MashaAllah ❤🙏🙏🙏may his generous,kind,sweet soul rest in eternal peace 🙏🙏 Cha kujifunza hapa,dunia hii tunapita,kila kitu kitapita,lakini kitu pekee kitabaki duniani ni matendo yako,wema utakaotendea watu utaishi milele,tujifunze kuwa watu wema,msaidie mtu yoyote mwenye uhitaji,sio lazima iwe pesa,hapo ndo tunapokosea,watu tunahisi wema ni uwezo,wema ni moyo wako wa kibinadamu...tubadilike jamani,tuwe na ubinadamu
Clouds & Tanzania people &clouds media group poleni sana pia tumepoa Gardner ni mrombo mwenzang ila Millard. Ayo mtu wa nguvu mtu wa maana umeteta ukweli wako respect u brother
Huyu jamaa Gudner sijawah kuishnae Wala kuanae Karibu ila mpaka nimetoa chozi huyu jamaa alikua mtu alikua mtu jaman Kuna binadamu na watu huyu jamaa mtu mastaa wengi wanalinga jaman, dar vizur havidumu Gudner alikua na moyo kama Baba marehemu Mzee Meng'anyi
Cluds radio ya watu gadner mtu wa watu hii radio ni watu na watu...nawakubali Sana nawapend Sana hasa mkifanya Promotion zenu ..daah watu huwa wanaiona Simba day ina watu wamejaa ila wale watu hawaji tuuh sababu Simba ni brand Kuna wahuni wanapambana Sana Nyuma ya Simba kwenye Promotion ya tamasha Lao asee huwezi elewa kama huwafutilii hawa Watu. ..ni big brain 🧠
hiyo interview is not for G habash ni kwa ajili ya unayesikiliza, kifo cha mtu huwa ni funzo kwa watu aliowaacha! kunachosimuliwa ni kile alichokipanda akiwa hai myoyon mwa watu
Huyu jamaa ni Mwandishi mzuri sana, ukimsikiliza interview zake anaongea kimaadili sana
MashaAllah ❤🙏🙏🙏may his generous,kind,sweet soul rest in eternal peace 🙏🙏
Cha kujifunza hapa,dunia hii tunapita,kila kitu kitapita,lakini kitu pekee kitabaki duniani ni matendo yako,wema utakaotendea watu utaishi milele,tujifunze kuwa watu wema,msaidie mtu yoyote mwenye uhitaji,sio lazima iwe pesa,hapo ndo tunapokosea,watu tunahisi wema ni uwezo,wema ni moyo wako wa kibinadamu...tubadilike jamani,tuwe na ubinadamu
Clouds & Tanzania people &clouds media group poleni sana pia tumepoa Gardner ni mrombo mwenzang ila Millard. Ayo mtu wa nguvu mtu wa maana umeteta ukweli wako respect u brother
Milard Ayo ni kichwa Sana,
Mirad ndoo mtanga zaji bora Tanzania anae bisha aseme
Hakuna ubishi 😅😅😅
salm kikeke
Wa pili ni baba levo
Bundara sky
Kwa mwaka gani?
The Best presenter 🎉🎉Nimejifunza kutomdharau mtu hapa 🎉🎉🎉
01.Salumu Kikeke/Millard Ayo
02.Sky Walker(Fredrick Bundala)
Mohoj Leo anaojiwa raha sana
Saana na wapo vizuri kwa maswali na yanajibiwa vizuri
Poleni sanaaa 😢
Ayo leo unahojiwa boss anahojiwa
😂😂😂😂
@@joycekaguo8476 🤣
Mungu akikupenda bhana hakuna wakukushusha
Kila mtu anahistoria yake hongera Blue Boy
sadness interview moment....i wish haya yote angekuwa anayaskia 😢😢 ...endelea kupumzika nembo ya kaskazini
😢😢😢
Ila muemnasema misaada mliowah saidiwa kabla ya watu kufarik 😢😢😢
This is called a wisdom.
Katika hii dunia kila mtu uwaga ana mtu wake,kwa kutanguliwa Mwenyezi Mungu
MIMI Nakumbuka ule wimbo wao "MBINGUNI HAKUNA BIA! NDIOMAANA TUPOHAPA TUNKUNYWA BIA NASIKU UKIONDOKAHAPA PIA RAFIKIZAKO WATAKUNYWA ZAKO BIA!!"😆🥺🤔(Emungu uwasamehe maitiwe na uwarehemu wooote kwaujumla AAAMIN🙏🤲🤔
Umenikumbusha mbali sana kaka,,,Gardner na kibonde wimbo wao pendwa😪😪
Big up sana brother
Daah So Sad But Kuna kitu kikubwa nme jifunza hapa i wish one day litimie na kwangu pia coz Clouds iz my dream Broh🙏
Namkubali sana huyu dogo!
