SABABU ZA KUNYIMWA VIZA YA MATEMEBEZI YA USA NI HIZI HAPA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2024
  • Jiunge na EBM SCHOLARS Community ebmscholars.lo... kwenye link hii kwa EXCLUSIVE CONTENTS
    DONATE TO EBM SCHOLARS
    1. PayPal www.paypal.com...
    2. CASH APP cash.app/$EBMS...

ความคิดเห็น • 39

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 7 หลายเดือนก่อน +4

    Yes mkuu habari yako,Nakupata vyema nikiwa Bahrain

  • @alphoncemaganga1876
    @alphoncemaganga1876 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mkuu asante kwa sana kwa kutuelimisha,naomba utuandalie kipindi cha maelezo ya kina pindi unapofika Washington DC airport,ukishuka na hadi kufika geti la kutokea nje nk.kuna jamaa waliyumba sana

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hivi hayo mambo yote nayafanya ili niweze kwenda Marekani!? Kweli!!? Tueshimiane Bwana. Unapambana kama unakwenda Mbinguni, surely!? Haya mambo huwa yananikera sana. Na kwanini udanganye ili uende Marekani au hata maahala kwingine? Sitakiwi kuwa makini, natakiwi kuwa honest mwanzo mwisho period. Ukipata sawa ukikosa sawa. Wanaohisi wakienda Marekani ndio wameula think again. Tueshimiane Bwana.

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuelewa vizury kaka, from Dubai

  • @yahayamuya9138
    @yahayamuya9138 21 วันที่ผ่านมา

    25:03 nakupataje mkuu naitaji form ya non migrant visa

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante saaana Mheshimiwa tunashkuru saaana Ernest Makulilo

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 7 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli Mungu amekupa kipaji cha kuelimisha jamii tena Mungu akuzidishi,nakama sisi jamii hatuelewi basi hatuelewi tena

  • @izereswabri78
    @izereswabri78 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ivi ni kweli Canada imeanzisha programm yakuchukua wafanyakazi Toka afrika

    • @christopherrobert1948
      @christopherrobert1948 7 หลายเดือนก่อน +1

      kuwa makini na scammers utakuja kupigwa na kitu kizito kichwani

  • @brunonestory9881
    @brunonestory9881 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwa somo kubwa hakika unasitahili pongezi maana wengi wameshidwa kupata kwa makosa hayo hayo

    • @brunonestory9881
      @brunonestory9881 4 หลายเดือนก่อน

      Nimekuelewa sana na nitazidi kujifunza kwako from 🇹🇿Tanzania

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mkuu iyo point nzuri sana

  • @izereswabri78
    @izereswabri78 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hello Mr EBM 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @NigerianChicken
    @NigerianChicken 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kaka Asante umenipa nguvu

  • @ngoynzoagermain
    @ngoynzoagermain 7 หลายเดือนก่อน

    Unatuelimish Sisi wa congolese mkuu
    5/5 from 🇨🇩🇨🇩

  • @makongomaulid3157
    @makongomaulid3157 7 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana , nimekuelewa sana EBM

  • @johnmfuko4426
    @johnmfuko4426 7 หลายเดือนก่อน

    Safi mkuu hili darasa muhimu

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana sana ndungu!

  • @user-ki9wu6no3d
    @user-ki9wu6no3d 7 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri live Long

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 7 หลายเดือนก่อน

    Asante EBM, udumu.

  • @zanzibarafrica5945
    @zanzibarafrica5945 3 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mheshimiwa nakufata vizuuuri

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 5 หลายเดือนก่อน

    nice content

  • @michaelkomwiswa7048
    @michaelkomwiswa7048 7 หลายเดือนก่อน

    Nipo nakuelewa mkuu

  • @jumamunga5687
    @jumamunga5687 7 หลายเดือนก่อน +1

    EBM what can happen to Dv Lottery Program when Trump win USA General Election

  • @user-ql8ex7ge8s
    @user-ql8ex7ge8s 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa watanzania mtwambie lugha ya kiswahili inaruhusuwa kutumika kwenye interview

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson 7 หลายเดือนก่อน

    Hii subject haitakiwi kuwa ndefu. BM ungesema tu watu wawe waadilifu na wakweli kujaza form.

    • @ngaribaonlinetv
      @ngaribaonlinetv 7 หลายเดือนก่อน +2

      Kwakua wewe unajua ndio unaona KERO kuwa ndefu lakini Kuna watu wananufaika zaidi anapoelezea Kwa upana maana wanajifunza zaidi ktk mengi!!! Hata EBM akisema aongee kifupi anaweza sababu yeye tayari anajua hayo lakini anafaham Kuna watu hawajui chochote

    • @madarakambode7072
      @madarakambode7072 3 หลายเดือนก่อน

      Ni roho mbaya tu hapendi wengine wafahamu zaidi

  • @ngaribaonlinetv
    @ngaribaonlinetv 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hello! Elimu ya Tz inanafasi Gani USA? hasa QT(high school???

  • @user-sm6ex6ww4n
    @user-sm6ex6ww4n 7 หลายเดือนก่อน

    Ema mi nimuumini wako kabisa kuliko woooote wa mambo ya safari

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 7 หลายเดือนก่อน +1

    Je tukiacha immigrate Visa za green card holder, kuolewa au kuowa raia wa Marekani je kuna visa nyengine za immigrate ?au kwa njia visa za permanent..kwamfano mtu amekosa green,napia hataki kuowa au kuolewa na raia wa Marekan..kuna njia nyengine mbadala ya kuwa kaazi wa kudumu Marekani?

    • @alhajiabed7479
      @alhajiabed7479 25 วันที่ผ่านมา

      Njia ya kazi mwajiri atakufanyia sponsarship(H1B to EB3 to greencard

  • @bestman8182
    @bestman8182 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nisipokuja Marekani napata hasara gani kwa mfano? 😅😅