Wizara ya technology and science; hivi mnamuona huyu scientist wetu? Taifa limpe support 100% kama ni vifaa au ajengewe maabara. Kuna vijana wengi smart ila hawana support. Huyu ana kitu kikubwa sana ndani yake. Wazungu hawatamsaidia sana. Ila watafurahi kumchukua wakamwajiri kwao. So; no more brain drain. Tuwaendeleze vijana kama huyu ili nchi ikainuke. Asante sana mtangazaji kwa programmes kama hizi.
Hongera sana kwa kazi nzuri Kwenye mifumo yetu ya majeshi na nyanja zingine za inchi yetu tunahitaji watu kama hawa sana! ili tuweze kuendana na kasi ya dunia.
Mimi Namshukuru MUNGU Kwa Zawadi Hii Kubwa kilichopo SERIKALI na Wadau ztumsapoti Kijana wetu Tutafaidi Mno Kupitie Yeye...Big Up Leonard Utafika Tuu❤❤❤
Hongera sana kwa hatua hiyo! Usikate tamaa na kumbuka yaliyompata Galilleo Galillei miaka ya zamani .Mtaalamu wa elimu ya nyota hiyo huwa ananipa moyo wa uvumilivu.
Tunasubili Nchi za Magharibi zimchukue na ibaki "muazilishi ni Mtanzania"😢. Tunahitaji Viongozi wataalamu zaidi kana JPM sio wana SIASA ambao wanakata mahindi na wanapokea chakula cha misaada.
hongera kaka kw bidii unayoifanya. mimi niliondoka bongo mwisho w miaka y tisini kw sababu mwalimu wangu aliniambia science haina future TZ n afrika labda nenda nje ukasome. ss niko nje y nchi miaka kibao. lkn tutasaidiana. ss naona science itakuwa n future TZ. wananchi ndio wakaoipeleka mbele Science sio serikali. 😅
Kwanza napenda kukupa hongera kwa vision ulkokuwa nayo juu ya nchi yetu, tunahitaji vijana wanaojitambua ili taifa liendelee na wewe ni mmojawapo hivyo nina ninaiomba serikali na mashirika binafsi kuitumia vizuri hii fursa ya huyu kijana kumwwzesha ili ndoto yake itimie kwani ataleta mabadiloko makubwa ktk sekta ya sayansi na maendeleo katika nchi yetu.
Waafrika au viongozi wake ni mbwa kabisa. Hawa watu wanatakiwa kulindwa na kuendelezwa kimasomo ili waje watumikie nchi zao. Ila huangaliwa tu bila mssada wwte ule bila hata kudhaminiwa
@@FastpayMauzo ni hii ya kila siku hamna technolojia yoyote sasa hivi ambayo haitumi elements za fysikia mfano semi conductors have transistors ambazo zinatumia quantum mechanics. Semi conductors zinatumia kukujibu wewe sasa hivi nakuona message hii
Yani mimi mwanangu nampeleka DIT akasome computer maana anapenda tangu mtoto mpaka sasa akifunga shule yupo busy na computer. Nimemwambia form four hata ukipata divion one utaenda chuo ukasome jambo unalopenda
Kuliko kuwapeleka hao wacheza movie si Bora huyu kijana apelekwe hata China akae na wataalamu ili arudishe huo utaalamu hapa. Lakini nchi hii kama sio CHAWA huonekani
MIE NAOMBA SIKU UTULETEE MTU AMBAE AMESOMA KATIKA INCH ZA KISOVIETI, maaana elimu za kimagharibi ni za upotoshaji zaidi.maana hanzina faida kwetu zaidi ya wao. wenyew hao wa magharibi
Historia na maarifa yote dunia hii ni mtu mweusi kwahiyo tuendelee kuwa katika njia hizi sahihi tuanachane na kila aina ya dini maana hizo ndizo zinatufanya tulale tusifanye mambo makubwa
Serikali na matajiri wenginre msaidieni huyu kijana akamilishe mpango wake kwani utaisaidia sana nchi yetu. Huyu kijana ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu.
