THE CLASSIC TID:NILIACHA KURAP NI UJINGA/MADEM FAKE/ NILITANGAZA TANZANIA DUNIAN BILA MSAADA/ SIJALI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Top In Dar ama TID amefika kwenye The Classic katika episode hii ambae walau alipata nafasi ya kuelezea safari yake kwa ufupi na kuzungumzia nyakati za awali kabisa mpaka sasa alipofika na ameweza kubainisha mambo mengi ambayo pengine hukuwahi kuyafahamu usisahau ku subscribe ukimaliza kutazama for more

ความคิดเห็น • 53

  • @harakati1
    @harakati1 8 หลายเดือนก่อน +5

    “Siku kama hizi” one of the best song

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 7 หลายเดือนก่อน +1

    🇰🇪Nimetokea kumpenda sana TID baada ya hii interview. Huwaga nafikiri hayuko sober akiongea kumbe ni mcheshi tu in general. Good talent of all time

  • @salaita2829
    @salaita2829 6 หลายเดือนก่อน +3

    Jabir saleh bonge moja la interviewer

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 8 หลายเดือนก่อน +3

    Sema bro Jabir Saleh mjanja sn wkt unafanya interview kuna kitu nimenote ukiona msanii anaenda OP unachukua kipaza unasherehesha kidogo kwny point yko ile ile ulokusudia then unampa swal lingine unamuhamisha na mada yke y OP pind linaendelea 😂😂😂 Bip up sn bro

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  8 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂🤝

  • @user-cn2ol4gk4b
    @user-cn2ol4gk4b หลายเดือนก่อน

    eti wale wangu 🎉 wanaoniita TID ni wale wanaotoka mikoani .......kuma sana huyu janki

  • @barnabasmafuru6735
    @barnabasmafuru6735 7 หลายเดือนก่อน +1

    The industry doesn't pay enough respect to this legend but once he sleeps into 6" down a lot will pay shits 😢

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nipe nafasi Tid na fid q ndo ngoma kali zaidi ya Tid

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 8 หลายเดือนก่อน +2

    Asha ni ngoma kubwa sana kuliko zeze

    • @arsenalic23
      @arsenalic23 7 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli jomba. Zeze ngoma kubwa sana ikifuatiwa na Siamini halafu ndo Asha na Girlfriend

  • @justinmashala6944
    @justinmashala6944 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sauti ya Dhahabu, one of the best album

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 8 หลายเดือนก่อน

    Im proud of you top in dar. Umeuweka mziki wetu kweny ramani

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 7 หลายเดือนก่อน

    Consistent, Maji mengi Mtoto mdogo Legend🔥🔥🔥🔥

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dakika ya 4..KATA SIM KALALE 😂😂,,,tidi kichaa😅😅

  • @youngdula5409
    @youngdula5409 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu Jamaa Anangoma nyingi sana Kali lakni sidhani kama Kuna ngoma Kali zaidi kama nyota Yako / Asha noma sana

    • @salaita2829
      @salaita2829 6 หลายเดือนก่อน

      Kuna siku kama hizi,rahisa

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 8 หลายเดือนก่อน +8

    Kwangu Mimi zeze sio mkubwa ila wimbo mkubwa ni ASHA❤❤ TID mpaka anakufa hatokuja kuimba wimbo mkali kama ASHA

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 8 หลายเดือนก่อน

      Nimkubwa Sana ilahapo mpak kufa hapana

    • @georgeburchard4872
      @georgeburchard4872 8 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe tu sikio lako Ila ukweli zeze ndio wimbo mkubwa wa TID

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo Asha akati inatoka itakua ulitongozwa nayo😂 au ulitumiwa dedication

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 8 หลายเดือนก่อน

      @@aminmohammed4249 Sasa hizi ni zarau Mie mwanaume nitongozwe nitake radhi:::. Na istosha ASHA imetoka nilikua shule ya msingi nyumbani nilikua na redio so kwa habari ya burudani na mziki walikua wananiuliza Mimi 😂🤣😂🤣 ASHA for me is one of the best song, and I can say is greatest all the time ASHA mpigie makofi 2 Bwana TID

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@joshuamuro9494 Sasa bro unataka kunambia huyu jamaa atakuja atoe nyimbo Kali kuliko alizoimba kipindi hicho? Kwa Sasa hawezi kuumiza kichwa kuandika wimbo mkali na badala ya atatoa nyimbo is just for fun

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 8 หลายเดือนก่อน

    Siamini ni 🔥🔥🔥 mpaka kesho kutwa

  • @ConventionalViews
    @ConventionalViews 8 หลายเดือนก่อน

    Smart and funny dude

  • @user-cg3cm4qv4q
    @user-cg3cm4qv4q 8 หลายเดือนก่อน

    Ww msenge! unanichekesha sana

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa interview zake haziboeshi😂 TID Yuko vzury

  • @imogimasta9077
    @imogimasta9077 8 หลายเดือนก่อน

    nakifwatilia sana hiki kipindi big up

  • @sajo_lkm2781
    @sajo_lkm2781 8 หลายเดือนก่อน +3

    TID ni rnb gangster 😅

  • @William_ngela
    @William_ngela 8 หลายเดือนก่อน

    Nakubali pindi

  • @destroyerban7364
    @destroyerban7364 8 หลายเดือนก่อน +1

    Zeze hat club inafaa kwa matumiz yetu

  • @sultansuleman1690
    @sultansuleman1690 7 หลายเดือนก่อน

    Kaimba vzuri hiyo nyimbo ya fally was good

  • @christianluvanga8148
    @christianluvanga8148 5 หลายเดือนก่อน

    Zeze,,tulivaa mpaka ma jeans mamaeee

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 8 หลายเดือนก่อน

    #watoto_wadogo_hawaelewiiii__😂😂 #vunjuvenga

  • @joelntile9078
    @joelntile9078 7 หลายเดือนก่อน

    TID Kituko sana 🤣

  • @kibakivideos
    @kibakivideos 8 หลายเดือนก่อน

    Ni Yeye mnyama ……….ni noma

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  8 หลายเดือนก่อน

      🙌🏾

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe ndio maana hili lijinga lilikua linapiga mziki mkubwa 😂😂😂 kumbe ni zao la hip hop mamaeeee

    • @sidiqmhina7823
      @sidiqmhina7823 7 หลายเดือนก่อน

      MNALIJINGA LINALOPIGA MZIKI MKUBWA NI MA LEGEND TU.

    • @salaita2829
      @salaita2829 6 หลายเดือนก่อน

      Zamani was all bout hip hop

    • @hiphopoldschoolkalama1405
      @hiphopoldschoolkalama1405 4 หลายเดือนก่อน

      Black gangstars. Hafu wasanii wa zamani walikua wasomi. Ziku izi kina modi hawamo kabisa.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 หลายเดือนก่อน

    👊👍✌️。

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 7 หลายเดือนก่อน

    kIGOGO warioba ni YEYE.

  • @emmanuelchristopher6791
    @emmanuelchristopher6791 8 หลายเดือนก่อน

    Ngoma kali mimi ni nyota ndo kali sana

  • @user-ry6qo5lf3r
    @user-ry6qo5lf3r 8 หลายเดือนก่อน

    Anaongea mnyama 😂😂

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 8 หลายเดือนก่อน

    😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emmanuelfungo2236
    @emmanuelfungo2236 5 หลายเดือนก่อน

    😂

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