MAUAJI TENA ARUSHA: ASKARI WATUHUMIWA KUUA MTU KWA KIPIGO, BABA ASHINDWA KUVUMILIA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024
- MAUAJI TENA ARUSHA: ASKARI WATUHUMIWA KUUA MTU KWA KIPIGO, BABA ASHINDWA KUVUMILIA..
Baadhi ya walinzi wa shamba la maua la kampuni ya Kiliflora ambao ni askari wa shirika la uzalishaji Mali la jeshi la kujenga Taifa(SUMA JKT) ,wanadaiwa kusababisha kifo cha mkazi wa Chekereni wilayani Arumeru mkoani Arusha.
Askari hao wanadaiwa kusababisha kifo cha Richard Saibulu anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 23 mpaka 25 wakimtuhumu kuvamia ndani ya shamba hilo na kutaka kuiba mbao aina ya mirunda.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Arusha (RPC),Justine Maseju ametafutwa kuthibitisha tukio hilo lakini hajapatikana ofisini kwake na simu yake ya mkononi imeita bila kupokelewa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Kuna haja ya kuanzisha kampeni # SIRRO MUST GO !! GO SIRRO
Jamani ndugu zangu tuswali Sana tumuombe mungu Sana tutubie zambi zetu Sana hizi ni dalili za mwisho tuombe mwisho mwema
Nikweri kabisa maana hi Tumachi Tz yetu watu rihozao zimebadilikahivi😭😭
😭😭😭😭Ee Mungu wangu yalio tabiliwa yanatimia, Mungu tuhulumie
Kwa kweli haya mambo ya mauaji yamezidi, kila kukicha ni matukio ya mauaji. Poleni wafiwa Mungu awape subra kwa kipindi hiki kigumu kwenu, na Mungu akampe kauli thabit marehemu, iina Lilah Wainnailah Rajuun. 30.01.22.
Hasa huko Arusha mauaj kila kukicha
Mama tunaweza kumlaumu sana kwasababu baba alivyokuwepo matukio hatuku yaona kama ivi yani ukiamka asubhi unakutan na matukio ya vifo hi inamaana GANI Sasa tunakuwa n rais wa nini kam ndy ivi mama tunaomba ukae na watu wa usalam maisha yetu Yapo hatarini ukienda kazini ukiridi salama unamshukuru mungu.
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu Allah awaadhibu wote walio mdhulumu nafsi yake.
Poleni jamani wafiwa poleni sana .mungu awape subra
Dah kwakweli hii Alli nimbaya sana mungu tunakuomba tusimamie
Pepo la mauti Tanzania, Toka kwa Jina la Yesu.Eee mwenyenzi Mungu tusamehe mahali tulipokosea pasipo sisi kujua.turehemu ss ni waja wako.
Halafu sijawahi kumpenda hii salamu tunayoanzaga nayo..Salamu kwa jamuhuri ya Tanzania!!
Hatumuweki MUNGU mbele,
Tusalimiane kwa Jina la mwenyenzi Mungu muumba wa mbingu na nchi,na vyote vilivyomo, tukiwepo sisi wanadamu.
Surely
Utusamehe Mungu utuhurumie, uwafariji hawa waliopotelsewa na ndugu yao. Urejeshe amani ndani ya mioyo nayo. Natubu Mungu kwq ajili ya taifa langu
Poleni sana wafiwa mungu awape subra wakati huu wa huzuni
Poleni ndugu zangu mulie mupeteza Kija ppoleni sana ila jkt juma sio wazuri ata kidogo ni waaonefu muno na sio uko kwenu kila mahali walioko juma niwaonefu muno ila nao inafaa wachukuliwe atua kali sana na serikali la sivyo watawaumiza wasamaria wema
Suma Vijana wabaya sana na wengi wao wanadhulma wanadhulumu watu kwa fojari mbalimbali mungu ni mwema watalipwa kwa yale wanayofanya hapa hapa duniani
Jamani
Mungu sis wanao tunauwawa kama wanyama tuangalie baba twaja mbele zako
Maisha yamekuwaje mbona viongozi wapo kimya?
Acha tu inaumiza na akuna kiongozi anayezungumza .Tunaenda wapi?
Du hatari kama maaskari ndiyo wanao shiriki kufanya uhalifu raia tuta ponaje serikali iangalie hili swala kwa Kweli huku chekereni matukio ni mengi sana tunaogapa sana r i.p broo mungu akupunguzie adhabu ya kabri😭😭😭
Kinachosikitisha Zaidi ni campuni ya kiliflora inamilikiw na wazungu.Suma JKT NI WATANZANIA.kwanoni Suma mnawauwa ndugu zenu? Mwisho wa siku suma mnalipwa tu vijisenti na wazungu kwa Mwenyezi Mungu mtatoa hesabu ya hizo roho za watu mnazodhulumu.
