PART 2: MBELE ya KIKWETE, Mzee MAKAMBA Asimulia VITUKO, MIKASA WALIYOPITIA na BABA YAKE NAPE VITANI!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- PART 2: MBELE ya KIKWETE, Mzee MAKAMBA Asimulia VITUKO, MIKASA WALIYOPITIA na BABA YAKE NAPE VITANI!
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Wakati wa magu mlikua hamuonekani kimya
Kazi wameshaimaliza sasa ni muda wao kujitokeza
Breaking news - jambazi sugu limezikwa chato
Mwenyezi Mungu akuongezee maisha baba. Hakika kuna kitu cha kujifunza baada ya kuangalia hii.
Kwahiyo mzee unamaanisha nini ? Mbona kama stori haitoshi ninyi kujimilikisha taifa hili ...... Yaan hivyo tu itoshe ninyi kujimilikisha na kurithishana nchi hii kweli ..... Hakika mungu atawaumbua mmoja mmoja na kwapamoja as you are.
Wala hiyo siyo sababu ya kuifanya hii nchi kuwa pango la walanguzi.
Una ushahidi wa unayotuhumu ?
@@itwaaky75 yes anao hao ni kundi la wezi na ndiyo wanaoua viongozi wenzao hiyo ni sherehe kwa kufanikiwa humuua mkapa magufuli na wengine .so dont think were stupid. No were not
@@happinessmsila1896 inabidi ukamatwe ukatoe ushahidi
Wapigaji wa taifa. Wameifanya Tanzania kama mali yawo binafsi. Mungu atawahukumu.
Kufa kwa nja hko
Wamerudi
Mungu yupo wanahc nchi mali yao
Kwenda zako jambazi kuu limezikwa chato 😂😂😂
@@ghoststpatrick9878 mbona umehamaki? Ukweli unauma?
Wauaji
Mmmh aya bana apanguae ni Mungu pekee hata mwanadam ajitahidi vp haitachukua muda!!!
Kosa moja kubwa sana wanalolifanya wanasiasa ama kwa sababu ya ujinga wao au kwa masilahi yao binafsi, ni kushindwa kufahamu kuwa moja ya tunu na nembo za taifa letu ni pamoja na Rais wa awamu ya 5. Mwanasiasa yeyote anayejitoa ufahamu wa kutaka kufifisha uongozi uliotukuka wa awamu ya 5, ajue anapambana na nguvu ya umma!
Hujitambui wewe
Ibrahim hujitabui, toa blanket usoni kumeshakucha.
@@josephatkajange8714 magufuli anakuwaje tuna ya taifa embu acheni utoto
Hakika hakika. Nchi ina chezewa sasa na Watanzania tunakubali huu Ujinga?
@@hassankurwa464 watu kukutana ndio kuchezea nchi?
Majambazi nyie tumeshajua kwann mnaichezea nchi, urafk wenu ndo ututese sisi, watu wanakufa watu wanazaliwa acheni kupeana vyeo Kisa kujuana (
Genius
Wameipigania sana hii inchi lakini na ku serve kwenye jeshi tena kipindi cha vita, wanastahiki heshima zao hawa wazee , hata kama hamuwapendi, ila vyeo kwa kweli vitolewe kwa uwezo na sio upendeleo wa kujenga undugulisation.
Juma Hamis, waeleze wajue na waache chuki zao.Hawa majemedari wameipigania nchi kwa hali na mali hadi vitani wamekwenda kwa ajili ya nchi lkn hawajisifu.Hata hao wanaotukana Leo wasingekuwepo Kama sio hawa wazee.Wengine hawajatoka jasho kwaajili ya Taifa hili Bali wanataka kujinyakulia umaarufu wa majemedari hawa kwa kuunda vikundi vya kuwatukana na kuwavunjia heshima.
