ALLY KAMWE USO KWA USO NA MSEMAJI WA VITAL'O BAADA YA KUWANYUKA CHAMAZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 147

  • @godlightgodlight
    @godlightgodlight 2 หลายเดือนก่อน +28

    Mimi leo🎉🎉🎉😢😢😅😅 za wananchi apa

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 หลายเดือนก่อน +14

    Msemaji huyu amenifurahisha sana kongole kwake na tujipongeze wana Yanga kwa ushindi 🎉🎉🎉🎉

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 2 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu jamaa anafurahisha kweli 😂😂 ni comedian 🙌

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 2 หลายเดือนก่อน +35

    Hana tofauti na wachekeshaji wengine kama akina Ahmed Ally 😂😂

    • @lazarolakara979
      @lazarolakara979 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ni msenge kweli

    • @farzanakhani2043
      @farzanakhani2043 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ahmed Ally kaigiaje hapo

    • @naomymuro2199
      @naomymuro2199 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 na kwel yupo kama hamed aly😂😂

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 2 หลายเดือนก่อน

      Anafuatilia mtindo wa wasemaji wa Tanzania na amegundua hivi ndivyo wabongo wanapenda nnje ya mchezo wa ndani ya uwanja😅

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 2 หลายเดือนก่อน +9

    VITAL "O" itakuwa wanafadhilwa na GSM. Makolo Inawaumaaaaaaaaa,wanaumiaaaaaa.

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 2 หลายเดือนก่อน +15

    Tunataka kolo akishtuka sie tushachukua billion kadhaàa

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 2 หลายเดือนก่อน +17

    Ally una kipaji sana ktk wasemaji woote anaongea Kwa hekima Hana mhemko kabisa

  • @MariamZanzibari
    @MariamZanzibari 2 หลายเดือนก่อน +7

    Yanga bingwa❤❤❤❤

  • @SuleimaniLuvanga
    @SuleimaniLuvanga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nimesoma koment Dah YANGA kweli rahasana

  • @bahatimkumbo7298
    @bahatimkumbo7298 2 หลายเดือนก่อน +2

    Umefanya kazi yako vyema sana wachezaji wamekuangusha sana

  • @JosephBWAGIZO-fs5ig
    @JosephBWAGIZO-fs5ig 2 หลายเดือนก่อน

    Msemaji wa vitalo yuko vizuri na anajua ubora wa Yanga sema nilichogundua jamaa ni promo mzuri sana, naamini wangi walipata shauku ya kuona mchezo utakuaje kutokana na jinsi alivyokuwa anaipromo mechi tuelewe jamaa sio mjinga anajua anachofanya

  • @RAJABUALLYCHANDEALLYCHANDE-n4i
    @RAJABUALLYCHANDEALLYCHANDE-n4i 2 หลายเดือนก่อน +7

    Kweli dishi limeyumba😂😂😂

  • @MariaGicharo
    @MariaGicharo 2 หลายเดือนก่อน +2

    🎉🎉🎉🎉💚💚💚💚💛💛💛💛 raha sana jmn

  • @jumannejackson759
    @jumannejackson759 2 หลายเดือนก่อน +26

    Nilikuwa najua ana akili timamu kumbe dish limeyumba

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 2 หลายเดือนก่อน +1

      Lako likoje?

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 หลายเดือนก่อน +1

      Asa ww mtu mnene kma hvo akili inatoka wapi

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 2 หลายเดือนก่อน

      Hapana bhana! Ishu siyo dishi, kwani Ahmed Ally kinachotokea kwake ni nini? Hawa watu wanapokea mishahara yao kwa kufanya hivyo, unategemea afanyeje?

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 2 หลายเดือนก่อน

      Hapana bhana! Ishu siyo dishi, kwani Ahmed Ally kinachotokea kwake ni nini? Hawa watu wanapokea mishahara yao kwa kufanya hivyo, unategemea afanyeje?

