Subuhanallah Kupotezwa watu kwa makundi Tena wanaojuana kwanini jamani piammechelewakutoa taarifa mlikua wapi wapenda poleni Allah Awape subra kipindi hikikigumu Allah atawalehesha hi siyo bule kunakitutuu hapa kimefanyika wametekwa sijuiwamepelekwawapi Tz Amani imetoweka😭😭😭😭
Jamani hii tabiya ya vijana kupoteya sasa imefika wakati ukome . Sio Kenya sio Tanzania na kwingineko . Familia wanaumia . Mungu simama na watu wako baba .
😭😭😭😭 Tanzania yetu 💔💔💔🇹🇿 Mmhu Allahu yaalam,kauli ya kumtanguliza Mungu itarejea kweli?? kama kwa Rais magufuli mmhu Astaghfirullah laadwim yaa Allah nisamehe mimi na wote tulokukosea najua kuna sehemu tunakukosea mola wetu ila naomba utusamehe sisi viumbe wako dhaifu, tunaomba utusamehe ili uturejeshee Amani kama zamaani kwenye Nchi yetu 😭 naomba utufanyie wepesi walopotea wapate kurejea katika familia zao ili familia zao na jamii zipate faraja 😔 maana kwasasa Tanzania yetu ina mtihani na bila wewe mola wetu hatuwezi kuondoa mtihani huo yaa Allah yaa kareem yaa kaharu yaa dhaljalali wal Ikram nakuomba utuokowe😭😭😭💔💔💔🇹🇿👏
Allah atupe subra wazazi wote poleni kwa vijana wetu Allah awalinde kila mahali wanapoelekea kwa kazi zao chuo kila mahali ulimwegu wa shetani Allah tulinde tunalia sana kila ichi vijana wetu
Angekuwepo Hayati Magufuli wangesema anateka watu. Hii inaweza kuwa watu wachache wanafanya mbinu kuichafuwa nchi. Inasikitisha sana wakati wa Hayati Magufuli serikali ili kaa kimya bila kusema kitu wala kumutetea Rais. Makosa hayo hayo kwa sasa yanajirudia. Kuna wanasiasa wanaweza kufanya kila njia kuwachonganisha wananchi na serikali. Lazima serikali iwe makini sana,.
Sikuzote matukio mabaya yakitokea anayeonekana anafanya ni Raisi ila kutakuwa kuna kundi la watu wahuni wanafanya haya ili Raisi aonekane mbaya kwasababu wanajua wakishafanya kama kawaida vyombo vya habari vitarusha habari jamii itaingia hofu na wote watamnyooshea vidole Raisi Jeshi la Polisi wanatakiwa wafanye uchunguzi kuanzia lile tukio la vijana watano waliopotoea na hawa wachunguze waweke doria ata ya undercover kufatilia si kwa siku moja wafanye ata kwa miezi ukute wale waliokuwa wanavamia watu kibiti wameanza tena jamani polisi tunajua mnakazi sana ila hili la watu wazima wanapotea hivi hivi jamani
Kwa Jicho la tatu watu wamekuwa na tamaa ya utajiri wa harakaharaka , waweza kuta wanajiunga na makundi ya kigaidi hili ni bomu Jeshi la polisi na wanandugu wajaribu kufanya utafiti wa kina maeneo mazungumzo yao na marafiki walokuwa wakiwa pamoja. Tabia zao zilikuwaje,walikuwa wanapendelea nini. Akiri zao zilikuwaje. Laweza gundurika jambo kwa haya matukio ya kupotea kwa vijana
😭😭😭😭 Inasikitisha Sana Poleni sana Ndugu Allah SWT Awalinde warudi Nyumbani Salama Toeni Sadaka kwa wingi Na kumuomba Allah SWT kila Dakika Allah SWT Azisikie Dua zote na Azipokee Dua zote Yaa Rabbi 🤲
Pole shangazi angu mjomba yetu kapotea Abdala wetu atujamuona Tena miezi inapita tunaumia wote shangazi angu, pole Odo Khadija pacha wako kapotea jamani Inshallah Mungu atawarudisha Salama tuwaombee tu Ingawaje tunaumia sana, Abdala wetu jamani
Poleni sana.Mungu awape ulinzi popote walipo.Kama walikamatwa kwa lolote basi jeshi la polisi liseme. Lakini pia tunapotoka majumbani tutoe maelezo sahihi kwa familia tunakoenda ili hata tukipata tatizo wapate pa kuanzia. Kwa hali hii usalama wa raia uko mashakani.
