EXCLUSIVE : CHID BENZ AFUNGUKA SABABU ZA KUFUKUZWA WASAFI FESTIVAL / DIAMOND ALINIKOSEA SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ธ.ค. 2023
- EXCLUSIVE : KWA MARA YA KWANZA MWANA HIP HOP CHID BENZ AFUNGUKA SABABU ZA KUFUKWAZWA WASAFI FESTIVAL AMTAJA DIAMOND TAZAMA HAPA FULL INTERVIEW
#manaratv #diamondplatnumz #wasafifm #wasafitv #chidbenz #wasafifestival2023 - บันเทิง
Chidi unaakili sana mungu akujalie maisha marefu
Been a fan of brother Chidi for a long time,apart from his good vibes of music,I admire his personality and the facts his speaks,,on point my G,,real recognise real.mobb love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Hakiri kubwa respect chidi❤ ila kubali usaidiwe unakitu ndani yako na utafika mbali
Huyu chid ni mtu noma sana once comes kwenye interview, ana kill kinoma 🔥🔥
Angekuwa na akili angeachana na uteja na kuanza kuwa responsible na maisha yake!! Acheni kumjaza ujinga, HANA AKILI!!
Chid ni mtu mwenye akili Sana pia na nimtu mkweli Dully Alisha wahi kusema kuwa tuna mapungufu mengi ila kila mtu anakitu ndani yake wengine ndani mwao Wana chuki,wengine uchoyo, wengine uongo lakin Chidbenz ndani mwake yupo na ukweli. Chid hajamlaumu mtu ila amejaribu kueleza uwalisia wenye ukweli kwa wale ambao wameenza kumfatilia huyu jamaa baada ya kupitia changamoto zake kamwe awawezi muelewa chid, huyu jamaa kwanza amekubali hali alio pitia na anasema ukweli, Chidbenzi ni mtu poa Sana, amewasaidia wengi kwenye muziki, wakina Tundaman,mwana FA, Diamond, mwasiti TUMPE HESHIMA YAKE NA SIO KUMBEZA NA KUMDHARAU MAANA HAKUNA ANAE JUA HATIMA YAKE NI KUOMBA MUNGU TU. Na nyie waandishi wa habari msiojua Ethics za kazi zenu mjaribu kuwa na heshima na familia za watu, zenu mbona mnaficha wazazi wenu wako wapi muwaweke kwenye camera pumbafu kabisa.
Jamaa yupo sahihi Allah akuongoze kwny njia sahihi lnshaallah
In Kenya ,chedi is real maturity🇰🇪🇰🇪💯✨
King 👑 ❤ Huna ubaya sikuzote msema ukwelli hawamuelewi 🎉
Comment nying zakumponda chidi za watoto wakike nikiona mtoto wakiume ameskiliza hii interview akaandika kumlaum chidi ntajua kazaliwa miaka ya 2000 hajui nini maana ya maisha na hela
True
For real
Hakuna kitu kizuri maishani kama kutake responsibility and steer your own life,huyu bwana anatupa lawama wakati dhamana ya maisha yake iko mikononi mwake..Allah amfungulie njia zake
Adui wa chidi ni Chidi mwenyewe,hataki kutake responsibility of his own damn life
Unajua uongeacho
True,hata tukisaidia tusingoje shukurani.mtu kurudisha shukuran ni yeye mwenyewe kutaka.chidi afocasi maisha yake.awajibike juu ya maisha yake na si kilaumu laumu watu
On pwent
@@Tripo7unLocked7000
tuache kujadili kihisia! chidi hajalaumu mtu na ameongea maneno mazito sana
This guy is a LEGEND💪Wakenya tunakukubali CHIDI!
Kabisa
Harmonize angepiga ngoma na mwamba chid ingekuw ya moto sanaaaa
Chidy ana akili nyingi sana, wenye upeo ndio wanaomuelewa lakini vilaza, lazima wa comment ujinga tu
For real
Kikubwa sana🙌🙌 Salute Rashid Makwiro big bro
leo ameongea point sana chid 🎉🎉
Sikuile alikua kalewa
DARESALAM STAND UUPP !!! 🙌🏾
Daaah, Asee Leo ndo nimetambua Chid ni Mmoja tu, Hakika Leo Umeonesha Kiakili upo Sawa, Nakuombea kwa MUNGU Uendelee hvyo hvyo....
