MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 พ.ย. 2023

ความคิดเห็น • 42

  • @flm1530
    @flm1530 6 หลายเดือนก่อน +8

    Mchungaj angepata mda mrefu angesimulia vzr zaid sema anaehoji ana mrukisha

  • @ahadimalamso4155
    @ahadimalamso4155 21 วันที่ผ่านมา +12

    Huyu Power Mwasekaga namfahamu vizuri tangu akiwa mwanajeshi hadi kustaafu JWTZ Tabora, ushuhuda wake ni uongo asilimia 90. Hata yeye anajua (nasikia alishafariki) kwamba anaongea uongo mtupu. Anayoyasema hakuyaishi.

    • @JoelMoshi
      @JoelMoshi 13 วันที่ผ่านมา

      Ww uliloga na yy

    • @audaxemmanuel7927
      @audaxemmanuel7927 12 วันที่ผ่านมา

      Hujaelewa alicho maanisha​@@JoelMoshi

  • @kilalamuhumba4612
    @kilalamuhumba4612 21 วันที่ผ่านมา +2

    Daaaah, mtangazaji Mungu anakuona! Tafuta wenye taaluma hiyo wewe unasababisha tuichoke stori wakati ni nzuri....

  • @marymassawe8655
    @marymassawe8655 21 วันที่ผ่านมา +4

    Jaman kueni makini na hawa wachungaji wanao sema walikua wabaya ila wameokoka.

    • @meshack3266
      @meshack3266 19 วันที่ผ่านมา

      Sijaelewa maana yako

  • @user-vl3sg1fz7w
    @user-vl3sg1fz7w 6 หลายเดือนก่อน +2

    Daah story imenifunza sema mwendelezo ndo changamoto tena

  • @joshuaedward275
    @joshuaedward275 22 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu alitakiwa awapate PROMOVER TV ndo tutapata huyo ushuhuda vizuri. Nia ya Mchungaji ni nzuri ila sio kila mtu ana kipawa cha Ku Interview......
    Uandishi wa habari ni kipawa na ni Profesion. Anamkatisha hakuna muendelezo wa story moja iishe. Huyu mzee unaweza kupata hata series 20 za saa moja kila moja.

  • @faithe4063
    @faithe4063 29 วันที่ผ่านมา

    Mtangazi wewe unaharibu wachana ajielezee mwenyewe au pia wewe umewai kua mchawi 😂

  • @NghobokoSalehe-kv3qm
    @NghobokoSalehe-kv3qm 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mtangazaji Mara nyingi maswali yako yanaharibu mwendelezo wa ushuhuda.

  • @AlexAyubu
    @AlexAyubu 23 วันที่ผ่านมา +1

    Muuliza maswali daaa achaaa

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mm sijui lkn maongeo yake tu ni uongo mzee wa ovyo tu

  • @vesentsikainda
    @vesentsikainda 10 วันที่ผ่านมา

    Mzee namwandishe wotewaongo watupu

  • @swalehramadhani4192
    @swalehramadhani4192 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂 ah! Stori za majini,

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 9 วันที่ผ่านมา

    safi kwa yesu kuna furaha

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 วันที่ผ่านมา

    Anakamuliwa NGAMA.

  • @tumsifumassawe1273
    @tumsifumassawe1273 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mtangazaji ana kiherehere kama nn yaan

  • @tumsifumassawe1273
    @tumsifumassawe1273 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ana kimuhemuhe kama nn huyuu litangazaji

  • @user-uj7kj3fh7n
    @user-uj7kj3fh7n 17 วันที่ผ่านมา

    Ushuhuda ni mzuri japo kidogo muuliza maswali ana haraka ya maneno yake

  • @ElisifaLukas
    @ElisifaLukas หลายเดือนก่อน +2

    Ila we unayehoji unaharibu ushuhuda uu

  • @TuroRukiko
    @TuroRukiko 22 วันที่ผ่านมา +1

    Anaye hoji anakatisha history ina kuwa haina maana

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 9 วันที่ผ่านมา

    Kweli niki kusikia hayo unayosema, bai ni kweli wachungaji wengine ni waganga.

  • @nabihelias821
    @nabihelias821 24 วันที่ผ่านมา

    Mwendelezo haupo

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 หลายเดือนก่อน

    Angalia selikari ilifikili ni mtu wa kawaida wanamlipa hela nyingi kweli dunia ni upepo

  • @kennethmagupa698
    @kennethmagupa698 11 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji ulifanya uzembe mkubwa sana,, story ni nzur ,,MUNGU amesema nawew ulekodi shuhuda yake,,wew ukafanya uzembe matokeo yake umerekod shuhuda mbili tuu..

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena422 6 วันที่ผ่านมา

    Mtagazaj kasome

  • @meshack3266
    @meshack3266 19 วันที่ผ่านมา

    Lusekelo umezingua yan kwanza kitendo cha kuweka nyimbo katikati ya mahojiano unazani watu wanasikiliza nikupeleka tu mbele

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 26 วันที่ผ่านมา

    Mbona uweki sehemu ya tatu

  • @utakatifunahaki5095
    @utakatifunahaki5095 22 วันที่ผ่านมา

    bahati mbaya amefariki tuvumilie tu

  • @optimamarenda7082
    @optimamarenda7082 22 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe mtangazaji wewe

  • @DAWASADAWASA
    @DAWASADAWASA 22 วันที่ผ่านมา

    Dunia inamambo

  • @JeanMabele
    @JeanMabele 2 วันที่ผ่านมา

    Chiting only

  • @utakatifunahaki5095
    @utakatifunahaki5095 22 วันที่ผ่านมา +1

    huyu mchungaji babu yetu amefariki hivo ushuhuda hauwezi kupatikana

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 23 วันที่ผ่านมา

    Naomba namba ya Mchungaji Mwasekaga

    • @utakatifunahaki5095
      @utakatifunahaki5095 22 วันที่ผ่านมา

      Huyu babu kama umesikia Mtumishi wa Mungu amesema alifariki

    • @utakatifunahaki5095
      @utakatifunahaki5095 22 วันที่ผ่านมา

      Sikiliza kwa makini maelekezo part 1

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu 16 วันที่ผ่านมา

    Yaaan uyo mtangazaji ni fake 😏😏😏

    • @JoelMoshi
      @JoelMoshi 13 วันที่ผ่านมา

      Kabisaa awape watu na fani zao

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu 16 วันที่ผ่านมา

    Yaaan ningelikuwa karibu na uyo kaka ningemnyang'anya maike maana hajui kazi yake

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 26 วันที่ผ่านมา

    Ndo imeisha au