Amen inuliwa sana nabii mkuu nakupendaga tu baba na nahasi faraja kubwa ninapo angalia video zako, baba nibariki ktk biashara yangu ya mkaa tar 1 hii jumanne hii mwezi wa kumi na moja
Watanzania watambue kuwa ni watu wacheche mno ambao ni viongozi wa dini ambao wana moyo wa utoaji kwa watu pasipo kubagua. Baba wa watu huyu Geodave hana makuu na amesaidia na anaendelea kusaidia watu wakati wote. Mimi ni Mkatoriki lakini kila napo mfuatilia katika mafundisho yake najifunza kuwa anahubiri watu wafanikiwe na kumtegemea Mungu wakati wote. Big up sana mtumishi wa Mungu. Shalom Shalom kutoka Kilombero, Morogoro Tanzania.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu. Mungu wa mbinguni aendelee kukupigania na kukupa nguvu wakati wote. Natamani sana siku moja nipate wasaha wa kufika kwenye kanisa lako nami nipokee baraka za Mungu kupitia wewe kiongozi.
Wala usisumbuke kugeukia camera huyo ni mtu aliye fanikiwa kimwili kiroho na kiakili ndo maana akaitwa mh nabii mkuu Dr geordavie 💋💋💋💋💋 I love you dady although sijawahi kanyaga ngurumo
Baraka za Mungu wa Ibrahim zidumu milele kwako baba Joe Davie,moyo wako huo na roho ya utoaji iwe ndani yangu daima,nimekataa wewe sio Freemason wewe ni mtumishi halisi wa Mungu wa mbinguni.....Unateka ufalme wa Mungu kwa utoaji sijapata ona mtu mwenyewe moyo Kama wako.....
Mungu ambariki sana nabii geodavie kwa kutoa misaada yake mingi sanaaaa kwa viumbe wa aina zote mungu amfungulie milango ya ridhiki palipopungua mungu akuongezee wewe ni nabii wa pekee hao wengine ni mafremason waumini wao wanawafanya chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao
Mungu akuinue sana sana sana Nabii Mkuu ni maombi yangu kwa Allla Mungu akufanye Tajiri namba moja Duniani kwa sababu una Sifa ya kuwa Tajiri Wewe ni Rais Wetu ktk Ufalme wa Mungu hakika hakika hakika hakika
Napokea napokeea unabii toka kwako baba ,,,kweli baba tuambie waimbaji naomba mungu anisaidie niweze kanyaga madhabahu ya ngurumo ya upako ,,,,yesu yupo Na anatenda .... Ehhhh yesu ulivyotenda kwa waimbaji wengine ukatende Na kwangu ehhhh yesu .....tenda mungu wa geordavie ....Mimi Na familia yangu tunakukubali baba
àsante sana Baba Baba ,Baba umeonge kweli Baba yangu umesema kweli sana San tunapata tabu sana Baba namna yakutoka kila mtu anajipambania mwenyewe alafu tunajikuta hatuwezi maana hatuna nguvu wenyewe hatuwezi tunashidwa alafu hatupendani huo ndoo ukweli mtu hatamani mwenzie atoke au amzidi anataka abaki yeye Kama yeye daaa mhaaa BABA MSAADA wako ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimeeaza kufwatilia baada ya kuwasikia hao mkali wenu jalibu na kumwita diamond na harmonize na alikiba bila kubagua wewe ni mtumishi wa MUNGU watapata watu wengine zaidi ata injee ya inchi wanamo julikana zaidi ili watu wakujue kupitia nguvu ya MUNGU
Nakuomba Nabii mkuu uniombee nipate kufunguliwa njia katika maisha yangu nikiwa huku Mozambique ,Sina jinsi Niko mbali Sana maisha yangu bado ni tatizo
Hogera Nabii mukuu kwa kweli unasapoti kazi ya mungu sana. Kwa wale ambao hawakujui
Amen inuliwa sana nabii mkuu nakupendaga tu baba na nahasi faraja kubwa ninapo angalia video zako, baba nibariki ktk biashara yangu ya mkaa tar 1 hii jumanne hii mwezi wa kumi na moja
Baba niombee Mungu anibalishie maisha yawe mazuri niweze kupata eneo na kujenga nyumba nzuri ya kifahari
Asante tunakushukuru nabii mkuu mtu wa Mungu mwenye utawala wa nguvu ya Mungu na utawala wa mali.Wonderful dady🙏🙏🙏
Mungu yupi?
Watanzania watambue kuwa ni watu wacheche mno ambao ni viongozi wa dini ambao wana moyo wa utoaji kwa watu pasipo kubagua. Baba wa watu huyu Geodave hana makuu na amesaidia na anaendelea kusaidia watu wakati wote. Mimi ni Mkatoriki lakini kila napo mfuatilia katika mafundisho yake najifunza kuwa anahubiri watu wafanikiwe na kumtegemea Mungu wakati wote. Big up sana mtumishi wa Mungu. Shalom Shalom kutoka Kilombero, Morogoro Tanzania.
Napokea napokea tamko toka kwa Dr geordavie yesu oyeeeeeeeeee
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu. Mungu wa mbinguni aendelee kukupigania na kukupa nguvu wakati wote. Natamani sana siku moja nipate wasaha wa kufika kwenye kanisa lako nami nipokee baraka za Mungu kupitia wewe kiongozi.
Amen amen ubalikiwe,mtumishi wamungu,namimi naomba kufunguliwa kwa jina la yesu.
