Akuna watu wanafiki kama tz. Wabongo niwauwaji. Diamond napinwa vipi nakila mtu. Sijuwi kafanyanini. Wivu mkubwa sana sijuwi arikiba Sijuwi rayvany Sijuwi hamo. Basi munawe atakumua. Sijuwi pimbi Sijuwi muhijaku. Sijuwi ostazi juma. Jamani. Musichokia Diamond analinwa namungu sana. Namupa pole sana mama yake. 😢😢😢
😅😅😅😅ongea kua iyo show ya mwambino kapiga Bure kama alikua Hana furaha sababu anajua kua iyo show sio yake ni Wanaijeria wasafi wenyewe walikua wanapost anavyoimba mwambino kuzungusha camera ukumbi wote hamna watu Kala zakichwa kwamba maana yake zile show alikua anafanya zamani zilikua za uwongo ana edit kumbe sasa uwo ndo ukweli kua bado msani mdogo kwa nje msani mkubwa kwa Tanzania sio mda alie pangiwa mda wa show hata kama angefanya show mwenyewe pekeake asingepata watu hapo nahao wengine wamekuja sababu ya kuona show ya wasani wa naijeria
Yupo sahihi kuna mzungu nilimkuta ulaya ana cd ya remmy ongala nilishangaa sana didnt expect it hakika remmy is a legend
Ni kweli kabisa ayasemayo hayo Dudu baya.👍
Salute kwa Dudu baya 🇲🇿
Ndomana wa bongo hakuna upendo mnashidwa kuhelewa kama hile shwo diamond hajalihanda limehandaliwa kwahiyo apate watu akose watu haijalishi.
Tatizo ni uongo mwingi tunaojazwaga uku.
Mtazame yule mtoto wa South africa Tyler alivyo piga gep kubwa ila mdada wa watu hana makuu
Sasa kusema watu hawakuwepo pia n kosa?
Mimi nipo marekani maeneo ya Ohio Cleveland dudu baya yupo sahii 💯%
Uhakika sana
Bujumbura burundi 🇧🇮 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Legend👑👑👑
Chris br analipwa pesa nyingi akicheza dakika 1.ile ni biashara sio mzuka fungueni macho watanzania
Ww dudu bya ndo maana yalikushida kwann wabong mnakuwa wanafiki sana
Mamba mamba 2 , you never fail bravo
Nipeni like zangu 🎉🎉🎉🎉🎉
Akuna watu wanafiki kama tz. Wabongo niwauwaji. Diamond napinwa vipi nakila mtu. Sijuwi kafanyanini. Wivu mkubwa sana sijuwi arikiba Sijuwi rayvany Sijuwi hamo. Basi munawe atakumua. Sijuwi pimbi Sijuwi muhijaku. Sijuwi ostazi juma. Jamani. Musichokia Diamond analinwa namungu sana. Namupa pole sana mama yake. 😢😢😢
Akili kubwa
MTAONGEA MENGI SANA WATU WANGU ILA LUGHA YA MUZIKI NDO CHANGAMOTO KWA KAKA YENU.....JINA ANALO KUBWA TU AKUNA MTU ATABISHA
Jinga sana hili jamaa
Loho mbaya dudu baya
Mtu akisema ukweli inakua ni roho mbaya,au huo ndivyo hivyo akili yako hua inang'amua mambo?
