Wewe huna hela na nimchoyo nabii mkuu mimi namkubali hana rohombaya kama wachungaji wengine yeye anaamini akitoa ataongezewa kama unachukua bukubuku ni wewe acha roho mbaya wewe wivu tu mimi nampa 5 mzee Geodevi hongera sana
We ni mchungaji wa wapi maana atukuelewi kabisa Ngurumo ya upako anasaidia watu wote wanao fika pale naona unatafuta kiki umeanzia kwa mama yetu samia embu kaa kwa kutulia fika kwa Ngurumo na ww uombewe upone
Sasa Mimi MTU anaeniponda nimpeleke wapi mim namsaidia yule anaenisifia maana ananitia moyo ili nisonge mbele zaidi kwahyo ukisifiwa sifika na wew uonyeshe msaada kwa aliekusfia mbn maandko yako wazi mpeni sifa mtu anaestahili sifa
Hivi watumishi wa Mungu wakubwa tanzania mko wapiii??????mnashindwaje kumkemea huyu geodavi anapotosha watu namna hii!! Mtahukumiwa kwa uwoga wenu kukemea maovu.
Maisha nje na uislamu ni shida sana namshukuru mungu kuniongoza kwenye njia ya haki uislamu embu ndugu zangu mliopo bado kwenye ukristo sio kwa ubaya embu usomeni uislamu japo kidogo tu sio hata kuingia uislamu ila kupata kilichopo ndani ya uislamu kuna vitu vingi mtavijua
Mmungu kakupenda ibrahim pekee anaonyesha uislam ndio alie uleta kwa kuvunja masanam na kujenga alkaba leo ndio mji mkuu je bilal ndio muadhini wa kwanza ni Muafrica meusi hao wazungu hawana mana bee wote ni wa mashariki wa kati na isa ni na bee wa Allah wametokana na ibrahim uislam ndio dini ya mitume woteeeee
Pambana na Hali yako baba,huyo unashindana nae katoka mbali,huwezi kushinana na neema iliyo juu yake,,hata Yesu alipompokea kahaba Yule kuigusa miguu yake alionekana sio wa kiroho.acha kukosoa wengine Jenga mnara wako
wewe kama hauna hela pambana na haliyako mzee acha neno lake lizidi kufika mbali kama unazo hela saidia watu tatizo hakili imesha filisika tafuta hela tafuta helaaa 🤩🤩🤩🤩
Hakuna jipya Mwanzo mlimshindwa Kwa kumsingisia mambo ya uongo mara freemason,mara anavinyoka,mara anaenda Nigeria kuchukua nguvu, sasa hivi ni kuvunja ndoa ya mtu .Ukichunguza vizuri Utagundua kuwa ni uadui binafsi au wivu kutokana na Hawa wachungaji kutokua na alichonacho huyu nabii(mafanikio +Nguvu ya Mungu)
UISLAMU HAUCHEZEWI HIVI KIJINGA KIJINGA.... wenzetu wana msimamo na IMANI YAO. Ingefanyika kwenye Uislamu, viongozi wa dini ya Kiislamu wangemwita na kumuhoji, na kumkataza MARA MOJA.
