SIMULIZI FUPI. Mwanajeshi Mrembo.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 40

  • @emmanuelmwatujobe8450
    @emmanuelmwatujobe8450 5 วันที่ผ่านมา +1

    Nipo pamoja na mrembo

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s 2 วันที่ผ่านมา

    Mimi niko kwa beni asije kuliwa kisa demu wapowengi 🎉🎉🎉 beni 🎉🎉🎉

  • @user-ez6cy4pj8z
    @user-ez6cy4pj8z 24 วันที่ผ่านมา +1

    Hehehe sasa hapa kwa mimba jamani. 😢..ila nimefurahi jenerali kafaa....fupi tamu..❤❤thanks director..🎉🎉

  • @fatumajumapili2907
    @fatumajumapili2907 24 วันที่ผ่านมา +2

    Wakwaza leo 😊

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kila king'aacho sio dhahabu😊

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n 24 วันที่ผ่านมา +2

    😁😁😁belle m2 mbaya!!

  • @Rais__772daughters
    @Rais__772daughters 24 วันที่ผ่านมา +2

    Nyanga mkaliaini wake anaharusi😂😂😂 jamani.

  • @AnnaMelikion
    @AnnaMelikion 24 วันที่ผ่านมา +2

    Mie nahisi mwanajeshi mrembo hajakosea .ile sema tu huyo mchumba wake Ben sio muelewa yani😢😢😢

  • @user-jy1pz7nd6o
    @user-jy1pz7nd6o 23 วันที่ผ่านมา

    WOYOYOAOOOOOO JAMANI AWAWATU WAWIR WANA NIKOSHYA ASWAAAAA KWANZIYA NYUMA YA PAZIYA WANA NI UWAAAA MIM NABVYOPENDA SAUT ZAWO WANAO PENDA SAUTI ZA OENE FELIX MUNIP MAUWAAA❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴

  • @user-rc3om5hs9i
    @user-rc3om5hs9i 24 วันที่ผ่านมา +3

    Jeneral kauzo kwel ujanakatumia nawengine🌹🌹🙏

  • @emmanuelmwatujobe8450
    @emmanuelmwatujobe8450 5 วันที่ผ่านมา

    Ila mrembo anakufaje sasa

  • @khadija.kkhadija.k7885
    @khadija.kkhadija.k7885 22 วันที่ผ่านมา

    Nilimis sana sauti hii❤❤❤

  • @lindaanyango
    @lindaanyango 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mrembo ila mkatili😢😢😢

    • @mporipori99
      @mporipori99 15 วันที่ผ่านมา

      Ila usimuige ukatili, sawa Linda mrembo

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n 24 วันที่ผ่านมา +6

    Woyooooooooooooo🥰🥰🥰🥰🥰😍😍😍😍😍😍😍😍😍😋😍😍Mmmmmmmmwaaaaaaaaaaaaaah hawa ndio Smix bwanaaaaaa jamaniiiiiiiiiii njooooooooon kitu kipyaaaaaaaaaaaaa kipo hewaaaaaaaan ile saut tamu isiyochosha ipo nyuma ya 🎤 Director embu kunywa soda nakuja kulipa

  • @user-be2nx5ks2l
    @user-be2nx5ks2l 23 วันที่ผ่านมา +1

    W

  • @SabrinaAlimas
    @SabrinaAlimas 22 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥🥰🥰

  • @user-be2nx5ks2l
    @user-be2nx5ks2l 23 วันที่ผ่านมา

    Owen hii imekuja Kwa wakati wanadamu wanasahau kuwa mapenzi ni hisia na siyo ubabe na uninja

  • @bintimrope
    @bintimrope 24 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤🎉

  • @jenniferlicko4736
    @jenniferlicko4736 23 วันที่ผ่านมา

    Me nahisi huyu dada mjeda Ako sawa hajakosea yupo sahihi ila sema huyo beni ni bwege kweli yaaaani kalipiwa Hadi mahali but sorry girl 😢😢😢

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mwanajeshi Mrembo amekosea kutomuweka mchumba wake wazi na huyo mwanajeshi mrembo hatumiyi hakiri, japo kuwa Ben arikuwa ametekwa asinge lala na General plus amelala na lafiki yake Ben mwanamke mujinga sana bola angevujisha hizo sili za General kama bwayi bwayi tuu sio kujiachia kihiivyo.

  • @user-ke1ox6zl6k
    @user-ke1ox6zl6k 23 วันที่ผ่านมา

    Kwa sasa mi siko upande wowote kwa sasa maana hayo ya wanajeshi wanayajua wenyewe tu na siri zao najiuliza kwa nini huyo mrembo hakupeleka swali hili kwa wakuu alipokuwa akisumbuliwa huku kwa Benny naye ata sijui nimshauri nini

  • @Rais__772daughters
    @Rais__772daughters 24 วันที่ผ่านมา +1

    Ninashida vipenzi vyangu naomba msaada.iko hivi siku hizi kama wiki moja hivi nimekuwa nikiona vitu nilivyo ziona kitambo sana ama najikuta na tukio nililo fanya kitambo ama nilifanyiwa niko serious kweli,yaani matukio ya leo nayakuta nishawahi kunitokea maisha ya sai nayaona nishawahi kuyaishii naombaa kujua shida nini😢

    • @user-rc3om5hs9i
      @user-rc3om5hs9i 24 วันที่ผ่านมา +1

      ukiona ipo hvo nahaikupi amani ingia maombi maana hiyo nihali yamaangano namaagao humtesa mtu bila kujua huenda kunaroho inaleta halihyo kiwa waliweka angano wazazi au mababu iyo inaondolewa na maombi yakutaa roho za ma zaangano ulioangana au waliongana wazazi au mababu na mabibi

    • @Rais__772daughters
      @Rais__772daughters 24 วันที่ผ่านมา

      @@user-rc3om5hs9i 🥺🥺🥺asnte kwa sababu inanitokea karibu kila siku mpka naogopa

    • @AnnaMelikion
      @AnnaMelikion 24 วันที่ผ่านมา

      Pole mpenzi kama alivokushauri hapo mwenzangu nami naongezea kikubwa mkimbilie Mungu ingia katika Maombi ikibidi teua siku ufunge ili kuzikataa hizo roho Ama muone mchungaji ambae unamwamnini umuelezee atakusaidia kuziondoa hizo roho

    • @Rais__772daughters
      @Rais__772daughters 24 วันที่ผ่านมา

      @@AnnaMelikion hizi sounds zinaniogopesha,nitafanya hvyo my wangu🙏🙏🙏🙏🙏💓

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 24 วันที่ผ่านมา +3

      Anza kuomba kwa bidii hiyo Hali itapotea ila kwa upande mwingine uwenda unaishi na nafsi ya mtu ambaye alishakufa miaka ya nyuma, maana katika kifo mwili ndio hufa ila sio nafsi, ingawa hivi ni vitu visivyoaminika sana katika jamii zetu, pole