdullah MashaAllah,Hta Bna Adam Anaweza Akakutendea Wema Kumbe Nafsn Mwke yupo na Roho Dhaifu,Amekosea Dr Sule,Ht Majin Huwajui Nasfs yeo ipojee,Allah Peke,Lait Allah Angetufunulia Nafs tukaziona Huyu na yule wallah Ndugu zangun Tungekmbianaaa,Turejeen Kw Allah ,Hakika Shetwan Aduiw Mubin🙏🥲,Wamaghalakatu Jinni Walinsi Ilaa Liayaabud ,Hakumba Majin na Bnaadam ,Icpokua Waje Kumuabudu Allah Bc ,inatosha ,cc Bina Adam Na Majin Tumeletwa Lengo Kuja Abudu Allah na Kufanya Yalo Kher,Anaeombwa Utajr Risk N Allah Pekee,Hana Mshrkaa
Sheikh Sulle kazingua arudi tu kwa ALLAH.
Anatupa mashaka hata upatikanaji wa mali zake
Huyo dkt sule anajifanya na bii kwasababu ya jina lake anajifananisha na nabii suleyman ,hiyo ni shirk.mungu amuongoze
Mashalla
Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri kwa jibu zuri shekhe wetu Mola akulipe mema inshaallah.
MASHALLAH MASWALA YAMEJIBIWA KIELIMU
Wamejibiwa kuwa wewe una jini Karin na Kila Mwislamu anaye
@@paulmushi2428hata wewe unae huyo ndo anaekuamrisha mabaya ndo maana hutaki unaona ugumu kuja kwenye haki kwenye uislamu,emu mshinde huyo jini njoo kwenye Uislamu
@@paulmushi2428😅😅😅 Paulo mgonvi wewe
@@paulmushi2428mtu yoyote,sio muiislam tu usijitoe fahamu
@@LastdayJesu4153unafki
AllahuAkbar.. njia iliyo nyooka ndio hii.. islam 100%
Kupenda dunia ndio kichwa cha maasi yote
Allah hakupe kherry kwa helimu lnshaalla
Allah atuepushe na atulinde kwa uwezo wake
Nampenda sana Sheikh Abdulqadir, Allah azidi kutunufaisha Kwa maarifa na hikma yako
Majibu mazuri sheikh Mashallah
Mashaallah umeongea kwa akili kubwa sana.allah akubariki huu ndio uislam bwana .siku moja nataraji kuona tanzania tunaswali idd pamoja mwezi wa kimataifa sioni km inapendeza
Maashàa Allah baaraka llaahu fyka yaa sheykh
Mashaallah sheikh Al Ahdal
Shekhe Maasha Allah umeeleza vizur sana, ila waliowashirikina watakuja na waseme haujajib kitu kwan walishapata fursa Sasa wajaiondoa.
Wengine watadai ata mwanadam muovu haumjui ili pia la ajab tofauti ya Jinni haumuoni ila mwanadam nakuona ukiwa unashirik,unalewa,unaiba na inazini halafu ww iwe nana?
Je Jinni akofanya ayo unamuona?
Kua haujaeleza kitu ni madai ya Washirkina!
TabarakaAllaah
Na jee utajiri na pesa anaotoa jinni anapata wap kam sio kudhulumu kwa wanadam ndipo ampelekee yeye mfuga majini na hiyo ni dhulma ya wazi...
Mashaallah majibu mazuri ust barakakallah
Mashallah jazakkallah kheir asante
Aahh sheikh wlh maneno yananikosha
Mashaallah ❤❤
Hakuna mwanadam ana elmu ya kufahamu jini m baya na jini mzuri,
Ila jini ana maarifa hayo so manake jini ana ujuzi zaidi ya binadam,
Hii inatosha sana kujua hawa Ma sheikh waganga wa mitandaoni ni wapiga deals tu wapate pesa.
Swadakt ya shekh
Asalamu alaykum warehmatunlah wabarakatuh mashekh lakini mungu si amesema yeyote atakae nitukuza kwa siri mimi nitamtukuza kwa dhahiri na atakae nihasi kwa siri mimi nitamdhalilisha kwa dhahiri kabla ya kukutwa na umauti kwahiyo hiyo ndio kazi ya Mw. Mungu acheni tuyadhihishe yale tunayoyafanya ya siri.
