ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
Waziri Junior asimulia alivyokwepa kulala selo Tunisia
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ค. 2024
- Kuipambania ndoto si kazi nyepesi. Njiani kuna uwezekano wa kukutana na milima na mabonde, lakini jambo la msingi ni kuamini siku ya kicheko inakuja, kama anavyosimulia mshambuliaji Waziri Junior mitihani aliyokubana nayo Tunisia wakati akitaka kurudi Tanzania baada ya dili la kusajiliwa Olimpique Beja nchini humo kukwama.
Waziri anasema, pasipoti ya kusafiria alikuwa nayo wakala aliyempeleka, hivyo ikawa mtihani mwingine baada ya kuambiwa na rafiki yake aliyekuwa Rais wa Olimpique Beja, kuwa endapo kama atakamatwa atawekwa selo miezi mitatu baada ya hapo ndo atarudishwa Tanzania. Hata hivyo, akaamua kwenda kituo cha polisi kwa ajili ya kutoa taarifa kuwa pasipoti ameipoteza kwani kila akimuomba wakala wake anamwambia asubiri.
Nini kilitokea hadi akafanikiwa kurudi nchini? Tazama mpaka mwisho.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Maisha ya ughaibuni sio rahisi kuishi na pole sana Waziri.
Pole
Pole sana bro, usikate tamaa endelea kupambana
Nmegundua jamaa anakumbuka kila detail
Waziri vipi passport unamwachia Agent.
Bwana madogo pole siku shida kama hiyo ikijirudia ktk utafutaji wako nenda ubalozi watakusaidia haraka sana
Pole sana
Vp hatuna ubalozi tunis mbona uliishi kama kibaka
Waziri bora uende Qatar huko Utafika mbali Qatar hakuna ubabaishaji.
Duh
Vp hatuna ubalozi Tunisia na wewe ni mchezaji siyo kibaka kwa Nini usiende ukawaeleza shida Yako wakusaidie
Duh