RAIS MAGUFULI, KAWATAJA GACHUMA NA ZAKARIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2018
  • Rais Magufuli amesema Serikali yake haina urafiki na Viongozi wasiowaadilifu kwa mali za Watanzania hata kama ni Viongozi wa chama.

ความคิดเห็น • 94

  • @jumamsananga8683
    @jumamsananga8683 5 ปีที่แล้ว +1

    Katika uongonzi ukiweza kuwa mkweli tu lazma maendeleo uyaone live. hongerea sana Rais wetu kwa kazi nzuri unazozifanya kwa ajili ya taifa lako mungu akulinde sana na akupe afya njema.

  • @charlesowuor7939
    @charlesowuor7939 5 ปีที่แล้ว

    YESU walimchukia walimthiaki walimtesa atimae walimuuwa ila kilichoshangaza DUNIA pale alipofufuliwa kwenda MBINGUNI yote yalitokana na kazi nzuri aliokuwa akiwafanyia walimwengu lakini walimwengu hawakumuelewa, Acha wakuseme kwa mabaya wakutukane wakusengenye ila ukweli utabaki kuwa ukweli Leo hi Libya wanajuta Mimi nakuunga mkono. I LOVE CCM, I LOVE TANZANIA.

  • @amashbaibe
    @amashbaibe 5 ปีที่แล้ว +33

    Kenya we need leader like you .am sure u are not everyone's cup of tea but you are doing great God bless you

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 5 ปีที่แล้ว +1

      amands Mwangi mtapata tu ndugu zetu wakenya for sure

    • @Frazztraveller
      @Frazztraveller 5 ปีที่แล้ว

      amands Mwangi not really bro @ kagame is the best leader

    • @amashbaibe
      @amashbaibe 5 ปีที่แล้ว

      @@Frazztraveller I just like the way he dies beat about the bushe and decides cases on the spot .actually he is an intelligent leader

    • @Frazztraveller
      @Frazztraveller 5 ปีที่แล้ว

      amands Mwangi he do those for his political stunt. Not for the public interest

    • @Frazztraveller
      @Frazztraveller 5 ปีที่แล้ว

      He don't know how to rescue people from extremely poverty# Tanzania is the richest country in the world but still we are the poorest of poorest in the world

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge5543 5 ปีที่แล้ว +7

    Baba piga kazi mzee wetu love love more

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala8905 5 ปีที่แล้ว +6

    huyu ndie rais, wengine wanaigiza tu! Mungu mbariki rais wetu mpendwa Magufuli na serikali yake! Mungu ibariki Tz!

  • @andreap.assenga8480
    @andreap.assenga8480 5 ปีที่แล้ว +1

    hapo Hongera sana Mh
    umesema yanayowagusa wapiga madili.

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 5 ปีที่แล้ว +8

    Tz Tanzaniaaa nakupenda kwamoyo woteee😍

  • @divaifrank764
    @divaifrank764 5 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda saaaaana magufuli hakika tulichelewa

  • @pueblo148
    @pueblo148 5 ปีที่แล้ว +14

    fanya kazi.tumekuajili ututumikie sasa ukiwajibika wanakasirika.buldoza songa mbele

  • @michaelsukwa4371
    @michaelsukwa4371 5 ปีที่แล้ว

    hongera RAIS MAGUFULI kwa kusisitiza uadilifu

  • @michaelnyauko6049
    @michaelnyauko6049 5 ปีที่แล้ว +1

    Mh.Rais kumbe unamaono mapana kutambua kwamba wapo watu wazuri wanachafuliwa na kupigwa vita na wasio wema big up chapa kazi Magufuli mulika wote.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 ปีที่แล้ว +8

    Hapo anko huna ukorof wakorof wao

  • @abdulmillanzi7355
    @abdulmillanzi7355 5 ปีที่แล้ว +4

    Nyoosha mzee nyoosha

  • @hamisisuche4167
    @hamisisuche4167 5 ปีที่แล้ว

    Video quality is super dope bro @Millard Ayo

  • @frbm1729
    @frbm1729 5 ปีที่แล้ว +5

    Kumsikiliza Rais ni burudani mwanzo mwisho.

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 5 ปีที่แล้ว +4

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥👌

  • @sudeinwahab906
    @sudeinwahab906 5 ปีที่แล้ว

    Chapa kazi mzeee

  • @fredkyara.babamunguwambing482
    @fredkyara.babamunguwambing482 5 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli Jembe. Jembe. Jembe . Jembee. Jembeeeeeeeee

  • @flownluvanda5263
    @flownluvanda5263 5 ปีที่แล้ว +2

    Semayote baba nilichagua jembe safiiiiiiii magufuli wetu

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 5 ปีที่แล้ว

    ukweli na uwazi ndio hakhi kwa muumini wa mungu. twende na wakati tubadilike na Magu ili tuokoke kwa Mungu tupate Rehma na Amani Duniani na Ahkera Amin💯

  • @manofreality3656
    @manofreality3656 5 ปีที่แล้ว +5

    watanzania mm binafsi nkiwa mkenya na wenzangu...tunawaonea wivu sana kupata rais kama huyu...huyu ni rais na nusu...ambae hana mfano..

