MIMI PIA NIMEJIFUNZA HADI KUSAVE KUPITIA YEYE...NILIKUWA NATUMIA PESA ,ULE MSEMO WAKE WA KUTOKUWA NA PESA UTAJIONA NI AIBU NA UNAKUWA UNA AMANI,ULINIUMIZA,SASA MIEZI MIWILI NAWEZA FANYA SAVING KUBWA SANA
Sawa kaka joelnanauka na habari ya mlima alivo rudi mala ya pili akashinda nani umemtaja inanigusa sana maludio kuisoma asante kwakunikumbusha hii habari 💎
Success begins with you Inawezekana akakushauri lakini kama hujaamuua ndugu yangu itakuwa ngumu kucope Kumbuka hata video ambayo aliwahi kupost Mr Joel kwamba "if you decide about your future no one will care about you" Samahani lakini kwa kudakia swali!!!
Kwa kweli papa ubarikiw sana, Uko mtu Uko nazidi kunifadha kujielewa nakuwaka mtu mwenye hasira katika maisha yangu ila kupitia shauri zako ziko nanifadha kushimama tena✊
Asante sana Kwa SoMo zuri, hapa umeniongelea mm kabisa nashukuru Mungu nilijitenga kabisa nikabadirisha na namba wengine nikapiga block Ili nianze upya, na kiukweli sijutii
Asante sana Joel I m going to be a winer to my life aijalishi nimefanya makubwa mangapi na wangapi wametumia uwezo wangu nguvu zangu, ila sasa kupitia wewe umefanya moyo wangu kuwa imala zaid Ishi maisha meng mwalimu
Asnte San japo Mimi nimchoma mahind namkulima mdogo sana inanipaujasiri San Mungu akupe maisha marefu,
Bro wewe nitaa yangu nitaendelea kufata nyayo zako mpaka mwisho wangu maana najiona miaka 10 ijayo Mimi nitakuwa JOEL NANAUKA wa Pili,🙏🙏✍️✍️💪💪💪
HAPANA UWEZI KUWA JOEL NANAUKA WA PILI,YEYE NI YEYE NA WEWE NI WEWE,ME NITAKUWA MSEMAJI MZURI SABABU NIMEJIFUNZA MENGI KUPITIA YEYE
Nilishakufuatilia sana ila nitakufuatilia vzr 2024 after 6 year nitaona mafanikio MUNGU AKUPE MAISHA MAREF @JOEL NANAUKA
Somo hili limenigusa sana, ubarikiwe sana nitaendelea kujifunza kutoka kwako ❤
Joel nanauka ameniokoa sana mungu akusaidie sana
MIMI PIA NIMEJIFUNZA HADI KUSAVE KUPITIA YEYE...NILIKUWA NATUMIA PESA ,ULE MSEMO WAKE WA KUTOKUWA NA PESA UTAJIONA NI AIBU NA UNAKUWA UNA AMANI,ULINIUMIZA,SASA MIEZI MIWILI NAWEZA FANYA SAVING KUBWA SANA
Wewe ni zaidi ya mwalimu ubarikiwe sana, ninachokifanya ni kuhakikisha sipitwi
Naendelea kujifunza mengi kutoka kwako ubarikiwe sana
Hii ni video bora kwangu kwa mwaka huu 2024🙏💥💥
Ahsante sana Kaka joel kwa darasa YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako
Sawa kaka joelnanauka na habari ya mlima alivo rudi mala ya pili akashinda nani umemtaja inanigusa sana maludio kuisoma asante kwakunikumbusha hii habari 💎
Kung'ang'ania kuendelea kuwepo wakati nguvu zinakuishia, ni kuendelea kujimaliza. Nakuelewa sana Joeli
Amen mwalimu binafsi nimekuelewa sana
Ahsate kaka joel somo zuri
Asante kwa somo ❤❤❤
Amina 🇰🇪🙏👍
Be blessed kaka Joel 🙏🏽.
Shukrani sana kila siku najifunzifunza mapya.. asante kaka "njia bola ya kujilinda Ni kushambulia🙏🏽🙏🏽
Mungu akubariki navuna vingi kutoka kwako.
Best❤
Thank you my brother,
Nice message my brother
Hongera kwa kazi njema.
Nice presentation ✨
Duuuh leo nlitakiwa niipate hii asante mtumishi wa Mungu
Brother. Madini yako ni chakula changu kwenye Maisha ya utafutaji siku zote. Mungu akupe afya njema.
Asante kaka umenifundisha kitu
Success begins with you Inawezekana akakushauri lakini kama hujaamuua ndugu yangu itakuwa ngumu kucope
Kumbuka hata video ambayo aliwahi kupost Mr Joel kwamba "if you decide about your future no one will care about you"
Samahani lakini kwa kudakia swali!!!
Asante 🎉🎉
Kaka Joel sinà mengi ya kusema zaidi ya kusema Mungu akutunze🙏
Hakika nimejifunza Jambo jipya kwangu ambalo limenipa hatua nyingine,MUNGU akuinue zaidi.
Kwa kweli papa ubarikiw sana, Uko mtu Uko nazidi kunifadha kujielewa nakuwaka mtu mwenye hasira katika maisha yangu ila kupitia shauri zako ziko nanifadha kushimama tena✊
Pamoja mkuu 🤴🤴
Good❤❤❤❤
Asante kaka kwa kunitia moyo me ni mkulim umenifundisha vitu vikubwa San mwalim Joel nanauka big up San by juliaus
Nakushukur sana kaka nimepitia Wakt mgumu sana nilivyoachishwa kazi. Watu waliongea sana lkn sijajibu chochte mbk sasa .
