Uso kwa Uso na MTANZANIA aliyetengeneza SATELLITE, asimulia alivyoitwa NASA, uwezo wake si kawaida

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 151

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 หลายเดือนก่อน +21

    Hongera sana ,wewe ni intelligent, wewe ni Professor to be 🎉 Mungu azidi kukuinua.

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m 28 วันที่ผ่านมา +4

    Shayo ...Akili kubwa hii.. ni hatari sana ...Mungu simamia hii kichwa...

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics หลายเดือนก่อน +15

    Huyo ndo ilibidi awe WAZIRI WA MAWASILIANO NA HABARI TANZANIA.

    • @Benestify
      @Benestify หลายเดือนก่อน

      100%

  • @ernestjophreymalaba3374
    @ernestjophreymalaba3374 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Shayo ,tunajivunia wewe Kama watanzania, na tuko nyuma yako kukuombea ufanikiwe MBE

  • @ASALABOY
    @ASALABOY หลายเดือนก่อน +8

    Mungu atueinue sisi WaAfrika tufike Mbali nasi

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 26 วันที่ผ่านมา +2

    You really deserve the best. Congrats sana.

  • @JosephSekulu
    @JosephSekulu หลายเดือนก่อน +9

    Mimi nipo tayari kabisa kukuunga mkono kwa sababu naifahamu vizuri sayansi ya Elektroniki ilivyonisaidia kwenye computer networks.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 10 วันที่ผ่านมา +2

    Very impressed of your ambitiousness, drive, commitment and dedications. Nakuunga mkono sana. Ndo inaanzia hivi.
    Pongezi kubwa kwako na Taifa zima.

  • @danielpatrickrobert125
    @danielpatrickrobert125 27 วันที่ผ่านมา +3

    Tunawahitaji hawa 100 tufike mbali kwenye technologia

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 หลายเดือนก่อน +6

    Wizara ya technology and science; hivi mnamuona huyu scientist wetu? Taifa limpe support 100% kama ni vifaa au ajengewe maabara. Kuna vijana wengi smart ila hawana support. Huyu ana kitu kikubwa sana ndani yake. Wazungu hawatamsaidia sana. Ila watafurahi kumchukua wakamwajiri kwao. So; no more brain drain. Tuwaendeleze vijana kama huyu ili nchi ikainuke. Asante sana mtangazaji kwa programmes kama hizi.

    • @user-qr2ol5td5w
      @user-qr2ol5td5w 13 วันที่ผ่านมา +1

      Nchi za Afrika hazinaga hizi habari za kuwapa mkono wa heri watu kama hawa.

    • @lirastanley390
      @lirastanley390 7 วันที่ผ่านมา

      Umechelewa wapi wewe??njoo udsm na wizarani huku uone ma genius hahaha

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania หลายเดือนก่อน +12

    The man is thinking of his country, and the government is just quite. Please mama Samia look this guy and help him 🙏

  • @Del_busi5
    @Del_busi5 หลายเดือนก่อน +5

    Serikali wanatakiwa waangalie hii Interview, Bro sky hakikisha moja wao huko bungeni hio Interview imfikie

  • @andrewshustle1331
    @andrewshustle1331 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana kwa kazi nzuri Kwenye mifumo yetu ya majeshi na nyanja zingine za inchi yetu tunahitaji watu kama hawa sana! ili tuweze kuendana na kasi ya dunia.

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 หลายเดือนก่อน +15

    Wewe ni genius, Mungu akupe maisha marefu na ufanye makubwa zaidi.

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband หลายเดือนก่อน +8

    Mimi Namshukuru MUNGU Kwa Zawadi Hii Kubwa kilichopo SERIKALI na Wadau ztumsapoti Kijana wetu Tutafaidi Mno Kupitie Yeye...Big Up Leonard Utafika Tuu❤❤❤

  • @JosephSekulu
    @JosephSekulu หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana kwa hatua hiyo! Usikate tamaa na kumbuka yaliyompata Galilleo Galillei miaka ya zamani .Mtaalamu wa elimu ya nyota hiyo huwa ananipa moyo wa uvumilivu.

