Dr. Chris Mauki: Hata kama unampenda vipi! Usidanganyike kwenye haya manne

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ม.ค. 2023
  • Wengi wamechemka kwenye mapenzi na ndoa baada ya kufanya maamuzi kama vipofu kisa tu penzi lilikuwa limenoga sana wakashindwa kuona vema. Nakusaidia usikosee kama wengine. Nifuatilie

ความคิดเห็น • 182

  • @Bernadette-wn4mq
    @Bernadette-wn4mq 3 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana ubarikiwe sana kweli 🎉

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 ปีที่แล้ว +6

    Hiyo ya mwisho inamuhusu mtu Asante Sana mauki kwakuniongezea experience

  • @azizakunubwa6902
    @azizakunubwa6902 ปีที่แล้ว +3

    Asante Sana daktari hakika umekuwa na mchango mkubwa Sana katika Maisha yangu nimekuwa nikijifunza mengi Sana kutoka kwako hakika nami nitakuwa Bora na nitakuwa na mahusiano Bora na ndoa iliyobora
    Mungu akutunze na kukulinda kwa ajili yetu sote. Nakupenda Sana

  • @catherinenasambu5366
    @catherinenasambu5366 ปีที่แล้ว

    Thnk boss b blssd for th great msge I hav learned

  • @zawadithomas1008
    @zawadithomas1008 ปีที่แล้ว +1

    be blessed pastor

  • @seraphineniyonzima962
    @seraphineniyonzima962 ปีที่แล้ว

    Asante saaana mungu akubariki mpendwa

  • @rebeccasamsom5616
    @rebeccasamsom5616 ปีที่แล้ว

    Asante sana Dr nimejifunza kitu hapo

  • @user-ur3wh5fn3o
    @user-ur3wh5fn3o ปีที่แล้ว

    Asante san ..Mungu akubariki

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubaliki Dr kwa ushauri wako Yani niliye kuwa nae kabadilika sana Niko buys mara maisha magumu nimeamua kumove imebaki Salam tu

  • @mackilinapatrick4717
    @mackilinapatrick4717 ปีที่แล้ว +9

    Namba nne niyamtu wangu kabisa na nashindwa kumuacha lkn nikweli najua lazma kunamtu anampa mda wake lkn kumuacha nashndw ,,,,,asanteh doctor tajtaid mana ni miaka miwil sasa lkn mimi ndo napambania sana penzi hili kuonana me niombe,,, kumtafuta mimi ndo nimtafute ye nimara chache sana dah nimevumilia izo tabia zake miaka miwili nw lkn abadiliki

    • @estabit5630
      @estabit5630 ปีที่แล้ว +1

      Tunafanan na ivyo ivyo

    • @tasokwamichael2433
      @tasokwamichael2433 ปีที่แล้ว

      Tunadanganywa wengi Mapenzi haya

    • @AnnerSon-cl9vn
      @AnnerSon-cl9vn 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Hanampango na wewe,mwache taratbu huku upo naye,hakupendi hata na atakuacha tu hata ipite miaka 6

  • @TiffFatma-lw5mf
    @TiffFatma-lw5mf 5 หลายเดือนก่อน

    Ahsante kaka nimejifunza jambo... Mungu akuzidishie

  • @winnieakarro5398
    @winnieakarro5398 11 หลายเดือนก่อน

    Asante dr ndio yananikuta Asante kwa kunifungua

  • @subiraadam2322
    @subiraadam2322 ปีที่แล้ว

    Powerful mind 🙏🙏

  • @user-yh3im3gm9b
    @user-yh3im3gm9b ปีที่แล้ว

    Asante kwa mawaitha ❤❤

  • @ELIZAKipasisi-wo2qd
    @ELIZAKipasisi-wo2qd 10 หลายเดือนก่อน

    Congratulate to you Dr good job ✌️

  • @Betty864
    @Betty864 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana doctor kwa ushaur mzur

  • @eunicemwalsumo2166
    @eunicemwalsumo2166 11 หลายเดือนก่อน

    Powerful sms be blessed

  • @KhadimHydar-si5nt
    @KhadimHydar-si5nt 4 หลายเดือนก่อน

    Yaaani kama unaniongelea Dr Chris
    Shukran sana

  • @user-my2yi1rp6t
    @user-my2yi1rp6t 10 หลายเดือนก่อน

    Be blessed kwa kutuelimisha

  • @violethroth9076
    @violethroth9076 ปีที่แล้ว

    Thank u

  • @SelineBhokeseline-go5eu
    @SelineBhokeseline-go5eu 11 หลายเดือนก่อน

    ukweli kabisaa,I agree with you 🙏🙏

  • @cheka480
    @cheka480 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana Dr.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @GraceMichael-ze2oc
    @GraceMichael-ze2oc ปีที่แล้ว