    • @AleemaAleemaoman
      @AleemaAleemaoman 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 2 หลายเดือนก่อน +7

    The Higher the Tumbo the Finyu the Akili 😂😂😂

    • @Munshid_Rajab
      @Munshid_Rajab 2 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣..litumbo duuu...eti 5 - 0 ..😂😂😂

    • @stapinuswilliam860
      @stapinuswilliam860 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @YusuphBupamba
    @YusuphBupamba 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wenda huyo ni bro wake na Ahmed ally mana maneno na huyu jamaa wanafanana

  • @saimonmlay4295
    @saimonmlay4295 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona kama Bro wa Hamed Ally

  • @revocatusbenezeth2282
    @revocatusbenezeth2282 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukweli naiona Yanga iko mbali sana kwani timu sasa hivi zinafungwa na zinafurahi ukianza na simba,Azam na Vital'o Maajabu sana😂😂😂😂😂

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 หลายเดือนก่อน

      Yanga wanajua...simba walisherehekea baada ya kufungwa 1.. wote wanaofungwa wameridhika

  • @alisteusarchard3656
    @alisteusarchard3656 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo msemaji, nimemuelewa, very professional.
    Lazima Ugangamale hata kama unajua unazidiwa ndo usemaji

    • @YamunguMatamya
      @YamunguMatamya 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @joycemmassi5046
    @joycemmassi5046 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ally Kamwe hao Vital 0 wamepata zero yao yaan hatutaki mazoea kabisa Tuchukue Milion 50 yaan goli 10 iwe sherehe nzuri ya ufinguzi wa CAF CHAMPION LIGI

  • @CastoryKigahe
    @CastoryKigahe 2 หลายเดือนก่อน +2

    Na simba wamefadhiliwa na GSM maana kila timu tunayoifunga makolo wanajua amedhamini gsm

  • @AtupeleFesto
    @AtupeleFesto 2 หลายเดือนก่อน

    Mmh uyu ni ahmedy mtupu😮😮😮

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w 2 หลายเดือนก่อน

    Na zinawauma sana kaka badala wapambane wanaumia kitawaramba

  • @AlfahKalinga
    @AlfahKalinga 2 หลายเดือนก่อน

    Taratibu na semaji la caf Ahmed ally

  • @samweledward7664
    @samweledward7664 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga Bingwa ✅

  • @YamunguMatamya
    @YamunguMatamya 2 หลายเดือนก่อน

    Mama na sisi vital'O tufikilie hata kidogo maana joto kali Dar atujazoea sie😂😂

  • @sabamultimediabrand
    @sabamultimediabrand 2 หลายเดือนก่อน +3

    Masaurakoze Nkorabwire

  • @AmaniOmari-ev2gu
    @AmaniOmari-ev2gu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mechi ya pili vitalo fc atakula 7 zingatieni koment hii

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 2 หลายเดือนก่อน

    Chama aendelee kufanya mazoezi kuiweka fitness yake vizuri zaidi wanaosema hana speed au hakabi hipo siku atawashangaza pia mzidi kuzingatia fitness za wachezaji wote huko tunakokwenda ndio kugumu zaidi tujitahidi tusijekurudia makosa tuhakikishe tunazitumia nafasi vizuri maana tukifunga pia magoli mengi tunatengeneza record zetu wenyewe

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu hako sio mburundi huyu ni mtz tena wa kigoma maana akili za vijana wengi wa kigoma ziko hiv 😂 pimbi mwija baba levo wataje wengne wenye majisifu upofu km huyu mwamba 😂 watu wa kigoma hawajawahi kubeti wakatoboa ni baba levo tu ndio hutoboa kigoma mzima 😂😂😂

  • @KhadijaMahai
    @KhadijaMahai 2 หลายเดือนก่อน

    Familia ya kina lingo makintoshi,Martin White & Mkojani😂😂😂

  • @anselmokidaboma9328
    @anselmokidaboma9328 2 หลายเดือนก่อน

    In life, never be over optimistic!!! And never over promise

  • @DuduBoysSilvester
    @DuduBoysSilvester 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahahaha hahahaaha hahahaaha hahahaaha Tumetoka Tanzania Mpaka Burundi Mbali Sanaaa

  • @AngelaMkwava
    @AngelaMkwava 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera yanga kwa ushindi

  • @ArseneMohamed
    @ArseneMohamed 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ukiona mtu mwenye tumbo kubwa kama tumbo la samvura core kama huyo Arsène bucuti hana hakiri

