Katika uongonzi ukiweza kuwa mkweli tu lazma maendeleo uyaone live. hongerea sana Rais wetu kwa kazi nzuri unazozifanya kwa ajili ya taifa lako mungu akulinde sana na akupe afya njema.
YESU walimchukia walimthiaki walimtesa atimae walimuuwa ila kilichoshangaza DUNIA pale alipofufuliwa kwenda MBINGUNI yote yalitokana na kazi nzuri aliokuwa akiwafanyia walimwengu lakini walimwengu hawakumuelewa, Acha wakuseme kwa mabaya wakutukane wakusengenye ila ukweli utabaki kuwa ukweli Leo hi Libya wanajuta Mimi nakuunga mkono. I LOVE CCM, I LOVE TANZANIA.
He don't know how to rescue people from extremely poverty# Tanzania is the richest country in the world but still we are the poorest of poorest in the world
ukweli na uwazi ndio hakhi kwa muumini wa mungu. twende na wakati tubadilike na Magu ili tuokoke kwa Mungu tupate Rehma na Amani Duniani na Ahkera Amin💯
Tumekuwa tukiongozwa na majuha kina mkapa miaka yote na mkwere aliyeruhusu hata majambazi wavamie bank mchana na wageni wanyanyase wazawa lakini kwamara ya kwanza naona kiongozi wa ndoto zangu!!Mungu akulinde baba
Ya ani Baba nakuombea usitoke madarakani. Hivi tufanyaje ili ukae madarakani milele. Maana nchi yetu inakuhitaji sana. Pole kwa maana kazi unayo. Mungu akupe ulinzi na afya.
Mda mwingine uko vizur ukiacja uchama utakuwa raisi wa. Watu lkn ukiendelea kubadilisha watu kutoka chadema kwenda ccm et ili uaminike kwa watu hapo hatufika wapinzani wamhimu sna
Wewe Ndio Jambazi Unayeiba Kura Kwenye Chaguzi Ndogo, Kwa Kutumia Mapolisi na Wakurugezi na Wajumbe wa NEC. WIZI WA KURA NDIO UJAMBAZI MAMA LAO. MAGUFULI WEWE NI JAMBAZI, Unaona Majambazi Ni wanaoiba Kura tu? PUMBAVU
Kwa nchi ilipokua imefikia kwel MZEE baba Piga kazi. Mapungufu hayakosekani lakini nyoosha goti tu. Nchi kila pahala hovyo sana. Mambo ya ajabu Kwel yamefanyika vipind Vya nyuma
Mheshimiwa rais weka mifumo ya kudumu ambayo haitachezewa hata ukimaliza muda wko.isijw ikawa baada ya kipindi chako tukajikuta tumerudi kule kule.Ni kweli maendeleo kuna wakati yanahitaji msukumo wa nguvu bila kuoneana aya
Mzee magufuli utakapompeleka gachuma mahakamani ntakuwa shahidi nimeshuhudia kwa macho yangu anavokihujumu kiwanda cha zzk. Mbeya kauza vipuri vyote my God hadi inasikitisha
Katika uongonzi ukiweza kuwa mkweli tu lazma maendeleo uyaone live. hongerea sana Rais wetu kwa kazi nzuri unazozifanya kwa ajili ya taifa lako mungu akulinde sana na akupe afya njema.
YESU walimchukia walimthiaki walimtesa atimae walimuuwa ila kilichoshangaza DUNIA pale alipofufuliwa kwenda MBINGUNI yote yalitokana na kazi nzuri aliokuwa akiwafanyia walimwengu lakini walimwengu hawakumuelewa, Acha wakuseme kwa mabaya wakutukane wakusengenye ila ukweli utabaki kuwa ukweli Leo hi Libya wanajuta Mimi nakuunga mkono. I LOVE CCM, I LOVE TANZANIA.
Kenya we need leader like you .am sure u are not everyone's cup of tea but you are doing great God bless you
amands Mwangi mtapata tu ndugu zetu wakenya for sure
amands Mwangi not really bro @ kagame is the best leader
@@Frazztraveller I just like the way he dies beat about the bushe and decides cases on the spot .actually he is an intelligent leader
amands Mwangi he do those for his political stunt. Not for the public interest
He don't know how to rescue people from extremely poverty# Tanzania is the richest country in the world but still we are the poorest of poorest in the world
Baba piga kazi mzee wetu love love more
Asiyefya kazi asile
huyu ndie rais, wengine wanaigiza tu! Mungu mbariki rais wetu mpendwa Magufuli na serikali yake! Mungu ibariki Tz!
hapo Hongera sana Mh
umesema yanayowagusa wapiga madili.
Tz Tanzaniaaa nakupenda kwamoyo woteee😍
Nakupenda saaaaana magufuli hakika tulichelewa
fanya kazi.tumekuajili ututumikie sasa ukiwajibika wanakasirika.buldoza songa mbele
hongera RAIS MAGUFULI kwa kusisitiza uadilifu
Mh.Rais kumbe unamaono mapana kutambua kwamba wapo watu wazuri wanachafuliwa na kupigwa vita na wasio wema big up chapa kazi Magufuli mulika wote.
Hapo anko huna ukorof wakorof wao
Nyoosha mzee nyoosha
Video quality is super dope bro @Millard Ayo
Kumsikiliza Rais ni burudani mwanzo mwisho.
