THE CLASSIC SAIGON: MIAKA 32 YA NDANI YA GAME/MIAKA YA GIZA YA RAP KABLA YA BONGOFLEVA/KUZALIWA DPT

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • Saigon ni mwamba kabisa wa Hiphop Tanzania amekua kwenye game kwa miaka 32 sasa na amefanya mengi kukuza Hiphop Tanzania ikwemo kufanya kazi kwenye vyombo vya habari na kusaidia ukuaji wa wasanii wengi sana,amefika kupiga nasi stories muhimu za maisha yake

ความคิดเห็น • 105

  • @abdulengadumwala8025
    @abdulengadumwala8025 4 หลายเดือนก่อน +41

    Saigon is the Fckn Genius ,jinsi anasikiza kwa makini, anaongea kwa tones, kupanda, kushuka,kusisitiza na swaga. The way anaelezea na kufafanua jambo. Mjuzi wa lugha, anatamka maneno kwa usahihi kabisa, kifupi jamaa ni hazina. Big respect to this man ebana Oi!!

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 4 หลายเดือนก่อน +1

      Aaaaamin

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 4 หลายเดือนก่อน

      namsikiliza na kumuangalia hapa

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 4 หลายเดือนก่อน +2

      Jamaa anajua sana nilitamani Majizo amvute Efm

    • @hassanhassan1019
      @hassanhassan1019 4 หลายเดือนก่อน

      Anajua sana

    • @abdulrajabu8252
      @abdulrajabu8252 3 หลายเดือนก่อน

      Ooooi saigon badest bigtime

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 4 หลายเดือนก่อน +28

    Eee bwana Jabir hao wamba walikuwa wanafanyiwa video na ITV, nyimbo zote :- Tururuke Kwa Furaha, Word is Bond, Are You Down... Na rap za Era yao yote zilikuwa na video za ITV, mi sina connections ila wewe unaweza ukampata mtu kama Nicko Track asaidie kujua kama bado zipo pale ITV... Kuna historia kubwa sana itapotea (kama haijapotea tayari)... Kama zipo zitunzwe properly

    • @zuberyaunda5263
      @zuberyaunda5263 3 หลายเดือนก่อน

      Exactly umeongea fact

  • @jameskinuthiamunene6356
    @jameskinuthiamunene6356 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nlimjua kwa show yake ya hip hop kali EATV...legend...salute toka Kenya

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 4 หลายเดือนก่อน +10

    OYAAAAA . Baada ua interview na j moe nilitaka kukuandikia kuwa nataman umuite SAIGON … eee bana ulkua unaish akilin mwangu. Umetisha sana broo

  • @Chemba67
    @Chemba67 3 หลายเดือนก่อน +1

    Legendary......wapewe maua yao ...hawa ndio waliochora ramani........♨♨

  • @mohammedabdallah9692
    @mohammedabdallah9692 3 หลายเดือนก่อน

    No comments with this dude....!!!! Saigon Kalinye ''oy'' Monster. Aajeeb saNA...!!

  • @NotiAbdullah-d1f
    @NotiAbdullah-d1f 2 หลายเดือนก่อน

    Much love my brother saigoni sale Allah akuweke unajuwa

  • @boitumeloboitumelo8038
    @boitumeloboitumelo8038 4 หลายเดือนก่อน +3

    Big up kaka mkubwa leo na msikiliza saigoni ebwana oiii ebwana mzukaaaaa maua ya pokeka kaka hip hop bila madawa ✊🏿✌🏿👊🏿💪🏿

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 4 หลายเดือนก่อน +6

    Oi ..Oi ..Oi..
    SAIGON longtime sana Mnyamwezi sana

  • @ConsciousConscious-b1d
    @ConsciousConscious-b1d 4 หลายเดือนก่อน +12

    Daaah huyu ni Shekh wangu,pia nakubali anachokifanya kabla sijamjua kama ni Sheikh,but ALL IN ALL ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA.NAMPENDA KWA AJILI YA ALLAH

