SIMULIZI MPYA - BINTI CINDERELLA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2023
- Kwa majina naitwa jimin Rweyemamu ni mzaliwa wa pili katika watoto watatu wa mzee rweyemamu wa kwanza ni dadangu charity na wa mwisho mdogo wangu purity, mm nikiwa mtoto wa kiume pekee ktk familia yetu.
- บันเทิง
Part 02 bonyeza hapaa👇th-cam.com/video/w3Zjyu478IU/w-d-xo.htmlsi=fDSlj_Ka8oa-dlnS
Asante sana Anko J mapesa kwa smlz tamu ingawa nayianza sasa kusikiliza ila inaonekana imenoga kishenzi,,pia ongera kwa sauty yako murwaaaah
Part 3 plzzz plzzzzzz ❤❤❤
Anko j namba yako bac
Naweza tuma pesa kwa m mpesa nataka part 3 na 4
@@rizmwMwriz-mf2cuughu
Kwa kweli utamu hadi raha tumeinjoy sana anko wetu leo ulikuwa na mbwembwe sana si kwa raha izo mwanzo tumecheka katikati tumelia mwisho tumefurai zamwamwa ni mecheka sana kwa sauti kubwa nimeinjoy sana Jabali wetu King 👑❤❤❤🎉🎉
Good top ten, let's give Anko Jey his likes for starting by singing ❤❤😂😂😂
Mi wa mwish nipe hat Tano 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤simulizi nzur san
💗❤️💞🥰😍😇
Tujuwane Wana simulizi❤❤❤❤
jamani wakwanza mimi leo nipeni like uncle jay jay love you more
Leo mnipe likes nimejaribu kuwa wa ishirini na sita Huwa na kua wa mwisho 😂😂❤
❤❤❤
Bravo Lissa is back with hot stories so great Lissa
Picha linaanza na Wimbo kwanzaaa hii Hataree🙌😅😅
Huwa najiskia faraja sana kuskia simulizi za lissa mwala
Jamani teem anko j muna onaje tufungue group la kupeana maono kwenye simuliz tunazo sikiliz ili tufurah au muna onaje ❤❤
Poa
Yaani 😘😘lkn umetuboa ilivyopotea gafla Kam tanesco wanavyokataga umeme gafla ndo ww ulivyo fanya sasa but enyw tunakupenda Sana pamoja na madam Lissa mwalla♥️♥️♥️ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole alikua anatengeneza mazingir tunufaike sote mpenz 😊
Hahaha kuimba sio talanta yako ankojay 😂😂😂😂
Angalau leo nmewahi jamani like zenu mashabiki wedzangu😊😊
Woooooow anko j unajuwa kuimba nce voice🧡🇬🇧🇬🇧🙏🙏😅😂🤣
Dah 😂
@@ankojay_😂😂unajua anko
Love you
😂😂😂😂
Jaman likes zangu na mimi nimekua wa mwisho sikua na bando jamn nitieni moyo😢
Thank you Ankojay much love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪
2️⃣5️⃣4️⃣🤝
❤❤❤
Usimdharau usiyenjua,na usimnyanyapae binadamu mwenzio,wote tumeumbwa na Mungu mmoja kama apendavyo
Ankojay we noma Kwa Nini unapenda kuongelea ma binti
Simulizi nzur asante sanaa uncle jay❤❤❤❤🎉
Unajua anko hii simulizi ya sindelella naipenda kwa kweli mungu akogezee siku tuzidi kuburudika napenda tu kusikia sauti yako si ya mtu mwingine from Zambia ❤❤❤❤❤
Hi gaizzzz mimi wa mwisho naomba like zenu 😂😂
Anko j 😮ahsante napenda saut jmn me hoi kakang
Tu as une belle voix! Much love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ankojay hoyeeee Asante saana ❤kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asanteee saaana anko j ebu nipe like wa kwanza
Eti jamani Nani kawaambia pobe znaondoa stress nnaam saut ya ankojay ndo inaondoa stress bhn utanishukuru badae🎉🎉😂😂❤❤nyieeeeeeee
Iyo ni kweli
Anko Jay simulizi mzee wamapesa😂❤❤❤
Yani tangu niisikiye binti Cinderella na furaha. Hadi na cheka nikiwa pekeyangu. Mungu akubariki kaka anko🙏🙏🙏
Umepewa ubonge nyanya lkn una sauti nzur,uchapakazi,ukirembwa unarembeka,Mungu hakunyimi vyote
😂😂😂 Daah hii itakuwa hatareee sana inazaa na kuimba kabisa 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ anko j much love 😘🎉🎉🎉🎉
Anko saut yak iyo jmn umejaliw kabezi flani ivi amazing i love u moreee❤❤❤❤ ank
Anko Jay mungu akubariki sana mwana simba mwenzangu❤
Asante dda Lisa Mwala kwa smlz tamu ongera pamoja na msimulizi wetu Anko J
Mmm Anko jamani
Huwezi kuimba mwenzangu
Kkkkkkkkkkkkk dhaaaaa ana juwa tuuuu ila siyo sana
Ankojay ahsante kw simuliz tam San
AnkoJ si kwa sauti hiyo bora uwe msanii wetu kutoka simulizi 😂😂😂😂 much love anko j❤❤❤❤
Hello Lissa mwalla? ahsante Ankojay 🙏🙌
😂😂😂😂😂inko je kumbe wajuwakuimba nakukubalisana katika simulizi zako shukrani sana tunainjoy kwakweli haya nazakusikiliza cc
Cinderella n tamu ankol jay simulizi nzuri
Kinachofata mapenz tu😂😂
Wow Amazing😍😍😍 Jimmy anampenda nyamizi🤣🤣🤣🤣waiting for part 2
😅
Wow bombastic story I like it mmwaaaaah💋💋💋💋💋
Thanks you ankojay🎉 nashukur ndugu zangu leo mie wamia tatu kubwa kuliko nime enjoy Cinderella😂😂😂
ankojay asant san kwa simuliz nzr san, je part 2 yake lin
Hicho kicheko chake ankojay uwiiiih ❤❤❤❤❤❤
Oooooiiiiii
Na akikolezzea uuuuuiiiiii,au mie fulan mie ananikosha sana
Nice story anko j nimeipenda
Woow bora mana nilikuwa na muhaho😊😊
Vanilaaaaa aaaahhh vanilaaa 😂😂😂😂😂😂 bro umefanya nicheke usiku
Vanilaaaa amemdatisha mtu
😅😅😅😅
Anko jay your voice wow is deeper nice
wow amazing 😍😍😍
😂😂😂yaani hakuna sehemu iliyonifurahisha tangia jimini akutane na bonge nyanya nimelia😢 nimecheka😂 nimefurahi yaani
Sija isikia mm nimecheka
Now imekubali❤
Jaman mpaka choz limenitoka daa asee
Pole sana kaka.
