Dr. Chris Mauki: Hata kama unampenda vipi! Usidanganyike kwenye haya manne
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ม.ค. 2023
- Wengi wamechemka kwenye mapenzi na ndoa baada ya kufanya maamuzi kama vipofu kisa tu penzi lilikuwa limenoga sana wakashindwa kuona vema. Nakusaidia usikosee kama wengine. Nifuatilie
Asante sana ubarikiwe sana kweli 🎉
Hiyo ya mwisho inamuhusu mtu Asante Sana mauki kwakuniongezea experience
Asante Sana daktari hakika umekuwa na mchango mkubwa Sana katika Maisha yangu nimekuwa nikijifunza mengi Sana kutoka kwako hakika nami nitakuwa Bora na nitakuwa na mahusiano Bora na ndoa iliyobora
Mungu akutunze na kukulinda kwa ajili yetu sote. Nakupenda Sana
Thnk boss b blssd for th great msge I hav learned
be blessed pastor
Asante saaana mungu akubariki mpendwa
Asante sana Dr nimejifunza kitu hapo
Asante san ..Mungu akubariki
Mungu akubaliki Dr kwa ushauri wako Yani niliye kuwa nae kabadilika sana Niko buys mara maisha magumu nimeamua kumove imebaki Salam tu
Namba nne niyamtu wangu kabisa na nashindwa kumuacha lkn nikweli najua lazma kunamtu anampa mda wake lkn kumuacha nashndw ,,,,,asanteh doctor tajtaid mana ni miaka miwil sasa lkn mimi ndo napambania sana penzi hili kuonana me niombe,,, kumtafuta mimi ndo nimtafute ye nimara chache sana dah nimevumilia izo tabia zake miaka miwili nw lkn abadiliki
Tunafanan na ivyo ivyo
Tunadanganywa wengi Mapenzi haya
Hanampango na wewe,mwache taratbu huku upo naye,hakupendi hata na atakuacha tu hata ipite miaka 6
Ahsante kaka nimejifunza jambo... Mungu akuzidishie
Asante dr ndio yananikuta Asante kwa kunifungua
Powerful mind 🙏🙏
Asante kwa mawaitha ❤❤
Congratulate to you Dr good job ✌️
Asante sana doctor kwa ushaur mzur
Powerful sms be blessed
Yaaani kama unaniongelea Dr Chris
Shukran sana
Be blessed kwa kutuelimisha
Thank u
ukweli kabisaa,I agree with you 🙏🙏
Mungu akubariki saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana Dr.
Asante sana
Nashukuru sana 🙏
Asante brother
That was my previous relationship...and I thank God mahali niko sai......I professie to God all 3 steps of relationship 🙏 inshallah ❤
1.usinidanganye atabadilika
2.wivu mkubwa ndio kunipenda
3.kukutenga baadhi ya watu
4.busy sanaaa
Shukrani sana Dr.Chriss
Yote hayo nimeyapitia lakin mpk sasa moyo ushakufa ngazi,,,naomba uzungumze je na hii tabia ya mtu kugombana anakushikia silaha ,, badae anakwambia alikuwa anakutishia tu ni Zaid ya mara Moja sasa nimeamua kumove on kwaz dah,,😢😢😢
Ubarikiwe sana
Excellent topic
Haya maisha unaweza dhan kuna mtu amepewa historia ya mahusiano yako, kumbe wala nashukuru niliaamua mwenyewe kuwa huru God bless you Mauki
Yaani mungu amlinde huyu kaka jamani anamaono na m beba maono hafi lazima yaonekane mbona kama umeingia kwa uhalisia wa maisha magumu wanayoishi watu kwenye ndoa zao? Duh mungu akulinde sana❤❤❤❤
Nimeipenda hii 😭❤ asante sana my brother
Asante Chris
Thanks dady
❤god bless u
Mungu akubariki Doctor hakika umenifunguwa akili yangu niliishi hayo maisha saaana.
