Je marehemu hakuwa mnoko huko kazini? Inawezekana kuna madudu aliyafichua huko kazini ambayo yameathiri ugali wa watu. Polisi waanze kufatilia Ofisini nini kimejiri miezi 6 kabla ya hili tukio. Je kuna watu walitumbuliwa? Au upigaji wao kufichuliwa? Pia namba ya simu yake ifuatiliwe kugundua nani aliwasiliana nao siku tatu kabla ya hili tukio.
Jamani mtoto,dada wa kazi ni kosa gani ambalo mnaweza mkamhukumu mtu kwa mauti ya mateso kiasi hicho km Mungu aishivyo asinyamaze km damu ya abili ilivyomlilia kaini ikawe pia kwa wauaji wote si kwa hii familia tu wauaji wote asiwepo mtoto wa kubeba laana ya mzazi wake wala mwenzie kila mtu abebe mzigo wake kwa kipimo anachowatendea wengine akatendewe mara dufu laana au baraka,,
ILA BINADAMU TUMEKUTWA NA NN?MBONA TUMEKOSA HOFU YA MUNGU KWELI UNAONA RAHA GANI KUCHOMA FAMILIA YOTE BILA WOGA JE WW UTAKUWA NA IMANI KWA HAYO ULOFANYA
Mh mimi ndio kichwa changu kizito au? Yaani jirani asimkute mkeo na yeyote ndani ya nyumba hapo hapo umwambie yeye akatoe taarifa polisi au ni intuition yako kali. Hakuna hata dada wa mkeo,maana ingekua mimi ningehangaika na watu wetu wa karibu kabla ya polisi,hata ile panick tu ningeanza na ndugu na watu wetu wa karibu kabla ya kumwambia jirani yeye ndio aende polisi,umeshaambiwa hawapo kwanini uaisubiri ufike ndio uripoti,ni nini unachokijua ambacho wengine hawakijui? Alafu mkaguzi ndio waue familia yote? Something is missing,anyways, mda utaongea.
@Vees12 umesoma kuelewa nilichoandika au umeamua tu kubaka comment? Was I suggesting what he should have done,did I say what he did was wrong,or I just raised my concern? Hebu nitokee na maswali ya kipuuzi,ungenielewa usingeuliza swali la hovyo.
@@neemayatosha1618 so if you think you're right, why are you catching feelings? This shows how stupid you are. Eti embu nitokee na maswali ya kipuuzi....who are you not to be questioned?
@@neemayatosha1618Kwa mujibu wa maelezo hawa watu hawaishi Tanga ni kwamba wana nyumba Tanga ndio aliposhukia mke akielekea Moshi kwenye mazishi. Inawezekana huko Tanga hakuna ndugu. Tumuombee haya maumivu ni makali ni vile tu ni mwanaume.
@ashafelix8332 we Asha jamani,sasa kama hawaishi hapo ,hao majirani wanamuongelea jirani yao yupi,mke anaishi na kufanya kazi hapo,ila mume anaishi Dar. Mimi nawaza tu uchunguzi ufanyike,sijahukumu. Moyo wa mtu ni kichaka,huyo baba wamchunguze pia si kwa ubaya.
Mlitaka ajielezee vp mpaka muwe mnaona kua hahusiki mm naona kajibu kutokana na maswali alioulizwa na jinsi ilivokua .pia kashafanya ganzihajui alie au asilie unapatea na tatizo unalia mpaka mwisho wa siku machozi unakosa na pia sizani kama mwanaume na mbaba kama huyo ahojiwe huku analia.anaweza kua na machungu kuliko yule anaelia.pia mtu anaweza akafanya kosa yy na akawa muiwaji yy lkn mbele ya camera akalia kwa uchungu ili asionekane kama kama yy anahusika ili kutuzubaisha sisi.lkn baba wawatu maskin anamachungu ndani kwa ndani analia ndani kwa ndani msimuhukumu wakati hamjui ukweli
Watu wanaongea tu jambo zito kama ili lisikie tu kwa mwenzio lakini likikukuta wewe ndo utajua kama maumivu yapoje alafu yeye ndo baba kila mtu anamwangalia yeye alie mda wote atafanyaje maamuzi
Ulitaka ajigaragaze chini chini kama Mwijaku ndio usiwe na mashaka nae, kuna mtu anaweza kulia kujigaragaza na ndio kahusika, msipende kuhukumu mambo msiyoyajua
Hapo sasa aanza kujiuliza inakuwaje mtu anaondoka bila kufunga milango ya nyumba yake inawezekana ikawa tatzo lilianzia hapo nyumbani cha msingi vyombo vya uchunguzi vifanye kazi yake vzur tu ili haki itendeke
Nilitamani kama intelegensia ya polisi ingeweZa kubaini na kuzuia unyamakama huu. Huyu mtoto amekufa bila kuonja ndoto ya maisha yake. Mungu nakuomba uingilie Kati wauaji wapatikane haraka.