Iko hivi ;ktk vitu ni tishio ktk ulimwengu wa giza ni watumishi wa Mungu waliosimama vizuri na kazi ya Mungu dini zote hasa wale wakubwa wa hizo dini wanajua ukilitaja jina la Yesu kwenye ulimwengu wa Roho ni hatari sana ndio maana kuzimu inapambana kuhakikisha wanawaangusha , Biblia imetuonya nyakati za mwisho zitakuwa za hatari watatokea manabii wa uongo , ko iluminat freemason na vyama vingi vya siri huwa wanatuma ma agent kwenda makanisa ya hao watumishi kuna namna usipokuwa vizuri na roho mt utatekwa maana ma agent hao huwa ni watoaji wazuri wa sadaka wakisha kuteka utajikita hauwezi kuhubiri tena kweli ya Mungu maana ndani yao uko mfumo umeingizwa kwa kutokufuata maelekezo ya roho mt, so baada ya kuwateka watumishi hao watakuwa na mvuto na watu wengi wataenda kusali hapo wakishaona wengi wameangukia kwa mikono ya hao manabii wanaanza kuonesha makucha yao ya uovu wa huyo mtumishi ambayo hafanyi kwa utashi wake na sasa watu wengi kukata tamaa ya kusali lkn neno linasema tuzipime hizo roho
Tafuta njia yako yakupafa hela kuhusu kumuongelea mwenzako upatikanaji wake hela huo ni uchinga tafuta ya kwako sio kila tajiri amepata utajiri wake kihalali waulize hao matajiri, acha kumchafua mwenzako ilihali wewe mwenyewe hujijui kama ni msafi, acheni kuwachanganya waumini,
Wafuatilieni kwenye u tube watu kama ahmed deedant khalid yasin yusuf esten na zakir naziz kweli mtajifunza mambo mengi sana tatizo ni elimu nilichojifunza kwa uislamu ni kwamba watu wanapewa elimu kwanza then kuamini baadae upande mwingine watu wanapewa imani tu elimu silazima kuna shida na kusomewa biblia utamaduni wa kusoma biblia wenyewe ni shida
Una safari ndefu sana. Kila mmoja ana uhuru wa kuabudu anachoamini na kila mtu ana akili zake ktk kuamini.. Fainali ni huko mbele za Mungu aliyetuumba kwamba ni ukristo au uislamu utamfikisha mtu ama la maandiko ya vitabu vyote yanaeleweka kama kuna anayesubiri kusomewa au kutafsiriwa ni upoyoyo wake.
Jifunzeni zaidi maana ya freemason na msijifunze kishabiki, hivyo Kun makundi kwenye jamii Yana malengo kwa macho ya nyama ni mazuri lakini kwa macho ya ndani ni mabaya na hayo makundi yametapakaa kwenye jamii duniani kwa njia ya dini
Uchawa mbaya Sana! Yaan hata hao unaowahubiria wanakushangaa! Cjui Mungu gan unayemtukuza na kulazimisha watu kupiga makofi! Yaan hata wivu unao, na ww waambie waumini wako wakuchore! Kwan tatuu Ina shida gan? Mahaba kwa akili yako ya uzinzi umelenga kwenye ukahaba! Subir na ww usifiwe ndipo utowe
Mfamo injili ya luka 1 :1 ukisoma utaona ninachokisema luka anasema watu wametunga kwa taratibu naye anasema amejitafutia usahihi na yeye akatunga kwa utararibu quran sivyo hivyo kila mara mtume muhammad anapo waletea watu aya za mungu ananza kwa kusema mfano Sema mungu ni mmoja kwa elimu unaelewa kuna maagizo anapewa kuwambia watu sasa huyo anayemsemeza ni malaika jibril
Nakuambia wewe uliyehamia huko hukulijua Neno ndio maana ulihama. Yesu ndiye njia kweli na uzima. Mtu yoyote hawezi kuurithi uzima wa milele asipomwamini huyu Mfalme wa Wafalme. Yesu wa Nazareti. madhaifu, uovu wa baadhi ya watu ktk Ukristo haubadili kweli kwamba Yesu Krsto ni njia.
