Yaani mbona wanawake tuna roho mbaya hivi maana hapa ni kumpoteza mwenzao kwa siri ,,alf baadhi ya wanawake tunapenda kubebewa akili na wenzetu mmmh mbona Rebecca huko mbele utalia tu
hakika tamaa ya mwili ni majuto ya moyo tulizike na tulivyo navyo ht km ni vidogo kweni tamaa ukiiendekeza mauti inafuata nyuma asnt ankojay Kwa simuliz nzuri zinafundisha sn
Niko ndani ya mjengo kumsikia Rebeka ,na sauti tunayoiitaji na kuielewa saaaaana sio ya mwingine bali ni ya kijana machachari na mtanashati,msafi na anayenukia masaa yote kama jini ,na mwenye roho nzuri saana na mapesa yake meeengi sio mwingine ni anko j
@@avelinabaluhya2804 jaman ninyi mlisikiliza mwaka mzima uliopita mim ndio nasikiliza leo,ina mafunzo makubwa kuridhika na ulicho nacho na kujiepusha na tamaa
Wow nice and interesting story big thumb 👍 brother Ankol J tunainjoy🙏
Wow Anko nimefurah kukuskia tena pia asant san kwa simuliz nzur ya Rebeka 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nimependa mdundo mtulivu unaofanya simulizi iwe tamu zaidi.....
Ahsante anko J
Asante sana simulizi mix kwa simulizi nzuri na sauti yako jamani anko jay mungu akusadie Kwenye kazi yako
Rebeka anakera pole sana mabogo simulizi mix nawapenda 💯💯💯💯💯💯♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥
Thank you Anko Jay Wanaume Watano wote wapoteza Maisha kwa ajili ya Msichana ambaye alikuwa mke wa Mtu. Kiburi cha pesa mwisho wake mauti.
Asante Anko J kwa simulizi nzuri yenye mafunzo
hongera anko jay, simulizi iko bomba kabisa👌👌👌👌
Waoo nice anko jay 🎃
Woow! Ndani ya mjengo. I'm no. 1 Thanks Smix kwa kigongo chengine 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kwa kweli kabisa aina adabu na inapoteza Hadi kufa
Daah Kwa kweli Rebeka yake ilikuwa too much
Duuh pole sana sana mabogo ila inauma sana hii simulizi inahuzunisha
Ianoma sana kukuwamulembo
Hongera anko jay. Simulizi yenye mafunzo
Asante anko j kwa simulizi nzur
Mmh nipagumu hapa jamani
Apa sasa hi ndio simulizi kwani aya ndio mambo yanao fanyika
Nilikua namsikiliza felix nimechelewa huku msukuma😇
Yaani. Hii, kiboko tamaa haina,mwisho mwema
Lovely one nmeepeda
Asante sana barikiwa simulizi ni tamu sana❤❤
Uncle J, wewe ni superb 👌
Kwa Mara ya kwanza nasikiliza Simuliz iliyo simuliwa na uncle J🙏🙏😘😘😃😃😃
Kwanza rest in peace Kwa hao matajiri, alafu, thank you very important, anko jay Kwa simulizi vizuri,more love 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Hongera kwa mtunzi story ina mwanzo na mwisho hongera pia anko Jay
Kila likuepukaloo lina kher na wewetulia Mabogo jipange upya huyo mtumishi m tengeneze vzr akutoe mawazo maisha yaende
Huyo Rabeka muone kama matapishi
Mungu atakulipa
Ubora wa mtu ni tabia
Hakika uzzuri si shanj jipange upya Mabogo
Huyo mtumishi ni mwanamke kama Rebeka tengeneza hapo
Asante simulizi mix nawapenda wote watunzi pamoja na wasimuliaji 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Woow nice .....we loved and enjoyed the story ❤❤❤❤
Mwisho nimejikuta machozi yakinitoka
You are the best❤️❤️❤️❤️
Anko jay unakipaji broo🔥🔥
Rabeka kiboko jamanii
Simulizi nzuri sana ,thank you anko jay
Daaah simuliz nzuri xaan jomon🙏🙏🙏🙏
😂😂😂😂😂😂😂Imenibid ncheke kwanza aka
Wow bonge la simulizi
Anko ile simuliz ya BARUA YA REHEMA Kwan bado haijatoka
Njo maana napendaga kwa masilahi yangu 😅😅😅😅😅
Anko jay mwenyewe asante kwa simulizi tunainjoi na rebeka nitakoment tena like zenu 🥰🥰🥰
Asalam alaikum shadya
@@matesoasmani489 walykumsalam warahmatullah wabarakatuh
Mbn kimya nyinyi
@@irenewilfred7767 tupo kipenzi niambie upo poa kipenzi 🥰🥰🥰
@@shadyasalum192 yes nipo. My uko mkoa gn
Ahsante kwasimuliz mix munanitowa mawazo kwakweli💞💞💝💘💕
Hizi ndio simulizi za kusikiza
Mashoga wabaya
Saaaaana
Yaani mbona wanawake tuna roho mbaya hivi maana hapa ni kumpoteza mwenzao kwa siri ,,alf baadhi ya wanawake tunapenda kubebewa akili na wenzetu mmmh mbona Rebecca huko mbele utalia tu
OMG 😶😶FOR THE LOVE OF MONEY IS THE ROOT OF ALL EVIL.REBEKA IS A TRUE BLACK WIDOW. I GUESS NOTHING IS PERMANENT. 🔥🔥🔥🔥AMAZING STORY ANKO JAY
marafiki ndo maadui tuwe makini kwa hilo tumtangulize Mungu kwa hilo na pia asante anko jei jamani Mungu asikuache