    Nashukuru sana 🙏

  • @user-mw2ym5vp1p
    @user-mw2ym5vp1p 6 หลายเดือนก่อน

    Asante brother

  • @evemeeshow.
    @evemeeshow. ปีที่แล้ว

    That was my previous relationship...and I thank God mahali niko sai......I professie to God all 3 steps of relationship 🙏 inshallah ❤

  • @youthssuccesstv3162
    @youthssuccesstv3162 ปีที่แล้ว +8

    1.usinidanganye atabadilika
    2.wivu mkubwa ndio kunipenda
    3.kukutenga baadhi ya watu
    4.busy sanaaa

    • @ExcitedColourfulShirt-tr7dr
      @ExcitedColourfulShirt-tr7dr 4 หลายเดือนก่อน +1

      Shukrani sana Dr.Chriss

    • @user-kf5fy5pe9z
      @user-kf5fy5pe9z 4 หลายเดือนก่อน

      Yote hayo nimeyapitia lakin mpk sasa moyo ushakufa ngazi,,,naomba uzungumze je na hii tabia ya mtu kugombana anakushikia silaha ,, badae anakwambia alikuwa anakutishia tu ni Zaid ya mara Moja sasa nimeamua kumove on kwaz dah,,😢😢😢

  • @user-jf8gn3gz8u
    @user-jf8gn3gz8u ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana

  • @Medical101
    @Medical101 7 หลายเดือนก่อน

    Excellent topic

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 ปีที่แล้ว +1

    Haya maisha unaweza dhan kuna mtu amepewa historia ya mahusiano yako, kumbe wala nashukuru niliaamua mwenyewe kuwa huru God bless you Mauki

    • @user-hn5mc1vp2r
      @user-hn5mc1vp2r 4 หลายเดือนก่อน

      Yaani mungu amlinde huyu kaka jamani anamaono na m beba maono hafi lazima yaonekane mbona kama umeingia kwa uhalisia wa maisha magumu wanayoishi watu kwenye ndoa zao? Duh mungu akulinde sana❤❤❤❤

  • @aishadotto3640
    @aishadotto3640 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda hii 😭❤ asante sana my brother

  • @nuruyaufunuoministry
    @nuruyaufunuoministry 11 หลายเดือนก่อน

    Asante Chris

  • @HildaTindwa
    @HildaTindwa 3 หลายเดือนก่อน

    Thanks dady

  • @Jasminemilima-lo9ep
    @Jasminemilima-lo9ep ปีที่แล้ว

    ❤god bless u

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki Doctor hakika umenifunguwa akili yangu niliishi hayo maisha saaana.

  • @mamajj2040
    @mamajj2040 ปีที่แล้ว

    Bora nilikimbia mapemaaa, barikiwa sana,

  • @margaretmalandi37
    @margaretmalandi37 11 หลายเดือนก่อน

    Well said

  • @hggvg9809
    @hggvg9809 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sanaaaaa

  • @SidiAm-wn4vb
    @SidiAm-wn4vb ปีที่แล้ว

    Very true doctor

  • @ChimamiMaryam
    @ChimamiMaryam 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi Maana najifunza mambo fulani kutoka kwako

  • @shangazizaynyenzi3121
    @shangazizaynyenzi3121 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa hz point zote ni sahihi

  • @happinessgaspha-iz7ct
    @happinessgaspha-iz7ct ปีที่แล้ว

    Asante baba

  • @losaleennjikho7902
    @losaleennjikho7902 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @JacklinaJeremaya-jb3zw
    @JacklinaJeremaya-jb3zw ปีที่แล้ว

    Duh mungu anisaidie mm

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 ปีที่แล้ว +1

    Kweli ndugu Mauki🙏niliolewa na mwanaume mwenyevtabia za kupiga na kudharau wanawake nilidhani Upo cku atabadilika,ajawai kubadilika ndo amekuwa mbaya zaidi na amenitelekeza na watot 2 na tayari kazoa mwingine,

  • @julias.mungai8807
    @julias.mungai8807 10 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe umenifundisha kitu

