THE CLASSIC SAIGON: MIAKA 32 YA NDANI YA GAME/MIAKA YA GIZA YA RAP KABLA YA BONGOFLEVA/KUZALIWA DPT
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Saigon ni mwamba kabisa wa Hiphop Tanzania amekua kwenye game kwa miaka 32 sasa na amefanya mengi kukuza Hiphop Tanzania ikwemo kufanya kazi kwenye vyombo vya habari na kusaidia ukuaji wa wasanii wengi sana,amefika kupiga nasi stories muhimu za maisha yake
Saigon is the Fckn Genius ,jinsi anasikiza kwa makini, anaongea kwa tones, kupanda, kushuka,kusisitiza na swaga. The way anaelezea na kufafanua jambo. Mjuzi wa lugha, anatamka maneno kwa usahihi kabisa, kifupi jamaa ni hazina. Big respect to this man ebana Oi!!
Aaaaamin
namsikiliza na kumuangalia hapa
Jamaa anajua sana nilitamani Majizo amvute Efm
Anajua sana
Ooooi saigon badest bigtime
Eee bwana Jabir hao wamba walikuwa wanafanyiwa video na ITV, nyimbo zote :- Tururuke Kwa Furaha, Word is Bond, Are You Down... Na rap za Era yao yote zilikuwa na video za ITV, mi sina connections ila wewe unaweza ukampata mtu kama Nicko Track asaidie kujua kama bado zipo pale ITV... Kuna historia kubwa sana itapotea (kama haijapotea tayari)... Kama zipo zitunzwe properly
Exactly umeongea fact
Nlimjua kwa show yake ya hip hop kali EATV...legend...salute toka Kenya
OYAAAAA . Baada ua interview na j moe nilitaka kukuandikia kuwa nataman umuite SAIGON … eee bana ulkua unaish akilin mwangu. Umetisha sana broo
Legendary......wapewe maua yao ...hawa ndio waliochora ramani........♨♨
No comments with this dude....!!!! Saigon Kalinye ''oy'' Monster. Aajeeb saNA...!!
Much love my brother saigoni sale Allah akuweke unajuwa
Big up kaka mkubwa leo na msikiliza saigoni ebwana oiii ebwana mzukaaaaa maua ya pokeka kaka hip hop bila madawa ✊🏿✌🏿👊🏿💪🏿
Oi ..Oi ..Oi..
SAIGON longtime sana Mnyamwezi sana
Daaah huyu ni Shekh wangu,pia nakubali anachokifanya kabla sijamjua kama ni Sheikh,but ALL IN ALL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA.NAMPENDA KWA AJILI YA ALLAH
Aaaaamin
Kuvi Misuti Please Please Tuletee na Jose Mtambo asee
nilisha mwambia. Ila ana sema jamaa ni ngumu kumpata yani ataki kufanya interview. msanik wangu bora kabisa
Mzee wa kigambonino msanii wangu wa miaka yote
Kwa kweli, amlete muasisi wa commercial rap
Eeeeebana Daaaah Oi Oi Oiiii.. SAIGON..🔥🔥🔥 SALUTE TO Former MC's #Saigon_Diplomats 🙌🙌🙌🙌
Hip Hop Base enzi hizo inaruka channel 5 Aisee 🫡🫡🫡🫡shout out to the legendary Saigon
Moja ya mc wakali na nimoja ya best tv presenter during my childhood
Saigon the legend,kwangu Mimi humuona kama our African DMX kutoka na Ile style yake ya rap
...kwa sisi tunao watch youtube tusikilizishe hizo nyimbo hata kwa 10sec
Mwamba alikujaga secondary mbez makonde kipind nipo kidato cha 1 akaturecod kipind Fran cha kuchagua nyimbo east Africa redio kwa mara Ya kwanza niliuza sura Kweny luninga😅❤
Oiiiioii Kali Ni Kali Fikra Pana Namsayin'... It's Saigon Youh!!!✍️🫡🫡
Happy sozi again yan tena...ooohhhiii ooohiiii mzukaa# saigon💥💥
Nakukubali Saigon!
Hop uturekodie ngoma mpya!
Bonge la show, bonge la mcee ever! Naomba kupata hiyo album
Bro tunaomba The Classic kwenye TV....
Saigon ana jua kuelezea stori sana alafu ndani yake anafurahisha pia😂😂
Rolling back those years... a lot of mixed emotions! Ila maisha yale ilikua ni ya furaha sana...