Ifike mahali vijana tuwe wawazi kwenye maisha na tufanye shughuli halali ambazo hata familia zitajua kwa uwazi lakin vijana wengi wanamambo mengi ya gizani matokeo yake ndugu wanalazimika kulaumu serikali
Thank u, umeona eee vijana wana mambo yao kibao maovu na ni siri yao familia hazijui kitu, ila unakuta wanalaumu serikali haifanyi kitu, utadhani ni kitu rahisi kumuona mtu aliepotelea kusikojulikana, kwani serikali ndio imewatuma, mimi hua nashangaa nikiona wanalaumu serikali, basi wangelaumu Mungu mana ndio anaeona matukio serikali haioni anachofanya binaadamu wala haijui mipango yao.
ALLAHU AKBAR..yaa rabby 🤲 yaa rabby 🤲 yaa rabby.wafanyie khushui hawa walimwengu wenzangu wanaoumia kwa mtihani huu na uwafanyie wepec hao wenzetu walipotea Yuko waliko km wako hai bac tunajua ww mwenyezmungu ndie muweza wa kila kt warudishe nyumbani wakiwa salama na afya zao ili waungane na familia zao..wape nguvu hawa wanopitia mtihani mzittoooo.nac tunakuomba utulinde na kutukhifadhi na mabalaa mazito.😭😭😭😭😭😭😭 Nimelia wallahy.
Hii kitu jamn imekithiri but muwe mnahoji pia waume zao au hao vijana walikuwa wakijishughulisha na nini?maana mda mwngn biashara pia huchangia kupotea kwa mtu ....ila pole kwa familia ambzo zinapitia hii hali mungu awasimamie poleni sana
INATISHA SANA. INAONYESHA KAMA WAKO WATU AU WAFANYA BIASHARA WAKUBWA SANA NAO WANAUSIKA NA WAFANYAKAZI SERIKARINI. WATU WABAYA SANA. WAMEWAFICHA SEHEMU MBAYA WANATESWA NI WAKUBWA. WANAJUA WASHAPEWA PESA. ZAMBIII WAACHIENI WATOTO NYIE WATU
Rais Samia nchi hii sasa so salama hivi kweli Hali hii serikali yetu haioni mambo haya Kama ni majambazi Sheria zipo sasa magereza ya nini na mahakama za nini lakini viongozi wetu kazi yenu nini...haki haki haki
Wanayo jiitaa usalama wataifa wasiokuwa na ujuzi wowote ilianza awamu ya tano tena ni wengi sana wakati wa nyerere uslama wa taifa wanatoka jeshini na ilikuwa wilayani mmoja mkoani moja na mpakani mmoja siku hizi mji mdogo usalama wa taifa zaidi ya ishirini bila ujuzizi wowote we need a change
Watu wengi wameuwawa kinyama sana, Uchunguzi umefanyika kwa haraka, na wahalifu wamekamatwa. Swali langu ni hawa vijana mbona imekua vigumu kupatikana? Au wamechukuliwa na majini?????
Subhannahllah poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu. Allah awalinde huko waliko.