Allahuakbaru
Hawa ndio watu wakusikiliza sasa
Jibu swali
Tunahitaji maelezo ya hoja na siomaoni tu ya Akili
Safi sana
Allah ni mjuzi wawa juzi
Kuna elimu kubwa sana katika ulimwengu wa jini...
Kwanza kuna aya gani ya Quran inayokataza kutowatuma Majini ama Hadithi gani ya Mtume inayokataza kutowatuma Majini?
Soma surat jinniy utajua ndugu
Huyu Sheikh ndio amemaliza kila kitu Alhamdulilah
Wengi walikua hawajibu mambo za Dr Sule kwa Hoja
Nyie amufaamu dokt sure akujifananifa nanabibii
🥺🥺
Mashekh sikilizeni maelezo ya sulle vizur
Misajamuelewa hapa naona anamung' unya tuu, kiswahili kidogo bado hakija kaa vzr
Sikiliza kwa umakini utaelewa
Sio kweli sisi pia n waswahili na tunamuelewa
Labda wewe ni mkurya ndo maana huelewi
Wewe unashida ya ewelewa au unajifanya hujaelewa unasupport mambo ya sulle. ALLAH ATUONGOZE
@@datiisaid5947 nielekeze ww mpendwa huenda nitakueewa vzr nisaidie kunifafanulia hapo
Watu wa maulid ndio wanapenda kutuniya majini au kutumika na majini
Maulid yanahusika vp hapo acha uzwazwa na akili mbilikimo
DR SULE YUPO SAWA KABISAAAA HAKUNA MUSHIKELI WOWOTE LABDA HAWA MASARAFO ELIM HOYO HAWANA ,MAJINI WANAONEKANA NA WANATUMIKA ,VZR TU
Tpfaut ya dini yetu kaka c kutamka tu kwa vile ujuavyo wew una dalil acha maneno ...dalil ya mtu kumtumikisha jini unayo
Yinyi ni washirikina
We kafiri nyamaza
@@SoudShuraim unajihita saud shureim ...mwenzio shureim ni dr katika dini ya uislam ni mwanasheria lkn pia vice imam haramain...wew kalia kukufurisha watu
@@abuubilal2646ntakufira nkuuwe kumaamako
Wewe baada yakuuliza wa hukuna kuwa anaupaka matope mara anachafua uisilamu sio uwezi kumuona sema elimu yako imeishia apo jini unaweza kumuona na kumtumia bila ya shirki wala nini elimu ni bahari kama kitu ukijui sema sijui sio aibu elimu nibahari jamani
Ww mjinga kasome usipotwezwe na docter sule
nakuambia sulle kachafua khari ya hewa mtandaoni, anasema kutumia majini kwa manufaa eti sio haramu, bila kusoma maandiko yanasema nini subhanahu!!
Al Quran: Al-An'am/6:128
---
وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ
Translations:
---
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.
-- Ali Muhsin Barwani .
Kajibu wewe...
Nkufira nkuuwe kumaamako
Allah anasema katika Quran majini wanatuona sisi, ila sisi wanadamu hatuwezi kuwaona majini.
Ukisikia mtu kamuona jini, huyo si jini, itakua kamuona mchawi, kajigeuza jibwa kajtia jiti la nyuma kama mkia, ama itakua umemuhisi na kuguswa na shetani aliyelaaniwa, mwenye kusumbua mwanadam.
Jini hana habari ya kuonana na mwanadamu.
Jifundishe kiswahili ww yemen
Haki imekuja na uongo umejitenga hakika (batili) uongo ni wenye kujitenga na kutoweka ikija haki, uongo ni giza na haki ni nuru
Shekhe suleiman alawi alikuwa na darsa la binadam na majini na akiwatuma wengine kuchumia karafuu, ,mwingine sharifu omary bin sumeyt alikuwa akiwatuma majini wengine wakienda kwake kusoma
Wewe ulikuwepo?
Hawa maswalaf awana elimu izo ila elim izo zipo
Uislam ni shida
Dr. Sule ni mtume Suleimani au?