Chidi yuko na point 100% na wenye wanamdis huyu jamaa hawapimi maneno yake kwa usawa! consent inaweza kukufunga. muache kumdharau mwamba kwa maisha yaliopita, tambua hujafa hujaumbika.
Jamaa yupo poa sana mi huwa namuelewa kinoma
U talk real
Consent kwenye lipi labda? Hapo kwenye mama unahitaji ruksa ya mama mwenyewe tu kuongea naye, maana yeye ni mtu mzima wa umri na afya ya akili, hauhitaji ruksa ya mtoto wake kuongea na mama.
Safi .
chid kaka mungu akupe maisha malefu...
King Kong speaking his mind . He's castigating those of who don't mean well. Let's support him . He's a gem. Tz 🇹🇿 wake up
Translate for your people bro 😂😂
I remember when he was kicking with Nonini and they did remix of kadhaa.. he's one artist i respect alot, Kenya chidi anakubalika
Huyu jamaa ana akili nyingi sanaaa god bless u CHIDI benzi
Anakili sawa lakini abebwe Vp?
Watu kama nyinyi ndio mnamfanya azidi kupotea kwenye mihadarati
@@ramsojimmykelly3379
kama unaona miadarati kwa hii interview ata wewe umelewa!
@@ramsojimmykelly3379Kakosea nini kwenye mahojiano haya?
@@VIPSwahili angekuwa yuko sawa angeachana na madawa kwanz
Natamani watu wamsaidie Chid bila kuwaza faida😢
Sijawahi kumsikiliza kwenye interview....this guy in spite of being an X addict his IQ is very high...really smart guy with fat memory, good orater and very debatable mind.... Aki smart sana
Hatumii tena hivyo vitu aisee, anakunywa bia na pombe nyingine tu. Achana na wambea man.. Kama hapa si unaona walivyom violate kwenda kwa mama.
@@danielmwita2136kweli
Leo umeongea point mama kweli wamegusa pabaya
Chidi atabaki kuwa Chidi tu the living legend ✊🏽✊🏽
Chid mara zote yupo very transparent, very frankly person. naanajiamnin
Perfect you said brother
Chid chibenzino 🖐🏾💯💥🎶🎵🔝🎤📽️🔊 Nomà Saana aisee Akili mingi 💪👊
Atarudi 😢kwenye njia hiyo ni mapito tu anapitishwa ili wengine tujifunze kupitia yeye but trust jamaa anajua na Atarudi kwenye njia Mungu amfanyie wepesi 2
Chidi is a genius. Once you listen to him you get to understand the truth of the matter
You are a wise man Chidi 👊👊
Nilitaka kuskip lakini nimejikuta naangalia mpaka mwisho na bado natamani aendelee kuongea dah! Akili kubwa sana uyu mwamba sikujua😮
😅😅😅😅 mm pia
Chid kaongea vizuri sana leo
Kweli chi2 dar stand up nomaaaass tuko pamoja mwanetu 💕💕
La familia for real ❤❤❤
Pua😂😂😂
Rap familia
Mshkaji anakili nyingi saana pure love hana noma na mtu huyu OG mdar es salaam
Mad respect kwa Rashidi. Wengi hawataki kumwelewa kwa sababu anazungumza facts. Walichokifanya wasafi ni kubaribia brand Chidi hata kama anamapungufu hakuna haja ya kutangaza.
