ZIARA YA RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI MKOANI RUKWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Rukwa ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Rukwa na Wilaya zake
Very nice choir.
Saf baba mungu akurinde
Magu oyeeee
RPC alitakiwa amjibu Magu kuwa hao waliopewa dhamana ni watuhumiwa, hawajahukumiwa. Na kosa pekee lisilo na dhamana kwa mthumiwa ni jinai.
Mzee wa Namanyere hatakagi mchezo.
3:39:06 "Ulikua ufikika Dar es salaam, utadhani upo kiwandani". Kila mtu anatumia Generator. Miungurumo hiyo kakakaka
Kekekeke...😂😂
Iweje machifu wa kikabila wamuombe MUNGU wa dini za kigeni badala ya kuwaomba MABABU ZETU NA MIZIMU YETU?AU NDIO TUMESHATEKWA NA DINI ZA KIGENI ZA KUJA NA KUWAPUUZA MABABU NA MIZIMU YETU???!!!