#MCHUNGAJI_MASHIMO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Ishi milele baba yangu kipenzi mh nabii mkuu dkt GEORDAVIE MUNGU akuepushie mabaya yoooooooote ameen
MUNGU wa Ibrahim Isaac na Yakobo Baba Akubariki Sana. Kwa kutuunga mukono kwa KAZI zetu. Sisi Vijana tuko na wewe Baba 5/5🇧🇮🇧🇮 GITEGA
Mashimo ni mnyenyekevu sana nakumbuka siku moja nikiwa mbezi stend saa 7mchana nilikuwa nimefiwa naenda nyumbani nalia sana lakini aliniombea baraka nikapata faraja na kusafiri salama Nawaheshimu sana watumishi wa Mungu
Ameeen
mungu akutunze umeonge kwa hekima sana
@@magrethmsuya5542 Nawaheshimu sana watumishi wa Mungu Naamini Mungu amewachagua kutusaidia kumkumbuka Mwenyezi Mungu
Watumishi wa mungu wananyanyasika na kudharauliwa sana,sababi ya umasikini,mungu uendelee kuwasaidia na kuwanyanyua viwango vya juu zaidi.
Wewe ni Mtumishi wa Mungu Baba naomba na mm niombee nipate neema ya kumtumikia Mungu na kusimama Nina huduma ya uimbaji🙏🙏🏼🙏🏼
Mungu akubariki Nabii mkuu wa Africa,umebaki Nabii peke yako,mm nilikufahamu siku nyingi,karibu iringa
Nabii mkuu hakika mungu azidi kukuinua juu zaidi nabarikiwa sana na injili yako hakika mungu akuinue sana
Huyu mchungaji mashimooooo ana roho nzuri sana alipandaga daladala la posta Makumbusho alafu akawalipia nauli abiria wote basi ZIMA
Hata sijui niseme nini kwaajili yako Nabii mkuu Geor Davie.unanishangaza sana ni mtumishi mkubwa sana lakini umeshuka na kunyenyekea.Mungu akupe kuishi zaidi na zaidi
SHETANI NI BABA WA UWONGO
NA NJAA NA UMASIKINI VITAWAPELEKA WENGI SANA JEHANAMU YAMKINI HATA WATAUWA DUUUU
Very true
Acha wafunuliwe tupate kuwajua
@@musokedios8162 very good. Njia iendayo uzimani ni nyembamba na imesonga sana,waiendeayo ni wachache
Mungu wa Nabii Mkuu GeorDavie ndo BABA YANGU. 🇧🇮🇧🇮💯💯
Sema hili li-MASHIMO linajua kushukuru sana aisee. Hapo lazima GeorDavie atoboke.
Manabii wengi wanatoa ela kwenye mifuko ya watu,lakini Nabii mkuu anatoa kwenye mfuko wake anawapa wengine,ni mfano wa Yesu mwenyewe,Hiyo ni ngurumo kweli kweli
Nabii mkuu wewe umetumwa na mungu kuwasaidi wanadamu
Baba wewe ni wapekee sana katika Tanzania na Dunia Mungu akulinde zaidi na akuongezee umri mrefu kwani ni wengi tutapona
Ongera sana Nabii kusaidia wengi japo kuwa wengine wa namdharau
Mh dr na nabii mkuu MUNGU aliyekuleta duniani aendelee kukuinua na kukutumia baba,nakupenda sana na nimependa consistency yako kwenye kumtumikia MUNGU kwa upendo ,uvumilivu ,unyenyekevu na upendo
wakristo wengi..hawana YESU wa kwel mioyon mwao....wanaasujudu pastors
Hakika Ila na Umasikini unawasumbua
Mwenye haki wangu ataishi kwa imani yake
Mungu akubariki baba yetu nabii mkuu
Much Respect to Our National Senior Prophet Geor Davie.