HUYU MAMA NI DANGA HANA NDOA ...HATA MUME ALIYEKUWA NAYE SIYO YAKE NA HATA HUYO MWENYE MAHABA SIYO WAKE...HATA MWANAUME ALIYEZAA WATOTO WATATU NAYE SIYO WAKE.....SO HUYU MAMA MWEUPE NI DANGA....MDANGAJI
Najua kuna watu watapuuza ninayoyasema ila ni ushauri tu natoa maana kina aya ndani ya quran mungu anasema ewe mtume muhammad utawapelekea watu aya zetu baadhi watakata na kukuambia sisi tunafwata tuliyowakuta baba zetu wakifwata mungu akasema kama baba zao walikuwa kwenye njia ya upotofu na wao watakubali kupotea hii aya inamana kubwa sana sana
Huna hela ndio maana unaongea ujinga maik yenyewe unayo tumia ni elfu 50000 nahilo nikwavile huna hela na utakuwaje na hela nawakat waumini wenyewe niwakuhesabu
Na kingine lazma tujue biblia na quran ni vitabu vya mungu au watu wameandika kwa maono yao mfano quran ni ufunuo au wahai aliteremshiwa mtume muhammad na malaika jibril au Gabriel kutoka kwa mwenyezi mungu sio maneno ya mwanadamu hapana ni revelation kutoka kwa mungu
Si kweli kuna ushuhuda wa dada mmoja alikuwa muisilamu alifunuliwa na Yesu Kristo kuhusu uisilamu na jinsi shetani alivyo mpa Ufunuo wa quran Muhammad na sehemu aliyopewa na alifunuliwa na maji ya zamuzamu yanatokana na kinyonga mkubwa ambaye ni pepo na pale wanapopaita kaba mle ndani mnajoka ambaye ni shetani ,mnadanganywa tu ukitaka huo ushuhuda nakutumia kama unataka kujua zaidi
😀😀😁😁😁😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama kweli mnaye Mungu nyie mnaojiita watumishi WA kweli SASA si mkamuombe Mungu awafutilie mbali hao mnaosema ni waongo au Mungu wenu hawezi?? Mnatueleza sisi tufanyeje??
Wewe kama waumini WAKO nimasikin usfananishe na mtumishi wa Mungu wewe unawafundisha waumini WAKO kutoa 1000 Yani wewe kwako hakuna asubuhi unahukumu anatoa wapi Hela kwasababu Mungu WAKO niwa 1000 wenzio Mungu wao ni bilionea anawapa kama apendavyo we MZEE VIpi kama umeishiwa hekima uombe mtumishi huyo mtumishi nimtoaji ndiyomaana hapungukiwi kwa kadri anavyotoa ndivyoanavyoongezeka wevip kama yamwilin yanakushinda utayajulia wap yaRohon
Mzee sikiliza mtu yoyote aliesimama kwenye misingi ya utoaji wewe usijifananishe nae utakwama kwa sanabu mwanzilishi wa kutoa ni Mungu huyu mtumishi Yuko ndan mwake sikwamba ni akili yake Ili asifiwe na watu kama unavofikiri mzeee jifunze kusapot jambo jema alofanya mtumishi mwenzako Kisha kama kunajambo lakukosoa lifate umejaa wivu na fitina hata hujui unachokiongea
Uyu mchungaji hana akili kabisa. Hubiri habari njema watu waokolewe acha kupitia milango ya watu. Wewe ni mtumishi wa Mungu, fanya kazi yako, vyanzo vya mtu vya mapato wew havikuhusu mtumishi.😂
Tafsiri ndio tatizo.tuache wivu.kila mtu na yake.kupendwa ndio shida au kuna jambo lingine?.tusiharibu waumini kwa kupiga wengine kiwango chako sio cha mwingine tuache wivu
we sema hutoi sababu huna na kama unazo bas uchoyo nao unachangia... Wahenga walisema pilipili usio ila inakuwasha nn.. Fanya kazi ulioitiwa kufanya kama hujaitwa mashamba n mengi mzee nenda kalime hata bangi maana inalipa... Hata mm napenda kanisa linalogawa hela sio kila siku michango tuuuuuuuuu.. Bora nitoe sadaka hata laki moja ila ckumoja napata zaidi
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Global online hovyo sana
Huyu Mchungaji ni mtu makini sana...
Asante pastor senny Kwa kusimama na kuongea ..u are a man of God
Inallillah wainaillahi rajioun polen snaa hu ndo ule utaubeba msalaba wako alhamdullillah I'm proud to be a Muslim alhamdullillah allihamdullillah
Your point is what do you mean??