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 2 หลายเดือนก่อน +1

    Niko tayari kumpeleka mirimbe kwa gharama yangu

  • @roseurio4983
    @roseurio4983 2 หลายเดือนก่อน +2

    20 mil Kashi uwiiii

  • @reubenchacha9688
    @reubenchacha9688 2 หลายเดือนก่อน

    The guy is so funny 😂

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 2 หลายเดือนก่อน

    Kikosi kipana saana ALHAMDULILLAH

  • @PacchaYassin
    @PacchaYassin 2 หลายเดือนก่อน

    Anahamasisha jaman kwani mlitaka aseme vitali,o haiwez

  • @Onesmo-JB
    @Onesmo-JB 2 หลายเดือนก่อน

    Ilooooo tumbooo kama ana😅😅😅😅😅😅

  • @IsharaMdapo
    @IsharaMdapo 2 หลายเดือนก่อน

    Watu wasio na kichongo cjawahi wamimi 💚💛💛💛

  • @dorahmwasanu668
    @dorahmwasanu668 2 หลายเดือนก่อน

    Daaa huyo ndugu ni bonge la comedia usipime😂😂

  • @masumbukomoussa977
    @masumbukomoussa977 2 หลายเดือนก่อน

    Inaonekana kuna kitu hakipo sawa ndani ya yanga japo ukimya ni mwingi kwani Manara yuko wapi jamani?

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu hajitambui ,hata Afya yake tu na litumbo lake kama gunia,linaonyesha hajali afya yake,na anakula hovyo hovyo.

  • @shanimwanga4455
    @shanimwanga4455 2 หลายเดือนก่อน

    huyu msemaji ni comedian pia😅😅

  • @WinnieDavid-hm9sb
    @WinnieDavid-hm9sb 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa alitakiwa aishi bongo sio kwa comed hiyo

  • @yusuphNgailo-p1q
    @yusuphNgailo-p1q 2 หลายเดือนก่อน

    mechi yamwisho vitalo fc watakula 6 amini

  • @BabyEmmy-bo2ew
    @BabyEmmy-bo2ew 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga bingwa kila siku

  • @jonasmbwambo3546
    @jonasmbwambo3546 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo leo tulikua bujumbura ijayo tunakuja kwa Mkapa jiandae

  • @salimhamisi990
    @salimhamisi990 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu Masau Bwire WA Burundi hahahahaaaaaaaa

  • @PillyLushete
    @PillyLushete 2 หลายเดือนก่อน

    😢tunawapa pole upande wapili

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 2 หลายเดือนก่อน +1

    Penalti ni safi, haina utata

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 2 หลายเดือนก่อน

    Mtu yeyote ni bonge akili zao ni ndogo sana 😂😂😂😂😂😂

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂uyu mkaka bhn si alisema yeye anatupiga juu hatujazoea kucheza kwenye jua ama

  • @lucasmartin4880
    @lucasmartin4880 2 หลายเดือนก่อน

    Azam complex waweke mabarafu maan kun joto😅😅😅

  • @sadickcheyo2324
    @sadickcheyo2324 2 หลายเดือนก่อน

    Ally kamwe nakbari una mbwembe

  • @ramadhanomar5720
    @ramadhanomar5720 2 หลายเดือนก่อน

    Leo nimeamin kuw warund wabishi

  • @flaviabaruti7602
    @flaviabaruti7602 2 หลายเดือนก่อน

    Naona kama hana uchungu timu huyu. Kwanza anafanya kaz kwa starehe , yamkin walio juu hawampi presha. Wasemaj wengine wapo kazin mambo yakienda vibaya hawana kazi.

  • @roseurio4983
    @roseurio4983 2 หลายเดือนก่อน +1

    Aki huyu msemaji ana roho ngumu jmn

  • @fadhilkhamis8971
    @fadhilkhamis8971 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa jamaa wamekula kibunda kingi sana 😂😂😂

  • @MajaliwaJuma-c5g
    @MajaliwaJuma-c5g 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tim bola yanga

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 2 หลายเดือนก่อน

    Wasemaji comedian nilijua bongo tu kumbe wapo tu adi kwa majirani

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 2 หลายเดือนก่อน

    Na mwamnyeto hajitahidi kuyafanyia kazi makosa yake ndani ya box hipo siku yataicost timu awe anakaa anarudia video anazo cheza ili kufanyia kazi makosa yake najua ana uzoefu mwingi ila kunamakosa anayafanya bado

  • @mr_mpweke
    @mr_mpweke 2 หลายเดือนก่อน

    Sio ahmed ally wa pili huyu kweli???

