MAMA KARUME ATEMA NYONGO | NITAMUADABISHA MZEE MAGOMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 197

  • @TumpeZakaria
    @TumpeZakaria 2 หลายเดือนก่อน +6

    Shikamoo Mama ❤

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter 2 หลายเดือนก่อน +7

    kweli kabisa huyo anatumiwa na watu huyo

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yule Mzee ni Njaa tuu. 😂😂😂 Kumbe kashazoea

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 2 หลายเดือนก่อน

    Dada mchana mwenzangu Asante

  • @JumaGendeye-sv6yl
    @JumaGendeye-sv6yl 2 หลายเดือนก่อน +4

    Sana mam unaweza 😂😂😂😂

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo magoma kafanya Nini tena😊

  • @FarajiSinawasa
    @FarajiSinawasa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyoo magoma ni shogaaa

  • @rukundorwiza5223
    @rukundorwiza5223 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma sisi yanga tunampenda

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe si Yanga ila ni kolo

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nimekuelewa sana dadaangu uko sawa sana

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 2 หลายเดือนก่อน +9

    Sasa nyinyi wenyewe waandishi ni wa kughushi mnamzulia mama wa Rais wetu wa mwanzo Zanzibar mbona mnatukosea nyinyi

  • @SafinaDanieli
    @SafinaDanieli 2 หลายเดือนก่อน +1

    💚💚💚💚💚

  • @ramadhanihot1945
    @ramadhanihot1945 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mzee afukunzwe tuu hapo jangwani mzee jinga sana hiloo

  • @ShukurkollAngel
    @ShukurkollAngel 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma ana matatizo ya kukosa hekima na busara. Kafilisika kiakili kabisaaaaa !

  • @ramadhanisimon
    @ramadhanisimon 2 หลายเดือนก่อน +1

    kwelii kabisa katukoseya sana huyo muzee fala kwelii huyo muzee

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani 2 หลายเดือนก่อน +2

    Uyo ayupo pekeyake wako wengi tena ata viongozi wakubwa

  • @saidmnenuka7822
    @saidmnenuka7822 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mama umeongea pointi sana namm naamini akili yake haiko sawa au njaa tu lakini kwa hili sizani kama atakuwa na raha

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 2 หลายเดือนก่อน +2

    Magoma wasimkubalie kukaribia.clabu yayanga.wala kuja kucheza.bao hapo clabuni.huyo ni wakumuogopa kama ukoma atawatia wanachama.namashabiki wayanga matatizoniii!!!

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 2 หลายเดือนก่อน +10

    Asante. Mama. Umeeleweka. Sana. Nyuma. Ya. Magoma. Kuna. Watu. Na. Mnao. Humohumo. YANGA. Wanamutumia. Kwa. Maslilahi. Yao. Binafsi. Kuweni. Macho. Na. Umakini. Unahitajika

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm 2 หลายเดือนก่อน +3

    Magoma Yuko vyema

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 หลายเดือนก่อน

      Inaonyesha magoma anatumiwa na madunduka

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kunguru huyooo mangoma

  • @rashidmkomange2278
    @rashidmkomange2278 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mama karume kaongea wapi sasa nyie nao mizinguo

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 หลายเดือนก่อน +3

    Magoma yuko sahihi tunazugwa na ushindi. Bodi ya Wazamini imepewa fedha. Haiwezekani wakaingia mikataba ya kimangungo kuanzia miaka 5 Hadi 10, wakati watani wetu hawazidi miaka 3. Kuhusu kwenda mahakamani anakuwa na hoja nzito. Asikilzwe, Jezi zimetoka 25,000/= mpaka 70,000/= huku gawio la timu ni 1,300/= tu.

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kamnunue.chama kwa bukujero ya jezi 😂😂

    • @FrankMpole-r7u
      @FrankMpole-r7u 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@maclaudismail6606😂😂😂

    • @eliyaraphael
      @eliyaraphael 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni kolo,,,, huna lolote na Magoma hapati kitu pale kuwa mpole

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mama karume gani uyo😁😁🏃🏃🏃

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน

      Mke wa rais wa kwanza wa zanzibar

  • @RabeccaAdam
    @RabeccaAdam 2 หลายเดือนก่อน

    Hogera sana mama

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma nakupendaa

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 หลายเดือนก่อน

    Hoja kwa hoja ,,leta hoja😁

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyoooo, mtajibeba Babu Mzee anaongea ukweli

