KIVUMBI KWA MAJINI YANAYOWAINGIA WATU KUPITIA NDOTO, NABII MKUU AYATOA KWA MPIGO - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2020
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Mimi sitasahau siku nilifika Ngurumo ya upako 18.05.10 siku ya jumanne kila kitu kilifungunga asante sana baba nabi mkuu
Josephat mzima
@@arrfamush3285 nipo mzima kabisa %200
Nimejiunganisha kupokea kwa jina layesu mapepo kwa heri iwee kwangu na family's yetu tumepokea Amen
Ameeen, najiunganisha na madhabahu hi👈nimepokea kwa jina la Yesu👍
Amelitaja jina Yesu nimelisikia pia
Eee mungu nimekuwa nakusikiliza sana naomba mungu nipe nauli nifike nikuone baba walau nipone mimi
Amina najiunga nawee kupitia familia yangu na mtoto wangu Aamini Atapona
Mtumishi sharooo sharooo kwamajina naitwa asteria mericho omary modem nimzaliwa wa kilolo naitJ no mtumishi geodiver nahitaj na maombi asante mungu akubalik san utakayo isoma mesej yangu
Yea. He is a great man of God indeed. A Ministry spanning many decades in miracles and wonders.
Amin
Àsante sana Baba kwa uponyaji
Amen amen
Mungu akubariki baba kwa kazi nzuri namba
Najiunganisha pia in Jesus name ondoka kwng
Great job man of God kweli
Amen mungu afunguwe maisha yangu
Powerful Anointing miracles
Safi Sana.
Natamani kuja tanzania hatakama sijawai kuja Mungu Anipe nguva
nimepona kwa jina LA yesu
Amen daddy
Niko mmoja wapi na amini nimepona katika jina la Yesu amina
Hakunaga kukanyaga mafuta hapa bali ni neno moja tu kwa jina la Yesu funguka amina your the real man of God be blessed
Hi nisaidie kujua kwenye naeza muona niko Machakos
Amen napokea uponyanyi katika jiana la yesu
Nimepokea kibali chakwenda nyumbani tanzania 🙏🙏🙏🙏
Nifungue nami Nabii
amen mapepo pita mbali mim mwana wa nabii mkuu
Baba Asante sana kwa kudumu muwafungua/kutufungua watu wako
I Trust in Your Anointing.
Nimepokea kwajina la Yesu
Amina ahsante sana babaangu
Salute you Daddy
Kwa wale Hater's Ambao wanasema jina la yesu halitaji now you're Quite tafuteni reasons zingine but the time will tell the truth if this is a true servant of God
mm namfuatiliaga sana sijawahi sikia akitaja jina la Yesu kwa ukweli lazima tuseme miujiza haitubabaishi lakini anaifanya kwa mamlaka ipi??? ata shetani ana miujiaza upoòooo
@Glory Nguma Tatizo la watu wengi sasa hivi wanapenda sana kujudge bila hata kumfutilia mtu na biblia inasema usihukumu ili nawe ukahukumiwa
@@mwana3887 emu nitoke hapa usijui umenitokea wapi hamtaki kuambiwa ukweli ukiambiwa ukweli mnapanic mtaka mdanganywe mpaka akili zenu zimekuwa mgando lini Huyo nabii wenu umemsikia akiombea kwa jina Yesu alisema mtatoa pepo kwa jina langu na yyte atakaniamini atafanya kazi kama ninazifanya mm tena kwa zaidi ya hizi" unalijua Neno.ww unafuata tu mkumbo hapo amesema asante full.stop.lakin kwenye kuombea hatumiag jina la Yesu kama umekubali kudanganyika ni ww na upumbavu wako usitulazimishe kumuamini hata shetani ana miujiza bado sijaona cha ajabu anachokifanya!!!
Umewah kuona mtu amepagawa na pepo? Pepo husema nataka kumuua, nataka asifanikiwe..nataka asizae...lakin tunachosikia ni sauti ya mtu na tunaona mdomo wa mtu...,...kwahyo tunajifunza kuwa mtu akiwepo rohoni ata kama tunasikia saut ake na kuona mdomo wake ila anayeongea si yeye ni ile Roho, Roho mtakatifu ni Mungu, akiwepo ktk utendaj ni Mungu independently, So Mtu wa Mungu akishaingia rohoni Anachotamka yeye ni Roho mtakatifu ametamka, ukishaijua shule hiyo haitakupa tabu, Yesu mwenyewe alikiri ametumwa na Baba wa Mbinguni, pita kote ktk biblia saa aliyokuwa akiwafungua watu, saa aliyokuwa akiwasiliana na baba yake na kuliita jina la baba yake ni mliman ktk maomb, alipokuwa ktk huduma alikuwa anatamka tu na wayahud walipomsumbua kuwa anatoa pepo kwa belzebuli yeye aliwaambia waz nafanya haya kwa Roho mtakatifu. Mi nazan kama hutujaelewa level hii , tukubal kujifunza kwanza kabla ya kukosoa tusije kuwa kama wayahudi wakat wa Yesu, 7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
Yohana 14:7
8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
Yohana 14:8
9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
Yohana 14:9
10 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
Yohana 14:10
11 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.