Bora nilikimbia mapemaaa, barikiwa sana,
Well said
Ubarikiwe sanaaaaa
Very true doctor
Ubarikiwe sana mtumishi Maana najifunza mambo fulani kutoka kwako
Kweli kabisa hz point zote ni sahihi
Asante baba
Asante
Duh mungu anisaidie mm
Kweli ndugu Mauki🙏niliolewa na mwanaume mwenyevtabia za kupiga na kudharau wanawake nilidhani Upo cku atabadilika,ajawai kubadilika ndo amekuwa mbaya zaidi na amenitelekeza na watot 2 na tayari kazoa mwingine,
Ubarikiwe umenifundisha kitu
Fact sir hii imeshawah tokea kwa life yangu
Najuta kuchelewa kukufahamu doctor mauki dah,, nahitaji ushauri sana Mimi moyo ushakufa ngazi😢😢
Naelewa hii doctor
Nakubaliana na wewe 100%
Somo zuri
Daaaaaaah brooooo
Nakupataje we baba nitoe madukuduku yangu
Kweli kabisa
👌👌👌
Duu kakaumegusa sana maishayangu namumewangu tunavyo ishi nihivyo
Aante sana
👏👏👏👏👏👏👏
Kweli
🙏🙏
Dalili ya pili na ya tatu jmn khaaaa Namshukuru Mungu dada angu ametoka kwenye hiyo ndoa
Kabisa umeongea point
🤣🤣🤣 Asante sana Dr Chris nmekuelewa vzr
😢Asante
❤❤❤❤❤
Amina mtumishi namba mbili umenielimisha Sana kwa sababu itakuwa Siri yangu😭😭
Very true thanks 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mhuuuuu ya mwisho imegota vzr
Dr. Chriss je kama huyo mtu wakati mimi namjali anakua yupo bize halafu nikikaa kimya na yeye anakuja anajali kabisa kama hakuna kilichotokea hiyo inakuaje na anafanya hivo sio mara moja ata ukimwambia
Ukweli usiopingika
Nimekuelewa kaka
Yaan doctor Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu umeniponya tena Sana kuna topic yako uliirusha inasema dalili za mahusiano feki ki ukweli nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalikuwa yakiniumiza sana baada ya zile dalii ulizozitaja mtu nilokuwa naye kwenye mahusiano alikuwa nazo nimejitoa baada ya kunifundisha asante Sana baba kwan umeniponya na sasa niko huru Mungu akupe miaka ya furaha na amani uishi miaka 120 uone wana wa watoto wako
🙏🙏🙏🙏🙏
Nakuelewa Mauki nakuelewa kaka
Aisee hiyo ya mwisho
Hahahah kwenye Figo na bandama,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU
Da nimeumia Sana yaani Kaka umeongea ukweli mtupu nimejiona nimechelewa kukufwatilia
Hakika yote ni ukweli mtupu unaongea ,Mungu akuzidishie maarifa zaidi uzidi kutulea baba .
Yaani hizi tabia za ex husband nashukuru sipo tena huku . Na maisha yanaenda.
Duuh,dr hyo ya 2 na3 inamuhusu mtu wang ila nashukur Mungu nili move on mapema
Ubarikiwe
Wewe jamaa Sina neno juu yako ila Mungu akuzidishie sana unanigusa sana mmi
Naam kwel 😢😢😢😢
Tunashukuru ku mafundisho my pasta but hata kama unamupenda usidanganywe hakiwa mulevi hama mushipuko hama mwinzi nibigumu yeye kubadilika je kitu ambayo auvumiliye mu uchumba je mu ndoa unaweza kuyavumiliya kwasababu yote inaziyaka mu uchumba namahana ya upendo ni nini nini kwasababu upendo inavumiliya inasamehe haijivune haisabu mabaya etc
Somo lako zuri San Yan
Tabia za ex bwanangu hizo😭😭😭
Hizo tatu tuziache ila hiyo ya nne 🤭ndo penyew hapo nilijua kabisa doctor asante
Hizo ndo tabia za mme wngu mtalajiwa Ila ngja nijiongeze mapema
Jamani Dr Mauki ubarikiwe, nimechoka ghafla niliye nae ana yote uliyoyazungumza
Aisee huyu ni wangu
Kaka kris mimi nakutafuta Nina shida sana
Kama umeniona jaman
Hapo ni kweli kabsa ex wangu alikua na hiyo tabia hta kwa mmake hataki nikae nae😢😢
Hii topic ni kubwa
Hii ipo kwa mwanaume wangu😢😢😢 kabisaaa
Ipo haja ya kusililiza wanasaikolojia kabla ya ndoa😢😢 sasa nivumilie tu mada zako sasa zanigusa kati tayari nimeingia kwenye ndoa😢😢😢😢😢
Docta naomba no yak nikchek make 1,,4 yote umezungumzia mim tayal nipo kwene ndoa au naitaj ushaul
Kwel De iyonikwel kbs mwanaume wangu iko naizo tabia
❤️❤️💕
Yani daah latatu na lanne limenigusa limenikuta Kwa ex wangu nashukuru mungu nilijua mapema nikaliepuka
adi kichwa kinaniuma maumivu sana moyo wangu umechomwachomwa yote napitia kwa mchumba wangu natunaishi wote na nishazaa
kwakweli namwacha aende inauma lakini 9 ila hakuna nilichopata zaidi ya maumivu ya kumsubiri mtu asome apate kazi na alipopata kazi ndio kuangamia kwangu
Hiyo point ya mwisho ni ya wajina wako chriss