Kumbe Chidi kaongea vizuri sana kule Clauds walimuhoji akiwa kapiga tungi ndio mana
Yh n kweli ata mamake alisema hivyo juu hapa anaongea vizur tu
Itakuwa alikuwa kapiga Konyagi ya kutosha siku ile sio bure 😅
Chidi very tarent Sana
Andika tu kiswahil😂
Sema jamaa kaongea ukweli maisha ya msanii yabaki kwa msanii kama yy hakutaka kumuingiza mama yke kwenye maswala yake binafsi kwa nn muende kumuhoji bila kupitia au kufanya mawasiliano na msanii husika?bila ya chid huyo mama mgemjua vp? Wakati chid yuko vizuri kwenya mziki hamkuwah kumuhoji mama yke leo ndo anatafutwa mama sio jambo zuri sana
true... unaenda kumuhoji mamangu ww kama nani! wamemchukulia Chidi poa kwa maisha yake ya saivi! kupiga picha mtu bila utaratibu husika anaweza kufunga! leo hii unatafuta pesa kupitia mamake mtu! inauma sana shame on them
Jamaa yuko sawa ❤
Genius ☀️☀️☀️🙌
Kilichopo watu tu wanataka kumtumia huyu mchizi ila hawampi msaada wa dhati na wala hana matatizo he is real.
Mwenyezi Mungu akusaidie kwenye mapambano
Imenigusa sana ya mama chidi
Nilijua tu kwa kuangalia ile interview kuwa Chid hajashirikishwa na atawa mind.
😂😂 kigomaa 😂😂 much ❤ chid
Huyu mwamba siku akipata mtu wakumsimamiwa kwe kazi alafu na yeye atulize akili bongo hii hakina msanii wakumkalisha wala kumwambia kitu
ni kweli kabisa tunaujuwa uwezo wake
Chidiiiiiii....His deminor is so natural....ila hapo kwenye "Samaki anawakaanga na sukari dah!!!...😂😂😂 Bless up Chidi Man
Apo kwa kutafuna godoro🤣🤣🤣🤣
Mungu nisaidie nipate pesa ili nimpe support huyu mwamba Chidi Benz.
Chidi ameongea FACTS kabisa..
Mungu amsaidie
Jamaa anaongea point Sana
Baby Kabaya anapaswa kumuomba msamaha Chidi, kamkosea sana kwenda kumuhoji mama bila kumshirikisha
Ila chidi mwamba nakukubali mbona leo uko seriazi
Sikuile alilewa afu wao wakaenda muhoji ili wapate content watu waangalie wengi
Mfalme wa ilala pure fact!!
Muje na kwangu wapenzi ❤
Bro anaongea point sana
All in all Chid anahitaji msaada wa kwenda “rehab” ! Anajifanya yupo sawa lakini hayupo sawa hata kidogo.
Chid benzi one ❤️
Good point 👊👊👊
Chid BEBEBENZIIIIE AUNA ISHI BHANA MAISHA YAKO MAANA UMEFUNGUKA KISAWASAWA LEO NIMEKUELEWA ASWAAA
Apo kwenye madem kugongana nimeipenda kidume 😂 ila kaka uko fresh akili sana ❤❤❤❤
Nyingi mno mno mno
Maisha jamani, unamlaumu mtu juu ya maisha yako binafsi.
Uyu jamaa anataka awe anasaidiwa yeye tuu
Hamna wamezingua aisee hata ingekuwa ww lazima ungejisika viba
Skiliza alafu chmbua ach ku comments tu
Chid yupo smart
Kuhusu mamaake ni kweli hata mm nipo upande wake ila anavokazana kwny interviews nyingine uko kua wampe Hela apana aisee wako wasanii kibao wanaitaj msaada ila hawadeki kama huyu jamaa 😆
tatizo wasani wa tz mwambino anawatumia kiakili wao bila kujua sababu kaona sasa hivi Hana show za nje awajiulizi zamani mbona alikua afanyi nao colabo kwanini sasa hivi sababu kaona harmonize wasani wanamkubali jinsi anavyo fanya nao colabo akaona abadirishe tabia zake na kuringa chid yupo really
pole sana bro, bt keep it up
Chid bezz 🔥🔥🔥🔥
Ana vitu very very SENSITIVE ambavyo anaviongelea ukituliza kichwa ndo unamuelewa
Chid is very genius
Chidi benz legend❤❤❤🎉🎉🎉
