Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview...... Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
Mchungaj angepata mda mrefu angesimulia vzr zaid sema anaehoji ana mrukisha
Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.
Ww uliloga na yy
Hujaelewa alicho maanisha@@JoelMoshi
Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....
Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.
Sijaelewa maana yako
Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena
Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview......
Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.
kabisaa
Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂
Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.
Muuliza maswali daaa achaaa
Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu
Mzee namwandishe wotewaongo watupu
😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,
safi kwa yesu kuna furaha
Anakamuliwa NGAMA.
Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan
Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji
Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake
Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu
Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana
Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.
Mwendelezo haupo
Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo
Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..
Mtagazaj kasome
Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele
Mbona uweki sehemu ya tatu
bahati mbaya amefariki tuvumilie tu
Wewe mtangazaji wewe
Dunia inamambo
Chiting only
huyu mchungaji babu yetu amefariki hivo ushuhuda hauwezi kupatikana
Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga
Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki
Sikiliza kwa makini maelekezo part 1
Yaaan uyo mtangazaji ni fake 😏😏😏
Kabisaa awape watu na fani zao
Yaaan ningelikuwa karibu na uyo kaka ningemnyang'anya maike maana hajui kazi yake
Ndo imeisha au