Hawa ndo waasisi wa hip hop Og must respected. Namkubali sana brother wangu sijui Yuko wapi siku hizi
R.I.P mwalimu Lukinga
NAMKUBALI SANA KAKA SAIGON
LThe Living Legend SAIGON
Nakumbuka sana, Forodhani the thing mlikua manzingatia maswali ya Lukinga? Alinisaidia sana Physics na Chemistry
Saigon ana Ngoma yake moja inaitwa POVERTY hatari sana 🔥
Saigon noumer sana legacy ya hip hop east Africa
Is Among the people who have made a Mark in Hip Hop
Ooi ooi
Huyu mwamba mwanaharakati sana wa hip hop
Kipindi namfatilia sana Saigon nkawanajiita na jina lake kama nickname kakaang akasema usije ukawa kama yeye. Lakini baadae Saigon akaancha mziki akawa mtu wasala sana😂
Mchizi mtoto wa mjini sanaa ana madini kinoma
Saigon uwezo wake katika hip hop Bado hakuna wakumlinganisha naye ila kwa wanaowajua.
Saigon wa Mandela Court alikua hatari sana.nakumbuka enzi zetu za uk wazee
Saigon ana ngoma yake moja hivi ambayo I can relate myself with or relate myself with inaitwa 'MSAMAHA' kwenye chorus hapo alifanya majani dah!
Anakwambia ndugu jamaa na washkaji washkaji naomba msamaha!! USHETANI ulinipanda kwasababu ya 'POMBE'
Bila kuisahau verse yake kali sana kwenye ngoma yake T.I.D inaitwa 'VIWANJANI'
King crazy gk hapo ndo aliye baki CEO wa east coast team
Mmmhh is the classic way up 🙌
Kalinye
Makelele atusikii interview ,,sijui efm imekuaje,,tangu hii kitambo mipya,imekuwa NI shida,na pia mpaka TV,sauti zimekuwa azitoki sweet
OOOIII OIII Saigon... ebwana daah
Paul beda alisoma agakhan nakumbuka
MY Role model ✌✌✌
Safi sana ✌️
>>>Eenh bhaana Daah
Kaka bongo palikuwa sio mahali pako kabisa. Level zako nyingine kabisa. Ila watz hawawezi kuelewa maana wakata viuno wameteka akili zao.
Haa Saigon Karne Karne ww kaka wapi ulipoterea hata mm nilikuwa nakufatilia kipindi hichoo
Mama Rudia ana watoto wawili,wa kwanza anaitwa Tena wapili anaitwa nani???ah ah😅
aah ahh rudia😅😅
Oioioio ebwana daah 💯
Saigon marapa wa mwanzo kabisa miaka ile
Mzee wa oiii oii dadadaaaa
Saigon Aminia.... Malindi Kenya
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🐐
Oiiiiiii ebwana oiiiiiiiii saigon
Tuletee dark master mzee
Alishapitaga kwenye kipindi
Anaumwa saigon huo uso vipi?
Imekuaje
Kwo kuvichaka na suti😂
Saigon
wa kigambonino ahusike kwenye pindi
Ni uyu mimi
Oi🇰🇪
Namuomba Joze Mtambo Mwana Kigambonino
Hichi sio kipindi ni makumbusho ya sanaa ya tanzania
🙏🏾
Nipo nairobi wanakataa kua Jamaa NI mbongo😂😂😂😂😂 anavyo freestyle kimarecani
Ni km cku nne zilizopita nikasema nimsachi huyu mwamba you tube baat namuona hapa daa mnyamwezi sn huyu
Namkubali
Kipindi kile Dah Saigon what is Born
Tv Gani 1994 Tanzania 🇹🇿🧠🤔 ilikuwa inaonyesha
CTN
Oiii
Oiiiii ebhn duh ebhn duh oiiiii..sigoniiii
Uyu jamaa alikuwa mnoma sana slang imetulia ila kama anaumwa saivi alikuwa bonge la handsome
Yah inaonesha hvyo, jamaa na mkubali sana kwa Lugha na Swagaa ni mtu mbad sana
Saigon c alikua ustaaadh huyu
Ustaadh WA nn
Aliacha mziki akawa sheikh na alikuwa anatangaza Redio na Tv Iman ya Morogoro
@@hundredcopies2719namimi nashangaa kumuona kafanya tena mziki
Dunia inadanganya watu ... Alikuwa anatumiwa sana kwenye midaharo ya dini kwa lugha ya kingereza sababu anaongea kingereza kizuri
Aliacha muziki akawa ustaadh. Lakini jamaa ni hazina ya mziki wa nchi hii.
Ebhna hoi ebhan hoi ebhan oi oi
Mbona niliskiaga amekufa?
Ulisikia wapi?
Nafikiri kwa makini
Kwa iyo kaacha usheikh kabisa
Kwa iyo kaacha usheikh kabisa??
@@aboubakarmahmoudmashaka696Ni sheikh mpaka kesho