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 หลายเดือนก่อน +11

    Tunasubili Nchi za Magharibi zimchukue na ibaki "muazilishi ni Mtanzania"😢. Tunahitaji Viongozi wataalamu zaidi kana JPM sio wana SIASA ambao wanakata mahindi na wanapokea chakula cha misaada.

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 หลายเดือนก่อน +6

    Daaah ndugu yangu umeiva vizuri sanaa nakukumbuka sana mkuu. HONGERA

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 หลายเดือนก่อน +3

    Great mental

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk หลายเดือนก่อน +8

    Hongera sana mwana
    Serikali inamtumia vp huyu sasa ili nchi Inufaike na mzalendo maana ataisaidia nchi

  • @nicholai394
    @nicholai394 หลายเดือนก่อน +8

    CONGRATS BRO,HAPPY TO HEAR KENYA IKO KWA PROCESS

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 หลายเดือนก่อน +3

    hongera sna kaka mungu atimize kile ulicho kusudia kufanya ❤🎖✊🏼

  • @abdulsaid4579
    @abdulsaid4579 หลายเดือนก่อน +2

    hongera kaka kw bidii unayoifanya. mimi niliondoka bongo mwisho w miaka y tisini kw sababu mwalimu wangu aliniambia science haina future TZ n afrika labda nenda nje ukasome. ss niko nje y nchi miaka kibao. lkn tutasaidiana. ss naona science itakuwa n future TZ. wananchi ndio wakaoipeleka mbele Science sio serikali. 😅

  • @fredlema5283
    @fredlema5283 7 วันที่ผ่านมา +2

    God bless you shayo

  • @yassirabduli1404
    @yassirabduli1404 หลายเดือนก่อน +4

    All the best eng Shayo, keep push

  • @MuhsiniAmrani
    @MuhsiniAmrani หลายเดือนก่อน +3

    Kwanza napenda kukupa hongera kwa vision ulkokuwa nayo juu ya nchi yetu, tunahitaji vijana wanaojitambua ili taifa liendelee na wewe ni mmojawapo hivyo nina ninaiomba serikali na mashirika binafsi kuitumia vizuri hii fursa ya huyu kijana kumwwzesha ili ndoto yake itimie kwani ataleta mabadiloko makubwa ktk sekta ya sayansi na maendeleo katika nchi yetu.

  • @98technologies12
    @98technologies12 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Shayo, nakutakia mafanikio katika mission yako

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g หลายเดือนก่อน +10

    Waafrika au viongozi wake ni mbwa kabisa. Hawa watu wanatakiwa kulindwa na kuendelezwa kimasomo ili waje watumikie nchi zao. Ila huangaliwa tu bila mssada wwte ule bila hata kudhaminiwa

  • @ProsistaTarimo
    @ProsistaTarimo หลายเดือนก่อน +9

    Huyu jamaa akisaidiwa na serikali nchi yetu ingemfaid huyu jamaa na akapanua campuni yake na kufundisha wengine . Akatoa ajira na taifa likanufaika.

  • @Mjomba_Side
    @Mjomba_Side หลายเดือนก่อน +5

    Wanafysikia gonga like keep it up Leonard Physicists like us have the biggest contribution to the current global economy but go very underrated

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo หลายเดือนก่อน

      Hii physics unayoongelea ni ya wap?

    • @Mjomba_Side
      @Mjomba_Side หลายเดือนก่อน

      @@FastpayMauzo ni hii ya kila siku hamna technolojia yoyote sasa hivi ambayo haitumi elements za fysikia mfano semi conductors have transistors ambazo zinatumia quantum mechanics. Semi conductors zinatumia kukujibu wewe sasa hivi nakuona message hii

  • @nick1o7bang17
    @nick1o7bang17 หลายเดือนก่อน +5

    🙏🏾 mambo kama aya ndo tunayataka

  • @weahfeint3406
    @weahfeint3406 หลายเดือนก่อน +4

    Sky ni genius interviewer 👏🏾

  • @greyuhagile5051
    @greyuhagile5051 หลายเดือนก่อน +25

    Wa kwanza nipeni like zangu

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 หลายเดือนก่อน +2

      Kichwa hasaa na serikali badala imu endorse imekaaa tu kushangilia matundu ya choo yamejengwa uko makete

    • @wisealiy
      @wisealiy หลายเดือนก่อน +2

      Acha kuwa omba omba wewe tengeneza content watu wata like sio kuparamia kwenye content za watu halafu uombe like boya wewe.