Asante kaka umenigusa na hali niliyonayo saiv inabid nikae kimya2
Ahsante kwa elimu bora
asante mtumishi maneno ya busara na ya kutia moyo
Unajua Sana brother Mungu akijalie
Joel mungu akulinde na kukutunza siku zote.umekuwa msaada mkubwa sana kwangu ubalikiwe sana mdogo wangu.
Hii nimependa Zaidi❤
100% ulicho kisema ni sahihi
Asabte saan
Ubarikiwe sana
Nabarikiwa Sana na masomo yako ❤
Asante sana joel nitaumbia ivyo mlima ulioko mbele yangu)
Asante sana Kwa SoMo zuri, hapa umeniongelea mm kabisa nashukuru Mungu nilijitenga kabisa nikabadirisha na namba wengine nikapiga block Ili nianze upya, na kiukweli sijutii
Asante sana kwa somo mwalimu, wewe ni taa inayotutoa kwenye giza ❤❤🙏🙏🙏
Kaka unatuelimisha sana 🎉barikiwa
Uko sawa kaka mafundisho yako yanajenga ukimnya Mali nijibu
Be blessed Joel waniinua sana
Nashukuru sana kwa somo nzuri ningelipata mapema haya yanayonikuta yasingenikuta
Asante
Naanza kukuelewa usemayo ni kwer
Nimejifunza kitu kipya
My lifetime icon... U always have my prayers Dr. Joel... Mungu akupe maisha marefu
Joeli tume soma lakini una tupa darasa labure zaid mungu akubariki sana
Mungu akujalie maisha marefu brother Joel,nakukubali sanaaaa👍👍👍💪
Thanks broh
Asante sana Joel I m going to be a winer to my life aijalishi nimefanya makubwa mangapi na wangapi wametumia uwezo wangu nguvu zangu, ila sasa kupitia wewe umefanya moyo wangu kuwa imala zaid
Ishi maisha meng mwalimu
Asante mtumishi kachawamaisha
Bro we ni fundi
Asante na kwa ushauri mzuri kaka
yanii hii inaniumiza sana mm umenigusa mimi najiona
Thank you Kaka Joel one day I Wish to meet with you coz I like to do as you do
Yes hii ni mbinu sahihi kwani ukipotea macjoni kwa watu wanakusahau
Nimekuelewa vizuri sana
Upo sahihi 100%
Asante kaka kwa ushauri wako umenigusa sana napitia changamoto lkn umenijenga
Shukrani
Asante sana broo kwa Maarifa
Kabisa
Kweli mwalimu mimi nikombali na kwenye nilikuwa na nimejipangha na kwenye nilikosea nimejirekebisha pia
Hakika upo sahihi kbs
Nashukuru sana Joel nimejifunza kitu naendelea kukusikiliza kila siku. U inspire me a lot🎉🎉
Njia Bora ya Kujirinda ni Kushambulia- Asante Baba Nanauka👍💪👊
Bloo unazungumza ukweli mtupu 🙏
Habari naitaji kitabu cha elimu ya pesakama skkosei kinaitwa ivo na mifumo inayotawala dunia navipataje
Nimefuatilia vingi ila hii imenipa somo kubwa sana
Barikiwa sana mtumishi Kwa yote
Great appreciation to you bro umenisaidia kuifungua akili yangu❤❤❤
Mungu akubariki Kaka yangu, wewe ni malaika anaye vaa mwili kwa hiki kizazi changu
Joeli nanauka wewe ni mwalimu wangu
More blessings to you bro 🙏
Kaka Joel nakushukuru kwa elimu yako.
Hakika nimekuelewaa
Barikiwa sana
MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki
Ninapenda sana kukufatilia kak vp na vipataje vitabu vyako
Asante kaka hekima ya juu sana
Asante kaka Joel nimejifunza kitu, barikiwa sana
Ubarikiwe mkuu
Wao waoo, I just stumbled across this 💯🔐
Your speaking with my soul,thank you brother JOEL NANAUKA. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Be blessed my brother 🙏
Nikweli kabisa hata mimi nilisha wai kupitia kipindi kigoumu ila nilipotea kidogo nilipo rudi watu wote walishangaa kwa nguvu mupya nilio rudi nayo
😂😂😂😂 dah umenigusa Mimi kabisaaa 2023 nimepitia changamoto za aibu za kusemwa dawa ilikuwa ni hiyo kudisapper tu
pole
Pole kipenzi mm ndo napitia saiz
I like this brother.. Your doing a very good job..🎉🎉🎉 watanzania tulipo mbali tunakufuatilia sana
Ahsante sana Joel Mungu akubariki
ishii daima kaka
Safi Kwa kutuhimalisha watanzania wenye ndoto kubwa endelea kutujengea misuli ya mafanikio
hii ndo master piece.kak anatufungua san kiakili kam unatekeleza hiv anavyovfundsha.
Asante Kwa ujumbe mzuri nimejifuza kitamu umeongea vitu ambavyo vimeshanitokea na kbs mungu akubarik sana kwa mafundisho yako
Asante somo zuri Sana nimejifunza