Sawa kweli Ana akili ndiyo hata mie namkubali,shida huyu brother anatakiwa ajitambue nikiwa na maana kwamba unapopata deal's lazima uwe na adabu,ustaarabu na mambo ya kipuuzi hayana maana kabisa,sasa Leo analeta lawama kwa mdogo wake ifike hatua aconcetrate na maisha yake siyo hadithi Mara ohh ,bado kipaji anacho Sana Tena kikubwa ,shida ulevi kumisbehave yaani utovu wa nidhamu
Rekebisha Caption mkuu
Daaah guy has spoken too much sense wow
Ivo vitu unavotaka watu wakufanyie utawalaumu sn chid. Fight for your life u don’t need to fear 😢
Uyu mtu anakazi zake alifanya na zipo kunapesa anatakiwa apate ila wakuu wa mziki wanakula wao ilo jambo linamumiza
Sasa siande basata akajieleze kuliko kujidhuru
Yeye hajaomba watu wamfanyie kitu, ila kwann hawamuheshimu? Kwann ukamuhoji mama vitu vyake na usiende kumuhoji yeye
Asiwalaumu watu he has to fight for his life no body should be blamed lazima ajitahidi kuwa na nidhamu na maisha yake ataheshimika ataweza kulipwa vizuri vinginevyo ataendelea kulipwa hizo kumi kumi za kete
Yeye ashasema ela sio kipaumbele kwake kama unavowaza na ndo maana yeye huwa hampangii mtu kiwango wewe yoyote ulonayo anafanya show, na pia kasema kama unaona kwenye show labda alilewa sio kwenda kumtangaza muite kaa nae chini mchane ukweli ili asirudie kosa
Kijana mtu mzima umeisikiliza kweli maelezo ya Chiddi au unawengee?
Nakubali sana chidi umenyooka sana aiseee
Puwa kaziiii anaoooo😂😂😂😂😂
Gov Joho angekua yupo 001 bado I'm sure angesaidia hyu legend
Chidi ni level nyingine basi tu watu wanashindwa kumpa heshima yake
daah kiiing kooooong CHID BENZ mwamba wewe noma sana wasamehe tu: dah inauma sana chid hanakili sana tu
Chidy is real and is talking real
Mwaanaaaa
King Kong it's so straight talking my brother
Chidy nimekuelewa uko sawa
Umenyooka salute
Chidy yupo vizur sanaa huyu jaman wasanii wamsaidie bila kuhoji hali yake binadamu hujafa hujaumbia kupanda na kushuka n kawaida ya sisi binadam
Watu wote nao-comment na ku-support maelezo ya CHIDI lazima mjue maisha yanavyo kwenda hyyu chidi alifanikiwa tayari kimaisha akayachezea saa hii ni kutaka kubebesha lawama watu wengine hakuna aliyechukua madawa na kumlazimisha ayatumie ni maamuzi yake mwenyewe watu wanajitahidi kumsaidia anarudi humohumo na wajinga wachache wanam-support acheni kumuangamiza acheni ku-support ujinga msaidieni mwambieni ukweli anakosea jamii inayomzunguka mnamwangamiza kwa ku-support ujinga hatoweza kurudi katika hali ya kawaida kwa support zenu zisizo kuwa na faida
King🎉
Sasa uyu alie ongea leo ndo yule Rashid nasio chid benzi
Hilo goma Dar Stand-up aisee nimoja ya goma langu pendwa sio siri. Hata kama haujawahi kuliskia basi likigongwa lazma usimame na u_dance...
Sema hawajamtemdea haki kumhoj mzaz wake bila kumpa taarifa
Cloud wamezingua sanaaa
Wamezingua nn sasa
The point is chidi anachongea kua yey aliwasaidia kama ndugu zake sababu yeye hana ndugu wengne kama sio wao lakin now hawatak kumsadia wakat yy aliwasaidia wao wakiwa chini so sion kma akilalmik anakosea he is right na anaongelea reality ya maish yetu watz wanaume tunakuf san kw kubeb mazito vfuan vyetu ila tukiongea tunambiw tumekua kma wamama😮💨
Respect
😅😅😅😅😅😅iyo goma ya dar es salaam ata miaka buku bro ngoma ya tz
Chid ameongea vizuri sana.
Siku msanii wowote mkubwa atakae fanya ngoma na huyu mwamba kazi itakuwa kubwa sana kwasababu tuna muamini yupo .
Wanamuogopa
Wanaogopa kufunikwa 😅
God bless chid
Hpo kwa Mama kaongea point sanaaaa