Pastor pls nami pia ninaitaji kukumbukwa tena so uniombee
Nabii wa kuvaa suti?hahah nani aliyempa huo unabii?mnajua nabii ama ndy wale wale na ww
Ulitaka nabii avae bukta ndo ujue ni nabii!acheni roho za kwanini,geordav e ni nabii mkuu na itabakia hivyo,huamini hivyo nenda kanisani kwake ujionee matendo makuu ya Mungu,Mimi natamani angevaa dhahabu tupu ili watu wajifunze yakuwa kumtumikia Mungu sio kuchagua umaskini
Unahekima ya ajabu sana ww mtumishi wa yesu alafu unanifanya nione mbali ndani ya yesu kuwa bado kuna watu wa yesu kama wewe bado mpo unafanya vzr sana kuutegemeza ufalme wa yesu nakupenda sana naomba tamka neno kwa ajili ya watumishi sisi tunaona roho ya yesu ipo ndani yako.
Mtumishi wa Mungu GeoDavie,ametoka kwa Mungu.Namkubali sn.Hana wivu wa maendeleo,ona anavyosaport neno la Mungu.
Wewe umetoka kwa shetani?hahahah
Mmmm
Mmmmmmmh wewe ni Nabii cjawahi kukutana na wewe ila nakukubali sanaaaa, Mungu akuinue zaidi Baba, kuna ndoto niliyo iyona miaka mingi sanaa juu yako ukiniagiza nifanye jambo flani bado naingojea hiyo ndoto.Mungu akupe maisha marefuu sana
Nimetiwa moyo mtumishi wa Mungu na neno lako hili
'kama hafai, nani anafaa?
Looo ni neno kubwa sana, asante Yesu umenipa neema ya kusikia neno hili fupi lakni kubwa sana ndani yangu
Ainuliwa Mungu wa nabii huyu apaliliaye maono ya watumishi wadogo,Ili kujenga misingi imara ya ufalme wa Mungu duniani
Ghai... Mungu asaidie watu wake kwa kikosa maarifa Y
esu Kristo ndo nabii wa Kweli
Njaa mbaya
Uishi milele Nabii Mkuu kwa upendo wa kristo ulionao kwa kuwainua watumishi wadogo kutimiza ndoto ya wito wao.Nakuombea maisha Marefu kama Ibrahimu by Pastor khileo.
Kwakweli Nabii mkuu nimefurahishwa sana na msaada wako kwa mch.mashimo anahubiri sana tena kwajuhudi lakn Leo mungu amemuona kupitia wewe usimuache
Nabii Mkuu umegusa allocative efficiency ya kiroho kusema ufunguo sahihi upo na akili sana Nabii Mkuu You are great Farther
Naitwa pastor Vincent, nakupongeza Sana nabii mkuu kwa jema ulilolifanya kwa mchungaji Mashimo kwa kuinua kazi ya Mungu anayoifanya, Mungu akupe maisha marefu na akawe adui wa adui zako.
Naww utatumiwa
Mmmmh
Mungu akubarki sana sana mtumishi wa Mungu kwa kusapport watumishi chipukizi ukweli kazi yako ni njema sana,Hii dunia watumishi wengi wamekuwa wabinafsi sana,wanapende wao wenyewe waonekane wamefanikiwa lakini hata kuwabariki watumishi wenzao nieshida na hata kuwasaidia waumini wao wasio na uwezo ni tabu,nimependa sana utumishi wako wa matendo tupendane na kuinuana maana wote sisi tunafanya kazi ya baba yetu mmoja,Ubarikiwe sana
AMEEEEEEN
May God remember me too, in Jesus Mighty Name the Son of the Living Most High God.
Walimpinga nabii mkuu Leo Mungu anawarejesha wote
Wasio na mbele na Nyuma mie hawezi kunipata
Sijaelewa hapo anamusujudu huyu jamaa au vipi, Mungu Anawez kufanikish a kazi yke kwa njia yoyote, hata Elia alipomkimbia yule mfalme Ahabu na kuelekea jangwan Mungu alimletea chakula kupitia kunguru, Mungu wenyew huwa anajipingania
Yeye alilia na mungu na mungu akamtendea kupitia nabii na mm naiman amsujudii nabii bal anamsujudia mungu aliendan ya nabii
Sawa Mungu ameleta Msaada kupitia yy lkn akutakiwa kumuaniamia ivyo huk utukufu na heshima angemrusdishia Mungu aliyafanikish kazi yke, ujui shetani Ana mbinu nying san za kuabuduniwa
Ulikuwa unataka uabudiwe wewe au hujaelewa bado wew baki na ujinga wak
Ww ndio mpumbav wa mwisho na ww nenda ukamuabudu maan ni mungu wko matako ww
@@joycekelvin5434 Yohana 17:22
"Nami UTUKUFU ule ulionipa nimewapa WAO; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja."
