MZEE YUSSUF : SIACHI TENA TAARAB MPAKA KUFA KUZIKANA, TUNALEGEZA MIKONO NA VIUNO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 - บันเทิง
We ni ndugu yetu muislam usifany hivyo sawa yot maisha ila haya maneno siachi mpaka kufa ni kibri na Allah hawapendi wanaofanya kibri
Mungu hachezewi
Inalillah Waina ilayh rajuun
Astaghfirullah 😢😢
Mtihani wa njaa ni mbaya usiombeee
Al haji mzee yussuf
Innalillahi waina ilaihi rajiun
Allah atuongoze sisi sote na ndugu zetu wote waislamu
Inna lillah wainna ilayhi raj'un
Allah akuongoze ...ipo siku utakuja juta
Tulia
Huyu kashakua shetani sai hata umwambie nn
Hata umuadhinie sikioni haelewi
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJI'UN
Haijawa hiii dunia ila ni mapambo tu yenye kuhadaa the world is a beautiful lie
Kipo kitakachokiachisha,ugonjwa tu wakoo😂
Umechezea hela ya kwenda Makkah bure..
Shetani kakuteka ila kaburini utaingia mwenyewe
Hii dunia wengi wamefanya kama wewe lakini wameshakufa siku nyingi
Subhnaallah
Kumbuka dhambi kubwa iliyomfanya ibilis alaaniwe ni kibri so usimsaidie shaitan akhy nakuusia ndugu hata kama unafanya biashara hii kharam na ndio kipato chako ila usiseme siachi hadi kufa
uyo sio yeye😊....muombeeni dua...na zile clip zake anazojiliza liza kinafki kwenye mihadhara ya kiislamu na kwenye ma intview zipo youtube
Mtihan sana huyu mtuu
Na kwa mungu akapige na kiuno na mkono ndio uko pia asisahsu Kuna kongamano
Uyu mzee kama anavuta bangi mdomo mweusi au ndo kahawa nyingi
masikini na sijda yake kaamua kumtumikia shetani haswaaa 😢
hatari sana
aya tumuachie Allah ndiye mjuzi
Mtangazaji uko vzr unauliza point na unampa mtu namna ya kujitengenezea mashabik nimependa endelea hivo hivo umemtengeneza yusuph ashindwe yeye tu kutoa ngoma💥
Hakika ya binadam yupo kwenye hasara
Dhahiri shahiri umejivika kiburi na kiburi ni vazi la m/mungu
Chunga mdomo wako kaka jua kuna kufa na ni nani atakaye kuzika??
Huyu nadhani ana uhusiano na firaun
@@FathiyaAlshidhani kabisa 😏
Sigda ya kulazimisha😅😅😅
Kuna kufa tu
Hata Issa Matona alisema hayo hayo
Ww si umerd mjn.
Endelea kabla hujrd shamba
Mpuuzi huyu
Ana sijda au nini hichi ...
Sijda ya unafiki
Skio la kufa halisiki dawa
Ukifa utaacha unafikiri utaishi milele
Kwani unamkomoa na si nafsi YAKO mwenyewe mwehu wewe.ila majuto yapo
Narudia tena pale akiulizwa na mungu na Mimi niwepo ntakipiga mie kiuno kaka akuna shida
Utapiga ww kiuno ili iwejee mbona binadam tunachupa mikapa kwa hururi ya dunia ila ipo siku ya majuto
@@hamzachum2953 Kaka hujanielewa nimesema ntakua shahid wa huyu bwana kwa kustaghfiru alaf akarud kwa shetani soma coment vzuri kaka
@@faridbinjumaonlinetv9258 sawa samahan sana tupo pamoja sheikh wangu
Kumbuka mauti hayana miadi.