  • @USWAZITVONLINE
    @USWAZITVONLINE หลายเดือนก่อน +5

    Hongera Sana kwake

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 7 วันที่ผ่านมา +3

    Watu tunao huyu ni mmoja kati ya ma genius

  • @francisruambothetechnician
    @francisruambothetechnician หลายเดือนก่อน +2

    Very talented 😎😎😎

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi หลายเดือนก่อน +8

    Sky apo yanaingilia kulia kushoto yanatoka 😂😂😂

  • @alphoncejohn6308
    @alphoncejohn6308 หลายเดือนก่อน +3

    Daaa aisee

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l หลายเดือนก่อน +2

    Yani mimi mwanangu nampeleka DIT akasome computer maana anapenda tangu mtoto mpaka sasa akifunga shule yupo busy na computer.
    Nimemwambia form four hata ukipata divion one utaenda chuo ukasome jambo unalopenda

  • @lameckmatonya
    @lameckmatonya หลายเดือนก่อน +3

    Mtu wa maana kabisa

  • @KikwaleRashid
    @KikwaleRashid หลายเดือนก่อน +6

    Kwa akili za Africa watamua au wata mchomesha kwa wazugu ili kupoteza ujuzi wake

    • @Del_busi5
      @Del_busi5 หลายเดือนก่อน +2

      Unawaza Kama mimi mkuu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน +2

      Wenzetu wachaga wako vizuri ingekuwa Sisi wazaramo hahahaha angeshakuwa history

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI หลายเดือนก่อน

      ​@@MsAggie5. Hapana kka hata wazaramo mbona wako fresh tu kka😅😅😅

  • @rashidmsuya5721
    @rashidmsuya5721 หลายเดือนก่อน +3

    Yani mm ningekua raisi mwaka huu huu ingekua ushaipeleka iyo sat kwenye orbit bila kupoteza mda

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน

      Mama kasema atahakikisha atarusha chombo ngoja tuone labda atamuhusisha

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx หลายเดือนก่อน +8

    Jamaa ni hazina kubwa kwa taifa ingawa nchi yetu haiwapi support watu kama hawa

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio msiba tulionao nchi hii

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน +1

      Kuliko kuwapeleka hao wacheza movie si Bora huyu kijana apelekwe hata China akae na wataalamu ili arudishe huo utaalamu hapa. Lakini nchi hii kama sio CHAWA huonekani

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx หลายเดือนก่อน +1

      @@MsAggie5 Yaan hapo ndo tatizo

  • @gigwaswai6527
    @gigwaswai6527 หลายเดือนก่อน +6

    Focus focus. Anaelezea vizuri hata mtoto anaelewa. Nakuombea ndoto zako ziwe halisi. Wahusika watakuona na watakutumia

  • @amandomwamanda9000
    @amandomwamanda9000 หลายเดือนก่อน +7

    Kwa kuwa unafanya Azam,kwa nini usimpe hiyo Proposal Bakhresa mkapiga jointly ikawa Azam Satellite?

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน

      Umesema kweli vile Bakhresa ana hela angemsaidia huyu kijana wangefanya kitu kikubwa Sana na yeye angepata hela nyingi na nchi yetu ingefika mbali.

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI หลายเดือนก่อน

      ​@@MsAggie5.labda kwsab sio mzanzibar 😅😅😅 natania tu

  • @saidsalum3475
    @saidsalum3475 หลายเดือนก่อน +3

    Nakumbuka niliwahi kutengeneza radio ya kibao na transistor 4 misumari 10 na spica genge na coil niliwahi kuskia mpaka BBC swahili London 😂😂

  • @samsonhenry3871
    @samsonhenry3871 หลายเดือนก่อน

    Very humble brother...Elon wetu.