@@jumahamis227 mbona makomandoo wertu waloiuliwa Sudan na Congo hawajapewa harambeee
@@yeshuasweapon4384 wanastahiki kupewa heshima sana,ila nilivyoona hapo baba yake nnape hasherehekewi kwa sababu ya kijesh tu,ila ni kwa sababu ya mchango wake kwenye harakati za chama na nchi kama utunzi wa nyimbo za uzalendo na malezi ya viongozi wa chama.
Nikiwaona Hawa jamaa nakumbuka umeme tabu Maji tabu nchi inanuka rushwa watu wanazurumiwa viwanja hakuna Haki Mzee ditopire ariua dereva. Wadaradara kwa bunduki kesi hakuna
Asante Rachid tuliteseka Sana henzi hizo
Mzee Makamba Bana anafurahisha anaelimisha 😂
Kazi tunayo, maana hichi kikundi Sina imani nacho kabisa.
Kikosi Kazi cha mizee iliyopora mali za Watanzania
Kina Sabaya au Wasiojulikana au 😳😳Hatari sana hii. Kwa MUNGU hakuna Cheo
Lol na yule jambazi sugu wa chato veepeee 😂
Hicho kikosi jaman sijui!!
Kipo vizuri sana hicho kikosi cha watu wakale…
Strong memory...Mzee Makamba is very genius! Udumu na kudumu!
Waandishi wa habari mnanikera xn,mnayaonesha onesha ya nini haya majambazi? Hamna kiongozi hapo Bali Kuna matapeli mtupu!pumbav xn.
Majambazi Wasiojulikanaa Au 🙄🙄
Kiongozi wenu Kesha kufa kaa kimya.mnawazawaza watu wasiorudi
Jambazi lilishazikwa chato tuliza mshono fuken kabisa wewe
Nonsense. Hata km huyo delila wenu kawaingiza sasa, mtajuta. DAMU YA NYERERE +JPM ITAENDELEA KUWATAFUNA.
Staki kuyaona mazee hayo,Anko MAGU angekuwepo asingeruhusu majambaz yaongee utumbo wao hapo.jinga xn
Asiyetaka kumuona Binaadamu Bora ujichimbie aridhini maana DUNIANI ya MUNGU. Usiyempenda ndio anaishi muda mrefu
Jambazi kuu sugu limezikwa chato 😂😂😂 halleluja
Hawa si wale waliosikika wakimkashifu jpm kwenye mahojiano ya simu hadi wengine wakaomba radhi?
Asanteni kwa kumbukizi hii ya Mzee wetu MOSES NNAUYE imetujuza mengi ya Muhimu kuhusu Nchi yetu🇹🇿🇹🇿🙏
Ww unatafuta uteuzi au kichwa ya kitumwa tu uliyobeba kichwani , au msomi sana mwenzetu ,maana wasomi siku hz ndio wameoza kbsa hahahahaaaa
.
Hi ndiyo kamati ya roho mbaya utazani wazuri lakini?
Siku zote mlikuwa wapi kusimulia hadithi zenu kweli chuma n kimoja tu Africa
Hongera kwa Historia hiyo muhimu mbele ya Mh.Kikwete Rais mstaafu awamu ya nne.
Makamba,JK na Kinana..watu muhimu Sana kwa nchi hii
Kwakweli mnafuraha sana dah!
Umeliona hilo
Haka kameseji kako kamenifurahisha, 🤣 🤣 🤣
Shikomoo boss wangu ewe rafiki Mkuu.
Ni Kikwete ndugu yangu kwako najitupa puu.
Nisamehe kosa langu, Moyoni si juujuu.
Nilikusengenya ndugu, kwenye simu kuukuu.
Nahofu sana kwa Mungu nisichomwe huko juu. Mkali moto wa Mungu, siyo moto wa kifuu.
Hakuna Siri Duniani Hapa haitafichuliwa....