Alaarham Sheikh Suleiman Alwi wa Zanzibar amewatumia sana majini kwa kumfanyia kazi zake kadha wa kadha.
Hapa kuna utata wa kiilmu na upana katika ufafanuzi juu majini. Majini wapo na wanamilikiwa na binadamu
Mimi ni muislamu kwa hali hii nimeamua kuwa mkristo, wakristo naomba msaada wenu
Niende kanisa gani lililo sahihi, namuhitaji Isa al masihi
Wewe tokea mwanzo ni mkiristo usidanganye watu na kama ulikuwa muislamu basi ni muislamu jina au ulikuwa muishi lamuu na sio muislam
@@haroubhbm5728 Ndugu yangu nimeamua kumwamini masihi Isa rasulullah naona hana jini hata Moja ila huyu mtume wetu kumbe kasilimisha majini
Tubaijua hii😂
@@aminasaid6555 🤣🤣Yesu nimekukiri naomba uniondolee majini Karin na majini yote yanayomiliki uislamu, Asante Yesu amina
Nenda ukaolewe ndoa jinsia moja, wenzio huko kwenye imani hiyo wamo kwenye mchakato waowane dume kwa dume.
Nenda ukaolewe tu.
Halafu anatokea Mtu huko anawatusi Kina Fulani ni mawahabi.
Huku huyo aliyesema Ndio yupo upande wa Dr.Sule na Sharifu Majini na wengneo....Na Anakwambia Hawa wana Makaraama...Na wao wanaona Ushirikina ni Mtu kuabudu Sanamu tu ya kuchonga.
Alafu mambo msiyoyajua kaeni kimya mawahabi ninyi mnazingua sana dini hii ingepita mikononi mwenu watu tungekwisha kabisa
Na wewe ni mshirikina
Sasa kama ni dhambi Allah atanihukumu. Mimi nawatumia Majini na sio Mashetani
Binadamu tuko mara mbili spirit na mwili,na tukumbuke ilimu NI bahari ,tutakufa Hadi bado hatujamaliza kuijua na tukumbuke kwamba kila siku mungu humchangua mja wake kuendeleza uvumbuzi wake.Quran iko wazi,na imesema tunapima jambo kwa kima cha faida zake
Wewe elimu yako yasemaje
Mashekhe wa bara wengi wanaganga njaa, Dr sule hii habari ya majini na pete ni katika biashara zake ndio mambo yanayomueka mjini
Wengi watakupinga sababu ni wapiga Dili,ila ndo ukweli
Msidanganyane yote ni uongo dini hii ya uislamu ndo dini ya mpinga kristo
Uliza swali Acha maneno mengi kwa Shekh
Dr sule anatoa elimu yake wapi
ndio mana mtume (sw)alitutowa shaka juu yaviumbe hawa majini wa islam kuwa ni ndugu zetu tunahaki ya kuwafa yale tulio amrishwa na Allah nawao pia nihivo hivo
kweli.onaona .mimi.nimetomali.lakini.siomaaliyangusukukabiziwa.niklimtu.mzufi.anapedwa.najini.mzurimimi.naogea.nikwelihuyu.shehbado.hajakota.nawo.jiwazu.wanapenda.kuka.nawewe.na.mmmiiskitini.pianiulizeminmi.jitakuhibumpa.wankusaidiailmundugo. huyu.sheh.haelezi. vizurimungu.ampe.toqik
Sule shekhe wa watu majaahil sule mala utamuona kwenye siasa za demo krasia mala kwenye dini sa shekhe gani ilo
Adam na wanawe hawakuweza kumsilimisha shetani akawa mwislamu ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa mwislamu
Sheikh amejitahidi kama alivyojitahidi sule bado hatujapata jibu la kutushibisha...sheikh amejaribu kuunganisha aya na aya akachanganya na ufaham wake kama alivyofanya sule kuhalalisha hoja yake..ila mm nashauri anayekubali kwamba yafaa kutumia majini atueleze pia faida na hasara na anayesema haifai pia atueleze faida na hasara...asili ya kila kitu ni halali mpaka allah alipokuja kutuwekea mipaka ya kuharamisha baadhi ya vitu na hakutuharamishia kutumia kitu isipokua kitu hicho kina hasara kwetu