@@personpeter2221 u don't gerrrrt forget about it......period
Whether you are proud of it or not! Who cares! Keep it for you. No one has right to interfere somebody's freedom to what concerns Faith.
Wewe huna hela na nimchoyo nabii mkuu mimi namkubali hana rohombaya kama wachungaji wengine yeye anaamini akitoa ataongezewa kama unachukua bukubuku ni wewe acha roho mbaya wewe wivu tu mimi nampa 5 mzee Geodevi hongera sana
Nakubaliana nawe mtumishi.
Hyu mchungaji saf san! Una roho ya mungu ndan yako ubarikiwe
Ameni
Lazima mungu aonyeshe manabii waungo tuliona live
We ni mchungaji wa wapi maana atukuelewi kabisa Ngurumo ya upako anasaidia watu wote wanao fika pale naona unatafuta kiki umeanzia kwa mama yetu samia embu kaa kwa kutulia fika kwa Ngurumo na ww uombewe upone
Sasa Mimi MTU anaeniponda nimpeleke wapi mim namsaidia yule anaenisifia maana ananitia moyo ili nisonge mbele zaidi kwahyo ukisifiwa sifika na wew uonyeshe msaada kwa aliekusfia mbn maandko yako wazi mpeni sifa mtu anaestahili sifa
Nampenda GeorDavir sana
Unampenda kwa faida zako tu
Nimekuelewa mzeee
Uyu mchungaji mupotoshaji mwivu
Hapana huo ndio ukweli Bali watu hawafatilii bible vizuri
Hivi watumishi wa Mungu wakubwa tanzania mko wapiii??????mnashindwaje kumkemea huyu geodavi anapotosha watu namna hii!! Mtahukumiwa kwa uwoga wenu kukemea maovu.
🤝🙏
Huu NDO ukweli Ila MUNGU ATUSAIDIE
Mmmm sina chakuongea Mungu wangu
Ulikoanzia sio,😳labda ulikomalizia
Nakuunga mkoko kabisaa
Dah huwaga sielewagi kabisa, Nchi haikuwa katika hali nzuri
Huna hela ndio maana huwezi kutoa pesa
Kweli Kabisa Maneno Yako Dunia Hii Tunaona Mengi Na Haya Makanisa Mungu Tusamehe Makosa Yetu.🤲🙏
Wote ni makahaba ingekuwa ni Kyle kwetu uarabuni wangepigwa mawe kufa
Wateule tuwe macho hizi ni siku za mwisho tumtafute Mungu sana wapendwa
@@sebonikegobi6244 Sio kwa haya Hata Nyumbani Ukisali Peke yako Mungu Anakusikia Zaidi ya Makanisa Kama Haya🤦🏾
Maisha nje na uislamu ni shida sana namshukuru mungu kuniongoza kwenye njia ya haki uislamu embu ndugu zangu mliopo bado kwenye ukristo sio kwa ubaya embu usomeni uislamu japo kidogo tu sio hata kuingia uislamu ila kupata kilichopo ndani ya uislamu kuna vitu vingi mtavijua
Hebu tuambie niwapi tupasome kwenye quran?au niwapi wakristo wanakosea tukuelewe
Uslamu pia Kuna uongo mwingi. Fatialia kwenye you tube jina Christian price uone anavyofundisha uijue islamu ya kweli.
Mmungu kakupenda ibrahim pekee anaonyesha uislam ndio alie uleta kwa kuvunja masanam na kujenga alkaba leo ndio mji mkuu je bilal ndio muadhini wa kwanza ni
Muafrica meusi hao wazungu hawana mana bee wote ni wa mashariki wa kati na isa ni na bee wa Allah wametokana na ibrahim uislam ndio dini ya mitume woteeeee
Uislamu ni njiya ya uongo na dhiki tu
Uwovu na jalous
Amesema kweli ila atachukiwa
Kweli kabisa ni ukahaba
Hubir wew wacha siaza za dini
Acheni unafki unaongea uwazi gan wewe sadukayo nabii Mkuu namba moja Tanzania
Sioni kosa la Nabii Mkuuu, kwanza halikuwa hamjui huyu mama, tuhubur injili jamani. Tusianze kushambulia watu kwenye huduma zao.
