nabarikiwa San mchungaji kwa neno na mafundisho yako, ushuhuda wako unazid kubadirisha maisha yangu naamin ipo siku namm Mungu atankumbuka mm pamoj na familia yangu😭 Yesu azidi kukutunza Mtumshi wa Mungu 🙏🙏
Mimi ni mwana youth Nina ndoto izi zinanisumbua , naota tuko kwa gari linaenda mbio Sana watu wamejaa adi wamesimma na linaenda kwa Kasi Sana na mwishowe unakuta linaishia njia isiyofaa ama linaenda kwa matanga na anaeliendesha ajali Kasi ilo gari linaenda
Yote tuta yaona laki loho za binadamu zitasema et nyakati zimebadilika msidanganywe na ulimweng mna nyakat nihiz mtumsh timiza aliyo kuangiz mngu man yuaj
Mungu wangu utuwezeshe tukuwe na wewe ndani yetu Yesu kirsto niwe nawe ndani mwako.
Amina kubwa. Ooooh Jéhovah. Saidiya watoto wako .
May God bless you. It's my wish to know God more and have a personal encounter and walk with Him.
Asante sana mchungaji mungu akulinde
Amen Mungu atusaidie Sana
Hawataweza kulitimiza agano lao kwa Jina la Yesu Yesu azidi kuyaonyesha amen
Ameen mtumish
Jesus Christ have mercy upon us
Amen
Amina
Amen 🙏
nabarikiwa San mchungaji kwa neno na mafundisho yako, ushuhuda wako unazid kubadirisha maisha yangu naamin ipo siku namm Mungu atankumbuka mm pamoj na familia yangu😭 Yesu azidi kukutunza Mtumshi wa Mungu 🙏🙏
Mtumishi wa mungu si utembee Kenya kariadudu utuhudumie mahali panaitwa kariadudu plz Sina uwezo but mungu anao
Ubalikiwe mtumishi WA MNGU
Kweli pekeetu hatuwez pekeangu siwez nisaidie Yesu
Ameen
Ee mungu wng naomb nisaidie
Mungu mwenye nguvu atusaidie pekeetu hatuwezi.
Kweli pasipo roho mtakatifu hatuwezi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hata lini mkoa wa manyara utakubukwa ,, jamani huku watumishi kama hao hawakuji kwetu
Mimi ni mwana youth Nina ndoto izi zinanisumbua , naota tuko kwa gari linaenda mbio Sana watu wamejaa adi wamesimma na linaenda kwa Kasi Sana na mwishowe unakuta linaishia njia isiyofaa ama linaenda kwa matanga na anaeliendesha ajali Kasi ilo gari linaenda
Twakupenda pure YESU AKULINDE ,endelea kumtumikia ,
Wakumbushe wa mama hayo mpombo waachene na kusukwa
Imagine watu hawasikiagi
TAG hawakemei uvaaji mapambo ya Yezebeli labda mch. wa majumba 6
Yote tuta yaona laki loho za binadamu zitasema et nyakati zimebadilika msidanganywe na ulimweng mna nyakat nihiz mtumsh timiza aliyo kuangiz mngu man yuaj
Amina