Mheshimiwa Makonda Mungu akulinde wewe ukona utu kama mister maghufuli Mungu akusaidie sana na akupe hekima na busara mimi Ahmed kutoka Kenya nafurahia kwa uongozi wako
Mbona waliojenga wamewaacha 😂😂 ? Hawa jamaa ni wahuni sana ilifaa wenye dochuments wawalipe fidia na sio kuwapeleka porini wahuni sana hawa jamaa. MAKONDA KATIKA HILI BIG UP SANA. WAMEKUWA NA DHULMA YA WAZI SANA.
huyu diwani na maamuzi yako sawa alikua anaenda vzr.amekatizwa tu maelezo yanakwenda .na hicho anaongea makonda ndio hicho diwani amesema ni kwenda kukatiwa mashamba kwa walio wauzia
Makonda unatisha sana. Nakuombea siku moja uwe Rais wa Tanzania mungu akulinde
Nakubali makonda ninoma pambana baba weka lake yako apa
Kusema ukweli nilikua namchukia sana huyu baba mungu anisamehe.😢😢 Makonda hongeraaaa sana na Mungu akuweke
Upo Kama mimi mtupu
Jah akulinde wewe,makonda usijekusahau maneno yangu.Utakuwa Raisi watanzania siku moja.Asante
uko vizuli Mungu akuzidixhie neema😊😊😊😊😊😊
Makonda mungu akulinde na maadui wabaya
Nijembe mkomboza umejitolea kwajili ya watanzania hongela sana ubalikiwe sana
Mungu akubariki kaka
Ila mama jmn..... Hamuoni Mkuu wa Mkoa lkn kamuona Diwani.....😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mama anasema kamuona Diwani ila mkuu wa Mkoa hamuoni.
Nimempenda sana mh,Diwani.
WE love makonda❤❤❤
makonda kama magufuli nampenda sana kauli mbiu zake aje ajenge taifa
DAH INASIKITISHA SANA
MAKONDA FANYA KAZI USITISHIKE ,ATAKUCHUKIA KILA MWENYE MAKANDO KANDO YAKE
Pastor 🙌🙌🙌
😢😢😢😢😢Haki ya mtu haipotee jmn watu watu achen kuzulum watu ni laaaaan kubwa san😢😢
Chapa KAZI boss angu
diwani yuko vzr sana huo mgogoro ni tata .
Mungu akulinde Makondo wetu
Et diwan diwan gan wew nyumbu njaa tupu tu huna lolote pumbav sana huyu diwan
Makonda nukupenda kweli mungu andeleee kukulinda
Mheshimiwa Makonda Mungu akulinde wewe ukona utu kama mister maghufuli Mungu akusaidie sana na akupe hekima na busara mimi Ahmed kutoka Kenya nafurahia kwa uongozi wako
Makonda njoo singida utusaidie nasisi
Ni busara ya kawaida tu...ila mh makonda ameamua kujitoa kwa ajili ya haki za wasio na sauti. Ameshuka chini kabisa kwa walio chini kabisa kwa jamii
Kweli , napenda kuasikiliza makonda❤❤❤❤
Makonda Makonda. Makonda Mungu wa mbinguni akulinde mwanangu. Malaika. Mikaeli. Akulinde. na ule. Upanga unaokula kuwili adui asiwe karibu. Nawe
16:20 sasa kama inaripoti kwako hukuona na wewe kama kuna tatizo?
Excellent Makonda
Hongera makonda
Simba
Diwani ako na busara kubwa sana.
Ila mama katisha, yeye ni kipofu hamuoni mkuu wa mkoa ila kamuona Diwani yupo hapa kwenye mkutano.
😂😂😂😂
Ameambiwa na wapambe !!! Ni kweli haoni!!
diwani yupo vizuri
Mbona waliojenga wamewaacha 😂😂 ? Hawa jamaa ni wahuni sana ilifaa wenye dochuments wawalipe fidia na sio kuwapeleka porini wahuni sana hawa jamaa. MAKONDA KATIKA HILI BIG UP SANA. WAMEKUWA NA DHULMA YA WAZI SANA.
huyu diwani na maamuzi yako sawa alikua anaenda vzr.amekatizwa tu maelezo yanakwenda .na hicho anaongea makonda ndio hicho diwani amesema ni kwenda kukatiwa mashamba kwa walio wauzia
Makonda ww ni zaidi ya rais nakuombea sikumoja uje kuwa rais
Diwani yuko vizuri na ukifuata kelele za mob unaweza kumuonea
Tz itarud kwenye msitari wa MAGUFURI siku MAKONDA akiikamata. Naamimini ipo siku
Lakini siyo leo ni pale ifikapo 2030 au 2035
Viva makonda viva
Jamaa kaingia kwny kuminanane
Poul makonda 💥💥🙌🙌
Shenzi kabisa watu wanapenda sana kuzulumu Mali za watu
Hapo wazi kabisa mtu alieuza ndie mhakifu , ni kwanini mnaruka eneo hilo wakati mhakifu yuko?
Diwani/mchungaji upo vzr tu,,
Sema ulishayakuta madudu yamefanyika.
Kiongoz akiwa msukuma huwa ni hatari kwakuongoza vzr
Hapoo makonda anaye mtetea sio mwanamke ..mbona watu wa haki za binadam hawwpo
😂huyo mama kasema haoni mala kamuona diwani yupo hapa sa cjui kaonaje kama yupo
Watoto wake ndio wanae muona na waka mwambiya bibi diwani yupo yele pale ndio maana kasema yule
Jmn mpak kuchanganyikiwa😂😂😂
❤❤❤❤❤❤
diwani nimbuzi lakini aliva ngozi la kondo kama ma sheikh watafuta kondo mwisho akachinjwa kama kondo
Wachungaji wanatakiwa wahubiri injili sio siasa
Unaweza kwa kiwango cha juu kutatua mambo
Amemuonaje wakati haoni?
Kaambiwa na watoto wake hutaki?
Mama anasema hauni ila nashangaa kamuona mbaya wake kwanza ncheke😂😂😂😂
Amemuona kwenye ulimwengu wa roho 😅😅😅
Nahis atakuwa kaambiwa kuwa mbaya wako yupo😊😊
kwanini usiingie kwenye kapeni muheshimiwa make wewe unafaa kuwa raisi au wazili mkuu
Serekalee
Qchefu nyimbo zake
Huyo mchungaji tapeli tu
WATU. WA. ARDHI. NI. WEZI TU. ARDHI. ZA. WATU
Bibi ushamuona Diwan lakin mwanzo ulisema huon
Hahahahahah
Sasa mama umemuonaje diwani wakati umesema hauoni😂
😂
Hao walio uza hamkuwakamata Kwa nini
Mgorogoro bibi jamani poole
Siioni mi kipofu ila diwani namuona
Hata mimi naishangaa kauri hiyo, ila atakuwa alimuona kwa njia ya roho mtakatifu
1:21 hela enzi ya Nyerere zinatumika?
Ana maanisha alikusanya toka enzi hizo
Makonda😂😂😂😂😂
Ni maswali madogo ila ukijichanganya tu