BREAKING:RAIS SAMIA APANGUA SAFU YA MAWAZIRI, UMMY MWALIMU ATUMBULIWA, LUKUVI NA KABUDI WAPEWA SHAVU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 179

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 27 วันที่ผ่านมา +17

    Hivi hamna watanzania wengine wasomi zaidi ya hizi sura kila siku ndo hizi??Mbn watanzania tena wasomi wazuri ni wengi tu?Huu mzunguko tumeuchoka tunahitaji badiliko ya dhati na kweli ili kuleta maendeleo kwani wote hawa walikuwepo tangu awamu ya 4 kwa mzee wa Msoga na walifeli kwa sbb hawakuleta matokeo mapya yyte,tupo wasomi wengi huku nje angalieni tena na tunaweza kuiletea maendeleo Tanzania tukiaminiwa.

    • @Clex-f5s
      @Clex-f5s 27 วันที่ผ่านมา +1

      Wachezaji wanabadilishana namba tu😂😂

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 27 วันที่ผ่านมา +1

      hizo ni siasa ndugu yangu, lazima ateue watu anao waamini, hawezi kuteua tu watu, siasa zina hujuma na fitna lazima awe na timu anayoijua, yenye uzoefu na anayoiamini

    • @georgewambura7695
      @georgewambura7695 27 วันที่ผ่านมา

      Si ndo kikundi chao

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 27 วันที่ผ่านมา

      Wasomi wapo uzoefu mdogo wataanza kuiba kwanza

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 27 วันที่ผ่านมา

      Ndo nashangaa kila siku hao hao utazani serikali ni yao peke yao,wasomi tumujee,me nina Masters yangu na sina kazi danadana kila siku,pumbavu

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 27 วันที่ผ่านมา +17

    R.I.P magufuli

  • @KaizerKilagwa
    @KaizerKilagwa 27 วันที่ผ่านมา +5

    Pongezi kubwa kwako mama Samia kwa kaz nzuri kazi iendelee na sasa muonyeshe ushirikiano mzuri kwa mama katka utendaji kazi msikae office tu

  • @andrewsayi2152
    @andrewsayi2152 27 วันที่ผ่านมา +8

    Hongera waziri wangu Ummy mwalimu kwa utumishi uliotukuka. Watumishi wa afya tutakukumbuka sana ilikuwa kiongozi Bora sana kwetu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 27 วันที่ผ่านมา +1

      @@andrewsayi2152 tatizo lake ni tanga line... team february

    • @aishawhite1107
      @aishawhite1107 27 วันที่ผ่านมา +1

      Hakika tutamkumbuk siku zote

    • @BoniphasLukas-c3c
      @BoniphasLukas-c3c 27 วันที่ผ่านมา

      Kwakua mlikua unakula wote madlil yadawa mnauza kwenye maphamas hospital Kila sku dawa hakuna mnauza hamsumbuliw nikwel mtammis sana kwakunyanyasa wagonjwa mahospital Nahamchukuliw hatua pumbavu zenu

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 27 วันที่ผ่านมา +11

    Kuna watu walitolewa tangu mwanzo Mama anaingia, wengine hatukuelewa kwa nini awatoe? Kama Kabudi na Lukuvi. Sasa kawarudisha! Rai yangu muda wote huu ambao hawakuwepo wangekuwa wamemsaidia sana, hivyo hakukuwa na haja ya kuwatoa. Kuendesha nchi ni kazi ngumu, Rais inabidi awe tayari kutembea na wachapakazi. Asiwe anawatoa kwenye nafasi watu wa namna hii wasaidie nchi kwenda mbele. Haisaidii kiongozi unapotaka kubaki na watu laini laini tu, nchi inakuwa haiendi. Bora lawama lakini nchi isonge mbele!!!

