Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo... kwenye link hii kwa EXCLUSIVE CONTENTS DONATE TO EBM SCHOLARS 1. PayPal www.paypal.com... 2. CASH APP cash.app/$EBMS...
Mkuu asante kwa sana kwa kutuelimisha,naomba utuandalie kipindi cha maelezo ya kina pindi unapofika Washington DC airport,ukishuka na hadi kufika geti la kutokea nje nk.kuna jamaa waliyumba sana
Hivi hayo mambo yote nayafanya ili niweze kwenda Marekani!? Kweli!!? Tueshimiane Bwana. Unapambana kama unakwenda Mbinguni, surely!? Haya mambo huwa yananikera sana. Na kwanini udanganye ili uende Marekani au hata maahala kwingine? Sitakiwi kuwa makini, natakiwi kuwa honest mwanzo mwisho period. Ukipata sawa ukikosa sawa. Wanaohisi wakienda Marekani ndio wameula think again. Tueshimiane Bwana.
Kwakua wewe unajua ndio unaona KERO kuwa ndefu lakini Kuna watu wananufaika zaidi anapoelezea Kwa upana maana wanajifunza zaidi ktk mengi!!! Hata EBM akisema aongee kifupi anaweza sababu yeye tayari anajua hayo lakini anafaham Kuna watu hawajui chochote
Je tukiacha immigrate Visa za green card holder, kuolewa au kuowa raia wa Marekani je kuna visa nyengine za immigrate ?au kwa njia visa za permanent..kwamfano mtu amekosa green,napia hataki kuowa au kuolewa na raia wa Marekan..kuna njia nyengine mbadala ya kuwa kaazi wa kudumu Marekani?
Yes mkuu habari yako,Nakupata vyema nikiwa Bahrain
Mkuu asante kwa sana kwa kutuelimisha,naomba utuandalie kipindi cha maelezo ya kina pindi unapofika Washington DC airport,ukishuka na hadi kufika geti la kutokea nje nk.kuna jamaa waliyumba sana
Hivi hayo mambo yote nayafanya ili niweze kwenda Marekani!? Kweli!!? Tueshimiane Bwana. Unapambana kama unakwenda Mbinguni, surely!? Haya mambo huwa yananikera sana. Na kwanini udanganye ili uende Marekani au hata maahala kwingine? Sitakiwi kuwa makini, natakiwi kuwa honest mwanzo mwisho period. Ukipata sawa ukikosa sawa. Wanaohisi wakienda Marekani ndio wameula think again. Tueshimiane Bwana.
Nakuelewa vizury kaka, from Dubai
25:03 nakupataje mkuu naitaji form ya non migrant visa
Ahsante saaana Mheshimiwa tunashkuru saaana Ernest Makulilo
Kwakweli Mungu amekupa kipaji cha kuelimisha jamii tena Mungu akuzidishi,nakama sisi jamii hatuelewi basi hatuelewi tena
Ivi ni kweli Canada imeanzisha programm yakuchukua wafanyakazi Toka afrika
kuwa makini na scammers utakuja kupigwa na kitu kizito kichwani
Hongera sana kwa somo kubwa hakika unasitahili pongezi maana wengi wameshidwa kupata kwa makosa hayo hayo
Nimekuelewa sana na nitazidi kujifunza kwako from 🇹🇿Tanzania
Mkuu iyo point nzuri sana
Hello Mr EBM 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Asante sana kaka Asante umenipa nguvu
Unatuelimish Sisi wa congolese mkuu
5/5 from 🇨🇩🇨🇩
Ahsante sana , nimekuelewa sana EBM
Safi mkuu hili darasa muhimu
Mungu akubariki sana sana ndungu!
Kazi nzuri live Long
Asante EBM, udumu.
Asante kaka
Mheshimiwa nakufata vizuuuri
nice content
Nipo nakuelewa mkuu
EBM what can happen to Dv Lottery Program when Trump win USA General Election
Kwa watanzania mtwambie lugha ya kiswahili inaruhusuwa kutumika kwenye interview
Hii subject haitakiwi kuwa ndefu. BM ungesema tu watu wawe waadilifu na wakweli kujaza form.
Kwakua wewe unajua ndio unaona KERO kuwa ndefu lakini Kuna watu wananufaika zaidi anapoelezea Kwa upana maana wanajifunza zaidi ktk mengi!!! Hata EBM akisema aongee kifupi anaweza sababu yeye tayari anajua hayo lakini anafaham Kuna watu hawajui chochote
Ni roho mbaya tu hapendi wengine wafahamu zaidi
Hello! Elimu ya Tz inanafasi Gani USA? hasa QT(high school???
Ema mi nimuumini wako kabisa kuliko woooote wa mambo ya safari
Je tukiacha immigrate Visa za green card holder, kuolewa au kuowa raia wa Marekani je kuna visa nyengine za immigrate ?au kwa njia visa za permanent..kwamfano mtu amekosa green,napia hataki kuowa au kuolewa na raia wa Marekan..kuna njia nyengine mbadala ya kuwa kaazi wa kudumu Marekani?
Njia ya kazi mwajiri atakufanyia sponsarship(H1B to EB3 to greencard
Nisipokuja Marekani napata hasara gani kwa mfano? 😅😅
😂
@@abdallahdataguy 😄
😂
Kaa kwenu boss