    • @AshrafuJuma-l3l
      @AshrafuJuma-l3l 2 หลายเดือนก่อน

      Katobwe uko kumamayo Koro wewe hiii yanga kubwa kuriko bibi yako

  • @ibrahimmseti
    @ibrahimmseti 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wazee kama hawa hawafai.
    Itangazwe wazi kuwa siyo mwanachama.
    Ijulikane,ili hata akikutana na" Gen Z " wa Yanga

  • @AllDesigningTZ
    @AllDesigningTZ 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chanel hii ni ya hovyo

  • @chemstry409
    @chemstry409 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kabla ya kuruka agana na nyonga.... 😂😂😂😂😂

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri 2 หลายเดือนก่อน +3

    Asante dada nyie ndio wenye yanga

  • @sundaysHassan
    @sundaysHassan 2 หลายเดือนก่อน +1

    kwahiyo huyo ndio mama karume?

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watu kama Magoma wanatakiwa sana watu wasijisahau kupiga hela

  • @MajaliwaJuma-c5g
    @MajaliwaJuma-c5g 2 หลายเดือนก่อน +3

    Anasumbuliwa nanjaa

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 2 หลายเดือนก่อน +3

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mama karume niwakufoji

  • @AmosKayega
    @AmosKayega 2 หลายเดือนก่อน

    We mama magoma Yuko sahihi

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ongea mama etuu

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 2 หลายเดือนก่อน +1

    Washenzi nyieeeeeee😛😝😜🤪

  • @MohdAliHaji
    @MohdAliHaji 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mbona anashinda kesi

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shkamoo magoma,umewapa adabu Hawa migongo waz

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 2 หลายเดือนก่อน +1

    Njaaa mbaya kweli

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂 Eti huenda ana Katiba yake nyumbani

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu ndiye anajua kitakachokuja hapo baadaye. Kama yuko sahihi tutashuhudia issue fulani kwa Yanga😂😂😂

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 หลายเดือนก่อน

      Yanı ndugu nikwamba magoma anataka kəsi na vigogo wa serikali maq kawashtaki kinamwiguru tarıma mama karume saşa magoma anaringia nini😅😅😅😅

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huwezi mama huyu kasema ukweli.. na mapenzi na yanga.

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 2 หลายเดือนก่อน +4

    ACHUKULIWE HATUA KALI ZA KISHERIA NA AFUNGWE ILI IWE MFANO KWA WENGINE..

  • @FilipoBahava
    @FilipoBahava 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amezoea tunaomba Serikali imwadabishe ni mzee OVYO

  • @eliudmugendi9619
    @eliudmugendi9619 2 หลายเดือนก่อน +1

    Issue ni kuwa anachosema ni sahihi ama sio sahihi

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi 2 หลายเดือนก่อน

    Asant mama kwakutufumbua macho.ukweli tumeupata Sasa kagoma kaingia chakike sana

  • @madarakamarumbo6102
    @madarakamarumbo6102 2 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa huyo ni mama Karume? Huyo ni Siza Lyimo

  • @ErickSingano-o8r
    @ErickSingano-o8r 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ss sio watoto msicheze na akili zetu ulikua wapi hukumu ina mwaka sasa leo ndo mzee aonekane mbaya achen hizo kaen myamalize

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 2 หลายเดือนก่อน

      Hukumu ina mwaka mbona club aijui kama kuna hukumu mpaka mwezi uliopita wamefatilia wenyewe baada ya kusikia tetesi? Hiyo mahakama aijui yanga inapatikana Wapi? Kwa nini awakuhitumia club hiyo hukumu? Mzee njaa tu sijui km ushamskia akiongea utajua ni njaa tu,, Yanga taasisi kubwa nenda kaungane na huyo Magoma uhone km kitatokea chochote """

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yeye amesema mpelekeni ahakamani

  • @OsmanSiame-ou8ty
    @OsmanSiame-ou8ty 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mshenzi sn huyo babu

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mama eti hapa Magoma hela hapati

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 2 หลายเดือนก่อน +1

    Musimtishe mzee magoma asikilizwe

  • @dismasfabian2122
    @dismasfabian2122 2 หลายเดือนก่อน +2

    Cc tunataka furaha hayo mengine mnayajua ninyi

  • @papykatoziking2395
    @papykatoziking2395 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mzee ni njaa iyo yanga msaidiyeni mjengeeni nyumba nzuri basi atatuliya

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna kumjengea chohote! Hata banda la tope!