    • @user-kg4lx3uf4o
      @user-kg4lx3uf4o 27 วันที่ผ่านมา +2

      Yaan anashtuka wakati pamekucha sana kiufupi kachelewa sana

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 27 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@user-kg4lx3uf4o nikweli ndugu anakumbuka shuka na kumeshakucha

    • @BoniphasLukas-c3c
      @BoniphasLukas-c3c 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-kg4lx3uf4oAnaumwa huyu mama anatapa tapa alitoa watu wakaz kaweka watu wez wameiba sasa wanamgeuka wampindue ndio anashtuka Atakoma nabado tutashuhudia meng kat yahaya

    • @user-bi7gk7im4f
      @user-bi7gk7im4f 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-kg4lx3uf4omnooo

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n 27 วันที่ผ่านมา +5

    Hongera ummy mimi katika mawaziri wanawake nakukubari sana huna mbwembwe huna majivuno kama Chalamila ❤

  • @SarahHamis-b6k
    @SarahHamis-b6k 26 วันที่ผ่านมา +1

    Asante MUNGU kwa kusikia maombi yangu libarikiwwe kina la Bwana Yesu. Tuzidi kuomba watumishi wetu

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 27 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera sana mama kwa kabudi na lukuvi

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 27 วันที่ผ่านมา +12

    Hongera sana Mhe. Prof. Paramagamba Kabudi Ukweli ulivyo Wewe ni Jembe. Mhe. Rais wetu hakika amekuona Rais wetu nimwema sana. Ccm Oyeeeeeeeeeeeeeee ee.

    • @maulidmusa8902
      @maulidmusa8902 27 วันที่ผ่านมา +1

      Aliyeokotokwa toka jalalani

    • @Misheckkazilist-cv2hb
      @Misheckkazilist-cv2hb 27 วันที่ผ่านมา

      Ya vyoko mwehu wewe

    • @salhaomar5382
      @salhaomar5382 27 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@Misheckkazilist-cv2hbmwehu mwenyewe

    • @BoniphasLukas-c3c
      @BoniphasLukas-c3c 27 วันที่ผ่านมา

      Kuma kwel ww ccn oyee yababaako fisad usiejielewa

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 27 วันที่ผ่านมา

      CCM oyee wakati, maisha yako duni​@@BoniphasLukas-c3c

  • @WinfridaKagaruki
    @WinfridaKagaruki 27 วันที่ผ่านมา +10

    Mama Samia oyoeeee! Hongera mama kwa kurudisha jembe Palamaganda , na kazi iendelee

    • @Misheckkazilist-cv2hb
      @Misheckkazilist-cv2hb 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kwako na familia yako

    • @BoniphasLukas-c3c
      @BoniphasLukas-c3c 27 วันที่ผ่านมา +1

      Amaona uchaguz unakalbia anawaludisha timu maguful kaona timu kikwete inataka kumng'oa kudadadeki

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 27 วันที่ผ่านมา +2

    Ummy Mwalimu aje awe waziri mkuu wa kwanza mwanamke

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 27 วันที่ผ่านมา +7

    Mama Samia safi safi na safi Tena yaani❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu 27 วันที่ผ่านมา +10

    Mungu itunze Tanzania 🇹🇿

  • @DrMbonea
    @DrMbonea 27 วันที่ผ่านมา +10

    Mh Prof Palamagamba Kabudi anatosha sana

  • @DominicaShio
    @DominicaShio 27 วันที่ผ่านมา +9

    Piga kazi mama Samia hoyeeee kumbe una macho hongera mama

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 27 วันที่ผ่านมา

      Kazi gani?? Hiyo ya kukopa tu???

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@upendoeliya9329😂😂😂😂

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 26 วันที่ผ่านมา

      Hakuna kitu hakuna vijana wanaofiti katika nafaai hizo mpaka kurudisha wazee?

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy 27 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania ina historia na baadhi ya watu wanaofanya vizuri wawapo kwenye utumishi wa serikali. Kama profesa kabudi hakustahili kuwa nje ya utumishi wa serikali, toka awamu hii ya sita inaanza. Maana ndio waliosimamia mazungumzo ya ukwepaji kodi uliokua unafanywa kwenye makinikia. Alisimamia vizuri sana. Hadi boss wa kampuni ile alikuja hapa nchini, akakubaliana kuilipa serikali ya Tanzania. Lakini kazi kubwa ilifanywa na kabudi na timu yake.

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mimi kwangu Ummy mtu bora sn.

  • @MassaweLemmy
    @MassaweLemmy 26 วันที่ผ่านมา

    Mama hongera sana kwa kazi zote !