Pambana na Hali yako baba,huyo unashindana nae katoka mbali,huwezi kushinana na neema iliyo juu yake,,hata Yesu alipompokea kahaba Yule kuigusa miguu yake alionekana sio wa kiroho.acha kukosoa wengine Jenga mnara wako
wewe kama hauna hela pambana na haliyako mzee acha neno lake lizidi kufika mbali kama unazo hela saidia watu tatizo hakili imesha filisika tafuta hela tafuta helaaa 🤩🤩🤩🤩
Umeongea kweli nakushukuru sana mtumishi wa Mungu.
mafundisho ya uongo walio wengi ndo wanayapenda
Hakuna jipya Mwanzo mlimshindwa Kwa kumsingisia mambo ya uongo mara freemason,mara anavinyoka,mara anaenda Nigeria kuchukua nguvu, sasa hivi ni kuvunja ndoa ya mtu .Ukichunguza vizuri Utagundua kuwa ni uadui binafsi au wivu kutokana na Hawa wachungaji kutokua na alichonacho huyu nabii(mafanikio +Nguvu ya Mungu)
HAO WEZ WA NAFS ZA WATU MUNGU ATAWAFREKELEA MBALI
Halafu watumishi!! Kuweni makini!!
Waandishi wa Tanzania tetu hii wengi wao ni hovyo sana ,,kichwa cha habar kilivyo na habari ilivyo ,
Tusome mambo ya marawi 19:28
UISLAMU HAUCHEZEWI HIVI KIJINGA KIJINGA.... wenzetu wana msimamo na IMANI YAO. Ingefanyika kwenye Uislamu, viongozi wa dini ya Kiislamu wangemwita na kumuhoji, na kumkataza MARA MOJA.
Wivu tuuuuuuuu
Wewe pambana na yako achana na mwenzako wewe huna pesa 😂😂
Utukufu wa mungu
Aaah
Anajizalilisha sana huyu mama aisee alafu mtu mzimaaaaa nyie nyie mange njo hapaa utupe ukwel kuhusu hii kitu
Huyu mchungaji alicho nikela kumsifia mama samia wakati Hali ya nchi tunaiona
watumishi walio wengi njaa ndo zinawasumbua na wivu
Hapo hata Mimi nimeshangaa 😳😳😳😳😳
Dawa zao Zina chemka.. IPO siku wata fichuliwa uovu.
wao..wa kipepo..
Iko hivi ;ktk vitu ni tishio ktk ulimwengu wa giza ni watumishi wa Mungu waliosimama vizuri na kazi ya Mungu dini zote hasa wale wakubwa wa hizo dini wanajua ukilitaja jina la Yesu kwenye ulimwengu wa Roho ni hatari sana ndio maana kuzimu inapambana kuhakikisha wanawaangusha , Biblia imetuonya nyakati za mwisho zitakuwa za hatari watatokea manabii wa uongo , ko iluminat freemason na vyama vingi vya siri huwa wanatuma ma agent kwenda makanisa ya hao watumishi kuna namna usipokuwa vizuri na roho mt utatekwa maana ma agent hao huwa ni watoaji wazuri wa sadaka wakisha kuteka utajikita hauwezi kuhubiri tena kweli ya Mungu maana ndani yao uko mfumo umeingizwa kwa kutokufuata maelekezo ya roho mt, so baada ya kuwateka watumishi hao watakuwa na mvuto na watu wengi wataenda kusali hapo wakishaona wengi wameangukia kwa mikono ya hao manabii wanaanza kuonesha makucha yao ya uovu wa huyo mtumishi ambayo hafanyi kwa utashi wake na sasa watu wengi kukata tamaa ya kusali lkn neno linasema tuzipime hizo roho
Jmn huku tunakula mlo mmoja
KWELI KABISA ET ANAGAWA MAGARI KUNA JAMBO HAPO
Njaa mbaya sana mnaumia nini sasa ... Kama hauna hela tafta pesa
Njaa tu zinamsumbua huyo anenae na wala so mchungaji Ni mchunguliaji so mchungaji
Nimekuelewa mzee wangu