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 4 หลายเดือนก่อน +2

      Aaaaamin

  • @officialmrdeo8116
    @officialmrdeo8116 4 หลายเดือนก่อน +21

    Kuvi Misuti Please Please Tuletee na Jose Mtambo asee

    • @fongaamike2768
      @fongaamike2768 4 หลายเดือนก่อน

      nilisha mwambia. Ila ana sema jamaa ni ngumu kumpata yani ataki kufanya interview. msanik wangu bora kabisa

    • @khalifasaid1131
      @khalifasaid1131 3 หลายเดือนก่อน

      Mzee wa kigambonino msanii wangu wa miaka yote

    • @FranklinMtei
      @FranklinMtei 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli, amlete muasisi wa commercial rap

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 4 หลายเดือนก่อน +2

    Eeeeebana Daaaah Oi Oi Oiiii.. SAIGON..🔥🔥🔥 SALUTE TO Former MC's #Saigon_Diplomats 🙌🙌🙌🙌

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 4 หลายเดือนก่อน +8

    Hip Hop Base enzi hizo inaruka channel 5 Aisee 🫡🫡🫡🫡shout out to the legendary Saigon

  • @bernardmunuo2137
    @bernardmunuo2137 4 หลายเดือนก่อน +10

    Moja ya mc wakali na nimoja ya best tv presenter during my childhood

  • @prophdj
    @prophdj 3 หลายเดือนก่อน +1

    Saigon the legend,kwangu Mimi humuona kama our African DMX kutoka na Ile style yake ya rap

  • @lucianoluciano6795
    @lucianoluciano6795 4 หลายเดือนก่อน +8

    ...kwa sisi tunao watch youtube tusikilizishe hizo nyimbo hata kwa 10sec

  • @maxmiletz4563
    @maxmiletz4563 4 หลายเดือนก่อน +8

    Mwamba alikujaga secondary mbez makonde kipind nipo kidato cha 1 akaturecod kipind Fran cha kuchagua nyimbo east Africa redio kwa mara Ya kwanza niliuza sura Kweny luninga😅❤

  • @ksonrap
    @ksonrap 4 หลายเดือนก่อน +2

    Oiiiioii Kali Ni Kali Fikra Pana Namsayin'... It's Saigon Youh!!!✍️🫡🫡

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 4 หลายเดือนก่อน +1

    Happy sozi again yan tena...ooohhhiii ooohiiii mzukaa# saigon💥💥

  • @erastotweve2586
    @erastotweve2586 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali Saigon!
    Hop uturekodie ngoma mpya!

  • @vincentmaholo9179
    @vincentmaholo9179 4 หลายเดือนก่อน +2

    Bonge la show, bonge la mcee ever! Naomba kupata hiyo album

  • @maprojectalltrends1296
    @maprojectalltrends1296 4 หลายเดือนก่อน +3

    Bro tunaomba The Classic kwenye TV....

  • @westcijosh
    @westcijosh 4 หลายเดือนก่อน +4

    Saigon ana jua kuelezea stori sana alafu ndani yake anafurahisha pia😂😂

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 4 หลายเดือนก่อน +2

    Rolling back those years... a lot of mixed emotions! Ila maisha yale ilikua ni ya furaha sana...

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa ndo waasisi wa hip hop Og must respected. Namkubali sana brother wangu sijui Yuko wapi siku hizi

  • @khalidgugu4964
    @khalidgugu4964 4 หลายเดือนก่อน +5

    R.I.P mwalimu Lukinga

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 4 หลายเดือนก่อน +2

    NAMKUBALI SANA KAKA SAIGON

  • @stevechampion6559
    @stevechampion6559 4 หลายเดือนก่อน +1

    LThe Living Legend SAIGON

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha 3 หลายเดือนก่อน

    Nakumbuka sana, Forodhani the thing mlikua manzingatia maswali ya Lukinga? Alinisaidia sana Physics na Chemistry