@@FahadAbubakarihata huko kukopa sio tatizo, kuwapeleka wabongo movie Kolea si Bora huyu kijana wangempeleka hata China ambao ni rafiki zetu. Nape ni mtoto wao hahaha alileta robot Eunice bungeni si mliona oooh sio waziri tena
Maviongozi ya hii inchi hayawezi kimtumia maana yanaona Kama atayaharibia madili yao ya kupiga pesa za wanainvhi ndiyo maana hatuendelei muda tu inchi za wenzetu wakimjua tu wanamchikia akanufaishe inchi zao watu wa hivi wako wengi tunataifa lahovyo Sana
Unajua iyo kitu au munapenda langi tu satellite zipo aina mbili into inatoa habari juu kuleta chini ipo inatoa chini kupeleka juu yake inatoa wapi upeleka wapi
Yaani huyu jamaa nimemfuatilia n8meipenda kazi yake mimi sasa nina miaka hamsini na tatu ujujuzi wangu ni kama wake huyu jamaa japo yeye amekwenda mbali zaidi ujuzi wa ugunduzi hasa katika vifaa hivi vya kielectronics ujuzi huu ungefaidisha tanzania kama tungepàta sapoti kwa serikali
Kwanini mtu km huyu hamufanyi mpango wa makusudi kumkutanisha na viongoz wa serikal wanao husika na fani yake ili wamsaidie na pengine serikal itaweza kupata kitu
Mtangazaji sky umezingua sana unamuacha mtaalamu kuelezea historia zaidi kuliko kuuchambua taaruma yake Nilitegemea mtangazaji umuulize maswali magumu ya kitaalamu ili watu waijue kwa undani sayansi. Sasa maelezo yote hata hatuelewi satelaiti ni kitu gani Yaani mnaongelea vitu utadhan watanzania wote wanaelewa kitu gani mnazungumza Bila shaka watu wote tumewahi kusikia satellite lkn bado hatujui kwa undani ni kitu gani na utendaji kazi wake unakuwaje
Where are we failing Tanzania ? We don’t have a centre where by we keep people like this dude together and utilised them … instead it’s all about corruption.. its sad . What a very intellectual dude … Sky you know how to host ..
Hongera sana ,wewe ni intelligent, wewe ni Professor to be 🎉 Mungu azidi kukuinua.
Shayo ...Akili kubwa hii.. ni hatari sana ...Mungu simamia hii kichwa...
Hatari sana!!
Huyo ndo ilibidi awe WAZIRI WA MAWASILIANO NA HABARI TANZANIA.
100%
Hongera sana Shayo ,tunajivunia wewe Kama watanzania, na tuko nyuma yako kukuombea ufanikiwe MBE
Mungu atueinue sisi WaAfrika tufike Mbali nasi
You really deserve the best. Congrats sana.
Mimi nipo tayari kabisa kukuunga mkono kwa sababu naifahamu vizuri sayansi ya Elektroniki ilivyonisaidia kwenye computer networks.
Very impressed of your ambitiousness, drive, commitment and dedications. Nakuunga mkono sana. Ndo inaanzia hivi.
Pongezi kubwa kwako na Taifa zima.
Tunawahitaji hawa 100 tufike mbali kwenye technologia
Wizara ya technology and science; hivi mnamuona huyu scientist wetu? Taifa limpe support 100% kama ni vifaa au ajengewe maabara. Kuna vijana wengi smart ila hawana support. Huyu ana kitu kikubwa sana ndani yake. Wazungu hawatamsaidia sana. Ila watafurahi kumchukua wakamwajiri kwao. So; no more brain drain. Tuwaendeleze vijana kama huyu ili nchi ikainuke. Asante sana mtangazaji kwa programmes kama hizi.
Nchi za Afrika hazinaga hizi habari za kuwapa mkono wa heri watu kama hawa.
Umechelewa wapi wewe??njoo udsm na wizarani huku uone ma genius hahaha
The man is thinking of his country, and the government is just quite. Please mama Samia look this guy and help him 🙏
Serikali wanatakiwa waangalie hii Interview, Bro sky hakikisha moja wao huko bungeni hio Interview imfikie
Hongera sana kwa kazi nzuri Kwenye mifumo yetu ya majeshi na nyanja zingine za inchi yetu tunahitaji watu kama hawa sana! ili tuweze kuendana na kasi ya dunia.
Wewe ni genius, Mungu akupe maisha marefu na ufanye makubwa zaidi.
Mimi Namshukuru MUNGU Kwa Zawadi Hii Kubwa kilichopo SERIKALI na Wadau ztumsapoti Kijana wetu Tutafaidi Mno Kupitie Yeye...Big Up Leonard Utafika Tuu❤❤❤
Hongera sana kwa hatua hiyo! Usikate tamaa na kumbuka yaliyompata Galilleo Galillei miaka ya zamani .Mtaalamu wa elimu ya nyota hiyo huwa ananipa moyo wa uvumilivu.