Mama,Mama,Mama nakuomba sana Mama Jitahidi nakuomba Sana hemu naomba nipe hata Ukuu wa Wilaya ya Temeke nakuomba sana,
Subhana Allah poleni sana haki nimelia 😭😭 ndio naona leo sijui kama walishapatikana au laa Allah awatie nguvu na subra
Poleni sana wanawake wenzangu, kiukweli inauma sana, nimelia 😭😭😭😭😭
Kiukweli viatuvyao hawa wamama vinabana aisee😭😭😭😭 Mungu awape ujasiri tu na awafanyie wepesi
poleni sana mungu atawafanyia wepesi ;a awape ya rabb
Subuhanallah
Kupotezwa watu kwa makundi Tena wanaojuana kwanini jamani piammechelewakutoa taarifa mlikua wapi wapenda poleni Allah Awape subra kipindi hikikigumu Allah atawalehesha hi siyo bule kunakitutuu hapa kimefanyika wametekwa sijuiwamepelekwawapi Tz Amani imetoweka😭😭😭😭
Jamani hii tabiya ya vijana kupoteya sasa imefika wakati ukome . Sio Kenya sio Tanzania na kwingineko . Familia wanaumia . Mungu simama na watu wako baba .
Kwa kweli inahuzunisha na Keenya sana sana ni Mombasa kila uchao wavulana wapotelea Mungu simama na sisi wazazi na ndugu ni uchungu kwa kweli
😭😭😭😭,poleni sana ndugu zangu allah awalinde popote walipo warudi salama
Poleni wanawake wenzangu Mungu atawalinda wataludi salama inshaallah
😭😭😭😭 Tanzania yetu 💔💔💔🇹🇿 Mmhu Allahu yaalam,kauli ya kumtanguliza Mungu itarejea kweli?? kama kwa Rais magufuli mmhu Astaghfirullah laadwim yaa Allah nisamehe mimi na wote tulokukosea najua kuna sehemu tunakukosea mola wetu ila naomba utusamehe sisi viumbe wako dhaifu, tunaomba utusamehe ili uturejeshee Amani kama zamaani kwenye Nchi yetu 😭 naomba utufanyie wepesi walopotea wapate kurejea katika familia zao ili familia zao na jamii zipate faraja 😔 maana kwasasa Tanzania yetu ina mtihani na bila wewe mola wetu hatuwezi kuondoa mtihani huo yaa Allah yaa kareem yaa kaharu yaa dhaljalali wal Ikram nakuomba utuokowe😭😭😭💔💔💔🇹🇿👏
🙏🙏amina yaa rabii
Amyn yarabiaalamyn🤲😭😭
Amiin
Jamani wasaidieni japo kula zao serikali😭😭😭
@@faridamohamed4677 Amiin😭😭😭😭
Poleni ndugizetu wa TZ mm nmkenya bt nafuatilia haya matukio poleni sana mungu awatie nguvu🙏🙏🙏
Mungu nilindie mumewangu polen xn jmn jmn mungu tusaidie
Inauma sana.
Poleni xana wanawake wenzangu
Poleni Sana,Wimbi la watu kupotea limekuwa kubwa, eee mungu tusaidie.
Allah atupe subra wazazi wote poleni kwa vijana wetu Allah awalinde kila mahali wanapoelekea kwa kazi zao chuo kila mahali ulimwegu wa shetani Allah tulinde tunalia sana kila ichi vijana wetu
Poleni wanawake wenzangu
Mungu ni wewe tu mwenye majibu ya taifa hili pekee yetu hatuwezi
Subhanallah Tanzania wallah nimbaya
Sana kabisa
Kiwa wao kwawao wana tesana hivohivo
Je ss wa kenya omg tusiende huko ndugu zangu
Tanzania ni wauwaji sana maskin watu wanaliya hivo subhanallah
Hao polis wanawajua walipo haovijana maumbwa hao
Duuuh mungu wangu yaoneachozi ya watu wako twakuomba mungu wetu
Pole dada
Poleni sana inauma sana
Angekuwepo Hayati Magufuli wangesema anateka watu. Hii inaweza kuwa watu wachache wanafanya mbinu kuichafuwa nchi. Inasikitisha sana wakati wa Hayati Magufuli serikali ili kaa kimya bila kusema kitu wala kumutetea Rais. Makosa hayo hayo kwa sasa yanajirudia. Kuna wanasiasa wanaweza kufanya kila njia kuwachonganisha wananchi na serikali. Lazima serikali iwe makini sana,.