  • @MaryHosea-kp2oo
    @MaryHosea-kp2oo 27 วันที่ผ่านมา +7

    sasa sku zote izo mama anatikisa sketi alidhani mjomba alikuwa bwege hii nchi inawenyewe wnyw ndo hao bdo balozi bashiru ally

  • @happymakweta2000
    @happymakweta2000 27 วันที่ผ่านมา +9

    Lukuvi nakupenda ungewekwa ardhi

  • @FrenkMushi-i7f
    @FrenkMushi-i7f 27 วันที่ผ่านมา +1

    Unateuwaa watu walewale kila cku utapata utofauti gani hapo sawasawa kuchukua ela ufuko hu na kuweke mfuko mwngine kuna nini!? Hapo fukuza weka watu wapya tanzania ina watu milion 60 wewe unaangaika na ao ao kila cku jamanii da! Hi nchi kichwa cha mwenda waziximu

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 27 วันที่ผ่านมา +2

    Mabadiliko ya kila uchao hayasaidii.Tupate mabadiliko ya uchumi.Kila unaowapanga hawana msaada.Kwa Feleshi sawa kabisa kabisa tulikuwa hatuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 27 วันที่ผ่านมา +4

    Namtafuta mganga wa Dr Prof Mwigulu..hakika,jamaa yuko njema

    • @annadida5672
      @annadida5672 27 วันที่ผ่านมา

      Anamtegemea Yesu ndugu, anafanya maombi sana

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 27 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@annadida5672acha uwongo yesu ni binadam km ww acha zana potofu

    • @tielyelibariki8958
      @tielyelibariki8958 27 วันที่ผ่านมา

      Tusaidiane kumtafuta maana hapa kkoo tunasikilizia Kwa bidiii

    • @BoniphasLukas-c3c
      @BoniphasLukas-c3c 27 วันที่ผ่านมา

      Uyu ni jambaz anaetumwa Kaz na rais namambo yanakwenda super msitegemee kutolewa Leo wla kesho huyu nimtaalam watozo zajanja janja rais anamkubal sana

  • @joycekweka5416
    @joycekweka5416 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ummy angebakia afya. Ila palamagamba namkubali sana tangia enzi za magufuli strong man

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera mama samia piga kazi acha wapige kelele. Kabudi na lukuvi hapo safiiii. Kazi iendelee

    • @user-md7sd3hk6l
      @user-md7sd3hk6l 26 วันที่ผ่านมา

      kwani wengine tanzania akuna tuna ona kila siku wale wale vipi apo

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 27 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana sana. Waoo Nimefrahishwa hawa wapambanaji kurudishwa sait. Asnt mama.

  • @aurelialyimo8650
    @aurelialyimo8650 27 วันที่ผ่านมา +2

    Mama Samia raisi wetu hongera hongera sanaaaaa

  • @lazaroeliphas8353
    @lazaroeliphas8353 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kabudi na lukuvi tuna Imani na ninyi

  • @SophiaPatson
    @SophiaPatson 27 วันที่ผ่านมา +1

    Nilivyo ona kabudu tuu naona tanzania ya Magufuli hiyo

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d 27 วันที่ผ่านมา +11

    Malkia wa kuteua, nchi ya majinga 60+ million

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 27 วันที่ผ่านมา +1

      Raisi mjinga kwa wajinga ,

    • @leothardngonya4842
      @leothardngonya4842 27 วันที่ผ่านมา

      Nenda kwenye nchi yako ulikozaliwa. Bangi tupu.

    • @leothardngonya4842
      @leothardngonya4842 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@whatisthetruth.8793Leo utakuwa Jela ukapumuliwe na walofungwa maisha. Mjinga weee. Nadhani hata anakolala mamako unachungulia.

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 27 วันที่ผ่านมา

      @@leothardngonya4842 umemaliza ? Au una zaidi

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 27 วันที่ผ่านมา

      @@leothardngonya4842 la saba kama samia na wee , kilaza kwa vilaza

  • @leopoldwilliam2128
    @leopoldwilliam2128 27 วันที่ผ่านมา +5

    Kazi iendelee

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 27 วันที่ผ่านมา

      Ipi?? Ya kukopa kopa au??

    • @leopoldwilliam2128
      @leopoldwilliam2128 27 วันที่ผ่านมา

      @@upendoeliya9329 Tutafanyaje sasa ndiyo wameshika makali!!@#

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mama mh.ulikuwa wap muda wote mpaka watu wanapoteza matumaini? Pole mama ila tunakuombea Mungu akujalie neema na hekima zaid

  • @tinertv1382
    @tinertv1382 26 วันที่ผ่านมา

    Mama umenifurahisha sana kuwarudisha lukuvi na kabudi

  • @glorysungura3180
    @glorysungura3180 27 วันที่ผ่านมา +1

    Lukuvi alistahili wizara ya ardhi. Anaiweza sana.