😭😭😭😭 Pole sana baba ,tunakuombea Mwenyezi Mungu akupe nguvu ya kuhimili jambo hili gumu na zito
Alikua mkaguzi wa ndani kazini kwake, uchunguzi uanzie huko kazini kwakeeee
Nilichogundua ni kwamba huyu baba ni mpole sana hawezi hata kuongea dah pole sana baba yangu Mungu akutie nguvu😢
DU! BORA KWENDA KUISHIA PORINI NA WANYAMA KULIKO KUISHIA NA BINAADAMU WANYAMA WANAHURUMA KULIKO BINAADAMU😭😭😭😭😭
Hao wauaji ni wa kuvunjiwa chungu aisee siyo wa kuachwa kabisa
Kaka.pole sana... mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu
Umesema kweli,tena huyo baba achukue nguo zao walizokutwa wamekufa nazo then akawashughulikie hao wauwaji watapukutika wote.
Kabisaaaaaaa
Yani uyo jamaa mbona maswali yake ya ajabu. Mungu amtie nguvu uyo baba
Mh huyu mzee ahojiwe vzr something is not ok here 😞
Acheni mambo ya hovyo, yaani nyie mpaka muone nini ndio muamini hajahusiki, kila mtu ana namna tofauti ya kuexpress feelings zake, acheni mdomo mrefu
Mbona huyo baba kama hana uchungu jmny
Anao na Amelia sana😢
Huyo ni mwanaume sio mwanamke
Huyo bado yuko katika mawenge, subiri watu warudi makwao ndio akili zina rudi. Watu wa karibu wasimwache, watu wa hv wana wehukaga kwa uchungu.
Unataka awe nauchungu gan wa uzazi au?
Unataka uchungu akuonyeshe wewe , acheni umbea
Je marehemu hakuwa mnoko huko kazini?
Inawezekana kuna madudu aliyafichua huko kazini ambayo yameathiri ugali wa watu.
Polisi waanze kufatilia Ofisini nini kimejiri miezi 6 kabla ya hili tukio.
Je kuna watu walitumbuliwa? Au upigaji wao kufichuliwa?
Pia namba ya simu yake ifuatiliwe kugundua nani aliwasiliana nao siku tatu kabla ya hili tukio.
Tena ikizingatia alikuwa internal auditor, waanze hapo kazini, mijitu imeshaiba huko, wakaona wammalize
@@judyngowi391upew maua yako❤❤❤❤
Jamani mtoto,dada wa kazi ni kosa gani ambalo mnaweza mkamhukumu mtu kwa mauti ya mateso kiasi hicho km Mungu aishivyo asinyamaze km damu ya abili ilivyomlilia kaini ikawe pia kwa wauaji wote si kwa hii familia tu wauaji wote asiwepo mtoto wa kubeba laana ya mzazi wake wala mwenzie kila mtu abebe mzigo wake kwa kipimo anachowatendea wengine akatendewe mara dufu laana au baraka,,
Hata hivyo mzee ni jasiri sana, yuko normal kabisa, safi mzee Mungu akutie nguvu zaidi
Pole sana ndugu kwa msiba huu mkubwa na wa kusikitisha. Jipe moyo Mungu yupo pamoja nanyi.
Pole saaana Kaka..ugomvi wa sina yoyote huwezi kufabya hayaa😂 HAKUNA KIUMBE KISIO JULIKANA HATA DARUBINI INAONA VISIVYO ONEKANA
Poleni xana
Unataka uchungu ufananeje na sisi tuone
Watu wengine wanayaona yawenzao simpo subir yamkute 😭
Hilo neno mwaya mpaka yakukute
Dah uchungu anao usikia huyu baba acha kabisa
Pole kwa msiba huu mzito 😢
Kazini kuna Kazi.,.......
ILA BINADAMU TUMEKUTWA NA NN?MBONA TUMEKOSA HOFU YA MUNGU KWELI UNAONA RAHA GANI KUCHOMA FAMILIA YOTE BILA WOGA JE WW UTAKUWA NA IMANI KWA HAYO ULOFANYA
Watangazaji wetu jamani, Hivi mtu anawezaja kuuwawa?