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน +1

      Waliomtuma wamjengee

    • @EliasNtejile
      @EliasNtejile 2 หลายเดือนก่อน

      Alikuwa wapi kujega alipokuwa kiongozi wa tawi

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน

      @@EliasNtejile hela zake alikua amefungia kwenye flaiz

    • @HadijaKiwambu
      @HadijaKiwambu 2 หลายเดือนก่อน

      Anataka ajengewe nyumba angoje nyumba ya mwisho ajengewe ye nyau mtu mkubwa onvo

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 2 หลายเดือนก่อน

    Magoma pa1 na hii Media iliyoppst jina la Mama Karume wote wachkuliwe hatua za kinidhamu.Mama Karume ni Mtu Mkubwa jmn

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 2 หลายเดือนก่อน

    Tuonyeshen nyumban kwake uyo mzee

  • @AbrahamMMcharo
    @AbrahamMMcharo 2 หลายเดือนก่อน

    Mama Karume tafadhali muadabishe huyu mtu,katumwa huyu kutuvuruga. Si kuadabishwa TU hata bakora apewe za kutosha. Zee zimaa LINAKERAAA. Likapige migoma huko huko!!!

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acha hawanyosheeee

  • @RashidRajab-oz5ec
    @RashidRajab-oz5ec 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa si mko na mwana sheria nendeni mahakamani mka mcahalange ukweli ujulikane tu c kila mtu Ana haki

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo magoma amechoka kuixhi sio mda ataenda dampo tukamfukie😢 nasemaje yanga bingwa adi 230🙏

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma.mfukuzeni yanga.kwa usalama wake amechokoza.taasisi kubwa

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 หลายเดือนก่อน

    Team ,imeuzwa ,ila wanajificha kwenye mafanikio

  • @MohamediSleyum
    @MohamediSleyum 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi ipo hapo yani hatuelewi nani mbaya kati ya wote waloshtaki

  • @zee-ow2wr
    @zee-ow2wr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hatoi hoja anachamba huyu mama?? Magoma kama ameghushi hzo saini s sheria zipo? Mamlaka zpo mumpeleke akafungwe?? Bas ni kwl kuna ktu hapa yanga?
    Na ww mwnye page uchwara huyo ndy mama karume? JINGA SANA

  • @agreykayombo1466
    @agreykayombo1466 2 หลายเดือนก่อน

    Tunahitaji kauli ya Mama Karume sio huyu

  • @MohamedyHuseni
    @MohamedyHuseni 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mohamedy ally

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mi ni mwanachama niko Mwanza nina machungu sana na huyu zumbukuku....

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 2 หลายเดือนก่อน +1

    Utuliv wa aina gani .achen8 kutetea wapigaji.magoma kaongea facts tupu.

    • @eliyaraphael
      @eliyaraphael 2 หลายเดือนก่อน

      Katika walio comment wote ww ndo umecomment Utumbo , kati ya Injinia na Magoma MPIGAJI nani hapo kama magoma anasema yeye anataka awe anapewa pesa kdg na wakati anakwambia ada ya uanachama halipi Sasa MPIGAJI nani au we kolo unataka Yanga ipolomoke Ili Upate urahisi Bado miaka mingne minne mbele ndo uwe bingwa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni kolo ndio maana unamtetea magoma

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 2 หลายเดือนก่อน

      @@eliyaraphael ubingwa mnachukua kwa bahasha na marefa na kudhamin team sita .ilo sina shake mtachukua kwa kua wazee wa tigo pesa .

  • @ALBERTNyemba-uk3fr
    @ALBERTNyemba-uk3fr 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwann msimfute uwanachama shida ni nini???

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma asikilizwe Yuko sahii muache kumnyonga,mnyonge mnyonge I ila mpenz hak

  • @DELAVEGA-c5x
    @DELAVEGA-c5x 2 หลายเดือนก่อน

    Magoma anawapiga mande mamaee😂😂

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mahakama sio wapumbav wamejiridhisha wakaona yuko sahihi.na uyu dada anachochea ugomvi kwenye maelezo yake.magoma komalia kwenye haki wataelewa tuu badae

  • @hamadihamisiambale8943
    @hamadihamisiambale8943 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mzee ni magoma moto njaa yamsumbua

  • @jumannemagawa5095
    @jumannemagawa5095 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yani hata picha yake kuoona tu popote inaleta hasira sana kwa upuuzi alio ufanya.

