Hongera brother nafurahia nyimbo zako pia kuwa musukuma nipo dar salamu Ila namisi nyimbo zako jamani 😁😁😁kwenye kuolewa nisheria watuu wote wamecheza ba nakuoa nisheria shilingitaga mozees😁😁🔑🔑🔑🔑
Jaman jaman nyumban ni nyumban tu daima siwezi kusahau kwetu chato mulumba bwina,Ngoma za asili ni asili yetu wssukuma,hata waseme sisi ni WA shamba akin mungu katujalia akili na watu makin sana na wazalendo wenye upendo kwa kila binadam
Yaani hii nyimbo makini sana nimerudi tena kuisikiliza july 2024,
Mw'ana kang'a we ni hatari weka mbali na watoto.nakukubali sana
Huu wimbo uliimba mashairi matamu sana mtaalam Ng'wana Kang'wa. Huwa narudia kuusikiliza mara kwa mara
Mm sio msukuma lakini hii ngoma naipenda sana
Umetisha kaka huu wimbo naupenda sana nasikilza nikiwa Japan
Brooo unanikosha unajua
Hii nyimboo mwamba aliwezaa,naikubari
Nainjoy sana na huu wimbo kiukweli unamafunzo mazuri kaka hongera sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Ngoma iko vizuri Sana
Najivunia kua msukuma jamani aaiiii raha sana
Nakubali sana❤❤❤❤❤❤
Wimbo wa maana kabisa
hii nyimbo ni nzuri sanaaaa hadi raha ukisikiliza
Hata sielewi kinachoimbwa ila nimekuwa mtumwa wa kusikiliza hizi sauti adimu
Me pia nakumbuka nyumban❤❤❤❤
Naupenda sana wimbo huuu
Namm namkumbuka mkewngu
❤❤❤❤❤❤❤Sina neno yukovizuri kijana
Nasikiliza ngoma hii nikiwa Igunga ziba ngoma ni nzr sana hongera kaka asante sana endelea kutuletea burudani nzr uko vzr
Huyu Jamaa noma Sana
Hakika nimemiss home brother thenk you forever brother una nyimbo nzuri naomba mungu akulinde sikuu moja nitakupatia zawadi
Hongera sana kaka
Nalipenda sana Kabila langu mtanifanya nihame Zanziba weehatar mungu awabariki sana
Wakati uwa natamani siku moja uwimbe nyimbo za dini ili tumshukulu mungu pamoja, uwaga nazipenda sana
Nakumbuka❤❤siku😂aliokuja🎉🎉 mpombwe sikonge
Pamoja sana kijana kaza
Najivunia kuwa mnyamwez maana nyimbo kama hizi naelewa mwanzo mwisho jamani 🙏🙏🙏👏👏😀
Mm pia mnyamwezi naelewa sana
Haaha usukuma to the world
Unatisha sana tajir msukuma kwa nyimbo nzur xana
Mtemi na kupa hongera mtaani wangu kazi iendelee nawacheza shoo wako
Katika hii nyimbo inajumbe zuri sana naupenda sana huu wimbo
nakumbuka kipindi ambacho nipo sikonge kijiji cha Tutuo kwa kweli mungu awabariki
wasukuma kwa kweli mko poa sana tupo nyuma yenu
tuko poa
❤
Daima unanikoshaga sana
Huu wimbo jaman naupenda ingawa sielewi kila neno ila napata burudan, karibu singida uje utupe burudani
Hua nafarijika Sana kusikiliza nyimbo zako,zinaujumbe mzuri
Uko vizuri sana unadumisha mila yetu nakupenda sana.