  • @davidmasero5165
    @davidmasero5165 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akusimamie Mheshimiwa piga kazi

  • @mwidinijuma1580
    @mwidinijuma1580 5 ปีที่แล้ว

    chapa kazi, utukumbuke na wafanyakazi mishahara kutuongezea hali si shwari mungu akubaliki

  • @fredkyara.babamunguwambing482
    @fredkyara.babamunguwambing482 5 ปีที่แล้ว +4

    Mndumii. Nakutarame. Kokac Ngicha Nuilunda Aika Mmbe

  • @inosentsagera1664
    @inosentsagera1664 2 ปีที่แล้ว

    Tutakukumbk sana

  • @franknyant51
    @franknyant51 5 ปีที่แล้ว

    Tunyoooooooooosheeeeee baba!! Ila kimoja tu nssf zetu hasa sector binafsi umenyonga!!

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani4919 5 ปีที่แล้ว

    Viva forever magufuli🙏💪

  • @damascongongi1609
    @damascongongi1609 5 ปีที่แล้ว +3

    Mahatma Gandhi's quote "you can torture or kill any person but you can't kill his/her ideas."

  • @Mobmob2013
    @Mobmob2013 5 ปีที่แล้ว

    mzee piga kazi tuheshimiane mjini

  • @myself4128
    @myself4128 5 ปีที่แล้ว

    Tumekuwa tukiongozwa na majuha kina mkapa miaka yote na mkwere aliyeruhusu hata majambazi wavamie bank mchana na wageni wanyanyase wazawa lakini kwamara ya kwanza naona kiongozi wa ndoto zangu!!Mungu akulinde baba

  • @shedrackmanga509
    @shedrackmanga509 2 ปีที่แล้ว

    Axante

  • @mapalozambia7560
    @mapalozambia7560 5 ปีที่แล้ว

    My boss

  • @najmasaleh9231
    @najmasaleh9231 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa anachokifanya sio kwa watanzania wa leo kesho ni faida kubwa sana kwa watoto wetu piga kazi sana jembe

  • @markosirikwa3874
    @markosirikwa3874 5 ปีที่แล้ว +2

    😀😀😀😀

  • @setyurgaolshigher1477
    @setyurgaolshigher1477 5 ปีที่แล้ว

    Ya ani Baba nakuombea usitoke madarakani. Hivi tufanyaje ili ukae madarakani milele. Maana nchi yetu inakuhitaji sana. Pole kwa maana kazi unayo. Mungu akupe ulinzi na afya.

  • @blastermkama9805
    @blastermkama9805 5 ปีที่แล้ว +1

    Mda mwingine uko vizur ukiacja uchama utakuwa raisi wa. Watu lkn ukiendelea kubadilisha watu kutoka chadema kwenda ccm et ili uaminike kwa watu hapo hatufika wapinzani wamhimu sna

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 ปีที่แล้ว

    Tanzania yenye kufuata Sheria my foot! Wewe Magufuli Unafuta Sheria? PUMBAVU!

  • @juliusjoseph1188
    @juliusjoseph1188 3 ปีที่แล้ว

    Ndio

  • @bundalakibwana5899
    @bundalakibwana5899 5 ปีที่แล้ว

    piga kazi raisi

  • @felixjunior4772
    @felixjunior4772 5 ปีที่แล้ว +10

    Mzee ananyooosha!!

    • @peterwasima3106
      @peterwasima3106 5 ปีที่แล้ว

      wewe nikinara wamaraisi dunia zima

    • @eliyamdeke4171
      @eliyamdeke4171 5 ปีที่แล้ว

      Nyerere wa pili hakika Rais wetu Maguful Tanzania tunakupenda

    • @amosreuben1991
      @amosreuben1991 5 ปีที่แล้ว

      Mzee unatisha unaprotocal kama zangu yaani maana penye ukweli huwa sipindishi. I love my president JPM

  • @robertshemaonge6000
    @robertshemaonge6000 5 ปีที่แล้ว

    kweli baba

  • @edinajoseph3773
    @edinajoseph3773 5 ปีที่แล้ว

    ghachuma aache usumbufu alipe hera za watu bunda

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim6402 5 ปีที่แล้ว +2

    Aliuza nani???!!

  • @loyceisack1781
    @loyceisack1781 5 ปีที่แล้ว

    Tatizo lako ulichelewa kugombea urais. Tungekuwa mbali mno. Basi mzee jihukumu mwenyewe kwa kosa hilo uongeze miaka kumi

  • @nancy6888
    @nancy6888 5 ปีที่แล้ว

    Mwenyezi mungu akusimamie mheshimiwa rais

  • @ramadhansylvesta1952
    @ramadhansylvesta1952 5 ปีที่แล้ว

    MUNGU AKUBALIKI SANA MZEE

  • @hashimnjowele6372
    @hashimnjowele6372 5 ปีที่แล้ว

    JPM...he is the last of the dying breed...hajawahi kutokea kiongozi kama hyu tanzania...Songa mbele!!