  • @yusufomosh5093
    @yusufomosh5093 11 หลายเดือนก่อน

    Fact sir hii imeshawah tokea kwa life yangu

  • @user-kf5fy5pe9z
    @user-kf5fy5pe9z 4 หลายเดือนก่อน +2

    Najuta kuchelewa kukufahamu doctor mauki dah,, nahitaji ushauri sana Mimi moyo ushakufa ngazi😢😢

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 ปีที่แล้ว +1

    Nakubaliana na wewe 100%

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว

    Somo zuri

  • @veronicamahende3718
    @veronicamahende3718 ปีที่แล้ว

    Daaaaaaah brooooo

  • @nulovepyaar215
    @nulovepyaar215 ปีที่แล้ว

    Nakupataje we baba nitoe madukuduku yangu

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 ปีที่แล้ว

    👌👌👌

  • @SwaumusaidKilua
    @SwaumusaidKilua 9 หลายเดือนก่อน

    Duu kakaumegusa sana maishayangu namumewangu tunavyo ishi nihivyo

  • @Lily-xw6hg
    @Lily-xw6hg 7 หลายเดือนก่อน

    Aante sana

  • @eliasmajambomwinyihaji1335
    @eliasmajambomwinyihaji1335 2 หลายเดือนก่อน

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @catherinesabuni3453
    @catherinesabuni3453 ปีที่แล้ว

    Kweli

  • @priscalukumay194
    @priscalukumay194 ปีที่แล้ว

    🙏🙏

  • @anethjoseph355
    @anethjoseph355 ปีที่แล้ว

    Dalili ya pili na ya tatu jmn khaaaa Namshukuru Mungu dada angu ametoka kwenye hiyo ndoa

  • @munirakhalidikimaya4267
    @munirakhalidikimaya4267 ปีที่แล้ว

    Kabisa umeongea point

  • @habibanassoro5732
    @habibanassoro5732 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣 Asante sana Dr Chris nmekuelewa vzr

  • @neema2822
    @neema2822 11 หลายเดือนก่อน

    😢Asante

  • @user-fv1mj5rz8u
    @user-fv1mj5rz8u 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @AgnesjaneskephaJaneskeph-os7fu
    @AgnesjaneskephaJaneskeph-os7fu ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi namba mbili umenielimisha Sana kwa sababu itakuwa Siri yangu😭😭

  • @antidiusalex7389
    @antidiusalex7389 ปีที่แล้ว

    Very true thanks 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @suzancharles6163
    @suzancharles6163 ปีที่แล้ว

    Mhuuuuu ya mwisho imegota vzr

    • @rehemaselemani9159
      @rehemaselemani9159 ปีที่แล้ว

      Dr. Chriss je kama huyo mtu wakati mimi namjali anakua yupo bize halafu nikikaa kimya na yeye anakuja anajali kabisa kama hakuna kilichotokea hiyo inakuaje na anafanya hivo sio mara moja ata ukimwambia

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum3271 ปีที่แล้ว

    Ukweli usiopingika

  • @makamgimba5795
    @makamgimba5795 10 หลายเดือนก่อน

    Nimekuelewa kaka

  • @gracemasawe7646
    @gracemasawe7646 ปีที่แล้ว +3

    Yaan doctor Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu umeniponya tena Sana kuna topic yako uliirusha inasema dalili za mahusiano feki ki ukweli nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalikuwa yakiniumiza sana baada ya zile dalii ulizozitaja mtu nilokuwa naye kwenye mahusiano alikuwa nazo nimejitoa baada ya kunifundisha asante Sana baba kwan umeniponya na sasa niko huru Mungu akupe miaka ya furaha na amani uishi miaka 120 uone wana wa watoto wako

  • @KhalidAshjaie-cz7vg
    @KhalidAshjaie-cz7vg 7 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg 5 หลายเดือนก่อน

    Nakuelewa Mauki nakuelewa kaka

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 ปีที่แล้ว

    Aisee hiyo ya mwisho

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว

    Hahahah kwenye Figo na bandama,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @theresiamwacha7845
    @theresiamwacha7845 ปีที่แล้ว

    Da nimeumia Sana yaani Kaka umeongea ukweli mtupu nimejiona nimechelewa kukufwatilia

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 ปีที่แล้ว +1

    Hakika yote ni ukweli mtupu unaongea ,Mungu akuzidishie maarifa zaidi uzidi kutulea baba .

  • @peacemulokozi773
    @peacemulokozi773 ปีที่แล้ว +1

    Yaani hizi tabia za ex husband nashukuru sipo tena huku . Na maisha yanaenda.

