TEMBA AUMIZWA NA CHID BENZ ''PESA ALIYOPEWA NA DIAMOND KACHEZEA KAMALIZA HUYU/ WAKATI MGUMU SANA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ธ.ค. 2023
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv - บันเทิง
Welcome back mr kamiligado
Uko perfect temba
Kwann usije na Temba tooth pick😅😅😅😅
Wazo la kibiashara kbsa Hili bro alichukue alifanyie kazi .
Mzee baba hicho kijiti akitoki mdomoni ata ktk interview kipo kweli brand
😂😂😂
Upo sahihi
🔥🔥🔥🔥
Huyu mchaga haachagi stik mdomoni 😂😂😂
.da unaongea maneno mazima Sanaa broo
Aaah tembaaa
1:49 ❤📌
Temba tembelee nakubali
Msaada apelekwe jela au chumba cha wandawazimu
Kiswahili ni Tatizo. Nauliza hivi:- kapewa au kalipwa!
Kaka ni shida hawa watu wameamua kuwa machawa wote kwa kweli.
Kweli mh.temba umesema vyema.umoja ni nguvu.
Temba
Msaidieni Chidi ili apate stahiki zake ,prsa zake,Nani huyo anyetuma muziki wake kwenye mitandao??
Nyote wa Moja kiki hazitowarudisha Kwa game
Kuwa na akiliii unawaharibia wezio media zao hayoo mambo ya kijijini mdomoni ushamba tena
Acha hasira maisha hayajawahi kuwa na formula. Kuna watu wengi wapo huko unapopaita kijijin na wana maisha mazuri ambayo hata dunia ikianza upya huwez kuwafikia kwa lolote
Wewe mjanja una nini😂😂😂
bro pole na maisha gumu Usiwe na hasira maisha hayataki hasira 😂😂😂😂
Akifanya p Diddy utaiga
Temba umeongea point mkuu
Oyaaaa temba lile kundi lenu simlirudishe tu
chid achana nae anawachamba
Wachana na mavijiti mdomoni ni ushamba mkubwa
😂😂😂
Yaa kwa umri wake hayo mambo yashampita
Nenda ukamtoe hicho kijiti mdomoni maana naona kimekuuma sana
Hakuna mtoto wa temeke mshamba kum wewe
Fanya wewe