Mungu akubariki zaidi Mtumishi wa Mungu,kwa kazi nzuri unayoifanya hapa nchini,imekua msaada kwa wengi hakika
Wala usisumbuke kugeukia camera huyo ni mtu aliye fanikiwa kimwili kiroho na kiakili ndo maana akaitwa mh nabii mkuu Dr geordavie 💋💋💋💋💋 I love you dady although sijawahi kanyaga ngurumo
Baraka za Mungu wa Ibrahim zidumu milele kwako baba Joe Davie,moyo wako huo na roho ya utoaji iwe ndani yangu daima,nimekataa wewe sio Freemason wewe ni mtumishi halisi wa Mungu wa mbinguni.....Unateka ufalme wa Mungu kwa utoaji sijapata ona mtu mwenyewe moyo Kama wako.....
Ahsante mtumishi yaani najisikia amani uwepo wako baba watanzania wenzangu tujifunze kushuru watu wanaojitoa kwaajili yetu
Mungu ambariki sana nabii geodavie kwa kutoa misaada yake mingi sanaaaa kwa viumbe wa aina zote mungu amfungulie milango ya ridhiki palipopungua mungu akuongezee wewe ni nabii wa pekee hao wengine ni mafremason waumini wao wanawafanya chuma ulete na wajinga ndiyo waliwao
Mungu akuinue sana sana sana Nabii Mkuu ni maombi yangu kwa Allla Mungu akufanye Tajiri namba moja Duniani kwa sababu una Sifa ya kuwa Tajiri Wewe ni Rais Wetu ktk Ufalme wa Mungu hakika hakika hakika hakika
Napokea napokeea unabii toka kwako baba ,,,kweli baba tuambie waimbaji naomba mungu anisaidie niweze kanyaga madhabahu ya ngurumo ya upako ,,,,yesu yupo Na anatenda ....
Ehhhh yesu ulivyotenda kwa waimbaji wengine ukatende Na kwangu ehhhh yesu .....tenda mungu wa geordavie ....Mimi Na familia yangu tunakukubali baba
Mungu Azid kukupa uwezo mkubwa Nabiii nakuamin na ninakupendaa Baba,🙏🙏
àsante sana Baba
Baba ,Baba umeonge kweli Baba yangu umesema kweli sana San tunapata tabu sana Baba namna yakutoka kila mtu anajipambania mwenyewe alafu tunajikuta hatuwezi maana hatuna nguvu wenyewe hatuwezi tunashidwa alafu hatupendani huo ndoo ukweli mtu hatamani mwenzie atoke au amzidi anataka abaki yeye Kama yeye daaa mhaaa BABA MSAADA wako ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu wa nabii mkuu ni mungu wa matendo.mungu akuongezee pale ulipotoa.
Nabii mkuu Mimi nilekodi CD za nyimbo za injili tangu 2009 nikawa naiimba lakini siuzi kabida
Ameen Nabii mkuu
Geor Davie ni level nyingine
Kwelii Mzee kwa kutowa upo vizuri jamani cjawahi ona mimi uyu na bii nixhida sanaaaa
Hichi nikutuo cha watoto yatima sio kanisa mana hapa watu wanafata pesa sio kumuomba mungu
Huyujamaa nijiraniyangu Arusha,anapesa yakufamtu
Hongera nabiii una roho nzur sana
Baba naomba unikumbuke na Mimi , kweli baba wazazi walokuzaa wanajivunia mno.
Courage ♥️♥️♥️
Be Blessed Daddy Prophet Nabii Mkuu
Kutoa nimoyo siutajiri Mungu azidi kukulinda nabii
Baba uishi milele hakika umekua msahada mkubwa sana kwa Taifa hili la Tanzania na nchi zengine ....
True True Daddy Nabii Mkuu
Glory Glory Glory Hallelujah
Sasa sasa kabisa tuwe na mfumo moja
Nabii mkuu hongela sana
Glory to Jehovah shalom
Jaman mm naomba namba ya nabii mkuu mm mchungaji mnisaidie
Kweli!
Nabii mkuu juu Sana daima
Yeeeeeeeeeeeeees indeed
Tunaye nanii Ibrahim tz
Hallelujah
Shidayangu nambayako mimi
Itasaidi kufiwa hata waimbaji wadogo
True True True Trueeeeeee
Lakini yesu kristo ndiye mkuu
Nimeeaza kufwatilia baada ya kuwasikia hao mkali wenu jalibu na kumwita diamond na harmonize na alikiba bila kubagua wewe ni mtumishi wa MUNGU watapata watu wengine zaidi ata injee ya inchi wanamo julikana zaidi ili watu wakujue kupitia nguvu ya MUNGU
God is good all the time
asante mungu kwakutupa nabii wakweli Tanzania nikumbuke na mimi baba
Haleluyaaaaaaaaa
Niko Mozambique nakupata mkuu wa manabii
Nakuomba Nabii mkuu uniombee nipate kufunguliwa njia katika maisha yangu nikiwa huku Mozambique ,Sina jinsi Niko mbali Sana maisha yangu bado ni tatizo
Zumaridi
Mil kumi kupata mchezo hata kuongea huwez maans hujaamin kupata
Ukanitamkua neno ndiyo nikaanza kuuza inamaana nisingefika ngulumo ninekua siuzi mpaka leo
🔥
Àmina baba
Wewe ni mungu wa pili
MUNGU hafananishwi unakufuru
Chunga sana Mungu ni moja ni Mungu muumba hafananishui na yoyote ama lolote
Akili nusu
Nimepokea ushauli nabii mkuu
Mchungaji anayetoa Hela kwa watu wenye uhitaji aisee huyu mchungaji kiboko
pm
Na mm mwimbaji mnishike na mm niko morgoro
Tubuni kwakuw ufalme wa mbinguni umekaribia,
Uliponukalibisha kuimbwa kwenye uzinduzi wa ledio
Honqera amosi kwaijasiri ulionao