Ng'wana Kang'wa - Mwalimu (Official Video) 4k
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Mwalimu Official Video
Directed by @MigeraStudio
Produced By Mostone
Follow Me On
Facebook
/ ntemiomabala
Instagram
/ ngwanakangwa_
DOWNLOAD AND STREAM #MWALIMU ON ALL DIGITAL PLATFORMS
BTM AFRICA 4LIFE
#mwalimu #ngwanakangwa #btm4life
Ngwa'na yulita nakupata nipo kigoma mpakan na bulundi kata ya mabamba niliambiwa kua we nimwalimu Leo nimekutana wimbo wako Tena unasema siyo mwalimu kaxa kaka Dunia siyo nzuri nyimbo zako nzuri zinafaliji kwel kaka mungu akupe hekima njema na uimbaji mzur
Mzee wa Mabamba unapajua Kigogo?!!
@@robertngwala1323ivi nikweli ama maneno ya watu tuu
Huyu jamaa ni mwalimu pia anaendelea na kazi yake ya usani
Ameajiliwa mwaka 2022
Kiukweli kaka hata mimi nilikua naambiwa et wewe nimwalim ila hizi radio za nywele nimbaya sasa kaka ntemi 🎉🎉
Kakwambia yupo kote kote, ni mwalimu pia kazi ya kuimba anaendelea nayo
@@paschalmkwavi198mmmmh kumbe nawewe ndiyo wale wale wenye radio za maini 😅😅
Haya Mambo Ni 🔥🔥🔥
Apewe Maua Yake Brother Ng'wana Kan'gwa Like Sasa Kama Wewe Sio Muongo
Safi saana ngw'ana kang'wa kazi Moja nzuli nzito ✊✊✊
Kaka Ntemi naona u mzuri katika SoMo la History naona hapo AFRICA AND EXTENAL WORLD semaa uhakikaàaaa mungu aendelee kukusaidiiaaa ntemiii omabala uendelee kufurshisha wasukumaa
Huyu ndio msanii bora wa muda wote wa nyimbo za asili✍️✍️✍️
Mimi yona niko mwime ya nyakato maarufu senta ya fatherjames jilani na mwana kishimba hongera sana ngwana kangwa wewe ni mwalimu wa nyimbo
Mi Niko msikiti WA zuwena jirani yako😂
NI HATARI SANA!! MOROGORO TUMEIPATA NA KUIPOKEA!!! Salamiti wamekumiss sana toka 2020 hawajakuona
Sema t ww ni kichwa asiependa nyimbo zako huyo mchawi sisi wanakahama tunaenjoy sana!
Hongera omukaya ulechiza ngosha
Ng'walimu wa Ndingo🙌, Safi saana Nyanda DODO, NTEMI omabala 🌏, kazi yako nzuri mnoo💪 mungu akuweke uishi sana furaha ya wa Bhasukuma😇❤, NTEMI ni mmojatu💯 nakupata sana nikiwa 🇬🇧🌹
Asante sana Latifa
Uko vizuri unafundisha ongeza bidii zaidi
Achana nao fantastic kaz yako kaka ukjona vivyo just umewazidi kitu
Sana Kiongozi bigup mmetisha bila kusahau producer hongereni sana.
Watu wabaya Sana kaka ,Ila huo ndio ukubwa,
Kaka kama kama hapo sawa sasaa tumekuelewaaa
Pamoja sana kaka
@@ngwanakangwanataman nikutane naww ❤❤❤
Unaimbi vizuri sana kwanza unasauti nzuri unaimba vitu vya kufundisha vyenye maadali kwa jamii yenu❤❤
Chapa kazi kaka yangu
Nyimbo zako hazichoshi kusikiliza.... Nataman tena itokee show uwanja wa Magufuli tufurikeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mziki mzuri kutoka BTM AFRICA hakika ni za kwetu Mungu awabariki sana ahsanteni
Pamoja tuna sikiliza mziki mzuri ni 🔥🔥🔥
Piga kazi kaka achana nao kibali unacho na tunakukubali kinoma sanaaaaaa❤❤❤❤❤
Yan wewe ndo najivunia wewe wewe ndo msaniiii wangu kabisa jamaaa yangu nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤
Nimeitafuta muno nyimbo ya bhakango. niambie jina la wimbo my brother
Our all time G.O.A.T from sukumaland.
Congratulations bro you nailed it💪
I appreciate you 🙏 thanks brother ✍️
Umeuwa kaka 🎉🎉🎉
Brother angu ! Wewe na kisima na Bhudagala Mnatuwakilisha vzuri sana kabila letu la Kisukuma
Hongera sana ww una sauti nzuriii mno naitwa mama Credo Mwaipopo mchezaji wa yanga zamani sasa anaishi sweden
Chapa kazi bro naipenda sana kazi yako
Ebwana uko vizuri huku kwetu mwanyagula ulituburudisha sana karibu sana
Asante sana ndugu
nyipo ni 🎉🎉🎉❤ safi sana
Wooooh what a wonderful video🎉🎉, I was so much waiting thank you. Keep it up good work 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hope you enjoyed it!