Sikuzote matukio mabaya yakitokea anayeonekana anafanya ni Raisi ila kutakuwa kuna kundi la watu wahuni wanafanya haya ili Raisi aonekane mbaya kwasababu wanajua wakishafanya kama kawaida vyombo vya habari vitarusha habari jamii itaingia hofu na wote watamnyooshea vidole Raisi
Jeshi la Polisi wanatakiwa wafanye uchunguzi kuanzia lile tukio la vijana watano waliopotoea na hawa wachunguze waweke doria ata ya undercover kufatilia si kwa siku moja wafanye ata kwa miezi ukute wale waliokuwa wanavamia watu kibiti wameanza tena jamani polisi tunajua mnakazi sana ila hili la watu wazima wanapotea hivi hivi jamani
Kwa Jicho la tatu watu wamekuwa na tamaa ya utajiri wa harakaharaka , waweza kuta wanajiunga na makundi ya kigaidi hili ni bomu Jeshi la polisi na wanandugu wajaribu kufanya utafiti wa kina maeneo mazungumzo yao na marafiki walokuwa wakiwa pamoja. Tabia zao zilikuwaje,walikuwa wanapendelea nini. Akiri zao zilikuwaje. Laweza gundurika jambo kwa haya matukio ya kupotea kwa vijana
@@godfreymasele8853 uko sahihi kabisa kaka, tamaa inamaliza vijana wengi sana,
Mtihani huu
Kila chozi lina maana mbele za Mungu ee Mungu fanya wepesi katika hili
Hili ni ombi langu kwako ehe Mungu wangu,Tusaidie wanawake ,hawa binadamu siyo kuku mpaka wapotee hovyo
Mungu awatangulie mbele
😭😭😭😭
Inasikitisha Sana
Poleni sana Ndugu
Allah SWT
Awalinde warudi
Nyumbani Salama
Toeni Sadaka kwa wingi
Na kumuomba
Allah SWT kila Dakika
Allah SWT
Azisikie Dua zote
na Azipokee Dua zote
Yaa Rabbi 🤲
Mtihani mkubwa Mwenyezi Mungu tusaidie
Mmmmmmh hii dunia hii🙌
Mhh mtihani wallahy inahuzunisha poleni sana Allah atafanya wepec watapatikana
Jamani tz tuombe sana mungu hili tatizo kubwa
Pole shangazi angu mjomba yetu kapotea Abdala wetu atujamuona Tena miezi inapita tunaumia wote shangazi angu, pole Odo Khadija pacha wako kapotea jamani Inshallah Mungu atawarudisha Salama tuwaombee tu Ingawaje tunaumia sana, Abdala wetu jamani
Poleni sana.Mungu awape ulinzi popote walipo.Kama walikamatwa kwa lolote basi jeshi la polisi liseme.
Lakini pia tunapotoka majumbani tutoe maelezo sahihi kwa familia tunakoenda ili hata tukipata tatizo wapate pa kuanzia.
Kwa hali hii usalama wa raia uko mashakani.