NYERERE anawaona
Mzee katika watu waliochezea nchi hii ni ninyi kikosi chenu hicho , unatuchekesha tu kujifanya komedian lkn ninyi ndio mliharibu chama na nchi nzima , hao akina Jitopile ndio mpk waliuwa watu na waliachiwa huru mpk mungu alipoingilia kati
Hapa mzee makamba anapanda mbegu ya undugulization je watoto wa mzee kanani uko kijijini watashikwa na Nani?
Sasa baba ake nape anatuhusu nini
Huwezi kujua wewe mtoto mdogo
@@slowclimbertothetop4572 sure
Mungu anawaona
Kabisa
Mzee, makamba achana na story za paukwa na pakawa huku mkifisidi na kulihaibu taifa
Tulipigwa mitiana akaja akatuimbia wimbo tukasonga mbele
Wezi wakubwa
Wamekuibia nini??
MMEONA MASISADI WALIOKUWA HAWAMPENDI MAGUFULI NAWANAFIKI,THEY WILL PAY FOR IT
Wale watekaji wakiona watu wamekusanyika hivi wanahangaika sana
Mtu alikuwa anatafutiwa chaka hapa,,,,
Kwa hyo mmeamua nchi kua ya familia yenu sasa ndio maaana mnawekana madarakan mnavotaka
Halafu Mkazaa Machawa na walafi wa Madaraka
Ndio maana MABUSHA nnje nnje
Yani nimeipenda hii stori sana, mungu awabarik
Aaa watetezi wa wanyonge
Mnatamba paka kaondoka
Ndo kilichomuuwa hko ubinafsi
Afadhali kaondoka huyo paka
Paka shume limezikwa chato 😂😂😂
Waitwa wakaanga sumu
Kaongea nini chamaana?
ccm inawenyewe
Wote waliokutana hapo n mbwa tu
Mbwa koko kazikwa chato 😂
Mbwa ninyi mnao watukana wazee wetu
Tanzania tumetekwa
Mnajipongeza kwa kumaliza kazi ,ipo siku na nyie yatawakuta
Kazi ipi?
Mzee hakika Asante kwa Elimu na kufundisha kuweza kuelimisha vijana na wengi tutajifunza kupitia huo ujumbe Mungu azidi kuwabariki daima wazee wetu
Sasahiv wanaonekana mungu anawaona
Wauwaji
Zee hili😮
Unafiki aiseee kazi sana!
Ukiona vyaelea vimeundwa hawa wazee wamefanya kazi.
Msikae mkiwatukana ni watu wa kuwaenzi sana.
Wamefanya kazi kubwa sana. Tulipovamiwa na Idi Amin wazee hawa ni miongoni mwa waliojitoa mhanga kuikomboa ardhi yetu na kutufanya Tanzania tuonekane kuwa si nchi ya kuchezewa
Hongera sana wazee wetu mliopo hai hadi leo
Wanaokusemeni kwa ubaya wana lao jambo.
Hongera bwana Yusufu Makamba la mwisho jina .
Hakika tunakusifu, uimbaji wenye vina.
Tungo zilizosafifu, mahiri kama kijana.
Atakae kukashifu ni mjinga na laana.
Amepotezq mkufu na ni kama dini Hana.
Kikosi
Kumbe mlikuwa mnatengeneza logistic za kuwapa vyeo watoto wenu!!!
Kama kampongezano hivi uku tukipewa story taratiiiiibu,dj lete kale kamzik ketu
Mpongezano wa nini?
Hiki nikikudi kwaajiri ya manufaa Yao wenyewe na wapo kuinyonya hii nchi
Acha kupotosha
Kweli kabisa, nani anataka story hizo, za nini? Ni kwa ajili ya manufaa yao kweli
@@teddyoscar6876 umelazimishwa kusikiliza?
Sa ndo Nini🤮
Lakini hatawazaziwetu walifia huko,nahizonyimbo ziliimbwa mpaka mashuleni,
Gangsters reunion party!!
Nimekuelewa! It seems like they are celebrating!