Tafuta njia yako yakupafa hela kuhusu kumuongelea mwenzako upatikanaji wake hela huo ni uchinga tafuta ya kwako sio kila tajiri amepata utajiri wake kihalali waulize hao matajiri, acha kumchafua mwenzako ilihali wewe mwenyewe hujijui kama ni msafi, acheni kuwachanganya waumini,
Wafuatilieni kwenye u tube watu kama ahmed deedant khalid yasin yusuf esten na zakir naziz kweli mtajifunza mambo mengi sana tatizo ni elimu nilichojifunza kwa uislamu ni kwamba watu wanapewa elimu kwanza then kuamini baadae upande mwingine watu wanapewa imani tu elimu silazima kuna shida na kusomewa biblia utamaduni wa kusoma biblia wenyewe ni shida
Una safari ndefu sana. Kila mmoja ana uhuru wa kuabudu anachoamini na kila mtu ana akili zake ktk kuamini..
Fainali ni huko mbele za Mungu aliyetuumba kwamba ni ukristo au uislamu utamfikisha mtu ama la maandiko ya vitabu vyote yanaeleweka kama kuna anayesubiri kusomewa au kutafsiriwa ni upoyoyo wake.
@@annehk8185 mathayo 7:15
We choko unawivu pumbavu ww
Jesus paid it all..and He is the 'only' way😍. Period.
@@aishasarumujuma1606 matusi hayasaidii
Oyaa ee, Mapenzi pesa, hata ukawa na dini kubwa bila pesa, mapepo yatakudharau. mwacheni nabii mkuu awezeshe watu.
Hubiri neno litawaweka huru siyo kumwongelea mtu unajichelewesha
Ukweli usemwe etii nabii kiukweli baadhi ya wakubwawetu wanaotuongoza wakristo mnatupeleka pabaya
Jifunzeni zaidi maana ya freemason na msijifunze kishabiki, hivyo Kun makundi kwenye jamii Yana malengo kwa macho ya nyama ni mazuri lakini kwa macho ya ndani ni mabaya na hayo makundi yametapakaa kwenye jamii duniani kwa njia ya dini
Yes Ila MUNGU AFANYE NJIA PASIPO NJIA MAANA watu wa MUNGU wanaangamia
Postor ubiri watu neno la Mungu, acha ku poteza Muda na ma comment ivi aujuwe kama tuna elekeya siku za mwisho?
Uchawa mbaya Sana! Yaan hata hao unaowahubiria wanakushangaa! Cjui Mungu gan unayemtukuza na kulazimisha watu kupiga makofi! Yaan hata wivu unao, na ww waambie waumini wako wakuchore! Kwan tatuu Ina shida gan? Mahaba kwa akili yako ya uzinzi umelenga kwenye ukahaba! Subir na ww usifiwe ndipo utowe
soma biblia acha kuachama hovyo
MUNGU ATALIPA
Nchi ilikuwa na shidagani wewe mtumishi?
Hapa kaniboa sana yan ,, nae mpuuzi kama wapuuzi wengine tu hadi anaomba kupigiwa makof
Na wewe n mnafiki
Mashimo nae kahamia huko kwa nabii mkuu
Anafuata pesa,maana kaona huko wanagawa sana
Hivi wewe kwahivyo mti mishii Una Akuli Kweli??
Anatoa mkopo
Anatoa mkopo!?
Mfamo injili ya luka 1 :1 ukisoma utaona ninachokisema luka anasema watu wametunga kwa taratibu naye anasema amejitafutia usahihi na yeye akatunga kwa utararibu quran sivyo hivyo kila mara mtume muhammad anapo waletea watu aya za mungu ananza kwa kusema mfano Sema mungu ni mmoja kwa elimu unaelewa kuna maagizo anapewa kuwambia watu sasa huyo anayemsemeza ni malaika jibril
Wewe dumu katika Imani uliyoipokea. Wenye ukristo WETU, tunaomwabudu Mungu ktk roho na kweli mtuache.