  • @godlightgodlight
    @godlightgodlight 2 หลายเดือนก่อน +6

    Billioni

  • @innocentntabanganyimana2111
    @innocentntabanganyimana2111 2 หลายเดือนก่อน

    YANGA TEAM. OOOOOOOOOO

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 2 หลายเดือนก่อน

    Anaji brandi tuu

  • @ADELADamus
    @ADELADamus 2 หลายเดือนก่อน

    Marudiyano kumi goliz

  • @JohnHaule-rc3nk
    @JohnHaule-rc3nk 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo ni Ahamedy Ally aliyechangamka

  • @OskaPortas
    @OskaPortas 2 หลายเดือนก่อน +2

    Disi rimeyumbakwerikweri

  • @neemamwijage
    @neemamwijage 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani hela za rais zinaisha?kila atakayekuwa anashinda lazima apokee hela kutoka kwa rais

  • @VictorKilua-ms8it
    @VictorKilua-ms8it 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hili tumbo huko ndani hakukosi ubwela flani Ivi

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 2 หลายเดือนก่อน

    Sio amli yake mimba iyo inamsumbua akijifungua akili itakaa vzr

  • @christophermbuga9623
    @christophermbuga9623 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni Futuhi!! Timu yenyewe mlenda

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 2 หลายเดือนก่อน

    Hapana bhana! Ishu siyo dishi, kwani Ahmed Ally kinachotokea kwake ni nini? Hawa watu wanapokea mishahara yao kwa kufanya hivyo, unategemea afanyeje?

  • @roseurio4983
    @roseurio4983 2 หลายเดือนก่อน +1

    Milioni 30=/ semaji letu

  • @RashidiAhmad-ow5fb
    @RashidiAhmad-ow5fb 2 หลายเดือนก่อน

    Duuu! Tano bila

  • @FatumaMtanda-c8x
    @FatumaMtanda-c8x 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi nilimuerewa huyu semaji wa vitaro, alikua anatafuta jina au kujitangaza

  • @Shija-g4m
    @Shija-g4m 2 หลายเดือนก่อน

    Wapi baleke?

  • @AlexTweve-b3v
    @AlexTweve-b3v 2 หลายเดือนก่อน

    Kwel uyo nimasau bwile 😅😅

  • @ChalresDikwe
    @ChalresDikwe 2 หลายเดือนก่อน

    Ata kupumua anashindwa kumamaake tumboo kaa mtungii

  • @juliusejulius6704
    @juliusejulius6704 2 หลายเดือนก่อน

    mbona mchekeshaji 😅😅😅😅😅

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 2 หลายเดือนก่อน

    Waleteni Arusha kuna baridi ili wasiseme tena habari ya joto dar

  • @TobiasiMolle
    @TobiasiMolle 2 หลายเดือนก่อน

    ana jipya

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 2 หลายเดือนก่อน

    Akomi 😅

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 huyu jamaa mlevi

  • @denismalele7608
    @denismalele7608 2 หลายเดือนก่อน

    Tukiwafunga Tena goli nyingi tuweke Bango mpakani wawe wanaliona Kila wakija Tanzania.

  • @leonardachimpota8313
    @leonardachimpota8313 2 หลายเดือนก่อน

    Kocha wa Vital'O ana matatizo

  • @vicenttarimo2203
    @vicenttarimo2203 2 หลายเดือนก่อน

    Ally alijiuzulu vip bado anaongea kama msemaji au msemaji mstafu

    • @peterhelpeterluena9191
      @peterhelpeterluena9191 2 หลายเดือนก่อน +1

      Aliongezewa mkataba siku iliyofuata. So, bado yupo sana Yanga

  • @neemamwijage
    @neemamwijage 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa mkapa atakuta majini ya vyura yamesimama gorini sijui kama atatoboa

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa anafaa kuuguza wagonjwa mahututi

    • @naahmkama8789
      @naahmkama8789 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂ila

  • @feisalomarakayesu
    @feisalomarakayesu 2 หลายเดือนก่อน

    Alsadaf wa Iraq aliwatisha wamerakani

    • @juliusmagoti5650
      @juliusmagoti5650 2 หลายเดือนก่อน

      Huyu jamaa ni comedian, nadhani alikuwa anatumia nafasi hii kujitangaza, imesaidia kuita watazamaji wengi, ukizingatia kwamba wao ndio walikuwa wenyeji leo

  • @eugenmakiluli3025
    @eugenmakiluli3025 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe dishi limeyumba

  • @faidha23
    @faidha23 2 หลายเดือนก่อน

    Ila uyu jamaa haana akili au adi angepigwa tan

  • @robertmagubu4586
    @robertmagubu4586 2 หลายเดือนก่อน

    Mechi ijayo tunataka Goli 8 ili tupate Milioni 40

  • @RahimaIdd-yf9jo
    @RahimaIdd-yf9jo 2 หลายเดือนก่อน

    Labda mpunguze goli kama makolo lakin sio kuwafunga

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣🤣huyu mchekeshaji

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 2 หลายเดือนก่อน

    Halafu mabonge wote wanaongea sana

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 2 หลายเดือนก่อน

    Fala wewe hujui ya nga