Kasema kweliii
True that konki
Skujua ziwa Victoria lina Mamba😮
Yuko sana dudu
JUZI NILISIKIA SINGLE AGAIN IMEPIGWA REDIONI UK I WAS SO HAPPY BIG UP KONDE BOY
True 🙏🙏
Mama @Maneja Ding'ano aka kudinywa
Ahuna akili wewe baba na wewe ni mjinga sana
Wabongo wengi waliokwenda ulaya wanaishi maisha kujifichaficha
Siyo wabongo tu,sisi kama wanavyotuita watu weusi Ulaya siyo rahisi sana.Labda mtu awe amesomea kule au ameshasoma toka Africa
Kumbe ndo mambo ylivyo😧🤔
Nampendaga
Mimi nakupenda latifa
Konki master
Mamba mzee wa fact😂😂😂
Kumbe dudubaya anetembea🤔
Haya Waandishi mabumunda mmesikia?😅😅😅😅😅😅
Ila kiukweli wanaijeria linapokuja kwenye nchi yao wana umoja balaaa
ILIKUWA SOUND CHECK.. KAPIGA USIKU.. MIMI NI PROMOTER ..HUU WOTE MNAUSIKIA KUHUSU ULAYA NI UONGO
Tulizana bhn
ahaaaaaaaaaaa eti najulikana Africa mashariki Nan anakujua bwabwa ww
They are 4million Ethiopians in USA
Na ndo maana wasianze kwennda uko mana hakuna anaye wajuwa
Dudubay
wanasifia ili wapate ulaji kaka sasa upo wasafi media utamtangaza vibaya kwel boss wao
Kiukweri watanzania kazikubwa nikupondana nakukatishana tamaa dudu baya nikweri nimbaya watanzania uraya niwachache wenzetu wanaija niwengi nirazima kue nautifauti mond usiwazikiraze wario tanguria kutawaza nipo wakajisaidia nirazima watatoka nakinyesi hawo
Dudu mby ndo maana yalikushida muache simba afanye mambo yake ww tafuta ya kusema
Anasema ukweli,sisi tupo nnje tunayaona hayo
sehem za nje kibao akienda kufanya show hapata watu maana yake mziki wake mdogo sana kwa nchi za nje 😅😅😅😅😅
😅😅😅😅😅😅😅 asee bongoo mavii sanas🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yupo sahihi dudubaya
Mtangazaji kutokuzingatiya tofauti kati ya herufi L na R inapoteza ladha ya matamshi mazuri inapoteya
Upo sahii brother Tanzania 🇹🇿 ina promote mziki wa diamond 💎 komasava Wakati ni nyimbo mbovu 😂wimbo unapewa promo kubwa Wakati ni sururi
Dudu 😂
Me niliwambia diamond nimxani wa kawaida xema TU media ndo zinampa kichwa lakin ukwel ndo huo
Msanii mkubwa ww
@@Mwamba-hc1jy
Hana ukubwa huo
@@Mwamba-hc1jy
Ndio ila east africa
Anacho ongea dudu Yuko sawa sana huyu jamaa anaujua mzk
Sio mziki ni vitu vingi tuu
😅😅😅😅ongea kua iyo show ya mwambino kapiga Bure kama alikua Hana furaha sababu anajua kua iyo show sio yake ni Wanaijeria wasafi wenyewe walikua wanapost anavyoimba mwambino kuzungusha camera ukumbi wote hamna watu Kala zakichwa kwamba maana yake zile show alikua anafanya zamani zilikua za uwongo ana edit kumbe sasa uwo ndo ukweli kua bado msani mdogo kwa nje msani mkubwa kwa Tanzania sio mda alie pangiwa mda wa show hata kama angefanya show mwenyewe pekeake asingepata watu hapo nahao wengine wamekuja sababu ya kuona show ya wasani wa naijeria
Siku Diamond akifa ndio mtakapojua kuwa tunu ya taifa imeondoka
Yan kwer mti wenye matunda lazm upigwe mawe😢@@nashnene6326
Yeye ni nani mshamba tuu,tunu ya taifa kwa wewe mwenye kichwa kibovu.Mtoto mdogo@@nashnene6326
Dudu baya anaongea ukweli mm nipo south Africa sijawahi kuona TV wala radio za huku zikiuzungumzia mziki wa Tanzania
😂😂Msema kweli DUDU BAYA,. Ureno nani anajua Swahili tukitoa waafrica wanaoishi mle? Nao unakuta hawana nafasi ya kwenda hapo kutokana na ubize
Dudu acha ushamba njoo usafini
Dudubay
Yuko sana dudu