Mh mimi ndio kichwa changu kizito au? Yaani jirani asimkute mkeo na yeyote ndani ya nyumba hapo hapo umwambie yeye akatoe taarifa polisi au ni intuition yako kali. Hakuna hata dada wa mkeo,maana ingekua mimi ningehangaika na watu wetu wa karibu kabla ya polisi,hata ile panick tu ningeanza na ndugu na watu wetu wa karibu kabla ya kumwambia jirani yeye ndio aende polisi,umeshaambiwa hawapo kwanini uaisubiri ufike ndio uripoti,ni nini unachokijua ambacho wengine hawakijui?
Alafu mkaguzi ndio waue familia yote? Something is missing,anyways, mda utaongea.
Sasa uliitaka afanyeje wakati mtu yupo mbali?
@Vees12 umesoma kuelewa nilichoandika au umeamua tu kubaka comment? Was I suggesting what he should have done,did I say what he did was wrong,or I just raised my concern? Hebu nitokee na maswali ya kipuuzi,ungenielewa usingeuliza swali la hovyo.
@@neemayatosha1618 so if you think you're right, why are you catching feelings? This shows how stupid you are. Eti embu nitokee na maswali ya kipuuzi....who are you not to be questioned?
@@neemayatosha1618Kwa mujibu wa maelezo hawa watu hawaishi Tanga ni kwamba wana nyumba Tanga ndio aliposhukia mke akielekea Moshi kwenye mazishi. Inawezekana huko Tanga hakuna ndugu. Tumuombee haya maumivu ni makali ni vile tu ni mwanaume.
@ashafelix8332 we Asha jamani,sasa kama hawaishi hapo ,hao majirani wanamuongelea jirani yao yupi,mke anaishi na kufanya kazi hapo,ila mume anaishi Dar. Mimi nawaza tu uchunguzi ufanyike,sijahukumu. Moyo wa mtu ni kichaka,huyo baba wamchunguze pia si kwa ubaya.
Watu ni makatili sana ila Mungu yupo
Mungu mungu jamani jamani tuhurumie jamani
Hilo gari ni la nani?
Pole Sana Ndugu Yangu. Usiogope Mbingu zimeona na zimenukulu jambo hili!!😭🙏
Kaka poleni sana.Its so sad😭😭😭Mungu awape Faraja kipindi hiki kigumu.
godfrey peter shirima wa kisaleni kaka poleni sana mungu ndie mweza wayote
Poleni sana ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba hu mzito…Mwenyezi Mungu awape pumziko la milele marehemu🙏🏻
Mkaguzi
Sasa mbona Tanzania itakuwa kama DRC...Watu wanauwaws sana.Pole Kwa jama.
Mtangazaji hauko makini kwenye kuhoji kuhusisu siku umemkuta mume Yuko makini
Kuna mahali amegusa huko kazini.uchunguzi uanzie hapo
Pole sana kaka..mungu akupe subira na faraja.najua kwa kipindi hiki hakuna atakae vaa kiatu chako .pole sana
Pole sana familia kwa msiba huu mzito mbele ya yake nyuma yetu
Mungu awalaze mahali pema peponi kwelimtu unawachoma moto watu wasio na makosa watu watu wamekuwa hawana hata hofu ya Mungu kabisa jamani
Pole sana kaka lameck mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu
Pole baba mungu akutie nguvu jamani dunia tunaelekea wapii
Pole sana kaka lamec mungu akutie nguv kaka
Hio ni gari gani na hakuna na sehemu gani huko? Mjini au nue ya mji
Ila jamani na mtoto ana kosa gani mbona vifo vingine mtihani
Mlitaka ajielezee vp mpaka muwe mnaona kua hahusiki mm naona kajibu kutokana na maswali alioulizwa na jinsi ilivokua .pia kashafanya ganzihajui alie au asilie unapatea na tatizo unalia mpaka mwisho wa siku machozi unakosa na pia sizani kama mwanaume na mbaba kama huyo ahojiwe huku analia.anaweza kua na machungu kuliko yule anaelia.pia mtu anaweza akafanya kosa yy na akawa muiwaji yy lkn mbele ya camera akalia kwa uchungu ili asionekane kama kama yy anahusika ili kutuzubaisha sisi.lkn baba wawatu maskin anamachungu ndani kwa ndani analia ndani kwa ndani msimuhukumu wakati hamjui ukweli
Kweli kabisa
@@judyngowi391 shuqran sana kwa saport
Watu wanaongea tu jambo zito kama ili lisikie tu kwa mwenzio lakini likikukuta wewe ndo utajua kama maumivu yapoje alafu yeye ndo baba kila mtu anamwangalia yeye alie mda wote atafanyaje maamuzi
@@SubiraMohammed-ks6qg mashaallah nashkuru sana maneno yakweli kabisa hawajui kum please mtu bali nikumkandamiza
Mwee pole sana mkuu Mungu akufunge mkanda
Huyu mwandishi ana maswali magumu yasiyo na tija
Nyie jamani watoto watoto na alikiwa anaenda wapi??