  • @user-ex9gt9np8i
    @user-ex9gt9np8i 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ongera lukuvi na kabudi mungu awatie nguvu na busara wazee wangu na wapenda kwani mna busara

  • @bundalaizina652
    @bundalaizina652 27 วันที่ผ่านมา

    Asante mama

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 27 วันที่ผ่านมา +3

    Lukuvi mtani wangu ongera sana.by mngon songea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-qp7gb7pu4l
    @user-qp7gb7pu4l 27 วันที่ผ่านมา

    Hongelaa mama ila umi mwalimu jitahidi kumukumbukabadayee kabudi saf lukuvi safii

  • @Clex-f5s
    @Clex-f5s 27 วันที่ผ่านมา +2

    Hilo neno kutumbuliwa halijakaa Sawa ni bora kusema atapangiwa kaz nyingine @millardayo

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m 27 วันที่ผ่านมา +3

    Hi wala haina maana hali ni ngumu kimaisha

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 27 วันที่ผ่านมา +1

      hali ngumu kimaisha kwa nani??? mbona wezako tunaishi vyema, na hali ngumu yako kimaisha kuifanya iwe rahisi jukumu la nani??? babako mzazi tu huwezi kumlaumu hai ngumu ya maisha kwanini umlaumu Rais ambaye hata hajui kuna wewe unaishi mahala, kaza matako, Mungu tu jasema mtakula kwa jasho, we unataka nini upewe vya bure?

    • @Khamis_Waya
      @Khamis_Waya 27 วันที่ผ่านมา

      @@filamupictures9349Endelea kufanya kazi vyema na muombe Mungu aendelee kukubariki hapo ulipo na uende mbali zaid, sio kila mtu ana nafas kma ulio nayo wewe au amebahatika kufika apo ulipofika wewe. Maisha ya mtanzania mmoja mmoja ni magumu licha ya kua kuna wachache wanamaisha mazuri. Mungu atubariki sote na aendelee kutulinda katika harakat zetu za kila siku🙏

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 27 วันที่ผ่านมา +2

    Wakongwe warudi nchi bila wazee ni vurugu uteuzi wa.kabudi na lukuvi huu ni waviwango busara zenu ndio nuru za Taifa....

  • @hamisipolenisanaissa8859
    @hamisipolenisanaissa8859 27 วันที่ผ่านมา

    asante mama kwa kuwarudisha

  • @badeda
    @badeda 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kabudi na Lukuvi wamerudi🎉🎉

  • @umlaith5202
    @umlaith5202 27 วันที่ผ่านมา +4

    Hongera Profesa Kabudi hongera. Strong Man.

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 27 วันที่ผ่านมา +1

    Ummy jeee!!!!!!!

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 26 วันที่ผ่านมา

    Sijapenda kwa Ummi

  • @AMOSSILYVESTER
    @AMOSSILYVESTER 27 วันที่ผ่านมา

    Hongera mama kumurudisha kabudi❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 27 วันที่ผ่านมา +5

    Duuu yale aliyosema mtumishi Rolinga yanatimia

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 27 วันที่ผ่านมา

      Kweli asee

    • @alexmaungo2851
      @alexmaungo2851 27 วันที่ผ่านมา

      Na bado yatatimia

    • @innocentjoseph805
      @innocentjoseph805 27 วันที่ผ่านมา

      Na mkubari sana mtumishi wa Mungu yule🙏

    • @JoyceKisenga-mq8tt
      @JoyceKisenga-mq8tt 27 วันที่ผ่านมา +1

      Yaani Rolinga akisema mi huwa naogopa maana ametabiri mengi na yametimia

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 27 วันที่ผ่านมา

      @@JoyceKisenga-mq8tt sana tu huyu ni Nabii wa kweli

  • @petercharles7959
    @petercharles7959 27 วันที่ผ่านมา +6

    Ummy Mwalimu 😢

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 27 วันที่ผ่านมา

      Ummy yupo uzuri yule , katolewa kwa sababu samia mwenyewe ni bundi

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 27 วันที่ผ่านมา

      @@petercharles7959 tanga line, team february..nafikiri ndo tatizo lake

    • @JosephTemba-nh6nx
      @JosephTemba-nh6nx 26 วันที่ผ่านมา

      Wapi umi kawekwa?