Tunasubili Nchi za Magharibi zimchukue na ibaki "muazilishi ni Mtanzania"😢. Tunahitaji Viongozi wataalamu zaidi kana JPM sio wana SIASA ambao wanakata mahindi na wanapokea chakula cha misaada.
Daaah ndugu yangu umeiva vizuri sanaa nakukumbuka sana mkuu. HONGERA
Great mental
Hongera sana mwana
Serikali inamtumia vp huyu sasa ili nchi Inufaike na mzalendo maana ataisaidia nchi
CONGRATS BRO,HAPPY TO HEAR KENYA IKO KWA PROCESS
hongera sna kaka mungu atimize kile ulicho kusudia kufanya ❤🎖✊🏼
hongera kaka kw bidii unayoifanya. mimi niliondoka bongo mwisho w miaka y tisini kw sababu mwalimu wangu aliniambia science haina future TZ n afrika labda nenda nje ukasome. ss niko nje y nchi miaka kibao. lkn tutasaidiana. ss naona science itakuwa n future TZ. wananchi ndio wakaoipeleka mbele Science sio serikali. 😅
God bless you shayo
All the best eng Shayo, keep push
Kwanza napenda kukupa hongera kwa vision ulkokuwa nayo juu ya nchi yetu, tunahitaji vijana wanaojitambua ili taifa liendelee na wewe ni mmojawapo hivyo nina ninaiomba serikali na mashirika binafsi kuitumia vizuri hii fursa ya huyu kijana kumwwzesha ili ndoto yake itimie kwani ataleta mabadiloko makubwa ktk sekta ya sayansi na maendeleo katika nchi yetu.
Hongera sana Shayo, nakutakia mafanikio katika mission yako
Waafrika au viongozi wake ni mbwa kabisa. Hawa watu wanatakiwa kulindwa na kuendelezwa kimasomo ili waje watumikie nchi zao. Ila huangaliwa tu bila mssada wwte ule bila hata kudhaminiwa
Huyu jamaa akisaidiwa na serikali nchi yetu ingemfaid huyu jamaa na akapanua campuni yake na kufundisha wengine . Akatoa ajira na taifa likanufaika.
Wanafysikia gonga like keep it up Leonard Physicists like us have the biggest contribution to the current global economy but go very underrated
Hii physics unayoongelea ni ya wap?
@@FastpayMauzo ni hii ya kila siku hamna technolojia yoyote sasa hivi ambayo haitumi elements za fysikia mfano semi conductors have transistors ambazo zinatumia quantum mechanics. Semi conductors zinatumia kukujibu wewe sasa hivi nakuona message hii
🙏🏾 mambo kama aya ndo tunayataka
Sky ni genius interviewer 👏🏾
Wa kwanza nipeni like zangu
Kichwa hasaa na serikali badala imu endorse imekaaa tu kushangilia matundu ya choo yamejengwa uko makete
Acha kuwa omba omba wewe tengeneza content watu wata like sio kuparamia kwenye content za watu halafu uombe like boya wewe.
Hongera Sana kwake
Watu tunao huyu ni mmoja kati ya ma genius
Very talented 😎😎😎
Sky apo yanaingilia kulia kushoto yanatoka 😂😂😂
Daaa aisee
Yani mimi mwanangu nampeleka DIT akasome computer maana anapenda tangu mtoto mpaka sasa akifunga shule yupo busy na computer.
Nimemwambia form four hata ukipata divion one utaenda chuo ukasome jambo unalopenda
Mtu wa maana kabisa
Kwa akili za Africa watamua au wata mchomesha kwa wazugu ili kupoteza ujuzi wake
Unawaza Kama mimi mkuu
Wenzetu wachaga wako vizuri ingekuwa Sisi wazaramo hahahaha angeshakuwa history
@@MsAggie5. Hapana kka hata wazaramo mbona wako fresh tu kka😅😅😅
Yani mm ningekua raisi mwaka huu huu ingekua ushaipeleka iyo sat kwenye orbit bila kupoteza mda
Mama kasema atahakikisha atarusha chombo ngoja tuone labda atamuhusisha
Jamaa ni hazina kubwa kwa taifa ingawa nchi yetu haiwapi support watu kama hawa
Ndio msiba tulionao nchi hii
Kuliko kuwapeleka hao wacheza movie si Bora huyu kijana apelekwe hata China akae na wataalamu ili arudishe huo utaalamu hapa. Lakini nchi hii kama sio CHAWA huonekani
@@MsAggie5 Yaan hapo ndo tatizo
Focus focus. Anaelezea vizuri hata mtoto anaelewa. Nakuombea ndoto zako ziwe halisi. Wahusika watakuona na watakutumia
Kwa kuwa unafanya Azam,kwa nini usimpe hiyo Proposal Bakhresa mkapiga jointly ikawa Azam Satellite?