Kulia ndio kuwa amehuska au msali yakichawa
Siyo kwamba gari liliwaka moto lenyewe
Nina mashaka na pale anaposema alimuaga kuwa anakula na pia. Nyumba ilibaki. Wazi?? Jamani mungu tunusuru
Umeonaee hata mimi sijaelewa hapo
alisema ametoka kula, ndo wahuni walimtumia sms
Umeongea kitu😢
Uchunguzi uanzie kazini.
Mungu tusaidie
Pole sana faza
Pumzika kwa aman
Pole shayo
Poleni sana
A
Pole sana
Pole Bro.....
Lakini na mfiwa si afanyiwe uchunguzi…!!
Sio kwa ubaya
Na hakuna kilichoibiwaa mmmmmnh……..!!!!mmmmmnh
Acha uchawa
Uko sawa anahusika
labda maswala ya kazini mybe anlilia anavimbia wenzie au maugomvi kazini
@@josephineokama2200 whatever the case babe…chochote kinawezekana
@@mr.yahzadochuno7914ulikuwepo, binadamu acheni roho mbaya, unahukumu watu hata huwajui, sio mijitu mingine ikoje
Polee
🎉🎉🎉😂😂😂😊
123
😭😭😭😭
😭😭😭🙆🙆
Si kwa ubaya ila nna mashaka na baba
Mmmmmm
Kwenda zako
@@SharifaOmary-ui8vs hisia mbaya mnataka mtu ajigaragaze Kama mwijaku
Ulitaka ajigaragaze chini chini kama Mwijaku ndio usiwe na mashaka nae, kuna mtu anaweza kulia kujigaragaza na ndio kahusika, msipende kuhukumu mambo msiyoyajua
Mmm sidhn yan had kwa mwanae ili nn
Y achomwe na mtt na binti? Iyo ni kufuta ushahidi
Na alikuwa nyumbani sasa ilikiwaje akatoka kula? Hakumwambia mwanaume kuwa anatoka nje ya nyumba kwenda kula? Maswali magumu
si kula hoteleini.kwan lazima ale nyumbani
Kinachonishangaza ilikuwaje wakatoka bila kufunga milango yote hali ya kuwa hakuna mtu
Look like something wrong @mariachuhila9518
Kuna kitu kimetokea, labda walitekwa
Hapo sasa aanza kujiuliza inakuwaje mtu anaondoka bila kufunga milango ya nyumba yake inawezekana ikawa tatzo lilianzia hapo nyumbani cha msingi vyombo vya uchunguzi vifanye kazi yake vzur tu ili haki itendeke
Huyu baba anajichanganya kunakitu anajua
Pole sana ! Mungu akupe faraja !
Pole sana
Nilitamani kama intelegensia ya polisi ingeweZa kubaini na kuzuia unyamakama huu. Huyu mtoto amekufa bila kuonja ndoto ya maisha yake. Mungu nakuomba uingilie Kati wauaji wapatikane haraka.
Hawex kuonges jamsnii😮😢😢😢
Mmmh huyu baba mfuatilieni vizuri mbn kama anamashaka mashqka
Police anzeni na huyu baba
Tuanze na wewe! Kazi kuwaza mabaya tu mtu wala humjui
Nilijua anaehoji ni mwanamke kumbe ni boi mmmh
Polen sana jamaniiiiii 😭😭😭💔
Kwann akale chakula na nyumba aache wazi .?
Huyo dada alisomeshwa na mtu akamkimbia kwahyo alikuwa anawindwa.
Mmmh walimwengu mmeanza!! Mtu ana mtoto mkubwa katika ndoa ndio aje kuchomwa leo 🙄
Mmmmmmh😢
Unaweza kutujuza Huyo mtu aliyemsomesha anaitwa Nani na anakaa wapi anajishughulisha na nini?
Mawazo mgando
Ok, tutakutafta utasaidie kumpata huyo mtu