Uwe unasoma Maandiko kabla ya kuhukumu. Mungu yupo Kila mahali lakini Ukombozi wa Kila mtu hauko Kila mahali. Ndio maana Yesu anatuasa tuombeane sisi Kwa sisi. Muda ni Mwalimu Mzuri..Tafakari..
This is Powerful Jamani., Mungu akubariki Sana Baba , unafanya mambo yanatisha .
Unaomba Neea kwa mwanadamu Duh Mmmmh kwaiyoo mmeshindwa kumtafuta Mungu na kushidudia watu mch mashimo Una matatizo wewe kwa kwel Yesu amemuacha Una Muabudi Nabii mkuu ana Nabii mkuu Duniani akuna kazi mnayo wana wa Giza
Kwa njaa hii shetani anaweza kufagia wachungaji na watumishi wote wanaopitia changamoto mbalimbali. Mungu haangalii moyo tu anaangalia na nje pia.
Wame kusema vibaya wengi lakini sas wanaona kwa macho yao kazi unayo fanya kumtumikia Mungu
Baba yetu Nabii Mkuu umekuwa baraka kubwa Sana kwangu na kwa watumishi wadogo wadogo mpaka machozi huwa yananitoka!
So happy to be with Dad Geordaviour
BABA YANGU NABII MKUU GEORDAVIE wewe ni WA Thamani Sana katika Maisha yetu MUNGU Azidi kukuifadhi na Kukutunza Maana hubagui huchagui unamuhudumia yeyote
Asante Kwa kunithaminisha nimeheshimika na kukubalika katikati ya Mataifa 🙏🏾!!
Rose samahani nisaidie namba ya huyu nabii
Mungu a no atukumbusha ukikuta mpendwa au mshirika mwenzako Kroho anauhitaji na mwingne si mshirika nawe msaidie Kwanza mshika mwenzako ndipo umpe na yule mwingine ,Amen,GoeDev God bless you 🙏❤️🔥🔥🤝💪
Amen barikiwa sana Nabii, napokea uponyaji kupitia madhabau hii
Nabii mkuu mm Ni kituguu kwako kiroho nimezaliwa na nabii Ernesti Zakaria ambaye Ni mjukuu wako tunamtukuza mungu kwaajili yako unatupa moyo Sana baba
Mtajitaja wote hahaha
Hallelujah Amen 🙏
huwa sichoki kusema umetumwa na Mungu kweli kweli Baba yetu Nabii Mkuu
Bwana yesu asifiwe baba nami napokea kwa jina la yesu
Ubarikiwe Sana Nabii Mkuu
Barikiwa mno mno nabii wa Mungu!!
Ahsante Sana Baba kwakutuona Vijana na kukithamini tulichokibeba Tuna haja ya kujifunza kutoka Kwako katika Maisha yetu na Huduma Zamu Yangu inakuja
Asante Nabii mkuu kwa upendo mkuu
MANABII BABA LAO
Pesa ina sauti tayari Mashomo katekwa sababu ya umasikini,Watakuja wengi tu
Mimi nipo msumbiji naona kazi zako nabii mkuu .ubarikiwe
Barikiwa kama Mungu kakutuma kweli uwe nabii lakini kama sio Mungu atuwezi kujua mengi zaidi
Ubarikiwe sana . moyo huwa ni tofauti na wanabii wengine mtumishi amen,,,
Binafsi nimekukubali sana sana kumsaidia mashimo Ili asiwe omba omba.ameni ameni ameni.mungu
AMEN
Hallelujah 🥰🥰🥰🔥🔥🔥🙏🙏🙏
Mungu akupe maisha malefu nimaombi yangu mungu ametuinulia nabii katika taifa ili
Njaa hiyo Mashimo,Kumbe si Wa Mungu
Amina Mungu anatenda
Na biii munguuu akupee miakamingi naomba msadaa wa uruma yamungu ninamaisha magu sana mchungaji
Amina baba Nabii, napenda sana nikipata neema nifike huko Arusha nikuone live, maana nahitaji Sana neema ya Mungu
Prophet keep blessing servants of God, your work speaks louder than words, you are a blessing to our nation
Barikiwa mtumishi
Natamani sana na mimi siku moja nikanyage madhabahu ya nabii mkuu
Ubalikiwe munguu akuongeze miaka 10000🙏🙏
Baba nabi Mukuu wacha Mungu abariki maubiri yako
Babaaa Geordev barikiwa sanaaa 🥰🥰🥰🥰🥰
Mch Mashimo nilikuwa namchukulia kawaida sana ila nimemuheshimu kwa kuwa ametumia hekima na kupangilia maneno yanayostahili pahala fulani kwa wakati uliopo.