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media 3 หลายเดือนก่อน

    Saigon ana Ngoma yake moja inaitwa POVERTY hatari sana 🔥

  • @christopherjames3684
    @christopherjames3684 4 หลายเดือนก่อน +3

    Saigon noumer sana legacy ya hip hop east Africa

  • @kingkizeve1973
    @kingkizeve1973 3 หลายเดือนก่อน +1

    Is Among the people who have made a Mark in Hip Hop
    Ooi ooi

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mwamba mwanaharakati sana wa hip hop

  • @mellahcoffee
    @mellahcoffee 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kipindi namfatilia sana Saigon nkawanajiita na jina lake kama nickname kakaang akasema usije ukawa kama yeye. Lakini baadae Saigon akaancha mziki akawa mtu wasala sana😂

  • @ericdeogratius970
    @ericdeogratius970 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mchizi mtoto wa mjini sanaa ana madini kinoma

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 4 หลายเดือนก่อน

    Saigon uwezo wake katika hip hop Bado hakuna wakumlinganisha naye ila kwa wanaowajua.

  • @karibuautotanzania3979
    @karibuautotanzania3979 4 หลายเดือนก่อน +1

    Saigon wa Mandela Court alikua hatari sana.nakumbuka enzi zetu za uk wazee

  • @AnthonyKomba-o5f
    @AnthonyKomba-o5f 4 หลายเดือนก่อน +2

    Saigon ana ngoma yake moja hivi ambayo I can relate myself with or relate myself with inaitwa 'MSAMAHA' kwenye chorus hapo alifanya majani dah!
    Anakwambia ndugu jamaa na washkaji washkaji naomba msamaha!! USHETANI ulinipanda kwasababu ya 'POMBE'
    Bila kuisahau verse yake kali sana kwenye ngoma yake T.I.D inaitwa 'VIWANJANI'

  • @VisenthYohana
    @VisenthYohana 4 หลายเดือนก่อน +1

    King crazy gk hapo ndo aliye baki CEO wa east coast team

  • @djtrigaa
    @djtrigaa 4 หลายเดือนก่อน

    Mmmhh is the classic way up 🙌

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kalinye

  • @emmanuelbarnabas2577
    @emmanuelbarnabas2577 3 หลายเดือนก่อน

    Makelele atusikii interview ,,sijui efm imekuaje,,tangu hii kitambo mipya,imekuwa NI shida,na pia mpaka TV,sauti zimekuwa azitoki sweet

  • @afreecastzaxie
    @afreecastzaxie 4 หลายเดือนก่อน +1

    OOOIII OIII Saigon... ebwana daah

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 4 หลายเดือนก่อน +3

    Paul beda alisoma agakhan nakumbuka

  • @rajabulyanga8438
    @rajabulyanga8438 4 หลายเดือนก่อน +1

    MY Role model ✌✌✌

  • @cholobrighter104
    @cholobrighter104 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana ✌️

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga6472 4 หลายเดือนก่อน +1

    >>>Eenh bhaana Daah

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kaka bongo palikuwa sio mahali pako kabisa. Level zako nyingine kabisa. Ila watz hawawezi kuelewa maana wakata viuno wameteka akili zao.

  • @SipeKato
    @SipeKato 3 หลายเดือนก่อน

    Haa Saigon Karne Karne ww kaka wapi ulipoterea hata mm nilikuwa nakufatilia kipindi hichoo

  • @kalutaabedi2742
    @kalutaabedi2742 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Rudia ana watoto wawili,wa kwanza anaitwa Tena wapili anaitwa nani???ah ah😅

    • @atenionesmo_A10
      @atenionesmo_A10 4 หลายเดือนก่อน

      aah ahh rudia😅😅

  • @Blacksamitz
    @Blacksamitz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Oioioio ebwana daah 💯

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 4 หลายเดือนก่อน +1

    Saigon marapa wa mwanzo kabisa miaka ile

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wa oiii oii dadadaaaa

  • @KalamuYaGalana
    @KalamuYaGalana 4 หลายเดือนก่อน +1

    Saigon Aminia.... Malindi Kenya

  • @andrewmmbaga1665
    @andrewmmbaga1665 4 หลายเดือนก่อน +1

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🐐

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 4 หลายเดือนก่อน +1

    Oiiiiiii ebwana oiiiiiiiii saigon

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tuletee dark master mzee

    • @iamzillahx6901
      @iamzillahx6901 4 หลายเดือนก่อน

      Alishapitaga kwenye kipindi

  • @YusufuAbas
    @YusufuAbas 4 หลายเดือนก่อน +2

    Anaumwa saigon huo uso vipi?