Yes jambazi kuu limezikwa chato lazima tucelebrate 😂
@@ghoststpatrick9878 kwani tangu lini shatani akafurahishwa na regime ya jpm! 😂
@@bcozhenry2698 it takes one devil to recognize the other devil 😂
@@ghoststpatrick9878 you're already recognized as a true devil through your satanic thoughts and celebration
Hongera sana Mhe Mzee Yusufu Makamba kwa Hotuba hiyo nzuri na kuweza hadi kuwachekesha kina mhe daktari Kikwete jamani.
Wakati wenu huu r .i.p jpm mzalendo namba moja tanzania
You mean mpigaji namba Moja Tanzania fala sana we jamaa 😂
Mtukumbe hajaenda vitani halafu anatukana wazee vijizee vinawashwa
Kiaxi hixtoria na vicheko vitawale maana Magu alitixha enzi zake
Mhh kumbukizi..... Jambo jema
KWELI WATU MMETOKA MBALI SANA MNASTAILI PONGEZI , ILA MUWE MNATUADITHIA TUJUE ANGALAU MACHACHE
Nyie hayeni tu
NCHI IMECHAFUKWA, HATA SHEREHE ZA UMBEA HUFANYIKA.
Alaa why not jambazi kuu limezikwa chato 😂
Makomledi Mungu Awabariki sana
Kiongozi yeyote yule Awaye Kama Akikosa Heshima kwa
Wazee wa Nchi yake na (akaridhia
Watukanwe na Kigenge cha wahuni) huyo ni bure
Hafai kabisa
👎👎👎👎
MNAOCOMENT MANENO MACHAFU YA KUUDHI,ETI HAWA NDIYO WEZI WATANZANIA, ACHENI UHASIDI!!HAWA WALIIJENGA TANZANIA YENYE FURAHA NA KUPENDANA!!
KIKWETE NAMPENDA SANA, IKIWEZEKANA ANGERUDI KUWA RAIS KAMA ILIVYOKUWA KWA MAHADHIR MOHAMED WA MALAYSIA
Nakuliana na wewe na umri unamruhusu Mr Kikwete
Hamza kimaro, wakati wa nyuma haikuwepo hii hali Ila watu fulani wameharibiwa miaka ya hivi katibuni tu ktk jitihada za kuwachafua hawa wazee wetu kwa kudhani kuwa wangeweza kuchukua umaarufu wa wazee wetu hawa.
Wewe una mapepo
Bring back professor Asad
Tumesha wajua kwahiyo mwendo ni huoo huoo tuu inchi niyaoo wao tuu kwani ndo wao walio pigania uhuru tuu mbona kuna kina generally mayunga
Wako kimya na watoto wao hawajulikani ?
Nyie nikinanani muwe mwiba kwa inchi yetu wote ?
Wasambaa kwa porojo!🤣🤣🤣🤣
Nkimbie wasininyime mke🚶♂️
Wazee wanaoiua TANZANIA..... kupigania nchi sio kutaka ndo muwe nyinyi na watoto wenu.....hata wazer wetu wallitoa michango mingi sana
Wanaiuaje nchi?
Tanzania itaendeleaa Kwa kuwa tuna ustaarabu na akili timamu
MUNGU AKULAANI MAKAMBA MNAFIKI ATI UNAWAOMBEA WENGINE UNAMRUKA MAGUFULI HATA KIKWETE AMESHANGAA NAKUTAKA KULIA. MUNGU AKULAANI FISADI MKUBWA
Hawa ni wanajeshi lakini yule JKT alijiona ni kamanda zaidi
Panya akiondoka paka utawala. Mazee wa majungu na watoto wao si hawa ndio walikuwa wanampikia majungu mwanamapinduzi son of africa Mzalendo JPM . Mungu mlaze mahali pema peponi JPM 🙏🏽🙏🏽
watu wakupiga story na kujenga bank balance
Hii ndiyo timu iliyomuondoa JPM
Una ushahidi?
