DOTTO MAGARI na BOSS WAKE WAIPONDA NYUMBA ya MWIJAKU ILE HAIFIKI MILIONI 200/DIAMOND AMERUDISHA PESA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ม.ค. 2024
  • East African number one TH-cam channel for Gossips,Sports as well as Politics News owned By BONGO PLUS
    KANUNI NA MUONGOZO
    Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
    NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
    WeAreEverywhere
    #entertainment #exclusive #trending #diamondplatnumz #wasafi #ayotv #update #updatenews #udaku #gossip #mwijaku #babalevo #tanzania #kenya #manara #hajimanara #bongo #habari #justinbieber #bieber #rap #hiphop #hiphopmusic #pop #rnb #rnbmusic #exclusivenews #tmz #tmztrends #arianagrande #dottomagari
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 53

  • @1wernerweck
    @1wernerweck 4 หลายเดือนก่อน +1

    DOTTO KETU WE LOVE YOU FROM MÜNCHEN GERMANY

  • @1wernerweck
    @1wernerweck 4 หลายเดือนก่อน +1

    DOTTO WETU WE LOVE YOU FROM EUROPE

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hata mia2 milion haifiki mm ni engineer mjenzi

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ww kigamboni unaijua kwel? Au unaongea sawa Nyumba ya Mwijaku B haifik ila kuna nyumba za gharama sana kulko hta huko masaki au oysterbay mnapopasema masaki mbona kuna nyumba za zaman nyng tu

  • @user-iz8fd6jj3x
    @user-iz8fd6jj3x 4 หลายเดือนก่อน +3

    Isa we utakiwi kuongeya we ni boss yisikuume chochote achana na machawa usiwe na tamaa ya mayiki

  • @aloismbuya7833
    @aloismbuya7833 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ata kama, jibu neno moja tu kumpongeza mwijako

  • @obeydmwemezi3663
    @obeydmwemezi3663 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shkamoo Ditto..Harier matako ya Sungura haha

  • @user-tp8lv4dk3
    @user-tp8lv4dk3 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwijaku kavamiwa na dotto na tambuu

  • @barakaemma1827
    @barakaemma1827 4 หลายเดือนก่อน +2

    Iyo miguu aituri

  • @masumbukomoussa977
    @masumbukomoussa977 4 หลายเดือนก่อน +3

    Upara kaama kipara cha kamari😀😀😀 ebuu doto twambiye makasiriko ya nini ndugu yangu

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 4 หลายเดือนก่อน +2

      uyu choko kweli yee mwenyew anaishi kwenye nyumba zakupanga pumbavu.

  • @maalimhemedsalumu
    @maalimhemedsalumu 4 หลายเดือนก่อน +3

    Boss achana na hayo mambo utapoteza heshima yako

  • @papaayawarembo6995
    @papaayawarembo6995 4 หลายเดือนก่อน +2

    Doto anajitafuta yote anayosema hayatoki kwenye mtima..badae wanaagiziana bia hao..so Dotto mumzoee tu msimchukie bure

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 4 หลายเดือนก่อน +1

    Rafiki yangu mm ni Dotto magari,Hawa jamaa tusiwaingilie ni mambo ya mitandaoni wanapendana Hawa

  • @user-fu2gz2lq1j
    @user-fu2gz2lq1j 4 หลายเดือนก่อน

    Dotto ana kaa kwaooo!!!

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 หลายเดือนก่อน +1

    Acha kuingilia aongee hauna adabu kulopoka tu subili

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa sisi wa chamazi itakuwaje😊

  • @AbuuNachacha
    @AbuuNachacha 4 หลายเดือนก่อน +1

    Oya ndo doto ss unadhani uyo Chawa wa wasanii au uyo mjanja

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 4 หลายเดือนก่อน

    Gauni.linawaka lina umeme jamani mabinti wa sasa mtakuja.kuwaka.moto nyiee huku mnajiona mtaungua😅😅 sa kwann ushone gauni lina motoo😅😅

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani nyumbaa yaa biii sio mchezooo

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kipara kama baraza ya kamari 😂😂😂

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 4 หลายเดือนก่อน +1

    doto wee nyumba yako iko wapi acha makasiriko roho mbaya tu huna lolote!,mwenyekiti aonyeshwe icho kibari umrmpa wewe???!.
    maskini mnatabu sana.