Nakuambia wewe uliyehamia huko hukulijua Neno ndio maana ulihama. Yesu ndiye njia kweli na uzima. Mtu yoyote hawezi kuurithi uzima wa milele asipomwamini huyu Mfalme wa Wafalme. Yesu wa Nazareti. madhaifu, uovu wa baadhi ya watu ktk Ukristo haubadili kweli kwamba Yesu Krsto ni njia.
Musiingilie siasa wachungaj
Wewe ni linafiki, huna lolote, njaa tu iliyokufanya uweke Kijiwe hapo wala siyo kanisa hilo, na watakusambaa wote.
Hekima ni ya muhimu sana. Labda hujui Tafsiri ya neno mahaba. Madhabahuni sio pa mizaha. Atubu halafu amber msamaha umma.
HUYU MAMA NI DANGA HANA NDOA ...HATA MUME ALIYEKUWA NAYE SIYO YAKE NA HATA HUYO MWENYE MAHABA SIYO WAKE...HATA MWANAUME ALIYEZAA WATOTO WATATU NAYE SIYO WAKE.....SO HUYU MAMA MWEUPE NI DANGA....MDANGAJI
Hana ndoa nimpango wa kando
Hivi inamaana alitimuliwa kweli ama ni masihara ya watangazaji tuu
Najua kuna watu watapuuza ninayoyasema ila ni ushauri tu natoa maana kina aya ndani ya quran mungu anasema ewe mtume muhammad utawapelekea watu aya zetu baadhi watakata na kukuambia sisi tunafwata tuliyowakuta baba zetu wakifwata mungu akasema kama baba zao walikuwa kwenye njia ya upotofu na wao watakubali kupotea hii aya inamana kubwa sana sana
Umejaa wivu na unafki tu
Manabii wauongo utawajuatu huyo mungu unayemtukuza niyupi labuda umrukuze umevurugwa wewe sio Mungu uwahukumwatu
Manabii wa uongo ivi mungu alikuchagueni muda gn, vitabu vitakatifu vimesema watakuja manabii wa uongo ndo nyinyi nyote
Mathayo 7:15
Huna hela ndio maana unaongea ujinga maik yenyewe unayo tumia ni elfu 50000 nahilo nikwavile huna hela na utakuwaje na hela nawakat waumini wenyewe niwakuhesabu
Huyo Mama taahira Yani anabwata et anapitia mengi mzee wake kamuacha kisa kuchora jina la mwanaume...kahaba huyo
Weupee ndo nn?unwexa kuwa kweupe hafumbaya.
Chanzo cha imani nikusikia ogopa kitu imani unavyoiamini dini yako do ilivyo imani ya mtu mwingine anavyoisamini
Tattoo ni dhambi kwa uwelewa wangu
Tattoo inaleta million tano dah! Nashangaa Mungu wangu fungua watu wako majo ya kiroho
Kwani nyie mnataka nini kwanabii mkuu.nanyie pambaneni na Hari zenu.acheni wivu.mwenzenu anasaidia watu mlitaka afanyeje??? Hovyoooooo.
Na kingine lazma tujue biblia na quran ni vitabu vya mungu au watu wameandika kwa maono yao mfano quran ni ufunuo au wahai aliteremshiwa mtume muhammad na malaika jibril au Gabriel kutoka kwa mwenyezi mungu sio maneno ya mwanadamu hapana ni revelation kutoka kwa mungu
Si kweli kuna ushuhuda wa dada mmoja alikuwa muisilamu alifunuliwa na Yesu Kristo kuhusu uisilamu na jinsi shetani alivyo mpa Ufunuo wa quran Muhammad na sehemu aliyopewa na alifunuliwa na maji ya zamuzamu yanatokana na kinyonga mkubwa ambaye ni pepo na pale wanapopaita kaba mle ndani mnajoka ambaye ni shetani ,mnadanganywa tu ukitaka huo ushuhuda nakutumia kama unataka kujua zaidi
mashalla
Atakuchora tattoo ni dhambi kubwasana
watatambulika kwa matunda yao
😀😀😁😁😁😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama kweli mnaye Mungu nyie mnaojiita watumishi WA kweli SASA si mkamuombe Mungu awafutilie mbali hao mnaosema ni waongo au Mungu wenu hawezi?? Mnatueleza sisi tufanyeje??