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥👌
Salmada Laquimane piga kazi
Chapa kazi mzeee
Magufuli Jembe. Jembe. Jembe . Jembee. Jembeeeeeeeee
Semayote baba nilichagua jembe safiiiiiiii magufuli wetu
ukweli na uwazi ndio hakhi kwa muumini wa mungu. twende na wakati tubadilike na Magu ili tuokoke kwa Mungu tupate Rehma na Amani Duniani na Ahkera Amin💯
watanzania mm binafsi nkiwa mkenya na wenzangu...tunawaonea wivu sana kupata rais kama huyu...huyu ni rais na nusu...ambae hana mfano..
Lets exchange with Uhuru
Mungu akusimamie Mheshimiwa piga kazi
chapa kazi, utukumbuke na wafanyakazi mishahara kutuongezea hali si shwari mungu akubaliki
Mndumii. Nakutarame. Kokac Ngicha Nuilunda Aika Mmbe
Tutakukumbk sana
Tunyoooooooooosheeeeee baba!! Ila kimoja tu nssf zetu hasa sector binafsi umenyonga!!
Viva forever magufuli🙏💪
Mahatma Gandhi's quote "you can torture or kill any person but you can't kill his/her ideas."
DAMASCO NGONGI
mzee piga kazi tuheshimiane mjini
Tumekuwa tukiongozwa na majuha kina mkapa miaka yote na mkwere aliyeruhusu hata majambazi wavamie bank mchana na wageni wanyanyase wazawa lakini kwamara ya kwanza naona kiongozi wa ndoto zangu!!Mungu akulinde baba
Axante
My boss
Huyu jamaa anachokifanya sio kwa watanzania wa leo kesho ni faida kubwa sana kwa watoto wetu piga kazi sana jembe
😀😀😀😀
Ya ani Baba nakuombea usitoke madarakani. Hivi tufanyaje ili ukae madarakani milele. Maana nchi yetu inakuhitaji sana. Pole kwa maana kazi unayo. Mungu akupe ulinzi na afya.
Mda mwingine uko vizur ukiacja uchama utakuwa raisi wa. Watu lkn ukiendelea kubadilisha watu kutoka chadema kwenda ccm et ili uaminike kwa watu hapo hatufika wapinzani wamhimu sna
Tanzania yenye kufuata Sheria my foot! Wewe Magufuli Unafuta Sheria? PUMBAVU!
Ndio
piga kazi raisi
Mzee ananyooosha!!
wewe nikinara wamaraisi dunia zima
Nyerere wa pili hakika Rais wetu Maguful Tanzania tunakupenda
Mzee unatisha unaprotocal kama zangu yaani maana penye ukweli huwa sipindishi. I love my president JPM
kweli baba
ghachuma aache usumbufu alipe hera za watu bunda
Aliuza nani???!!
Tatizo lako ulichelewa kugombea urais. Tungekuwa mbali mno. Basi mzee jihukumu mwenyewe kwa kosa hilo uongeze miaka kumi
Mwenyezi mungu akusimamie mheshimiwa rais
MUNGU AKUBALIKI SANA MZEE
JPM...he is the last of the dying breed...hajawahi kutokea kiongozi kama hyu tanzania...Songa mbele!!
Mh. Maguful tunakupenda znz
Tunakoelekea Raisi akikuchagua kuw wazir unakimbia nnchi uwiii unaona mawazir wanavyoteseka!
Mbona ziara imetawaliwa na Ccm ccm Mara chadema Mara Ccm ,nnn haswa zumun lake
Sasa Tanzania ya ukweli na uwazi yajaa
Wewe Ndio Jambazi Unayeiba Kura Kwenye Chaguzi Ndogo, Kwa Kutumia Mapolisi na Wakurugezi na Wajumbe wa NEC. WIZI WA KURA NDIO UJAMBAZI MAMA LAO. MAGUFULI WEWE NI JAMBAZI, Unaona Majambazi Ni wanaoiba Kura tu? PUMBAVU
Aise kuwa makini na domo lako kumtukana RAIS WETU tumpendae unafanya dhambi nenda katubu
Gachuma na wenzake ni wezi hawana haja ya kuendeleza nchi ila tukwq mafufaa yao kinafsi
Kwa nchi ilipokua imefikia kwel MZEE baba Piga kazi. Mapungufu hayakosekani lakini nyoosha goti tu. Nchi kila pahala hovyo sana. Mambo ya ajabu Kwel yamefanyika vipind Vya nyuma
😭😭😭😭🙏🇹🇿
mzee magu sikua na ushawishi wa kupiga kura lkn 2020 nitafanya hivyo nikiwa hai
Hahaaaaa gachuma Mimi no jlan yangu xana
Nyasaye omii teko idhi nyime gi tich ni....
kumbe kufukuzwa CCM mpaka urais uishe! mi nilifikiri muda wowote tu wanachama wakiamua wanakufukuza kumbe!
Duh
Hj
Mheshimiwa rais weka mifumo ya kudumu ambayo haitachezewa hata ukimaliza muda wko.isijw ikawa baada ya kipindi chako tukajikuta tumerudi kule kule.Ni kweli maendeleo kuna wakati yanahitaji msukumo wa nguvu bila kuoneana aya
Safi mkuu tufikishe baba
Safi sanaaa
Mzee magufuli utakapompeleka gachuma mahakamani ntakuwa shahidi nimeshuhudia kwa macho yangu anavokihujumu kiwanda cha zzk. Mbeya kauza vipuri vyote my God hadi inasikitisha
kweli fichua uzembe
saut mbovu bn
Huyu ndio Putin wa Afrika
Usitaje ccm ukiitaja ccm unabagua
Huyu anaweza ukuu wa wilaya
Ndikumana Jackson Nhamala pigaga kazi hakuna kazi isiyo na lawama
للللدللجحل