Umeona eee hawa wameondoka majumbani kwao kiutata kana kwamba walikua na siri zao, si kawaida hiyo safari yao ya ghafla
Poleni xana wapendwa mungu kasikia kilio Chen nasi tnawaombea msjali wataptikan nasi tnaumia pia san
Poleni sana inauma kwakweli😭😭😭
Mungu awalinde warudi wazima inshallaah
Jamani kwani imekuaje tena 😭😭😭😭😭 huu mbona mtihani sasa dah nihuzuni kwakweli 😭😭
Msijali wa mama kiza kingi kupambazuka kumekaribia
Mungu atajalia watapatikana
magufuli kwenye yuko ana uzuni sana kwa ajili anayo yaona inchini kwake
Gari haikuwa na cartrack?
Poleni sana akina mama
E Mungu tuponye watanzania
Poleni jaman
Polenì sana jamani duuh inauma sana
Jamani, serikali iko wapi
Allah Awafanyie Wepesi In sha Allah.
Hao wamenda kwa yule anae jua. ni Mungu
Mungu awasaidie
Wallah nimejikuta nalia mimi km mwanamke viatu vyenu vigum mno wallah 😭😭😭😭 pole sn family Dada wa Abdallah umejua kuniliza wallah 😪😥😢
Subhanallah 😭😭😭
Poreni sana
Tanzania tunakwenda wapi?
Polen mama zangu
Poleni akina mama kwa mazito yaliyo wakuta
Ifike mahali vijana tuwe wawazi kwenye maisha na tufanye shughuli halali ambazo hata familia zitajua kwa uwazi lakin vijana wengi wanamambo mengi ya gizani matokeo yake ndugu wanalazimika kulaumu serikali
Thank u, umeona eee vijana wana mambo yao kibao maovu na ni siri yao familia hazijui kitu, ila unakuta wanalaumu serikali haifanyi kitu, utadhani ni kitu rahisi kumuona mtu aliepotelea kusikojulikana, kwani serikali ndio imewatuma, mimi hua nashangaa nikiona wanalaumu serikali, basi wangelaumu Mungu mana ndio anaeona matukio serikali haioni anachofanya binaadamu wala haijui mipango yao.
ALLAHU AKBAR..yaa rabby 🤲 yaa rabby 🤲 yaa rabby.wafanyie khushui hawa walimwengu wenzangu wanaoumia kwa mtihani huu na uwafanyie wepec hao wenzetu walipotea Yuko waliko km wako hai bac tunajua ww mwenyezmungu ndie muweza wa kila kt warudishe nyumbani wakiwa salama na afya zao ili waungane na familia zao..wape nguvu hawa wanopitia mtihani mzittoooo.nac tunakuomba utulinde na kutukhifadhi na mabalaa mazito.😭😭😭😭😭😭😭 Nimelia wallahy.
Poleni jamani
Jamani😥😥😥😥😥 daah
Soo sad 😭😭😭 what is this?
Jaman tz sasaimeingiliwa
Hii kitu jamn imekithiri but muwe mnahoji pia waume zao au hao vijana walikuwa wakijishughulisha na nini?maana mda mwngn biashara pia huchangia kupotea kwa mtu ....ila pole kwa familia ambzo zinapitia hii hali mungu awasimamie poleni sana
Ukosawa ndugu waojiwe kwanza
Dah maumivu yake hayaelezeki kwakweli 😭..pole sana nduguzetu
Kwann mnakaa kimya ivi
Haya Mambo yasikie tu kwa watu usiombe yakukute
Kabisaa
Wallahy ni jambo zito sana Allah awafanyie wepes wanawake wenzangu duuh moyo unaniuma najiuliza ni uchungu kias gan hawa wanawake wanaopitia
INATISHA SANA. INAONYESHA KAMA WAKO WATU AU WAFANYA BIASHARA WAKUBWA SANA NAO WANAUSIKA NA WAFANYAKAZI SERIKARINI. WATU WABAYA SANA. WAMEWAFICHA SEHEMU MBAYA WANATESWA NI WAKUBWA. WANAJUA WASHAPEWA PESA. ZAMBIII WAACHIENI WATOTO NYIE WATU
Aya mambo yanaumiza sana ifike mahal viongoz wetu watoe tamko kal km tunavyoizuia corona kila sk watu hupotea mazingra tatanish
Jamani vijana wanapotea kila siku inauzunisha sana jamani 😭
😢
Rais Samia nchi hii sasa so salama hivi kweli Hali hii serikali yetu haioni mambo haya Kama ni majambazi Sheria zipo sasa magereza ya nini na mahakama za nini lakini viongozi wetu kazi yenu nini...haki haki haki
Kweli kabisa husikii hata chochote
Sauti ya Mungu ni sauti ya mwisho tunaisubiri hiyo
YARABI nakuomba jaaliya vijana wa izi familiya wapatikane wakiwa salama . amin amin YARABI amin.