Pumbavu zako nchi ilikua sio shwali kivipi nyoko wewe kwendraaa
Acha Mawazo mabaya na ushamba.tafuta maana nzima ya mahaba au kama vp kufa huko na uchoyo na umaskini wako Kwa sababu huna moyo WA kutoa
Wewe kama waumini WAKO nimasikin usfananishe na mtumishi wa Mungu wewe unawafundisha waumini WAKO kutoa 1000 Yani wewe kwako hakuna asubuhi unahukumu anatoa wapi Hela kwasababu Mungu WAKO niwa 1000 wenzio Mungu wao ni bilionea anawapa kama apendavyo we MZEE VIpi kama umeishiwa hekima uombe mtumishi huyo mtumishi nimtoaji ndiyomaana hapungukiwi kwa kadri anavyotoa ndivyoanavyoongezeka wevip kama yamwilin yanakushinda utayajulia wap yaRohon
Mzee sikiliza mtu yoyote aliesimama kwenye misingi ya utoaji wewe usijifananishe nae utakwama kwa sanabu mwanzilishi wa kutoa ni Mungu huyu mtumishi Yuko ndan mwake sikwamba ni akili yake Ili asifiwe na watu kama unavofikiri mzeee jifunze kusapot jambo jema alofanya mtumishi mwenzako Kisha kama kunajambo lakukosoa lifate umejaa wivu na fitina hata hujui unachokiongea
Usiseme sisi watumishi tuna mambo mengi useme wewe ndo unavijimambo unaonekana unahekima kumbe ovyooo
Wivu wewe
Zungungumzia mambo Yako acha kusengenya mtu. Hiyo nayo ni zambi pia
Mahaba = ukahaba mmh.....
PLEASE MUWAMBIE MANABII WAONGO KUWA TATTOOS NI HARAM KWA BIBLE NA KWA UISLAMU. REF,, BIBLE LEVITICUS 29:28... SAHIH MUSLIM BOOK 24, NUMBER 5301
Na wewe ni mnafiki
Aman hipo wap wanyonge kila siku wanalia yeye amekaatu
Uyu mchungaji hana akili kabisa. Hubiri habari njema watu waokolewe acha kupitia milango ya watu. Wewe ni mtumishi wa Mungu, fanya kazi yako, vyanzo vya mtu vya mapato wew havikuhusu mtumishi.😂
Tafsiri ndio tatizo.tuache wivu.kila mtu na yake.kupendwa ndio shida au kuna jambo lingine?.tusiharibu waumini kwa kupiga wengine kiwango chako sio cha mwingine tuache wivu
Ninamahaba nawewe unaeongeya
Mtumishi umeongea vitu muhimu Sana ktk history ya bible ambavyo vinefichwa na havielezwi wazi ktk bible
HakikA wachungaji wote wange kuwa kama huyu
we sema hutoi sababu huna na kama unazo bas uchoyo nao unachangia... Wahenga walisema pilipili usio ila inakuwasha nn.. Fanya kazi ulioitiwa kufanya kama hujaitwa mashamba n mengi mzee nenda kalime hata bangi maana inalipa... Hata mm napenda kanisa linalogawa hela sio kila siku michango tuuuuuuuuu.. Bora nitoe sadaka hata laki moja ila ckumoja napata zaidi
Mashimo nae kahamia huko kwa nabii mkuu
Mashimo njaa Kali nae