Simulizi tamu sana❤❤❤❤❤❤
Sasa mbona inarudiwa wakati miee nipo airport ya muscat jamani 😂😂 tuonana tz inshaallah🙏🙏sijapendraaa ankojay 😂😂
Kwani Cinderella ni nyamizi au nani 😂😂
Mwenzangu hata mie namsubir huyo cinderella ni upi
Yaan navo subili kujua acha my Dr🤣🤣
Nime waza vile vile ila nyamizi dhaaaa
😢😢😢😢pole nyamizi mwaya mana hata huyoboss rohoo chafu yani unahukumu mtuu kabila kumuulixa jaman mpka wanawake wako wanamsema kumbe niyatima jamani.dunia hii yani kosa maisha mazuri lkn usikose mzazi 😢😢😢😢😢
Asante anko zuri sana
Asante kwa simulizi
Jameni Leo tumekiona😂😂😂❤❤❤
Simulizi nzur sana❤
Aweeee🔥🔥🔥🔥🕺🏾🕺🏾
😂😂😂😂😂😂😂😅 nimecheka sana aisee! ati zamwamwa anko Jay wewe acha tu jamani niwape heko za dhati kutoka moyoni mwangu hongera sana anko Jay pamoja na daa Lisa mungu akubariki sana congratulations 👏👏❤❤❤🎉🎉🎉
Nataka namba ya anko jay nataka sehemu ya tatu
+255684689541
Asante kwa simulizi nzuri anko na pole kwa kuumwa tayari ushapona
Shukran sana anko jay Allah barik😊 na hiko kawimbo sasa😂
Hongera sanaa ankojay kwa kuimba vizuri ❤❤❤😂😂😂😂
Nanunuaje ya 3 anko jay
Simulizi nzuri sn ❤❤❤
Davina tabia kama za Vanila Nyamizi mungu akutangulie
Waooooo asante anko j 💞💞💞💞
You are very right, watu wanene huwa wana sauti nzuri sana
Bonge nuksi aaa nimecheka atar
Daah hii kali kwakweli nimeirudia ten siichoki wala siikinai
Unanifurahisha unapo anza na wimbo ❤❤❤
Hapa kunakitu nyamizi na boss 😂😂😂
Labda huruma za kibinadamu
Simulizi noma sana ankol jay mungu akulinde sana kwa kazi nzuri❤❤❤❤ part 2 nasubiri sana kwa hamu
Anko Jay Mungu akubariki sana simulizi zuri sana asante ❤❤❤
wamwisho😂😂 kabisa
Nipeni like zangu
😂😂😂 Yani anko
Jamn nilikua sijajua utamu was sinderela no nzur mbk nzur Tena ❤❤❤❤Asante ank Jay
Anko part 2 plzz my love
Hadi Raha, hongera sana
Plzzzzzz part2
Mashaall umejaaliw saut kaka mashaall
Love you Lisa. Mwala
Jamani jamani uuuuuwiii vanilla weee anko j God bless you
Asate sana ako Jay
🤣🤣🤣🤣 daaaah nimecheka sana, et bonge nyamizi anko j Leo umenikosha sana ila Jimi nawe uwe ata na uruma🤣🤣🤣 ishi miaka mingi Ako j napenda sana unavyosimulia more love
😂😂😂😂 simulizi nzuri sanaah inafurahisha Kila nikikaa nasikia bonge nyanya mara na minyam yake Kam puto ahhahahahahaaha
Anko jay makeke sasa najikuta nacheka kwa Sauti huku
😊 ankjay banaaa hebu imba mara nyingi😅😅
Thank you Anko J ❤ nimeongoja Kwa hamu zote
😊
Lissa mwalla auna mpizani kwani kukupenda shingapi my dad lissa
Hongera Anko j
Shukran anko Jay wetu
Wapi sisi waku wai??? wapi mauwa yetu ??❤❤❤
Anko j tukopeshe tumalizie tutalipa 😢
Tamuuu🔥🔥🔥🔥🔥