  • @aboubakarmahmoudmashaka696
    @aboubakarmahmoudmashaka696 4 หลายเดือนก่อน +2

    Imekuaje

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kwo kuvichaka na suti😂

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba3547 4 หลายเดือนก่อน +1

    Saigon

  • @salumuathuman5286
    @salumuathuman5286 4 หลายเดือนก่อน +2

    wa kigambonino ahusike kwenye pindi

  • @AgustinoAlexander
    @AgustinoAlexander 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni uyu mimi

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 4 หลายเดือนก่อน +1

    Oi🇰🇪

  • @jeverinopembe7945
    @jeverinopembe7945 3 หลายเดือนก่อน

    Namuomba Joze Mtambo Mwana Kigambonino

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 3 หลายเดือนก่อน

    Hichi sio kipindi ni makumbusho ya sanaa ya tanzania

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  3 หลายเดือนก่อน

      🙏🏾

  • @famakasari
    @famakasari 3 หลายเดือนก่อน

    Nipo nairobi wanakataa kua Jamaa NI mbongo😂😂😂😂😂 anavyo freestyle kimarecani

  • @yusufsuwi5350
    @yusufsuwi5350 4 หลายเดือนก่อน

    Ni km cku nne zilizopita nikasema nimsachi huyu mwamba you tube baat namuona hapa daa mnyamwezi sn huyu
    Namkubali

  • @JijoAce
    @JijoAce 4 หลายเดือนก่อน

    Kipindi kile Dah Saigon what is Born

  • @AlexMosha-ci5uq
    @AlexMosha-ci5uq 3 หลายเดือนก่อน

    Tv Gani 1994 Tanzania 🇹🇿🧠🤔 ilikuwa inaonyesha

    • @Sean1877
      @Sean1877 3 หลายเดือนก่อน

      CTN

  • @RaiderTube
    @RaiderTube 3 หลายเดือนก่อน

    Oiii

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nn 3 หลายเดือนก่อน

    Oiiiii ebhn duh ebhn duh oiiiii..sigoniiii

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 4 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa alikuwa mnoma sana slang imetulia ila kama anaumwa saivi alikuwa bonge la handsome

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 4 หลายเดือนก่อน

      Yah inaonesha hvyo, jamaa na mkubali sana kwa Lugha na Swagaa ni mtu mbad sana

  • @aboubakarmahmoudmashaka696
    @aboubakarmahmoudmashaka696 4 หลายเดือนก่อน +4

    Saigon c alikua ustaaadh huyu

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 4 หลายเดือนก่อน +1

      Ustaadh WA nn

    • @hundredcopies2719
      @hundredcopies2719 4 หลายเดือนก่อน +2

      Aliacha mziki akawa sheikh na alikuwa anatangaza Redio na Tv Iman ya Morogoro

    • @MxVisualsTz
      @MxVisualsTz 4 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@hundredcopies2719namimi nashangaa kumuona kafanya tena mziki

    • @hundredcopies2719
      @hundredcopies2719 4 หลายเดือนก่อน +7

      Dunia inadanganya watu ... Alikuwa anatumiwa sana kwenye midaharo ya dini kwa lugha ya kingereza sababu anaongea kingereza kizuri

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 4 หลายเดือนก่อน +2

      Aliacha muziki akawa ustaadh. Lakini jamaa ni hazina ya mziki wa nchi hii.

  • @killindoabile3128
    @killindoabile3128 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ebhna hoi ebhan hoi ebhan oi oi

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona niliskiaga amekufa?

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  3 หลายเดือนก่อน

      Ulisikia wapi?

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nafikiri kwa makini