Umesema kweli vile Bakhresa ana hela angemsaidia huyu kijana wangefanya kitu kikubwa Sana na yeye angepata hela nyingi na nchi yetu ingefika mbali.
@@MsAggie5.labda kwsab sio mzanzibar 😅😅😅 natania tu
Nakumbuka niliwahi kutengeneza radio ya kibao na transistor 4 misumari 10 na spica genge na coil niliwahi kuskia mpaka BBC swahili London 😂😂
Very humble brother...Elon wetu.
Watanzania mnabarikiwa sana kuwa na vichwa kweli kweli....😂
ongera sana bro
Hongera sanaa bro
Hivi nchi yetu inasubiri nini kubadili mtaala wa elimu, yani nachukia sana kusoma vitu ambavyo huji kuvifanyia kazi
Pictures 📸 linaanza waziri wa science and technology kasomea( journalism) mwana Habari Brother angekuwepo Mzee mangufuli kesho upo ikulu
Mno! Na angehakukisha anasaidiwa hata kuendeleza hiyo sittelite yake
@@MsAggie5. Wangemloga 😅😅😲
Angelogwa 😅😅😅
Kumbe bongo Kuna maginius
Genius
Sns mnajua sana
Serikali zetu za wajinga huyu alitakiwa awe kwenye National AI& Space Technology centre talented and genius Tanzanian for development
Mama amesema anataka kurusha chombo mwezini labda atamchukua huyu kijana atapoanza hiyo mission 😂
Akili nying🎉
MIE NAOMBA SIKU UTULETEE MTU AMBAE AMESOMA KATIKA INCH ZA KISOVIETI, maaana elimu za kimagharibi ni za upotoshaji zaidi.maana hanzina faida kwetu zaidi ya wao. wenyew hao wa magharibi
HONGERA SANA KWAKE MWAMBA
Umetisha sna mwanetuuu hongera sna
Kwan serikal huyu mtu haimuon kwel mpk anahangaik kuomb mixaad Nje ya nchi
shida ya serikali zetu za africa zinasuport sana ujinga kuliko mambo ya maana, na siku zote nabii hakubaliki kwao
Lakini apo Unapata picha tofauti Ya Elimu Bora ya wenzetu na hiii ya kinjekitile Tunayo itoa sisi Hapa Bongo
Brother una madini balaaa
kiukwel lazima tuungane kwaajil ya maendeleo ya taifa letu
Huyu jamaa kwa maelezo yake atachukuliwa chap ,
Kuna watu wanaexposure ama hizi na hawapewi nafasi it's very sad
Kwa Mimi Sina kitu lakini nakuombea mipango yako ifanikiwe Brother we unaongea kizalendo sisi sote ni binadamu natuko sayari Moja inawezekana pambana
Historia na maarifa yote dunia hii ni mtu mweusi kwahiyo tuendelee kuwa katika njia hizi sahihi tuanachane na kila aina ya dini maana hizo ndizo zinatufanya tulale tusifanye mambo makubwa
Broo sky njoo utembee pemba zanxibar tuna kupenda
Sky please mlete Tena huyu jamaa.
Jamaa angekua na billion kama mia 9 nahisi angeibadili Tanzania kua ktk sura mpya
Kwani taifa letu hatukusanyi pesa ya umma?. Kule ulaya na marekani serikali zao zinatoa grant kwa bunifu hizi kwa sababu ni utajiri kwa taifa.
Huyu kijana alindwe mnoo kama mboni ya jichoo, manake hawa watu wanataka tuwategemee kila kitu
Hawalioni hili 😅😅😅
Serikali na matajiri wenginre msaidieni huyu kijana akamilishe mpango wake kwani utaisaidia sana nchi yetu.
Huyu kijana ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu.