Sasa alifuata nn kwa office za watu? Nanyi askari mngempeleka police.Jamani majambazi wa bunduki mbona hampambani nao?mnapambana na hao watoto
Pole sanaa sana mama
Jaman mbona mawaji yamezidi hif
Mungu wangu jamani kwanini lakini
Tz mauaji yamezidi aisee poleni sana familia
Poleni sana
Mama Tanzania nchi yangu inatakiwa kukombolewa maana damu inayomwagika juu yake ni najisi kubwa 😭😭😭😭, Mungu tupe nguvu ya kuikomboa ardhi ya nchi hii ili ibaki nzuri na ya kupendeza!!!!
Yn ningekuwa raisi, akiamungu ningeweka shelia kwa yeyote atayethubu kutoa huai wa mwenzie kwa kukusudia, Wallah wangenyongwa na kufa vibaya.. My be watu wangekuwa na hofu ya Mungu but why guys hatuna uluma😭😭😭😭😭😭😭😭😭....!!!!!!
Jaman jaman inauma
SUMA JKT kuna shida. Tanzania nzima wanalalamikiwa. NIT ni wao,
Asanteni Sana 😭😭
Mungu tsaidie jmn duh!!!! Mama Samia ckia kilio chawatu mahaskar wamezidi ktumia nguvu jmn 😭😭😭😭😭
Matendo yamauaji kinyama yanayoendelea kila uchao kote nchini ni matokeo ya uongozi mbovu wa vyombo vyetu vya usalama.
Tumechoka na mauaji haya ya kinyama yasiyokoma, viongozi wa juu wawajibishwe ili kupisha wengine wenye uwezo kuongoza vyombo hivi vya usalama.
innalilah wainailehm rajiun
MWAKA HUU WATU WANAKUFA, NDUGU, JAMAA, RAFIKI NA WAPENDWA WETU WENGI WANAUAWA, KAMA HATUNA VIONGOZI WALA WATAWALA
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Duh ee Mungu wangu
Aiise nimejikuta napata hasira kwa haya yanayoendelee
Askari wameua watu wengi mno hakika polise nizaidi ya magaidi na mungu na ss watanzanzania hatutawaacha salama hawa ma mbwa kila uonapo askari ona kama umekutana na simba mia jitetee hawa makumaaa tuu tunawaweza msiogope
Kabisa yani
Wanazngua kisenge yan huku mbagala zakhem wiki iliyopita waliuwa jamaa wa mtaani kabsa
Mwisho wasiku RAIA watachoka tutaanza kuwapiga mawe
Mkiwa tayari mnipitie kama mwanamke uchungu naujua nimeumia sana Sina Imani naaskar yeyoteyule
Ila ninyi wauwaji ninyi mngejua jinsi mnavyozichosha familia za watu mnavyofanya familia kuishi maisha magumu jamani poleni sana familia
Achatu ndugu yangu
Kwa hiyo sasa hv imekuwa tanzania ya vilio kila kona. Maana kila kukicha ni misiba inayotokana na mauaji.
Dawayao nikuvamia nao wakauliwa tu haya matukio ya askari kuuwa watu ktk nchii yameka endelevu sasa dawayao nawaonikuuliwa tu kammbua naiwe mmbuai tu
Nileteeni Hamza,,,
Jamani wameua kwanini wameua ameiba nini hayo maua ndiyo uuwe mtu maua na roho ya mtu kipi cha maana hivi kwanini askari wanaua sana
Poleni sana jamani 🙏🙏🙏
Umeona kila Siku mauaji mauaji mauaji
Askari wavuta bangi Sana cku hizi
Yaan baada ya kulinda wananchi wanauawa kama kuku.
Mungu atunusulu tunaelekea kubaya mno
Subhannallah
Kazi ipo! Askari na raia
Jamani Tanzania mbona mauaji yamezidi kiasi hiki kuna pepo gani hili Tanzania
Uongozi wa Suma uko wapi
Mungu tusaidie hatuna pa kukimbilia ila ni kwako tu
Mauaji yamezidi sana jamani
Poleni sana Jamani rest in peace brother 🙌
Uyo mzee 2amesema ajui alafu anasema wizi ameitwa kwenda kuiba usiku.sasa amuoni kama Kuna kitu hapo.vijana vijana tamaa inatuponza sana.
Aisee nchi hii ma askari wamekua sio wa kuaminika yani wanaweza kukuua na kesi hakuna
HIVI NIULIZE TU KWANINI HUWA MNAHOJI WAFIWA WENYE UCHUNGU MPAKA WANASHINDWA KUONGEA😔😔
Kwani wasinge wahoji ungekuja hapa ku comment
RIP poleni sana wafiwa
Maaskari wageuka wauwaji.
Hizo siasa wanataka vita ahooo mungu baliki Tanzania yetu 😭😭😭😭
Walimbishia hamza na wakasema alikua gaidi , , sasa hiki nini ? Mungu anafichua mliokua mnayaficha miaka mingi, askari wanaua raia wengi saana
Inna Lilah wainna ilah rajiuun
Poleni sana wafiwa kwa msiba mzito Mola awape subra kipindi hiki cha msiba
iGP Sirooooo KAAMBIWA NA mama Niniii
Kazi iendelee 🤣🤣🤣
Mauaji mauaji mbona yanaongezeka ?