Anatafuta msaada ndiyo maana amecuchumaa
Amen 🙏
🙏🙏amina
Amen 🙏 mtumishi naomba ata mm Mungu anikumbuke amen 🙏
Amina mungu Akupe Miaka Mingi
Ubarikiwe baba
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu.
Hapa Ndo nimeamini Wanaume wanapenda misifa saana,Mashimo una akili saana umempa sifa amekutimizia shida zako japo Kwa Yesu Kristo byee byee
Baba wasipo kuelewa Yesu Kristo aliekuita anakuelewa na sisi pia tunakuelewa
Amen baba 🙏
Barikiwa sana baba
Mungu pekee ndiye astailiye kusujudiwa
Wanadamu acha tu Kumuona Mungu itakuwa ni kazi nzito
mwenyez mungu nkumbuke
Kweli baba mungu anaangaliya tu moyo tu baba
Nabii nibariki na. Mombo yangu
Yaani nyie watumishi ambao hamjaitwa mna kazi yaani unaenda kumuomba mwanadamu mwenzio akupandishe uwezo wa kumtumikia Mungu sielewi hii imekaaje
Mungu akuinuwe zaidi baba' Napenda kwa sapoti yako kwa watu
Amen Dady
Naomba nabii mkuu
kupenda fame sana...
Barikiwa
Nataman siku mungu anijalie uzima nifike kanisan kwako baba ata nikushike mkono tu nakufuatilia sana vipindi vyako
Wahi na lile joka tu siku hiyo hiyo litakupenyw
I Admire ✊✊✊
Mashimo ni msanii kama wasanii wengine
Kabisa alijua atapata msaada kumtaja Geodavi
Mungu akubariki kuwatia moyo watumishi wadogo
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hakika mwisho ukaribu
Kwahyo
Unakumbusha tu uamuz ni wko
Kwahio ulikuwa unasemaje kama bado hujitambui muache Nabii Mkuu afanye kazi yake tunamhitaji Mtumishi wa MUNGU kama huyu kwa wakati huu katika Taifa la Tanzania na Africa
@@paulkale4934 pumzika
Mwisho umekaribia,asomaye na aelewe mashimo kayafanya makusudi
Mungu akubariki kwa huduma hii ya kuwa saidia vijana. Mungu akutunze
Mungu qkubariki mtumishi
Mungu akubariki sana prophet
Baba nikumbuke na mimi
Mungu akubariki sana
Mungu akubariki sana, Mungu wetu ni mwema cku zote
Mimi Naitwa Yona ni mchungaji nipo Arusha Kikatiti. Kuna jambo ambalo walio wengi hawalioni kwa mtumishi huyo G. Devi. Napenda kusema kuwa huyu ni mtumixhi wa kipekee sana Tanzania maana nimekuwa namfwatilia sana na nimegundua kuwa anapenda kuangalia shida na matatizo ya watu na kushughulika nayo kuliko kawaida. NAMPENDA SANA Anaongea machache anatenda makubwa!. Mungu ambariki
Kusaidia watu si Lazima umjue Mungu,Hata wasiookoka wanafanya hivyo hiyo isikupe Headache,Je anaitangaza kweli ya Mungu hata kama anatoa magari na pesa??
huyo nabii mnaemuita eti nabii mkuu binafsi hajapata kibali moyoni mwangu, namaanisha huyu ndugu sijaamini kwamba nimtumishi wa Mungu wa kweli