Serikali yetu Iko busy kuomba omba nakukopa vitu vya msingi wanapuuza kwa waziri kama nape anawezaje kumuelewa mtu ka huyu
@@FahadAbubakarihata huko kukopa sio tatizo, kuwapeleka wabongo movie Kolea si Bora huyu kijana wangempeleka hata China ambao ni rafiki zetu. Nape ni mtoto wao hahaha alileta robot Eunice bungeni si mliona oooh sio waziri tena
du kumbe mrusi katoka mbali aise
Endelea tu ila namba ya simu yako.
Hongera sana mtaaramu
Hiki nikichwa sana
Maviongozi ya hii inchi hayawezi kimtumia maana yanaona Kama atayaharibia madili yao ya kupiga pesa za wanainvhi ndiyo maana hatuendelei muda tu inchi za wenzetu wakimjua tu wanamchikia akanufaishe inchi zao watu wa hivi wako wengi tunataifa lahovyo Sana
USA hawajamgundua huyu jamaa
Unajua iyo kitu au munapenda langi tu satellite zipo aina mbili into inatoa habari juu kuleta chini ipo inatoa chini kupeleka juu yake inatoa wapi upeleka wapi
Mashaallah 🎉
Yaani huyu jamaa nimemfuatilia n8meipenda kazi yake mimi sasa nina miaka hamsini na tatu ujujuzi wangu ni kama wake huyu jamaa japo yeye amekwenda mbali zaidi ujuzi wa ugunduzi hasa katika vifaa hivi vya kielectronics ujuzi huu ungefaidisha tanzania kama tungepàta sapoti kwa serikali
Mm nimependa ila wengi wetu atujui mbona aiko ivyo kaunda satellite nikweli au katengeza kitu kinafanana tu na satellite
Siyokwamba sisi weusi hatuwezi,tunaweza,hata mabomu ya nyuklia tunaweza,serikali tunazokuwa nazo ndoshida
Ongera Sana bro, Allah yupo nawe ktk Kila hatua.
Kwanini mtu km huyu hamufanyi mpango wa makusudi kumkutanisha na viongoz wa serikal wanao husika na fani yake ili wamsaidie na pengine serikal itaweza kupata kitu
Wapi ndugu yangu nchi hii tumelogwa na nani sijui
Kiongozi mwenyewe nani?Nape?
Wako bize kula kadiri ya urefu wa kamba zao nani ajali
Angekuwa mtoto wao hapo kweli lakini hawahusu mbaya sana
🎉🎉🎉🎉
Hongera sana Ubarikiwe
Hii interview nme itazama zaaidi ya mara 10.
Me mwenyewe haichoshi kuirudia tena na tena! Kuna mengi ya kujifunza.
Safi sana
🎉
Brother Sky inabidi uweke kipindi tuweze kujua tofauti ya Am na Fm kwa urefu zaidi
Shida sky anajua kuwahoji wambea akina mwijaku
So AM na FM aweke kipind ata mara moja kwa wiki kuhusu teknolojia..
🇹🇿🇹🇿
Mtangazaji sky umezingua sana unamuacha mtaalamu kuelezea historia zaidi kuliko kuuchambua taaruma yake
Nilitegemea mtangazaji umuulize maswali magumu ya kitaalamu ili watu waijue kwa undani sayansi.
Sasa maelezo yote hata hatuelewi satelaiti ni kitu gani
Yaani mnaongelea vitu utadhan watanzania wote wanaelewa kitu gani mnazungumza
Bila shaka watu wote tumewahi kusikia satellite lkn bado hatujui kwa undani ni kitu gani na utendaji kazi wake unakuwaje
Amesema atamuita tena aeleze Kwa undani hii ilikuwa intro tu na historia yake.
HUYU NI ALIEN 👽 TYPE
Allah akulinde maanake wajinga wanaweza kumuuwa huyu genius maana wa Africa hatunaga maroho mazuri
🔥🔥🔥🔥
Wazungu wata muuwa huyu
Huwa hawawauwi wanachofanya ni kumuvuta kwao. Wazungu hawauwi watu wenye akili ila wanawatumia.
Waamerika wakiiona hii project yake lazima watamuiba
Kichwa kwelikweli
Where are we failing Tanzania ? We don’t have a centre where by we keep people like this dude together and utilised them … instead it’s all about corruption.. its sad . What a very intellectual dude … Sky you know how to host ..