  • @michaeldaniels8826
    @michaeldaniels8826 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hamza na lila boy😂😂😂😂

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ile nyumba ni mil 150,huu ni mzaha wa namna gani?

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 4 หลายเดือนก่อน +6

    Badilika doto hatutaki maneno tunataka maendeleo,kuzaliwa mjini au kukaa mjini sio Tija,pambana na wew

    • @AllyRamadhan-tv5er
      @AllyRamadhan-tv5er 4 หลายเดือนก่อน +2

      Nakubal babu umesema kwel

    • @HamisMberwa
      @HamisMberwa 4 หลายเดือนก่อน +3

      Dotto tunamtetea ameanza kazi juzi tu na anatafuta bado na tunampenda

    • @salehmasunga5147
      @salehmasunga5147 4 หลายเดือนก่อน +2

      Tuachie doto wetu

    • @nin6324
      @nin6324 4 หลายเดือนก่อน +1

      GSM Amejenga wapi… huyu doto chizi

  • @rerisamba
    @rerisamba 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hii nyumba mbona inabishaniwa hivi

    • @ALEXLOTAN
      @ALEXLOTAN 4 หลายเดือนก่อน +1

      Namimi sielewi ama ndo bongo walivyo

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa mtu wa mjini huwa hana akili za kujenga ni kukaa karibu na choo aibu sanaa akili choo tu hauna lolote jenga acha pumbaa

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 4 หลายเดือนก่อน +1

    hehehehehe

  • @enoszaka-tx8qw
    @enoszaka-tx8qw 4 หลายเดือนก่อน +2

    sina uzoefu wa ujenzi ila ukweli kwa nyumba ile ml 200 ni mzaha wa wazi 😂😂😂

    • @user-kn8pw7vk4e
      @user-kn8pw7vk4e 4 หลายเดือนก่อน +2

      Bro 200m ktk ujenzi ni ntumba ya maana sana, bali Samani za ndani nazo zinachangia nyumba kuongezeka thamani, ni ukweli 100% ile nyumba thaman yake haizidi 200m

    • @issaomary2816
      @issaomary2816 4 หลายเดือนก่อน

      Hujui unaona mil 200 ni ndogo

  • @24seven78
    @24seven78 4 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂 kipara ka lami

  • @SelemaniKabeya-ew3tc
    @SelemaniKabeya-ew3tc 4 หลายเดือนก่อน +2

    Emu acheni Mambo yenu Ata Ajenge shilingi 200/ nikwake2 mbona nyinyi Atuoni nyumba zenu makuma nyinyi rombaya2 zimewajaa

    • @user-ru1bk1we4g
      @user-ru1bk1we4g 4 หลายเดือนก่อน

      Dogo sawa nikwake lakini asiongopee watu eti nyumba ya B

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 4 หลายเดือนก่อน +1

      wanaomponda mwijaku matahira bro,wao wanaishi chumba sebure wanaponda mtu kujenga nyumba kigamboni nyoko zao maskini tu hao ndio shida zao.

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 4 หลายเดือนก่อน +1

      jenga nawewe udanganye watu,bro kujenga sio mchezo mtu akijenga ata chumba kimoja muheshimu.​@@user-ru1bk1we4g

    • @samwesupa6906
      @samwesupa6906 4 หลายเดือนก่อน +1

      Mjinga uyo muongo b nyumba ile

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 4 หลายเดือนก่อน +3

    Eti mtu wa mjini really? Dunia gani inakusikiliza wewe taahira?

    • @yuzotv458
      @yuzotv458 4 หลายเดือนก่อน +1

      anajambo mnywa smart gin uyu.

  • @almasbakari5359
    @almasbakari5359 4 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-iu9yh2zf2x
    @user-iu9yh2zf2x 4 หลายเดือนก่อน

    uchawa nao unalipa bhn 😂😂😂😂😂

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 4 หลายเดือนก่อน

    Muislamu kufaa mslaba✝️ ina maana gani?

    • @BongoPlus
      @BongoPlus  4 หลายเดือนก่อน

      Mwachie yeye na Mola

    • @Abu-Hamza254
      @Abu-Hamza254 4 หลายเดือนก่อน

      @@BongoPlusTanzania kiki na shillingi hamna dini…Anyway

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hopeless magot, bure kabisa wewe, wapi uliona milioni 150 zikajenga gorofa, mpongeze mwenzako kubali kuwa kakuzidi huto pungukiwa na kitu.