Msemaji wa vitalo yuko vizuri na anajua ubora wa Yanga sema nilichogundua jamaa ni promo mzuri sana, naamini wangi walipata shauku ya kuona mchezo utakuaje kutokana na jinsi alivyokuwa anaipromo mechi tuelewe jamaa sio mjinga anajua anachofanya
Ally Kamwe hao Vital 0 wamepata zero yao yaan hatutaki mazoea kabisa Tuchukue Milion 50 yaan goli 10 iwe sherehe nzuri ya ufinguzi wa CAF CHAMPION LIGI
Chama aendelee kufanya mazoezi kuiweka fitness yake vizuri zaidi wanaosema hana speed au hakabi hipo siku atawashangaza pia mzidi kuzingatia fitness za wachezaji wote huko tunakokwenda ndio kugumu zaidi tujitahidi tusijekurudia makosa tuhakikishe tunazitumia nafasi vizuri maana tukifunga pia magoli mengi tunatengeneza record zetu wenyewe
Huyu hako sio mburundi huyu ni mtz tena wa kigoma maana akili za vijana wengi wa kigoma ziko hiv 😂 pimbi mwija baba levo wataje wengne wenye majisifu upofu km huyu mwamba 😂 watu wa kigoma hawajawahi kubeti wakatoboa ni baba levo tu ndio hutoboa kigoma mzima 😂😂😂
Naona kama hana uchungu timu huyu. Kwanza anafanya kaz kwa starehe , yamkin walio juu hawampi presha. Wasemaj wengine wapo kazin mambo yakienda vibaya hawana kazi.
Na mwamnyeto hajitahidi kuyafanyia kazi makosa yake ndani ya box hipo siku yataicost timu awe anakaa anarudia video anazo cheza ili kufanyia kazi makosa yake najua ana uzoefu mwingi ila kunamakosa anayafanya bado
Huyu jamaa ni comedian, nadhani alikuwa anatumia nafasi hii kujitangaza, imesaidia kuita watazamaji wengi, ukizingatia kwamba wao ndio walikuwa wenyeji leo
Mimi leo🎉🎉🎉😢😢😅😅 za wananchi apa
Msemaji huyu amenifurahisha sana kongole kwake na tujipongeze wana Yanga kwa ushindi 🎉🎉🎉🎉
Linayumba haswaa
Huyu jamaa anafurahisha kweli 😂😂 ni comedian 🙌
Hana tofauti na wachekeshaji wengine kama akina Ahmed Ally 😂😂
Wewe ni msenge kweli
Ahmed Ally kaigiaje hapo
😂😂😂 na kwel yupo kama hamed aly😂😂
Anafuatilia mtindo wa wasemaji wa Tanzania na amegundua hivi ndivyo wabongo wanapenda nnje ya mchezo wa ndani ya uwanja😅
VITAL "O" itakuwa wanafadhilwa na GSM. Makolo Inawaumaaaaaaaaa,wanaumiaaaaaa.
Tunataka kolo akishtuka sie tushachukua billion kadhaàa
Ally una kipaji sana ktk wasemaji woote anaongea Kwa hekima Hana mhemko kabisa
Yanga bingwa❤❤❤❤
Nimesoma koment Dah YANGA kweli rahasana
Umefanya kazi yako vyema sana wachezaji wamekuangusha sana
Msemaji wa vitalo yuko vizuri na anajua ubora wa Yanga sema nilichogundua jamaa ni promo mzuri sana, naamini wangi walipata shauku ya kuona mchezo utakuaje kutokana na jinsi alivyokuwa anaipromo mechi tuelewe jamaa sio mjinga anajua anachofanya
Kweli dishi limeyumba😂😂😂
🎉🎉🎉🎉💚💚💚💚💛💛💛💛 raha sana jmn
Nilikuwa najua ana akili timamu kumbe dish limeyumba
Lako likoje?
Asa ww mtu mnene kma hvo akili inatoka wapi
Hapana bhana! Ishu siyo dishi, kwani Ahmed Ally kinachotokea kwake ni nini? Hawa watu wanapokea mishahara yao kwa kufanya hivyo, unategemea afanyeje?