  • @chrisantusdavid358
    @chrisantusdavid358 26 วันที่ผ่านมา

    Daahh.. Najua wazi sasa mama alishagundua wapi alitekeza na amesahihisha.. Kiukweli kabudi na lukuvi walikua wachapa kazi hodari..

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 26 วันที่ผ่านมา

    Mama anaanza kurudisha vyuma vya Magufuli baada ya mwamba kuoza. Ila it is never too late, simlaumu mama maana transition ya kijinsia ina joto lake, kilichobaki Makonda ajitokeze kama yuko hai, ili kazi iendelee.

  • @simonmalegesi414
    @simonmalegesi414 27 วันที่ผ่านมา

    Mama upo sawa

  • @DavidJosia
    @DavidJosia 27 วันที่ผ่านมา +1

    WATANZANIA WENZANGU TUOMBE UZIMA HAYOA MAMBO YA MENGINE HUPNGWA NA MUNGU MWENYE NAFASI YA KUKA MWACHENI ALE PAMBANA KIVYAKO IKA KWAKWELI UPANDE WA WAZIRI WA FEDHA HATA MIMI SIJUI MAMA SAMIA ANAMPENDEA NINI YAANI MTAAN HATA MIRADI HAIENDI MFANO EMEME WAKANDARASI HAWALIPWI PESA ZAKO MIRADI IMESIMAMA

  • @JosephSteven-pf1kf
    @JosephSteven-pf1kf 27 วันที่ผ่านมา +4

    Kabud one love

  • @DavidChristopherVeronica
    @DavidChristopherVeronica 27 วันที่ผ่านมา +2

    Lukuvi ardhi bana

  • @SarahHamis-b6k
    @SarahHamis-b6k 26 วันที่ผ่านมา

    Paramagamba ametosha mzalendo wa Tanzania

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 27 วันที่ผ่านมา

    Mama safi sana kwa kuturudishia watu makini

  • @MUKHANDI1
    @MUKHANDI1 26 วันที่ผ่านมา

    Cuban tujuane

  • @AbeidYusuph
    @AbeidYusuph 25 วันที่ผ่านมา

    Mmh

  • @DavidJosia
    @DavidJosia 27 วันที่ผ่านมา

    MAMA TUONDOLEE MWIGIRU KWENYE FEDHA TUWEKEE BASHIRU AU MPINA

  • @JescaMwagama-oc9yt
    @JescaMwagama-oc9yt 27 วันที่ผ่านมา

    mhagama mwenzangu oyeeee

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf 27 วันที่ผ่านมา

    Mama samia apo ume upiga mwingi 🎉❤

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf 24 วันที่ผ่านมา

    Ummy kaenda wap

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 27 วันที่ผ่านมา

    Hao wote ni mafisadi kwa Zanzibar

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 27 วันที่ผ่านมา

    Mama safi kabudi poa na lukuvi

  • @glaisfupa9760
    @glaisfupa9760 26 วันที่ผ่านมา

    Wizara ya fedha wizara ya fedha mama tupia jicho ukimaliza hapo umefaulu mama yetu usidharau hili

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 27 วันที่ผ่านมา

    Hadi Mrundi atumbuliwe ndipo nione kafanya la maana. Huyu mhuni ndiyo sababu ya madeni, malipo ya fidia, kuporomoka kwa sarafu yetu na ugumu wa maisha ya Mtanzania wa kawaida.

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 27 วันที่ผ่านมา

    Kabudi ongera sana❤❤❤😂

  • @maulidmusa8902
    @maulidmusa8902 27 วันที่ผ่านมา

    Hv hakuna wengine? Leo anatumbuliwa lkn siku chache baadaye anarudishwa. Kwa ntaju huu hatufiki

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 27 วันที่ผ่านมา

    Saaafi mama endelea kutumbua majipu

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 27 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa Rais Mama Samia SULUHU HASSAN hongera sana kuwakumbuka wazee na waheshimiwa Lukuvi na parakabudi huo ndo msimamo thabiti usiyumbishwe KWA vile Wana maacount yao Kwenye mabenki!

  • @JosephTemba-nh6nx
    @JosephTemba-nh6nx 26 วันที่ผ่านมา

    Umi was amewekwa?

  • @user-gn4lc5sk6p
    @user-gn4lc5sk6p 27 วันที่ผ่านมา

    Hivi hakuna watu wengine?Mbona watu ni walewale?