  • @KasindiPapi
    @KasindiPapi หลายเดือนก่อน +5

    Watanzania mnabarikiwa sana kuwa na vichwa kweli kweli....😂

  • @user-ku3om4bu8j
    @user-ku3om4bu8j หลายเดือนก่อน +2

    ongera sana bro

  • @KAIHULAKATUNZI-th9gt
    @KAIHULAKATUNZI-th9gt หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sanaa bro

  • @paschaljuma3312
    @paschaljuma3312 หลายเดือนก่อน +4

    Hivi nchi yetu inasubiri nini kubadili mtaala wa elimu, yani nachukia sana kusoma vitu ambavyo huji kuvifanyia kazi

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf หลายเดือนก่อน +6

    Pictures 📸 linaanza waziri wa science and technology kasomea( journalism) mwana Habari Brother angekuwepo Mzee mangufuli kesho upo ikulu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน

      Mno! Na angehakukisha anasaidiwa hata kuendeleza hiyo sittelite yake

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI หลายเดือนก่อน

      ​@@MsAggie5. Wangemloga 😅😅😲

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI หลายเดือนก่อน

      Angelogwa 😅😅😅

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe bongo Kuna maginius

  • @nkeshimanayuda1115
    @nkeshimanayuda1115 หลายเดือนก่อน +3

    Genius

  • @bonemwaminifu3935
    @bonemwaminifu3935 หลายเดือนก่อน +3

    Sns mnajua sana

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 หลายเดือนก่อน +10

    Serikali zetu za wajinga huyu alitakiwa awe kwenye National AI& Space Technology centre talented and genius Tanzanian for development

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน +1

      Mama amesema anataka kurusha chombo mwezini labda atamchukua huyu kijana atapoanza hiyo mission 😂

  • @akbarkisamo8392
    @akbarkisamo8392 หลายเดือนก่อน +3

    Akili nying🎉

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 หลายเดือนก่อน +4

    MIE NAOMBA SIKU UTULETEE MTU AMBAE AMESOMA KATIKA INCH ZA KISOVIETI, maaana elimu za kimagharibi ni za upotoshaji zaidi.maana hanzina faida kwetu zaidi ya wao. wenyew hao wa magharibi

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961 หลายเดือนก่อน +3

    HONGERA SANA KWAKE MWAMBA

  • @MursalLusinde
    @MursalLusinde หลายเดือนก่อน +2

    Umetisha sna mwanetuuu hongera sna

  • @rawalidrajabu5360
    @rawalidrajabu5360 หลายเดือนก่อน +5

    Kwan serikal huyu mtu haimuon kwel mpk anahangaik kuomb mixaad Nje ya nchi

    • @Vj_hAnss
      @Vj_hAnss หลายเดือนก่อน +1

      shida ya serikali zetu za africa zinasuport sana ujinga kuliko mambo ya maana, na siku zote nabii hakubaliki kwao

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc หลายเดือนก่อน +4

    Lakini apo Unapata picha tofauti Ya Elimu Bora ya wenzetu na hiii ya kinjekitile Tunayo itoa sisi Hapa Bongo

  • @Mtumishi755
    @Mtumishi755 หลายเดือนก่อน +5

    Brother una madini balaaa

  • @kingvikey4682
    @kingvikey4682 หลายเดือนก่อน +3

    kiukwel lazima tuungane kwaajil ya maendeleo ya taifa letu

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 28 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu jamaa kwa maelezo yake atachukuliwa chap ,

  • @mwana3887
    @mwana3887 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna watu wanaexposure ama hizi na hawapewi nafasi it's very sad

  • @SuleimaniKimweri-t2m
    @SuleimaniKimweri-t2m หลายเดือนก่อน +2

    Kwa Mimi Sina kitu lakini nakuombea mipango yako ifanikiwe Brother we unaongea kizalendo sisi sote ni binadamu natuko sayari Moja inawezekana pambana

  • @Leo-kg2lt
    @Leo-kg2lt 27 วันที่ผ่านมา +3

    Historia na maarifa yote dunia hii ni mtu mweusi kwahiyo tuendelee kuwa katika njia hizi sahihi tuanachane na kila aina ya dini maana hizo ndizo zinatufanya tulale tusifanye mambo makubwa

  • @user-bd4rc8ov8f
    @user-bd4rc8ov8f หลายเดือนก่อน +2

    Broo sky njoo utembee pemba zanxibar tuna kupenda

  • @dvjmiloow2955
    @dvjmiloow2955 หลายเดือนก่อน +4

    Sky please mlete Tena huyu jamaa.