  • @shaabanahmed6293
    @shaabanahmed6293 5 ปีที่แล้ว

    Mh. Maguful tunakupenda znz

  • @vicemedicalhealthcareoffic2311
    @vicemedicalhealthcareoffic2311 5 ปีที่แล้ว

    Tunakoelekea Raisi akikuchagua kuw wazir unakimbia nnchi uwiii unaona mawazir wanavyoteseka!

  • @fundikilahfundi5725
    @fundikilahfundi5725 5 ปีที่แล้ว

    Mbona ziara imetawaliwa na Ccm ccm Mara chadema Mara Ccm ,nnn haswa zumun lake

  • @charlevande8821
    @charlevande8821 5 ปีที่แล้ว +1

    Sasa Tanzania ya ukweli na uwazi yajaa

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 ปีที่แล้ว

    Wewe Ndio Jambazi Unayeiba Kura Kwenye Chaguzi Ndogo, Kwa Kutumia Mapolisi na Wakurugezi na Wajumbe wa NEC. WIZI WA KURA NDIO UJAMBAZI MAMA LAO. MAGUFULI WEWE NI JAMBAZI, Unaona Majambazi Ni wanaoiba Kura tu? PUMBAVU

    • @magumbajaphet2063
      @magumbajaphet2063 5 ปีที่แล้ว

      Aise kuwa makini na domo lako kumtukana RAIS WETU tumpendae unafanya dhambi nenda katubu

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 5 ปีที่แล้ว

    Gachuma na wenzake ni wezi hawana haja ya kuendeleza nchi ila tukwq mafufaa yao kinafsi

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha4268 5 ปีที่แล้ว

    Kwa nchi ilipokua imefikia kwel MZEE baba Piga kazi. Mapungufu hayakosekani lakini nyoosha goti tu. Nchi kila pahala hovyo sana. Mambo ya ajabu Kwel yamefanyika vipind Vya nyuma

  • @bettykarume5619
    @bettykarume5619 2 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭🙏🇹🇿

  • @yusuphngollatv8875
    @yusuphngollatv8875 5 ปีที่แล้ว +2

    mzee magu sikua na ushawishi wa kupiga kura lkn 2020 nitafanya hivyo nikiwa hai

    • @edwingwesso129
      @edwingwesso129 5 ปีที่แล้ว

      Hahaaaaa gachuma Mimi no jlan yangu xana

  • @getajo1153
    @getajo1153 5 ปีที่แล้ว +1

    Nyasaye omii teko idhi nyime gi tich ni....

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 5 ปีที่แล้ว

    kumbe kufukuzwa CCM mpaka urais uishe! mi nilifikiri muda wowote tu wanachama wakiamua wanakufukuza kumbe!

  • @josephmlela9757
    @josephmlela9757 5 ปีที่แล้ว

    Duh

  • @mabruckemmanuel1556
    @mabruckemmanuel1556 2 ปีที่แล้ว

    Hj

  • @lumumbanyakisrya4776
    @lumumbanyakisrya4776 5 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa rais weka mifumo ya kudumu ambayo haitachezewa hata ukimaliza muda wko.isijw ikawa baada ya kipindi chako tukajikuta tumerudi kule kule.Ni kweli maendeleo kuna wakati yanahitaji msukumo wa nguvu bila kuoneana aya

  • @angelusilljujalijuja9852
    @angelusilljujalijuja9852 5 ปีที่แล้ว

    Safi mkuu tufikishe baba

    • @allyduale882
      @allyduale882 5 ปีที่แล้ว

      Safi sanaaa

    • @florianmwaibabile5308
      @florianmwaibabile5308 5 ปีที่แล้ว

      Mzee magufuli utakapompeleka gachuma mahakamani ntakuwa shahidi nimeshuhudia kwa macho yangu anavokihujumu kiwanda cha zzk. Mbeya kauza vipuri vyote my God hadi inasikitisha

  • @robertshemaonge6000
    @robertshemaonge6000 5 ปีที่แล้ว

    kweli fichua uzembe

  • @OfficielSamJr
    @OfficielSamJr 5 ปีที่แล้ว

    saut mbovu bn

  • @aliadam4773
    @aliadam4773 5 ปีที่แล้ว

    Huyu ndio Putin wa Afrika

  • @blastermkama9805
    @blastermkama9805 5 ปีที่แล้ว

    Usitaje ccm ukiitaja ccm unabagua

  • @ndikumanajackson9012
    @ndikumanajackson9012 5 ปีที่แล้ว

    Huyu anaweza ukuu wa wilaya

    • @elkanasmwidudumbi3025
      @elkanasmwidudumbi3025 5 ปีที่แล้ว

      Ndikumana Jackson Nhamala pigaga kazi hakuna kazi isiyo na lawama

  • @AhmadHassan-yd1mw
    @AhmadHassan-yd1mw 2 ปีที่แล้ว

    للللدللجحل