Mtangazaji bora sana aise
Duh mungu angekukumbusha uu ushuuda ukautoa akiwa hai
Huyu jamaa Gudner sijawah kuishnae Wala kuanae Karibu ila mpaka nimetoa chozi huyu jamaa alikua mtu alikua mtu jaman Kuna binadamu na watu huyu jamaa mtu mastaa wengi wanalinga jaman, dar vizur havidumu Gudner alikua na moyo kama Baba marehemu Mzee Meng'anyi
Brother nakubali sauti yako base
Muyenjwa mungu akubariki sana, wewe ni picha kwa mayoutuber wa Africa.
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 apa naweza kupata number ya Brother millard Ayo vipi kuna jambo la muhimu sana nataka ku ongeya naye
Mfollow DM kaka
Vizur sana kwa kumkumbuka Mim alikuwa jiran yangu pale mbezi Tembon karibu na kituo Cha polis kipind anaish na Komando Jide
Kuende shika necha meku
Pole sana Blue Boy🙏
Nikweli,Ayo ni mtangazaji ambae ni the best in Tanzania kusema ukweli wa Mungu!
Pole Sana Ayo, pole Sana Clouds
pole sana kaka
Cluds radio ya watu gadner mtu wa watu hii radio ni watu na watu...nawakubali Sana nawapend Sana hasa mkifanya Promotion zenu ..daah watu huwa wanaiona Simba day ina watu wamejaa ila wale watu hawaji tuuh sababu Simba ni brand Kuna wahuni wanapambana Sana Nyuma ya Simba kwenye Promotion ya tamasha Lao asee huwezi elewa kama huwafutilii hawa Watu. ..ni big brain 🧠
Mirad pore kijana wetu mpore mtangazaji mzuri
Jamaa ana mvuto ktk mazungumzo yake...unaweza kumsikiliza saa 24 bila kuchoka.
2004 mimi hapo nipo chekechea Dah! Kumbe nitatoboa muda bado
How come every famous naemsikia amefariki this year ni wa muhimu kiasi hiki???? Akianzia Lowasa!!!!
Ukiwa na ndoto ya kuwa mtu yeyote hii ndio route sahihi wajanja wanafuata.
Pole sana kwa msiba nakumbuka ukoo ni nyumban hat mm nilikuja kumzik mam
Kikelelwa
Ss kwet ussey karib na maeneo hay 2 hap radioo clouds hatukupatii millan
Rip Gardner G Habash
Speaker inatetema
Milad mtaje hat dada yako halima said sasa hivi mimi ni mwl
Mnamsifia Leo baada yamtu kufa atajuwaje
Huo wimbo wetu wa kkkt wenye kiitikio mbinguni huwa una majonzi sana kwakweli 😢😢😢😢
Wa Muyenjwa
Pole sana blue boy
😢😢😢😢😢😢😢 mungu akutangulie katika kazi yako milad 🎉🎉🎉🎉🎉
Pole San kaka
Mirad amenenepa Sana pia anakiri anajibu ki akiri
kumbe milad yuko clouds pya ndio mara nying simuoni site moja kwa moja
Kifo hakina huruma
Kama anamachp kengeza ivi😊
Poleni sana
Jamani❤🙏
Jamaa ameshasema millad ayo ndo mtangazaj bora haina pingamiz
swali la Vidox, kuwa mafanikio ameyafikia, swali la kindezi ... Halina kiwango
😢😢
Pole sana clouds
Hii ni uongo
Mbona sielewi milard ni mtangazaji wa ayo tv ama clouds ama zinahusiana aje
Ameajiliwa clouds ila ayo tv ni Mali yke
Ni mtangazaji pia wa clouds lkn ni mmlik wa Milaedayo
Kwahy hapo wanamuhoj bos wao
@@kakaaignas3675 ndio
Kote kote yupo na anakipaji pia mpore sana
Brother pole sana bt mngesema kabla hajafa😢
Hajawahi kuhojiwa ila huenda watu wa karibu wanajua
hiyo interview is not for G habash ni kwa ajili ya unayesikiliza, kifo cha mtu huwa ni funzo kwa watu aliowaacha! kunachosimuliwa ni kile alichokipanda akiwa hai myoyon mwa watu
😢
Kweli hujafa hujasifiwa wahenga walisema
😟😟😟😟😟
👏👏👏👏
2004??.?😂
@halimasaidhamis subili ufe
😢