  • @JohnArobogast
    @JohnArobogast 27 วันที่ผ่านมา

    Ni Kama naona Giza kwenye sekta ya afya. Alafu hata kwa Taifa lipo Giza Nene sana😢

  • @TanishaManiky-kp9xc
    @TanishaManiky-kp9xc 27 วันที่ผ่านมา

    mpaka uchaguz ufike watabadilishwa saana

  • @pastorgodwinchengula7848
    @pastorgodwinchengula7848 27 วันที่ผ่านมา +5

    Sasa Kairuki anaenda kumshauri nini Raisi?

    • @plujoncylugano4611
      @plujoncylugano4611 27 วันที่ผ่านมา

      Urembo tu

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@plujoncylugano4611😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mabulajoel1967
    @mabulajoel1967 27 วันที่ผ่านมา

    Mhuuu!!! Hawa watu ulitenguwa leo tena wamefaaa!!!!!😂😂😂

  • @geraldabel8784
    @geraldabel8784 27 วันที่ผ่านมา

    alisema lkn uteuzi anaoufanya ni nguo ya kuazima haisitiri mwili

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 27 วันที่ผ่านมา

    Apa kwenye Afya mh kazi ipo

  • @DorisShangwe
    @DorisShangwe 27 วันที่ผ่านมา

    Asubiri bas watoto wafanye mitihan then December abadilishe baraza hio civics mbona watoto watateseka sana

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 27 วันที่ผ่านมา

    Mama Watanzania tupo zaidi ya 60M, Teua wapya kabisa

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 27 วันที่ผ่านมา

    Mpaka umalize miaka yako mingne mitano utafanya Sana uteuz Ila mm naomba uniteue niwe wazir wa mafuta ya alzet sngda wakulima wananyonywa sana

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 27 วันที่ผ่านมา

    Lukuvi alikuwa waziri kwenye hiyo wizara ya sasa,kabudi karudi .ummy mwalimu chari.

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 27 วันที่ผ่านมา

    Safi sana nchi Sasa itakaa sawa paramagamba ni jembe

  • @TanishaManiky-kp9xc
    @TanishaManiky-kp9xc 27 วันที่ผ่านมา

    iseee kila siku nikubadili duh!!

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 27 วันที่ผ่านมา

    Mama vipi mbona hutengui uteuzi wako wa mwiguru umesubiri nin

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 27 วันที่ผ่านมา

    Mkeka huo wa mama kabet

  • @DativaLeopord
    @DativaLeopord 27 วันที่ผ่านมา

    Sasa SI useme Ummy Mwalimu aliyekuwa wazir wa afya kawaje au kapangwa wapi??

  • @edwindezidery632
    @edwindezidery632 27 วันที่ผ่านมา

    Teua teau za wazee haziwezi kukusaidia kubadilisha nchi kwamba kabudi na lukuvi ndo watu wenye uwezo kuliko mtu mwingne yoyote tanzania

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 27 วันที่ผ่านมา

    UMMY ILIFAA AONDOKE ZAMANI HAFANYI MABADILIKO YOYOTE WIZARA KUBWA NA MBOVU MNO

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 27 วันที่ผ่านมา +1

    MWi

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 27 วันที่ผ่านมา

    Umeanza kurudi Kwa baba JPM hapo naanza kukuelewa

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 27 วันที่ผ่านมา

    Ndo anachojua hicho

  • @leilashomari9835
    @leilashomari9835 27 วันที่ผ่านมา

    Mwigulu nchemba vipi hatuelewi hapo kuna nini

  • @jestinaluvanda-jm4tc
    @jestinaluvanda-jm4tc 27 วันที่ผ่านมา

    Mama ummy vip tunamuweka wapi

  • @pascaldonati2711
    @pascaldonati2711 27 วันที่ผ่านมา

    Bado fedha

  • @ImeldaJonass-kt7td
    @ImeldaJonass-kt7td 27 วันที่ผ่านมา

    Hongera mhe. Jenista mhagama kwa kuwa waziri wa afya

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 27 วันที่ผ่านมา

    Umi anapumzishwa tuu atarudishwa

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 27 วันที่ผ่านมา

    Riasi samahani nakukumbusha umeisahau Wizara ya Fedha!!! Muondoe Mwigulu pale mbona watu wenye sifa wako wengi???

  • @user-dq1ss2uq6u
    @user-dq1ss2uq6u 27 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂mwigulu uko wp kaka ang umejificha sana 😂😂