Kamsikilize bachu alifafanua vizuri hata mimi huyu sijamuelewa huenda anajua ila kumukinaisha mtu na hoja ndo hajui
Yye Hajahalalsha juma faham,alchosema Yye n kupnga kua Hakuna Bnaadam kutumlia majn,km nhvyo tutakufur bure,,lkn Allah Amemleta Nabii kua Kiongoz na vyeo vyao,lkn wafuac Wa Huyo Nabii Allah hawakuwafunukia upeo Wa Elmu Zaid,Ndio mna Allah kaumba Majin na Bnaadam Waje Muabud ,Sasa ikiwa Tumeletwa Lengo n Moja Muomba risk Nan atakua ,Lazma mtafakar na nyny aklzenu
Anakosea anaposema MAJINI awaonekani ,MAJINI wanao ekana ila kwa maumbile tofaut tofaut
Kwa hiyo unapingana na qauli ya Allah
Kuna swahaba aliua nyoka naye akafa taarifa ilipofika kwa mtume akasema kaua jini na majini wenzie wakamuua
Quran imesema hatuwaoni
Kunayofauti kuwajua nakuwaona sio atuwaoni tunawaona ila kuwajua Sasa angesema hivyo SHIDA ukiwa mweupe unatoka uwarabuni unaonekana unajua pumbavu
Sheikhe kuna vitu hata wewe hujui kuna watu wanasomeshwa dini na masheikhe wa kijini alafu ndo ushindwe kujua huyu jini ni mbaya au mzuri... hata wew bado kapige goti usome
hamna mahusiano baina ya jini na bindamu hata awe jini anaswali na kufanya mema jini wao wakokivyao na sisi tuko kivyetu
Swali simple tu lakini kujibu unahangaika nyoosha maelezo ueleweke
Kama hujamuelewa wewe sio mzima.unatabu ya kumuelewa labda nimusaidie,kwanza amejibu kwamba huwezi kumjua huyu jini mzuri au mbaya.wewe utatumia njia ya kumuita jini jini akaja kwako kukudanganya yeye mzuri kumbe waongo,halafu amemjibu sifa ya kutolea mfano nabii Suleiman kumiliki majini ni sifa yake pekee nabii Suleiman aliyomuomba mwenyeezi mungu na katoa ushahidi mpaka Kwa mtume s a w kuhusu nabiii Suleiman ni kipaji chake pekee.sasa ulitaka ajibi nini ili umuelewe
😅😅Hawez kujibu kwasabb hana utaalam
@@jumakhamis226 mnamasikia lakini hamusikii mnamacho lakini hamuoni
We hebu jihishimu japo kidogo mbona huna Adabu weye
@@jumakhamis226 ana ruka ruka tu
(SASA hapa ndio elimu inapanda kwa uisilamu ulikua ubinafsi wa nabii suleimani tu aliwatumia kama jeshi ndio maana uisilamu unachezewa yeye suleimani alikuwa m'binafsi mungu hajahalamisha bali shetani anaamrisha maovu kama utaenda kinyume na qur'aan elimu halali ya kutumia majini na malaika bado haijapatikana sasa elimu ya kitu chochote ipo ktk qur'aan isha'allah elimu ya ghaibu inapanda kidogo kidogo
One hundred percent.kweli kabisa
Sheikh Sule yuajikoroga
Hujajibu bado
Kwahio ,Doctor Sule anatumia mashetani ,wala sio majini ,Maana jinni ni viumbe na vya Allaah na hawaonekani,wakwake Doctor Sule madamu anawaona hao ni mashetani wa kujitengezea mwenyewe
hukmu ya kumtumiya jini nikama hukmu ya kumtumiya mwaadam
Kama wako wahuni wanaotumia majini wabaya katika uvumbuzi mbona wasiweko watu wema wanaotumia majini Kwa mambo mema wakati tunajua fika kwamba Allah kaumba kila kitu katika uwili.