Ntimi omabala napenda sana uimbajiwako mnguakuzidishie namimi naimba kwako nikama dalasa vizuli hutaki bifu
Kweli kaka Hata Sisi tulikua tunasikia na sisi
Unstoppable!! This is a national song!!
Hata Mimi pia niliambiwa ila sikuamini Leo ndo Nimepata Jibu Pamoja sana from kagongwa
Ni atari, halafu mabiti unayakamata kisomi na voice so clear
Hongera sana brooh
Kazi nzur sana pia Director Migera ❤❤
Hongera sn kaka hii nyimbo nakumbuka uliizindua Usagari Leo umetoka video ni nzr sn hongera na karbu Tena Usagari
kweli kaka nisha kubali nyimbo nzuri sana
Keep it up brother, good song
Kweli kabisa ledio za Damu ni mbaya:
Nyimbo iko moto,congratulation ilumbuye omukaya 🥁🎺🎼🎼
@@Chujalora wabheja sana
Kazi nzuri sana ndugu yangu
Ongera sana nazipenda sana nyimbo zako baba, one day ntakufollow nkiwa naolew uje utumbuize, big up to you
Ukubatandula kikuba gete,, ulu wapanga bakalili lyembo wafunya lyingi?❤❤❤
Good job Mr mwanakang'wa
Kazi nzuri ntemi sema umekanyima mngyao
Ki ukweli hata mimi nakukubali sana, piga kazi
Hongera NTEMI O MABALA
Uko sawa jamaa ang
Karibu nyamhongolo maana hata mimi nimewahi kusikia hayo
Hakika wimbo ni Mzuri sana kaka hongera👏👏👏
Nakukubali kk saruuut
Kaka na kukubali kinoma kaka angu ❤❤
Nyimbo zako ni nzuri sana masumbwe tuna Enjoy nyimbo zako Brother🎉🎉🎉
Bigup sana kamanda wetu
Fundi sana.....kukaya ni kukaya duhu ng'wana obhasukuma!
Najivunia sana kuwa msukuma mimi penda sana❤❤❤
Tuma pamoja kaka
Kaka hongera sana
No doubt your the best traditional singer
Thanks bro
Africa and the external world ❤
KWAHYO jina la Ntemi umeachana nalo tena
Nakubal sana aisee
Uko sawa mwalimu
Kaka nakukibali sana from nguruka Uvinza Kigoma
Unapafahamu kwa kizanga
Na kweli kaka wewe ni mwalimu/bila D mbili huwezi kunielewa
Kazi Kaz kaka.
Tupo pamoja sana kaka ❤❤
🔥🔥🎶 imebamba kinomanoma
Chapa kazi mwana kamwa
Uko vzr kaka
Ulikaa kimya Sana Kaka ndomaana Mambo yakawa mengi,,
Anyway nimefurah kuona Tena kazi zako iko bomba hakika
Uhakik brother 🙏
Mwenye nakubar msukuma mwenzang 2ko juu
Kazi nzuri kaka
Uko vzr sans
Uko vzr brooo
Wa pili hapa😅
Ningelikuwa bara ningeichukua hata kwenye liblary tafadhali nisaidie niipate hiyo nyimbo nipo mbali sana pemba
dahh nakupata vizur kutoka dar es salaam Tanzania❤
Much of love to you 🎉
Niko dar lkn nyimbo za kisukuma muda wote mpaka wazalamo cku hizi wanacheza💯💯💯💯💯
😂😂😂 umeshawaibahao safisana❤❤
Nakubali bwana kaka
Ntemiiiiiiii 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤Hakika hyo imewaka
Hata mimi nilishagaambiwa kuwa Ng'wanakangw'a ni mwalimu wa Sekondari leo nimekupata
Mwalimu waoooo
Kazi nzuri.
@@Mackimilly Asante sana
Nimepita
Nyimbo inaujumbe sana
Aliye RECORD hii video naomba mawasiliano yake
@@markoyuda126 Instagram @directormigera
Wimbo mzuri🎉🎉🎉 sana
Kaka nyimbo ina fundisha
Ila mungu alikupa melodi yakipekeee tu Safi sana najivunia wewe uimbaji wako unanikosha sana popote unasikiliza tu
Kaka hao ndo wanadamu
Aaaah teacher wandingo
Bomu Kali 🔥🔥🔥🔥
nikiwa nchini Zambia nazifatilia san kk nyimbo zako
Mimi Eliza mzukila nipo dar nakupenda sana pia napenda nyimbo zako
Najua ni ngumu kujiamini kwasababu bado hajaona kipaji changu (ISAWIMA)