  • @rashidbusanya5843
    @rashidbusanya5843 หลายเดือนก่อน +4

    Jamaa angekua na billion kama mia 9 nahisi angeibadili Tanzania kua ktk sura mpya

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward หลายเดือนก่อน

      Kwani taifa letu hatukusanyi pesa ya umma?. Kule ulaya na marekani serikali zao zinatoa grant kwa bunifu hizi kwa sababu ni utajiri kwa taifa.

  • @kavishejrkavishe9643
    @kavishejrkavishe9643 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu kijana alindwe mnoo kama mboni ya jichoo, manake hawa watu wanataka tuwategemee kila kitu

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI หลายเดือนก่อน +1

      Hawalioni hili 😅😅😅

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 หลายเดือนก่อน +4

    Serikali na matajiri wenginre msaidieni huyu kijana akamilishe mpango wake kwani utaisaidia sana nchi yetu.
    Huyu kijana ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน

      Serikali yetu Iko busy kuomba omba nakukopa vitu vya msingi wanapuuza kwa waziri kama nape anawezaje kumuelewa mtu ka huyu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน

      ​@@FahadAbubakarihata huko kukopa sio tatizo, kuwapeleka wabongo movie Kolea si Bora huyu kijana wangempeleka hata China ambao ni rafiki zetu. Nape ni mtoto wao hahaha alileta robot Eunice bungeni si mliona oooh sio waziri tena

  • @macksonimwandemele42
    @macksonimwandemele42 หลายเดือนก่อน +5

    du kumbe mrusi katoka mbali aise

  • @JosephSekulu
    @JosephSekulu หลายเดือนก่อน +3

    Endelea tu ila namba ya simu yako.

  • @Cristiano1-3
    @Cristiano1-3 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mtaaramu

  • @jonaskilomba4094
    @jonaskilomba4094 หลายเดือนก่อน +6

    Hiki nikichwa sana

  • @samuelshunashu7705
    @samuelshunashu7705 5 วันที่ผ่านมา +1

    Maviongozi ya hii inchi hayawezi kimtumia maana yanaona Kama atayaharibia madili yao ya kupiga pesa za wanainvhi ndiyo maana hatuendelei muda tu inchi za wenzetu wakimjua tu wanamchikia akanufaishe inchi zao watu wa hivi wako wengi tunataifa lahovyo Sana

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 28 วันที่ผ่านมา +3

    USA hawajamgundua huyu jamaa

  • @allymkumba70
    @allymkumba70 หลายเดือนก่อน +2

    Unajua iyo kitu au munapenda langi tu satellite zipo aina mbili into inatoa habari juu kuleta chini ipo inatoa chini kupeleka juu yake inatoa wapi upeleka wapi

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah 🎉

  • @gideonstephen6879
    @gideonstephen6879 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani huyu jamaa nimemfuatilia n8meipenda kazi yake mimi sasa nina miaka hamsini na tatu ujujuzi wangu ni kama wake huyu jamaa japo yeye amekwenda mbali zaidi ujuzi wa ugunduzi hasa katika vifaa hivi vya kielectronics ujuzi huu ungefaidisha tanzania kama tungepàta sapoti kwa serikali

  • @allymkumba70
    @allymkumba70 หลายเดือนก่อน +2

    Mm nimependa ila wengi wetu atujui mbona aiko ivyo kaunda satellite nikweli au katengeza kitu kinafanana tu na satellite

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel หลายเดือนก่อน +1

    Siyokwamba sisi weusi hatuwezi,tunaweza,hata mabomu ya nyuklia tunaweza,serikali tunazokuwa nazo ndoshida

  • @hamisiprinsi5240
    @hamisiprinsi5240 หลายเดือนก่อน +3

    Ongera Sana bro, Allah yupo nawe ktk Kila hatua.

