ZIARA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI MKOANI RUKWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2019
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Rukwa ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Rukwa na Wilaya zake
Daaa!!!!!! hatari sana uwongozi we huyu mzee ni wakweli aise hongera mzee baba
Yaani angekuwepo tangu Uhuru saa hizi hii TZ ni zaidi ya Ulaya. God bless my President JPM.
Antony Kashube wacha kufananisha Ulaya na kitu vya kijinga wewe
@@amourmohammed3572yaani mashoga sijui kwa nini mnakurupukaga kuandika ugoro kama mnavyokurupuka kujinyea. Kakalie vibamia vya wazungu wako huko unipishe hapa.
Mwanza hawaishi wazungu choko wewe usifananishe Ulaya na upumbavu
@@amourmohammed3572 unadhani Ulaya ni kwa mama yako?
kupitia mh raisi wetu mpendwa na waziri mkuu nchii lazimaa ipaeee kwa harakaa kazi zinazofanywa haijawahi kutokeaa hakikaa sasa tanzania ni nchi ya kujivunia kuzaliwa love president love tanzania love africa
hahahahahaha kweli leo ndo nimeamin JPM usimkasirishe aiseee unaweza ukapoteza kaz mda wowote ule
Huyu ni mbogo haki ya mungu
RPC una Mungu duh!
Gari mbovu sio mpya 😁😁😁😁
Yanii hakuna alie kuwa salama katika uongozi wa uncle magu ukifanya ujinga imekula kwako hakuna kuogopana nampenda bure
Huyu Askari hata kuja kusahau alivyo ponea chupu chupu kutumbuliwa....nafikir atakuja kusimulia siku moja kilicho mkuta mbele ya JPM kweli aendelee kuomba kwa Mungu nafikir ndo kamuepushia ilo balaaaa
Duuuu awamu hii kazi ipo
Kudaaadekii jpm fire
Mungu akulinde Dr John pombe magufuli raisi wa wanyonge usiyependa MTU yeyote kuonewa
We can only say thank you 🙏🏿, you mean what you say
Nashukur sana Mr president
Watafutie gari jipya kwa kuthamin kaz yao
SAFI SANA TANZANIA KWANZA UZALENDO KWANZA
hawa watu walijisahau sana. hiyo ni dharau sana kwa kufikiri waziri hana ubavu na kukaidi amri halali ya waziri
Saluti MZEE JPM
Nitasema ukweli daima fitna kwangu mwiko na haki huinua taifa hizo nyimbo ni zawahenga hakika kula yangu haikupotea kamwe
MUNGU NDIO KILA KITU KWELI MH RAIS WAWANYONGE
Goo d san yni atuwez kuwa nawatu wazembe kwenye kz arafu mwisho mwez anapokey pesa zabure kz akuna uzembe uzembe awataki kur kwa jasho wanatak waninyinie tuu ofisi kutwa kunjwa chai na c juis zito 😏🙂ukwer ubaki kuwa hukwer tuu good
Haitoshi hiyo hela MJOMBA.
MUNGU NI MWEMA KWA NCHI YETU RAIS WAWANYONGE UWE NA AFYA NJEMA
KWAKWELI ASANTE MUNGU
huyu ndo jpm unanikosha kwenye moyo
kama umeona tecno kwa Rais niambie
Hawa wange pelekwa kulinda bank
Mkuu hana number ya IGP?🤣🤣🤣
Dont ever cross this dude..litakula kwako..cha kushangaza bado watu hawajampata!!!
erry deo Baado wanajaribu kiberiti.
Nafikiri mpaka siku achomoe betri ndio wamuelewe