  • @MonikaJuma-n8b
    @MonikaJuma-n8b วันที่ผ่านมา

    Duuh,dr hyo ya 2 na3 inamuhusu mtu wang ila nashukur Mungu nili move on mapema

  • @jojo-qj3fk
    @jojo-qj3fk ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe

  • @clintonaward7580
    @clintonaward7580 ปีที่แล้ว

    Wewe jamaa Sina neno juu yako ila Mungu akuzidishie sana unanigusa sana mmi

  • @user-rf5zf2xc9h
    @user-rf5zf2xc9h ปีที่แล้ว

    Naam kwel 😢😢😢😢

  • @pascalfranci8399
    @pascalfranci8399 ปีที่แล้ว

    Tunashukuru ku mafundisho my pasta but hata kama unamupenda usidanganywe hakiwa mulevi hama mushipuko hama mwinzi nibigumu yeye kubadilika je kitu ambayo auvumiliye mu uchumba je mu ndoa unaweza kuyavumiliya kwasababu yote inaziyaka mu uchumba namahana ya upendo ni nini nini kwasababu upendo inavumiliya inasamehe haijivune haisabu mabaya etc

  • @ShabaniKateva
    @ShabaniKateva 10 หลายเดือนก่อน

    Somo lako zuri San Yan

  • @sharonjanery983
    @sharonjanery983 ปีที่แล้ว +3

    Tabia za ex bwanangu hizo😭😭😭

  • @edinaabiudi2382
    @edinaabiudi2382 ปีที่แล้ว

    Hizo tatu tuziache ila hiyo ya nne 🤭ndo penyew hapo nilijua kabisa doctor asante

  • @priscardanier8264
    @priscardanier8264 ปีที่แล้ว +1

    Hizo ndo tabia za mme wngu mtalajiwa Ila ngja nijiongeze mapema

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 ปีที่แล้ว +1

    Jamani Dr Mauki ubarikiwe, nimechoka ghafla niliye nae ana yote uliyoyazungumza

    • @annamushi1057
      @annamushi1057 11 หลายเดือนก่อน

      Aisee huyu ni wangu

  • @winnieakarro5398
    @winnieakarro5398 ปีที่แล้ว

    Kaka kris mimi nakutafuta Nina shida sana

  • @user-gy8ld1zf5v
    @user-gy8ld1zf5v 11 หลายเดือนก่อน

    Kama umeniona jaman

  • @harosicharo2736
    @harosicharo2736 ปีที่แล้ว

    Hapo ni kweli kabsa ex wangu alikua na hiyo tabia hta kwa mmake hataki nikae nae😢😢

  • @ramanycore
    @ramanycore 10 หลายเดือนก่อน

    Hii topic ni kubwa

  • @getrudecharles8869
    @getrudecharles8869 6 หลายเดือนก่อน

    Hii ipo kwa mwanaume wangu😢😢😢 kabisaaa

  • @user-th3th6qb2e
    @user-th3th6qb2e 6 หลายเดือนก่อน

    Ipo haja ya kusililiza wanasaikolojia kabla ya ndoa😢😢 sasa nivumilie tu mada zako sasa zanigusa kati tayari nimeingia kwenye ndoa😢😢😢😢😢

  • @AgnessFred
    @AgnessFred หลายเดือนก่อน

    Docta naomba no yak nikchek make 1,,4 yote umezungumzia mim tayal nipo kwene ndoa au naitaj ushaul

  • @user-dr6ix2sz3b
    @user-dr6ix2sz3b 3 หลายเดือนก่อน

    Kwel De iyonikwel kbs mwanaume wangu iko naizo tabia

  • @wahidamumy9139
    @wahidamumy9139 ปีที่แล้ว

    ❤️❤️💕

  • @khadjaabdallah
    @khadjaabdallah ปีที่แล้ว

    Yani daah latatu na lanne limenigusa limenikuta Kwa ex wangu nashukuru mungu nilijua mapema nikaliepuka

  • @naomidaudi1718
    @naomidaudi1718 10 หลายเดือนก่อน

    adi kichwa kinaniuma maumivu sana moyo wangu umechomwachomwa yote napitia kwa mchumba wangu natunaishi wote na nishazaa

  • @dafrosamapunda5884
    @dafrosamapunda5884 ปีที่แล้ว

    kwakweli namwacha aende inauma lakini 9 ila hakuna nilichopata zaidi ya maumivu ya kumsubiri mtu asome apate kazi na alipopata kazi ndio kuangamia kwangu

  • @neemachriss2605
    @neemachriss2605 ปีที่แล้ว

    Hiyo point ya mwisho ni ya wajina wako chriss