Haaaa Leo siamin kama Leo nimewahi wa kwanza🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Asante kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ......yaani kitu pesa jamani million200 nizikatae kweli daah
😂😂😂😂
Kwenye ubora wako anko j
Hanaga kazi mbovu
Imeniumiza sana Rebeka kumwacha mumewe Mabogo
Simuliz nzuri na yenye mafuzo, 😭😭😭
Hili bonge la simulizi af inamafunzo kibao
Vipi jay,naomba smulizi la hofu
Tamaa mbaya asante Uncle J
I will comet later nice story
🤣🤣🤣 HATUJAAMBIWA TUSUBIRI MWENDELEZO😂😂😂
Naangalia ni wangapi Walio mbele yangu alafu nitarudi badae kucoment
Hahaha nimechekaaa khaaa we dada
,😂😀😀😀😀
Anko haya mafunzo sio kwawanandoa tu na sisi ambao hatujaolewa au kuowa zinatuusu🙏 Asanteni sana simulizi mix family😘😘😘😘😘
ANKO JAY NITAKUCOMENT VIZUR NIKIMALIZA KISIKILIZA
Bwana bingo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante sana . imekuwa hadithi ya kuvutia sana, yenye kuelimisha na kuelimisha
Anko jay again ✌
Hata sikuwa mraibu wa izi simulizi hii ndio ya kwanza na umenifanya nikasimamisha shuhuli zangu kwa masaa matatu
Once you try them u become addicted to them
😂😂😂😂Welcome two simulizi mix family enjoy babaaa
Surely am already become addicted imagine jana nikalala na earphones kwa masikio ata sikujua nilishika aje na usingizi
@@kassimmbwana9025 😂😂😂😂😂
Wewe huja sikiliza Train 🚊 yakigoma🎉Enda uka isikilize uta niambia 🤜🏽🤜🏽🤜🏽🤜🏽🤜🏽🤜🏽🤜🏽🤜🏽🤜🏽🤜🏽🤜🏽
Nzuri sana
Anko Jay kama hujaoa nipo apa sina mume napenda sauti yako sanaaa
Siku zote watu ndio awajui lakini uwa marafiki uwa sio wazuri sana asili mia moja
Sana,marafiki ni wabaya sana na wanaponza sana
Wanawake achen tamaa
Hahaha wachekesha anko jay mumewe atabai hai 🤣🤣🤣
Simulizi inafundisha sana...hongera sana Anko J
Anko j simulizi nzuli
Mmmmh,mwadamu tukumbuke fadhila na tuache tamaaa
Hakika tamu na inamafunzo
Daah! Mungu wa ajabu pengine mabogo angebki na Rebecca ingetokea shida kubwa Zaid Mungu alimuepush mabogo
Ni kweli
Noma😥😥
Noma saaana
Tamaa mbayaa
Saaaana
Your talented men very nice story l least some for then may Allah bls you ❤️❤️👍👍👍
Anko jay umenifanya niwe chizi wa simulizi
😂😂😂😂😂
Muito obrigado
Kwani Sisi wanawake tukianza kwenda kwenye pesa huwa tunalia?hatullii tena tunafurahia chezea pesa wewe
Daa nimeipenda sana
❤️❤️❤️
Jamani tamaa mbaya 😢😢😢😢
Saaana
Yaani mtu anakwambia anakupenda na huku anakuacha huu ni ukweli jmn???baadhi ya wanawake ata mbingu hatutaiona ata kwa macho tu mmhhh
Nikwel kabisa
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtu anaeza kukupenda lakini inapobid kuondoka anakuacha kabsaa
Very stor so much 😢😢😢
hakika tamaa ya mwili ni majuto ya moyo tulizike na tulivyo navyo ht km ni vidogo kweni tamaa ukiiendekeza mauti inafuata nyuma asnt ankojay Kwa simuliz nzuri zinafundisha sn
Good good
Tamaa mbaya
Ila Anko J bhana.... Unafurahisha... that voice is an asset
Niko ndani ya mjengo kumsikia Rebeka ,na sauti tunayoiitaji na kuielewa saaaaana sio ya mwingine bali ni ya kijana machachari na mtanashati,msafi na anayenukia masaa yote kama jini ,na mwenye roho nzuri saana na mapesa yake meeengi sio mwingine ni anko j
❤️❤️❤️❤️❤️😘😘
Hilo lisaa moja milioni Mia mbili Rebecca kanunua ukimwi 🤭😏Rebecca wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mdada tamaa ilimpoza🙄🙄😪
More than a talent🔥🙌🏻
To be continued
It is fantastic 👏 thanks anko j ❤
oOoOO to oo to do oooooo oOoOO I can help or have on it I 😢😢😮😮😮 of o😮 of oOoOO 😮
Kiukwel wee kaka nime kupenda bure nime jifunz meng kweny simulizi zako asant zaidi
Ety kanyute🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huna baya
Amaizing_👊
Asante sana ❤
Waooo hongera sana
Mh,ama kweli,fedha ni chanzo cha kila aina ya uovu
Mlango mkubwa ukiwa ni tamaaa
@@RahelIbrahim-id2li ni kweli hiyo my dear
@@avelinabaluhya2804 jaman ninyi mlisikiliza mwaka mzima uliopita mim ndio nasikiliza leo,ina mafunzo makubwa kuridhika na ulicho nacho na kujiepusha na tamaa
@@avelinabaluhya2804 nimefurahi kupata coment yako mpendwa
Dah Mabogo ulitakiwa kumdhibiti mkeo mapema ulihadaika na kipato cha mkeo ukampa uhuru wote ulikosea
Hakuwa wake,ndio maana Mungu alimwepusha,hatta kama angemdhibiti vip huyo mwanamke ana tamaa