Hapana bhana! Ishu siyo dishi, kwani Ahmed Ally kinachotokea kwake ni nini? Hawa watu wanapokea mishahara yao kwa kufanya hivyo, unategemea afanyeje?
😂😂😂😂😂😂
The Higher the Tumbo the Finyu the Akili 😂😂😂
🤣🤣🤣..litumbo duuu...eti 5 - 0 ..😂😂😂
😂😂😂
Wenda huyo ni bro wake na Ahmed ally mana maneno na huyu jamaa wanafanana
Mbona kama Bro wa Hamed Ally
Kiukweli naiona Yanga iko mbali sana kwani timu sasa hivi zinafungwa na zinafurahi ukianza na simba,Azam na Vital'o Maajabu sana😂😂😂😂😂
Yanga wanajua...simba walisherehekea baada ya kufungwa 1.. wote wanaofungwa wameridhika
Huyo msemaji, nimemuelewa, very professional.
Lazima Ugangamale hata kama unajua unazidiwa ndo usemaji
😂😂😂😂
Ally Kamwe hao Vital 0 wamepata zero yao yaan hatutaki mazoea kabisa Tuchukue Milion 50 yaan goli 10 iwe sherehe nzuri ya ufinguzi wa CAF CHAMPION LIGI
Na simba wamefadhiliwa na GSM maana kila timu tunayoifunga makolo wanajua amedhamini gsm
Mmh uyu ni ahmedy mtupu😮😮😮
Na zinawauma sana kaka badala wapambane wanaumia kitawaramba
Taratibu na semaji la caf Ahmed ally
Yanga Bingwa ✅
Mama na sisi vital'O tufikilie hata kidogo maana joto kali Dar atujazoea sie😂😂
Masaurakoze Nkorabwire
😂😂😂
Mechi ya pili vitalo fc atakula 7 zingatieni koment hii
Chama aendelee kufanya mazoezi kuiweka fitness yake vizuri zaidi wanaosema hana speed au hakabi hipo siku atawashangaza pia mzidi kuzingatia fitness za wachezaji wote huko tunakokwenda ndio kugumu zaidi tujitahidi tusijekurudia makosa tuhakikishe tunazitumia nafasi vizuri maana tukifunga pia magoli mengi tunatengeneza record zetu wenyewe
Huyu hako sio mburundi huyu ni mtz tena wa kigoma maana akili za vijana wengi wa kigoma ziko hiv 😂 pimbi mwija baba levo wataje wengne wenye majisifu upofu km huyu mwamba 😂 watu wa kigoma hawajawahi kubeti wakatoboa ni baba levo tu ndio hutoboa kigoma mzima 😂😂😂
Familia ya kina lingo makintoshi,Martin White & Mkojani😂😂😂
In life, never be over optimistic!!! And never over promise
Hahahahaha hahahaaha hahahaaha hahahaaha Tumetoka Tanzania Mpaka Burundi Mbali Sanaaa
Hongera yanga kwa ushindi
Ukiona mtu mwenye tumbo kubwa kama tumbo la samvura core kama huyo Arsène bucuti hana hakiri
Niko tayari kumpeleka mirimbe kwa gharama yangu
20 mil Kashi uwiiii
The guy is so funny 😂
Kikosi kipana saana ALHAMDULILLAH
Anahamasisha jaman kwani mlitaka aseme vitali,o haiwez
Ilooooo tumbooo kama ana😅😅😅😅😅😅
Watu wasio na kichongo cjawahi wamimi 💚💛💛💛
kwanini
Daaa huyo ndugu ni bonge la comedia usipime😂😂
Inaonekana kuna kitu hakipo sawa ndani ya yanga japo ukimya ni mwingi kwani Manara yuko wapi jamani?