Katika nyimbo zako zote, hii kwangu ndo namba Moja, still watching 2023
Kuna Ile kwa Bundala Kishimba ni hatari sana 🔥
Kwa kweri huyu ntemi omabala Yuko vizuri Sana kwa nyimbo zake,, Mimi ni msukuma orig napenda nyimbo zao,, kweri
Ongeza bidiii uko vizuri bro,, MUNGU akuzidishiee
sana
Najisikiaga vizur Sana nikisikilizaga huu wimbo nakumbuka shinyanga asante Sana ❤❤❤❤❤❤❤
Big up
Mungu Akuongoze Ili Uzidi Kudumixha Na Kutangaza Utamaduni Wetu wa Kixukuma
Hongera brother nafurahia nyimbo zako pia kuwa musukuma nipo dar salamu Ila namisi nyimbo zako jamani 😁😁😁kwenye kuolewa nisheria watuu wote wamecheza ba nakuoa nisheria shilingitaga mozees😁😁🔑🔑🔑🔑
Hongera ng'wanakamwa
Mimi msafwa lakini kwa huyu jamaa najikuta msukuma kabisa
Karibu nyumban kwetu usukuman
Safii sana mzee wa kazi…😊
Kaka unatisha sana kazi nzuri nipatie naomba yako siku Moja nikupigie tuzungumze
Nipo morogoro nasikiliza nyimbo hii ni nzuri hongera kaka
Vizurisan umepew kipaj kwakuimb Niko burund rakin nasikiriziy saut hiy
Mm napenda sana hii nyimbo Kila siku nasikilizaga
Hasara kubwa kutosikia radha na kinachoendelea ktk video hii. So Proud 2 be sukuma
Nakubali sana brother nyimbo zako nakupata nikiwa Arusha
Napenda Sana nyimbo zako one day tutaonana,niko pande za igunga tabora
Wimbo mzur Sana iala hao wamama walihalib wanawapuliziaje pafyum mabibi harus kama vle maiti ndo ile asili yetu
Nifalijika japo sielewi kivile hongera sana
Jaman jaman nyumban ni nyumban tu daima siwezi kusahau kwetu chato mulumba bwina,Ngoma za asili ni asili yetu wssukuma,hata waseme sisi ni WA shamba akin mungu katujalia akili na watu makin sana na wazalendo wenye upendo kwa kila binadam
Uko sahihi kaka katika watu walotulia na akili nyingii ni ss wasukuma najivunia kuwa msukuma.
Hongera sana bro unafanya kaziyako vizuri sana
Mimi sio msukuma lkn,namkubali Sana Mwanakang'wa karibu Rungwa Njia panda ya mby tbra na sgd.
Wewe ni noma sana by Bahati manhe
Nakukubali xn mwamba nikiwa DSM lakn nyumban chato hangamaga omwise ndoho tabhu nsani wise,,,, I wish one day I will find you during my marriage
Anaweza kabisa
Kuolewa ni sheria, kuzaa ni majaliwa ! Hakika 👏👏
Kwa kl
ongera saanaa
Wasukum oyeeee
Oyeeeee
Najivunia sana kabila langu
Jaman mm mhehe lakin nyimbo zako kaka na enjoy sanaaaaaaaa
Nakupata Sana nipo ilinga mafinga kinyanambo baisikeli
Good job🎉😅❤❤I'm like 👍
Nakukubali sna kaka
❤❤naikubaliii saaan
Nakumbar san bwana mudogo uko vizur
Nakuelewa sana ngoshaaaaa
Kaka anasaut nzr sana 🥰
Huyu kaka lajariwa saut kwakweli sie wasukuma tupo juu nipo Dubai lakin nacheki nyimbo zako
Naitwa Mr,crater nshishi nikopandeza illan center namkubar sn msukuma
nakubali sana
Wengi tunamuelewa
Mtu ninayemkubali my favorite song
Safi sana gwana Kang,wa
Nyimbo saf ya harusi hongera
Jaman huu wimbo naupenda sana barikiwa sana kwa kipaji
Mi siviskii hata kadogo 😅
Kahama kwetu
Hongera sana
Du huwa nakuelewa san nyanda ndondo nakupata nikiwa oman
Asante sana 🙏
2023 anae tazama ♥️
sukuma oyyyyee
Nipo dubai nakufatilia kazi nzuri
Kaka utafika mbali sana
Burudani murua kabisaaa
Hakika unanikosha ntemi o mabala
BARIKIWA SANA BROTHER
Asilihaipotei
Nikisikiliza tu nahisi kama niko kwetu Tabora
Yeyo faida ya bubile mlenabulombi💃💃💃💃
mungu akubaliki imebaki zamu yangu kuja baradi uje utoe lalhaaa kwenye sherhee yangu
Huh uh
Fire
❤❤❤❤❤❤
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Ntemi omabala nazunyaga nyanda oletomamaa
Nimekubali sana
Nipo luvuma nimependa wimbo wako mungu akutangulie katika kazi yako
Nipo singida nimeupenda Sana wimbo huu nimetokea pande za muyatu mwandoya
Pamoja sana mkuu
@@ngwanakangwanaomba namba yako
karibuni kwetu chemba
@@ngwanakangwa napenda nyimbo zako zuri Sana mungu akutie nguvu