Mtihan tanzania
Wanayo jiitaa usalama wataifa wasiokuwa na ujuzi wowote ilianza awamu ya tano tena ni wengi sana wakati wa nyerere uslama wa taifa wanatoka jeshini na ilikuwa wilayani mmoja mkoani moja na mpakani mmoja siku hizi mji mdogo usalama wa taifa zaidi ya ishirini bila ujuzizi wowote we need a change
Inauma sana jmn😢😢 maumivu yake at ayaelezeki
Jamani Jamani jamanii nini hiki jamani eeee mwenyezi mungu tunusuru waja wako
Dar
Polen Sana,mtumainin tuuu mungu Ni your ktk yote
Watu wengi wameuwawa kinyama sana,
Uchunguzi umefanyika kwa haraka, na wahalifu wamekamatwa.
Swali langu ni hawa vijana mbona imekua vigumu kupatikana? Au wamechukuliwa na majini?????
Poleni Sana Ila hii nchi jamani
Jamani serikali ya sasa inatupeleka wapi jamani
Tanzania yetu jamani hili nalo ni pepo fanyeni maombi tumlilie Mungu wetu
Innalilah 😭😭😭 jamaniii
Jamani poleni ila watapatika
Jamani na mkumbuka Wana Hayati wangu
Mbona naogopa mie jamani mume wangu yasijeyakamkuta haya
Siyo mume t hata ww yaweza kukuta mungu atusaidie uwiiii
Ooh jamiii😭inauma sn
Duuuuh Mungu tuhurumie
Daaaaa. Dora kumaliza misafara ya viongozi
Mmmmh, haya mambo yana siri nyuma ya pazia. Huku sio kupotea kwa kawaida. Upelelezi wa kina ufanyike.
Inaonyesha hawa walikua na mipango yao ya siri ambayo familia zao hazijui
Poleni wa ndugu zangu mu ende ngomeni kwa kuhani musa muta wapata
😭😭😭💔💔nalia jamani naumia dada mtu kaniliza hadi hame nami nime mkumbuka kaka yangu alivyo kufa sijamuona ili nim age
Musical Ana zoom tu.hana hofu.
inasitisha
Labda Mimi naona Kama watu wetu wakitaka kusafiri wattoe taharifa kituo Cha poris kwamba wanaenda nje ya mkoa jamani ingekuwa raise mungu wangu
Yaa Rabbiy, wachukuwe hawa wanaofanya haya mambo ya kupoteza watu
Na kwann wapoteze malafiki haya wale watano jamani kaz ipo Mungu tuone wajawako
Wengine Tena? 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Gari mbona hawajatoa pucha njiani waweza kuna raia wema wameliona Ikasaidia
Mimi mdogo wangu wa kiume amepotea mwezi wa 12 mwaka jana ametafutwa mahopitalini vituo vya polisi mpaka leo hii inauma sana kwa kweli tena sanaaa
pole.mimi.mdogo.waNgu.WAKIUME.ALIPOTEA.AKIWA..NA.MIAKA.3.MWAKA.83.HADI.LEO.2022.ALLAH.ANATISHA
@@hamidaala2832 Jaman inauma sana kwa kweli
Tanzania,Salama uko chini