DAAAAA HIII HARI IMESHAKUWA NGUMU SANAAAAA🤔
Eee Mungu tusaidie na utusamehe matukio yamekuwa ni mengi mnoo
Tuna uwana wenyew kwa wenyew mungu wangu😭😭😭😭
Rest in peace ✌️
Jameni Maskari wakutulinda sisi tena njo inakuwa viikwazo kwa sisi RAIA KW3LI INATIYA UCHUNGU MWEINGI
Inalilah waina ilah rajiun
Jmn jmn jmn jmn 😭 tunaenda wapiiiii kwani
Jaman hebu sasa tukae tulie na Mungu watu wanatekwa, wanachinjwa ,wanachomwa visu wanabakwa ,wanajinyonga,mara moto, mara mafuriko sijaskia serekali ikitoa tamko lolote sasa watu wanajichukulia maamuzi tu😭😭😭😭
Rais Mama Samia upo?! Ww si ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii? Vyombo vya ulinzi na usalama, services za upelelezi na ujasusi sizipo chini yako ? Mbona hauchukui hatua yoyote? Wananchi tumkimbilie nani mwingine ? 😭😭😭
Huyo baba kanitia uchungu jamni😭😭😭😭😭😭
Watanzani tunahitaji mabadoliko jeshi letu ni la uuwaji chadema tukisema tunaonekana wabaya lakini Hali ni mbaya Sana police badala ya kulinda watu wanauwa watu
Duuuuuuuuuu!!!!! Mungu turehemu
Bila katiba mpya tutalia sana,
Tatizo Tanzania sheria hazifuatwi hakuna haki jamani kunatisha
Kijana bado mdogo jamani inahaja gani yakuongozwa na serkali kama serkali ndio viongozi wa mauwaji
Sijui tucoment Nini tumechoka
Oooooh!Condolences kwa watanzania wote
Kwa matukio haya jamani Tanzania tunaelekea wapi!
R..i.p Richard!
Innalillah wainna ilaih rajiun
Mwaka umeanza kwa mauwaji jamani mama ana uchungu wa mwana aujuwaye mzazi😭😭😭😭
Askari daah
Kwani huko Arusha kuna matatizo gani?
Hii arusha nisawana ŵatusi nawaĥutu ķila uchaômaûwaĵo
Eeeh mungu wangu cjui tunapoelekea n wapi jamani
Awa suma bora wakafanye kazi zao tu za kulima, manake hawana uaskari wowote, ni walinz tu magetini, alafu kisa wameajiriwa na jesh wanajiona makomandoo,, wanajivimbiiishaa kuliko ata mjeda mwenyewe, aowanaaribu sifa ya jesh,
Hiv kwani mkiwa maaskari ndo muuwe watu hovyo?
innalillah wainnalillah rajion .
Naamini hakupigiwa bure lazima ametenda uhalifu na leo zimetimia arubaini zake na kufa ndio dawa yake mana tumechoka wezi bora alivouliwa mana angebaki angewaibia raia wengi kwaio mapolisi wametuokoa safi xn
🙄🙄🙄Hio sio sheria ya mwizi ni kukatwa kiganja chake cha mkono
Lipizeni kisasi ,lemaasai msikae kizembe kamateni hao suma piga Hadi uwa
Nchi haina mwenyewe kila mtu anafanya anavyotaka kuuana ovyo, Waziri wa mambo ya ndani yuko kimya, Rais yuko kimya, hii ndio matokeo ya kuwa na kiongozi dhaifu wa nchi ameshindwa kukemea matukio ya kikatili na ya ovyo, yuko kimya sana.
Hakuna hatuna Rais sisi
Kila siku lazima mtu auwawe sijui tatizo nn
Innalillahi wainnalillah rajiun
Rip magufuli💔
MAMA SAMIA RAIS WANGU HAYA YANAYO ENDELEA TZ SIO MAZULI YATALETA MACHAFUKO WATU NI HATARI
Inna lilahy Wainna ilahy rajioun 😭😭
Eee mungu wangu😭😭😭
Hivi hawa polisi Wana Nini siku matatiz yetu tutayapeleka wapi Kama tu watu ambao tuliwaamin wamekuwa hivi😭😭
Elewa....walinz wa kampuni ndio polisi?
Innalillahi wainna illahi rajiun.
Hivi Tanzania kuna waziri wa ulinzi? Katibu wa wizara ya ulinzi pia wapo? Je tuna viongozi wa sekta ya ulinzi ndani ya nchi maana matukio ya uuaji ila sijaona hata wakionyesha ushirikiano.mhh Mungu tetea watu wako
Wizara ya mambo ya ndani inahusika pia... Kuhusu Polisi, swali ni rahisi, hatuna Polisi... Na Amiri Jeshi Mkuu hatujui yuko wapi! Ee Mungu tuhurumie 🙏🏽
@@j.c.maxima816 ni kweli zote mbili zinahusika
Angekuepo rais kauzu upumbavu wa hiv usingekuepo