Huyu hajitambui ,hata Afya yake tu na litumbo lake kama gunia,linaonyesha hajali afya yake,na anakula hovyo hovyo.
huyu msemaji ni comedian pia😅😅
Huyu jamaa alitakiwa aishi bongo sio kwa comed hiyo
mechi yamwisho vitalo fc watakula 6 amini
Yanga bingwa kila siku
Hapo leo tulikua bujumbura ijayo tunakuja kwa Mkapa jiandae
Huyu Masau Bwire WA Burundi hahahahaaaaaaaa
😢tunawapa pole upande wapili
Penalti ni safi, haina utata
Mtu yeyote ni bonge akili zao ni ndogo sana 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂uyu mkaka bhn si alisema yeye anatupiga juu hatujazoea kucheza kwenye jua ama
Azam complex waweke mabarafu maan kun joto😅😅😅
Ally kamwe nakbari una mbwembe
Leo nimeamin kuw warund wabishi
Naona kama hana uchungu timu huyu. Kwanza anafanya kaz kwa starehe , yamkin walio juu hawampi presha. Wasemaj wengine wapo kazin mambo yakienda vibaya hawana kazi.
Aki huyu msemaji ana roho ngumu jmn
Hawa jamaa wamekula kibunda kingi sana 😂😂😂
Tim bola yanga
Wasemaji comedian nilijua bongo tu kumbe wapo tu adi kwa majirani
Na mwamnyeto hajitahidi kuyafanyia kazi makosa yake ndani ya box hipo siku yataicost timu awe anakaa anarudia video anazo cheza ili kufanyia kazi makosa yake najua ana uzoefu mwingi ila kunamakosa anayafanya bado
Sio ahmed ally wa pili huyu kweli???
Billioni
YANGA TEAM. OOOOOOOOOO
Anaji brandi tuu
Marudiyano kumi goliz
Huyo ni Ahamedy Ally aliyechangamka
Disi rimeyumbakwerikweri
Kwani hela za rais zinaisha?kila atakayekuwa anashinda lazima apokee hela kutoka kwa rais
Hili tumbo huko ndani hakukosi ubwela flani Ivi
Sio amli yake mimba iyo inamsumbua akijifungua akili itakaa vzr
Huyu ni Futuhi!! Timu yenyewe mlenda
Hapana bhana! Ishu siyo dishi, kwani Ahmed Ally kinachotokea kwake ni nini? Hawa watu wanapokea mishahara yao kwa kufanya hivyo, unategemea afanyeje?
Milioni 30=/ semaji letu
Duuu! Tano bila
Mimi nilimuerewa huyu semaji wa vitaro, alikua anatafuta jina au kujitangaza
Wapi baleke?
Kwel uyo nimasau bwile 😅😅
Ata kupumua anashindwa kumamaake tumboo kaa mtungii
mbona mchekeshaji 😅😅😅😅😅
Waleteni Arusha kuna baridi ili wasiseme tena habari ya joto dar
ana jipya
Akomi 😅
😂😂😂😂 huyu jamaa mlevi
Tukiwafunga Tena goli nyingi tuweke Bango mpakani wawe wanaliona Kila wakija Tanzania.
Kocha wa Vital'O ana matatizo
Ally alijiuzulu vip bado anaongea kama msemaji au msemaji mstafu
Aliongezewa mkataba siku iliyofuata. So, bado yupo sana Yanga
Kwa mkapa atakuta majini ya vyura yamesimama gorini sijui kama atatoboa
Huyu jamaa anafaa kuuguza wagonjwa mahututi
😂😂😂😂😂😂😂😂ila
Alsadaf wa Iraq aliwatisha wamerakani
Huyu jamaa ni comedian, nadhani alikuwa anatumia nafasi hii kujitangaza, imesaidia kuita watazamaji wengi, ukizingatia kwamba wao ndio walikuwa wenyeji leo
Kumbe dishi limeyumba
Ila uyu jamaa haana akili au adi angepigwa tan
Mechi ijayo tunataka Goli 8 ili tupate Milioni 40
Labda mpunguze goli kama makolo lakin sio kuwafunga
🤣🤣🤣🤣huyu mchekeshaji
Halafu mabonge wote wanaongea sana
Fala wewe hujui ya nga