@@itwaaky75 muulize hata mama yako atakwambia
Safi sana kutuondolea jambazi sugu chato gang 😂
Watu warudisheeee mifumoooo yaoooo na kooo zakooo😆😆
Master's silent killer,,,,,hongererni kwa kujipa fraha......💉
Usilent killer wa nini?
Maandalizi ya "ngoma ya mshosho" !
Tusiwasahau wazee hawa... Yapo mengi wamefanya kwa nchi hii...japo Watoto wao viburi Ni vingi kwa ajili ya heshima za baba zao... Hekima zenu Zina tuzo kwa Mola .. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Yule aliyemtolea bastola atumiwe hiyo vdeo
Kwani akitumiwa ndo nn? Hizo sifa kwani ni za Nape? Hiyo ni heshima ya mzee wake ambaye ni marehemu
Yameweka 4 shetani freemason anawadanganya kama mm sijafa kwakumkufuru mungu nanyi mtaywa lkn hamtakufa kwakua nyinyi ni mungu webgine
Freemason mkuu kazikwa chato 😂
@@ghoststpatrick9878 fremasoni hazikwagi vile anazikwaga na hela zake alizo iba au madawa yake aliyo uza AU VIFAA VYAKE KATI YA KIMOJA KILIVHOKUA K8NA TUMIKA KWA UCHAFU
@@jenyyusuph4973 alaaa kumbe! Basi tumuite kibaka 😂😂😂
Aiseee......watu muhim Sana ktk taifa hili mnastahiki kuheshimiwa Sana na kila atakae shika madaraka nasio kuwabeza kanakwamba hamjafanya lolote na amna umuhim wowote....
Mbele za mungu hawana hata ndururu ya kujivunia malaika atafukua kitabu atarudia atachoka sifia hapa hapa duniani laana wa kubwa hawa wamefikia hatua ya kumzihaki mungu kuapa kwakushika vitabu kwamba hawatatia siri za IKULU KISHA WANAZITOA THE GRUP OF THE DEVO HAWANA HAYA HATA MBELE ZA MUNGU KISA UTAJILI WAHESHIMIWE KWA MAKUNDI YAO YA UOVU NA KUPIGA MACHINGA NA KUWAACHIA WASANII WANAO IMBA NYIMPO MBOVU NA NGUO NUSU UCHI?
@@jenyyusuph4973 Kati yao Kuna hata mmoja uliemuona akivunja kibanda au kumpiga machinga yoyote?.....
Akili za kuambiwa changanya na zako,mbona aliekuwa kiongozi wa awamu ya tano alivunja nyumba za mabondeni na barabarani ila hakuna alie ongea....kuhusu machinga kuwepo mjini tena kwenye njia za wapita kwa miguu nisawa na kwako ukute shemeji kajenga Banda la bata chumbani kwako
Ukiniuliza kati ya huyu baba na mwanae nani awe raisi mimi namchagua huyu gingi leee
KIUKWELI KABISA INATIA AMANI
Mzee Makamba anaimba kwa kiGanda kizuri sana
Nchi hii inatoka mbali xna
Hii ndio timu yenyewe
Hahahahaha
Nyie wzee mbona unatukosesha furaha kwenye in hi yetu? Kwaiyo kwa kua uliibigania tanzania ndo amtaki kuiachia mpaka mufe Co? Mbona weng wamejitoa kwa ajili ya tanzania jaman 😢😭😭
Kwani wameishikilia?
Kundi hili ! Mmmmmm! Mmmmmmh!hatari.
Majambazi wamekutana
Jambazi kuu limezikwa chato 😂
Wanapokutana mafisadi wanaoendelea kutukuzana kwa madudu Yao miaka 60
Umeona eee mabwanyenye wa Tanganyika hao, sasa mbona watoto wa Nyerere hawajitii kimbelembele? Wapo kimya lakini hawa mmh wanataka waitawale Tanzania vile wanavyotaka wao