Yohana 14:11
12 Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.
Yohana 14:12
Jamani mi namfatilia Sana jina la Yesu na lisikia Sana tu
Nakupenda baba
Amen baba
Amen Amen
You are great man.
OMG I can't hold my tears
God bless me Amen
Ameen
Mungu azidi kuku inua baba
Amen 🙏 Amen
Nakuomba baba Na Mimi Unisaidiye Niko mbali Lakini na wafata kira mala
Amen
Amen 🙏🏿🙏🏾
I connect
the day is come when GOD himself will raise servants who will not exalt themselves but will exalt the son and the father alone'
Hapo panaitaji uelewa mkubwa sana Mungai Kimani. Kumbuka kazi zote hufanywa na Roho mtakatifu, Roho mtakatifu ni Mungu, akiwepo katika utendaj wake anafanya kazi zake independently kwa Kuwa ni Mungu. Hebu chukua mfano mtu aliyepagawa na pepo alafu tunamsikia anasema , mimi ntamuua huyu, nataka kumuua.....Swal? Je anayeongea ni yule muhusika au ni pepo lililomo ndan yake, ikiwa kwa mfano huo mdogo, je mtu wa Mungu akiwa katika Roho akatamka NAKUFUNGUA, ni yeye au ni Roho aliyepo ndani yake? 7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
Yohana 14:7
8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
Yohana 14:8
9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
Yohana 14:9
10 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
Yohana 14:10
11 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.
Yohana 14:11
12 Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.
Yohana 14:12
7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
Yohana 14:7
8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
Yohana 14:8
9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?
Yohana 14:9
10 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
Yohana 14:10
11 Mnisadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.
Yohana 14:11
12 Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.
Yohana 14:12
@Kaka Nicodemus BRILIANT💪💪👍👍👍👏👏👏 ANSWERS WATAELEWA TUU NI SUALA LA MUDA KWA SABABU WATU WAMEKAA SANA KWENYE MAKANISA HAYA AMBAYO MANABII HAWAPO KWA HIYO WATAJIFUNZA TARATIBU MPAKA WATAUJUA UKWELI KAMA WANA NIA YA KWELI NA NJEMA YA KUMJUA MUNGU
🙏🙏🙏👏👏👏
Nahitaj md
Waumini nipeni direction nikamuone BABA
Nafunguluwa na Mimi kwa jina layesu
Saanteee baba
Nabii huyu Wapi anapatikana
Muvi zinaendelelea
Siku ukikutana na huyu mtumishi usisau pia kusema ni movi yani unadhubtu kusema kazi ya Mungu ni move du
Kama ni muvi pia wewe unaweza ukatengeneza muvi fanya muvi kama hizi kama 10 alafu ukifanikiwa kushawishi watu na kuwakusanya wafikie kama umati kama huu nami ntakuunga mkono kuwa kweli hii ni muvi
Ili kupata maelekezo Juu ya Huduma Ya Ngurumo Ya Upako piga simu namba; +255784315191 au +255754315191 au +255715315191
Tunaomba muwe mnaweka namba tuliombal tuweze kupata huduma na sisi😭😭
Namba si ziko apo juu
Amen Baba
Baba naumwa mguu,nisaidie,naniko mbali,napokea katika jina LA yesu
Hakika ningemwona mtumishi wa MUNGU Geodavie
Naomba maelekezo huduma zinapatika wapi naamini ntapona
Arusha kisongo
Ili kupata maelekezo Juu ya Huduma Ya Ngurumo Ya Upako piga simu namba; +255784315191 au +255754315191 au +255715315191
@@rmmedia3288 hakuna mafuta ya upako hapo Kuna jambo
Natamani nifike uko nipate mgurumo wa upako
Kwani kwenyeili kanisa hakunaga yesu mbona sisikiagi kuomba kaz mnayo
Kma ww ujaskia akitaja me nmeskia
Amina Rumanyika mm ni muislam lkn nimemuelewa sana huyu baba hataji jina la yesu kwa sababu ni binadam km yy Na ndomaana anataja sana jina la mungu Na si yesu Na ndio maana tunaambiwa kila Jambo mtegemee mungu
@@salmagungurugwa6854 YESU siyo mwanada atakidogo sima analiogopa kwasababu linatisha ukilitaja mapepo yanatoloka
Rumanyika usiteseke tuachie huu mzigo but kama unaamini bible soma 14:12
Natamani kufika hapo kasongo hemani
Karibu sana piga namba 0784315191/ 0754315191/0715315191 kwa maelezo zaidi
Wanaongea vibaya juu yko mungu wa mbinguni awasamehe Nabii
Nina shida ninaomba kuongea na nabii mkuu
🙄🙄Mmh nataka nikufungue siyo yesu amfungue ,,,,,,,,,,,,,,aya bwana,
Haaaa haaaa mpaka rucifer anaelewa mamlaka niliyonayo mmmmm
Petro alimwambia mtu unataka nikufanyie nin sio unataka yesu akufanyie nn,,hapo petro anatambua mamlaka yake kwa hyo mkosoe pia na petro
Amen Amen
Amen daddy
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen Amen