  • @ALLYHMHANDO
    @ALLYHMHANDO 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma. Onvo

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mpenihakiyake

  • @EliasNtejile
    @EliasNtejile 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mama nakuomba umsamehe Bure Mzee magoma.Kwani njaa hupoteza utu wa mtu hasa ukiwa mvivu wa kufikiria.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Magoma ana kitu na ana maono ya mbali wacha Awashitaki hamkuwa na Nidhamu nyie

  • @GabrielMyinga
    @GabrielMyinga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wazee wangu wa yanga nawaheshim Sana na Nina waamini kwani magoma yy ni nani mpaka achafue hali ya hewa yanga huyo tunamkabidhi kwa wazee wa yanga wamalizane nae.

  • @KhalfanNuhu
    @KhalfanNuhu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma fala tu njaa inampa tabu

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Mama yupo na akili sana Yani YANGA Ina watu sana

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 2 หลายเดือนก่อน +6

    Atafungwa kama pelemende

  • @DELAVEGA-c5x
    @DELAVEGA-c5x 2 หลายเดือนก่อน

    Kadange huko poch manyoya Kwan unafikir mkimua magoma ndo uhai wake mnaongezewa nyinyi Kila mtu ardhi inamsubiri nyoko ww 😂et ndo unaenda kwenye uzee si bib kabisa dooh hutak kuzeeka leta Hilo bunyanga tulisolobeke ukuni mamaee

  • @DamianMasawe
    @DamianMasawe 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mama karume yupo wapi hapa

  • @andrewmuya7212
    @andrewmuya7212 2 หลายเดือนก่อน +3

    Habari sio sahihi na kichwa Chako Cha habariAcheni uongo online tv

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mama huyu anachochea uadui utakao leta madhara makubwa sana kwa mashabiki.
    Mahakama, kwenye wabobezi wa sheria wameona Eng amekosea.
    Eng anaona ugumu gani kukaa na hao wazee wskaongea kama mahakama ilivyotaka?
    Sema tu Magona kalikamua jipu mapema, ila lipo.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 หลายเดือนก่อน

      Peka usimba huko umbea tu unakusumbua mbona nyee mlimkataa Mzee Hamisi kilomoni? Na mka muua Mzee wa watu

    • @mutakagoza4759
      @mutakagoza4759 2 หลายเดือนก่อน

      Majinga ya makolo yanaangaika

  • @VictorAlchard
    @VictorAlchard 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma yuko sahii😂

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe Magoma bwabwa eee

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 2 หลายเดือนก่อน

    Magoma anapenda vita aende ukrein huyo si mwanachama huyo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma kiwashe hvo hvo had kieleweke

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma hongeraaa unajua unajua teinaaaaaaa,mwaaaaaa👍

    • @suleimanmwenyemvua995
      @suleimanmwenyemvua995 2 หลายเดือนก่อน

      Ndiyo nyinyi mpo nyuma ya magoma zeee linataka kugongwa...anafufua kesi mchwara Yanga mbovu kwani kama simba???😂😂😂😂

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 2 หลายเดือนก่อน +1

    KWAN MAMA KARUME ANA MAHAKAMA YAKE?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 หลายเดือนก่อน +2

    MAMA KARUME UENDE MAHAKAMANI UKASEME HAYO SASA HAPO YA NN HAYO NENDA UKAMSHITAKI MAGOMA MAHAKAMANI. MBONA HAMUENDI?

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 2 หลายเดือนก่อน

      Tumia akili ww.Huyu siyo mama karume.Mwandishi ameamua kula MB zako kiwizi tu.

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 2 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi Yanga hamjielewi aliefoji sahihi sio Magoma bali kunamtu ambae ndie aliesema anawawakilisha wadaiwa wengine na sio, mimi nipotayari kuweka dau lolote kama Magoma ataguswa kwa fojari.

  • @BahatiO
    @BahatiO 2 หลายเดือนก่อน

    Gen z malizaneni na huyo babu jamani shabiki wa yanga kutoka 🇰🇪

  • @mohamedymkopi5887
    @mohamedymkopi5887 2 หลายเดือนก่อน

    ieleweke kuwa magoma siyo aliesambaza izo taharuki waulizwe hao walipokwenda kuchukua file mahakamani wakati kess haiwahusu then kuanza kusambaza habr hz mtandaoni… ye wala hakuusika straight 🎉

  • @mbinonyoso7501
    @mbinonyoso7501 2 หลายเดือนก่อน +1

    MAGOMA KENGE