  • @mohammadabdallahmzee3825
    @mohammadabdallahmzee3825 หลายเดือนก่อน +4

    Kwanini mtu km huyu hamufanyi mpango wa makusudi kumkutanisha na viongoz wa serikal wanao husika na fani yake ili wamsaidie na pengine serikal itaweza kupata kitu

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 หลายเดือนก่อน +1

      Wapi ndugu yangu nchi hii tumelogwa na nani sijui

    • @user-yy9sz3lv2s
      @user-yy9sz3lv2s หลายเดือนก่อน

      Kiongozi mwenyewe nani?Nape?

    • @thobymsule6045
      @thobymsule6045 หลายเดือนก่อน

      Wako bize kula kadiri ya urefu wa kamba zao nani ajali

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน +1

      Angekuwa mtoto wao hapo kweli lakini hawahusu mbaya sana

  • @akbarkisamo8392
    @akbarkisamo8392 หลายเดือนก่อน +2

    🎉🎉🎉🎉

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana Ubarikiwe

  • @dvjmiloow2955
    @dvjmiloow2955 20 วันที่ผ่านมา +3

    Hii interview nme itazama zaaidi ya mara 10.

    • @user-qr2ol5td5w
      @user-qr2ol5td5w 13 วันที่ผ่านมา

      Me mwenyewe haichoshi kuirudia tena na tena! Kuna mengi ya kujifunza.

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana

  • @NyumbaniHabariMedia
    @NyumbaniHabariMedia หลายเดือนก่อน +2

    🎉

  • @rashidyunus1835
    @rashidyunus1835 หลายเดือนก่อน +2

    Brother Sky inabidi uweke kipindi tuweze kujua tofauti ya Am na Fm kwa urefu zaidi

    • @moriscollins4494
      @moriscollins4494 หลายเดือนก่อน +1

      Shida sky anajua kuwahoji wambea akina mwijaku

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 หลายเดือนก่อน +1

      So AM na FM aweke kipind ata mara moja kwa wiki kuhusu teknolojia..

  • @nicenice3881
    @nicenice3881 หลายเดือนก่อน +2

    🇹🇿🇹🇿

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m หลายเดือนก่อน +3

    Mtangazaji sky umezingua sana unamuacha mtaalamu kuelezea historia zaidi kuliko kuuchambua taaruma yake
    Nilitegemea mtangazaji umuulize maswali magumu ya kitaalamu ili watu waijue kwa undani sayansi.
    Sasa maelezo yote hata hatuelewi satelaiti ni kitu gani
    Yaani mnaongelea vitu utadhan watanzania wote wanaelewa kitu gani mnazungumza
    Bila shaka watu wote tumewahi kusikia satellite lkn bado hatujui kwa undani ni kitu gani na utendaji kazi wake unakuwaje

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน

      Amesema atamuita tena aeleze Kwa undani hii ilikuwa intro tu na historia yake.

  • @djnizoh
    @djnizoh หลายเดือนก่อน +2

    HUYU NI ALIEN 👽 TYPE

  • @Del_busi5
    @Del_busi5 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akulinde maanake wajinga wanaweza kumuuwa huyu genius maana wa Africa hatunaga maroho mazuri

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @user-ys3tn1pf5k
    @user-ys3tn1pf5k หลายเดือนก่อน +4

    Wazungu wata muuwa huyu

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 หลายเดือนก่อน +1

      Huwa hawawauwi wanachofanya ni kumuvuta kwao. Wazungu hawauwi watu wenye akili ila wanawatumia.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 หลายเดือนก่อน +1

      Waamerika wakiiona hii project yake lazima watamuiba

  • @Entertainmen_tv2024
    @Entertainmen_tv2024 หลายเดือนก่อน +2

    Kichwa kwelikweli

  • @silverman6930
    @silverman6930 หลายเดือนก่อน

    Where are we failing Tanzania ? We don’t have a centre where by we keep people like this dude together and utilised them … instead it’s all about corruption.. its sad . What a very intellectual dude … Sky you know how to host ..