Huwelewek
Watu wanafeli kupata pesa kwa njia ya halal wanakuja na story za majini kazikweli
Huyu bado ajui kitu mnamuuliza TU
We unajua Nini, hata kuchamba hujui
Anajua sana tu ila hatak kuwafungulia mlango huo man walo wengi sio wajuz wat watapotoka san .ndio man anakwepa kwenda huko.
Hiyo dini ya majini, pambaneni na majini yenu hayo.
Huyo jamaa anaedai hayo ni mganga wakienyeji na ni sio shekh matapei tu hao
Sule kapotea asitudanganye Sisi atutaki uchawa kwenye uislsmu wetu
Sasa nyunyi mnamsikiliza Mpuuzi Mmoja asojitambua,Yeye nu Mchawi mtu anajisifia wanawake wanamtongoza huyo unsmuona yuko sawa??!Msameheni kama mlivyo msamehe Harmonize asemalo halijui Nae amekuwa Mpenda KIKI ya Mitandaoni,
Bado kuna kitu kinafichwa hapo kama una uelewa vizuri😊
Kitu gani ndugu
Hamna kitu inafichwa kama iko niambiye saitoti
Ukwelidoktasuleamekosea anashindwanasisiwanafunzi hatakulhuwallahuahadu inatoshakutomshilikishamungunachochote kwelikilamtuangalienjiayake
Shekhe kazungumza vizuri ila bado hajajibu swali , swala la kutomjua jini kama ni wa heri au wa shari na hata binadamu wapo hivyo ndio maana watu wanasema usimdharau mtu usiemjua
Ndio maana kasema haifai
Sasa mazungumzo yake ukiyatizama ndani nimtu ambae Hana elimu nahayo Mimi sitaki mjadala nawala nisitafutwe namtu
dr sule anadhalilisha uislam
Haudhalilishi uislam bali anajidhalilisha mwenyewe na tumemjua yeye ni mshirikina
Dokta sule kweli anaelimu ila Kuna wakati ukimskiliza kama vile inamfanya ajione ni mtu flani
hoja sikwamba hawaonekani hiyo nielimu ambayo hauna njoo upige gotu tukupe elimu
MI ATA SIELEWI
Sule anatafuta pesa huo ndio ukweli na pia kuongea mambo bila kua na elimu nayo
Swali liko hapa jinii mwema amekuelekeza njia nzuri na bin Adam akuelekeza njia nzuri kosa liko wapi? Ama Kwa sababu Mimi Ni bin Adam na yeye Ni jinni ? Kwani bin adamu haezi kukuekekeza Kwa mambo machafu? So yeye atakua sheitwan kiumbe ndio mbaya zaidi .. kinao Poteza MTU Ni hawaaa nafs Yale matamanio au hawaaa ndio ukafata but jinni yeye atakushawishi Kama vile bin adamu .. ndio siku ya hisabu yule iblis atakanusha .. atasema Kwani hamukuambiwa kuwa mm Ni mpotevu? Quran ishasema Kwa nn umenifata ? Sasa Iyo Ni hawaaa yako umeskiza mwenyewe..nafs amaaratu suu.. imaa hadainahu imaa shaakiran WA imaa kafuraaa.. ama Aya ingine yasema ..Alam najaalau aineen walisaana washafateein wahadeinahuu najdein . Sura ya laa uqsimu..
Maelekezo yapo ktk qur'aan na sunna sio ktk jini
@@YusuphRashidi-b1j ndio nimeyatoa Kwa Qur'an hayo
Tatizo watu wanahamaki vitu havina msingi kama yeye anatumia majini nyie si mumtumie mnachoamini? Maana kila mtu na hukumu yake
musi seme waislam wanaluusu majini tu ayo mambo yapo atamakanisan yapo makani yanaitwa kanisa lasheitwan Mombasa lipo pia wapo atawaklsto wentekutumia ayo mambo sijupeleki mbali nenda mbea nenda msumbiji kaio iyo nitabia zawashilikina tu sio waislam atawaklsto wapo tembeen Dunian muone
bado hamsema majini nindugu zenu kwa mujibu wa hicho kitabu chenu ndio maana waganga wengi ni maustaz😂😂😂
Hata wewe tuta kuganga
Unauliza swali wakati ushaanza kutoa majibu yako