MZEE MAKAMBA AMVAA BASHIRU / AMWAGIA SIFA SAMIA, AMTAJA MAGUFULI "Walimuita BULLDOZA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- MZEE MAKAMBA AMVAA BASHIRU / AMWAGIA SIFA SAMIA, AMTAJA MAGUFULI "Walimuita BULLDOZA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Anaeona huyo mzee amezeeka vibaya , weka like hapa,
We mzee acha kujipendekeza kwa ajili ya uteuzi wa familia yako! Usitusemee watz acha watz wenyewe waseme! 😭😭😭😭Ungejua moyo unavotuuma kwa kuondolewa Magufuli kimagumashi Mungu anakuona kenge ww!
Huyu mzee aliwahi kusema Magufuli ni sawasawa na Yohana mbatizaji na atatubatiza kwa moto Anayetumia moto dhidi ya watu wa mungu ni ibilisi tu Nukta. Leo mzee wetu amesema Ccm ni zawadi tuliyopewa na mungu.Hivi nyakati zile anadukuliwa hiyo mungu alikuwalikizo?Mzee wetu asisahahu kuwa nchi hii ni yetu sote na hati miliki yake wanayo wananchi wake na kamwe sio chama cha siasa k.m CDM,CUF ,UDP n k.hapana vyama vitakuja na kuondoka lini ni swala LA wakati tu ,kwani wakoloni walikuwa wanatupaka mafuta LA hasha,walitufanya walivyofanya kwa zaidi ya miaka 500.Tuombeane her I na tujiamini kwamba hakuna mtanzania nambari moja na mbili.wote sisi ni ndugu na tuko sawa na Tanzania ni yetu site hamna mwenye xaidi ya hapo tofsuti na kipsto ambacho hakijawshi kilinganisho cha utu tangia kuumbwa kwa dunia hii.Na hlil linakubalika kwa mungu wetu nfio sababu sada/zaka jazina daraja kwake kwamba aliyetoa milioni ni zaidi ya aliyetoa mia moja kutokana kipato chake.
Mama Samia Anawafaa matajiri na watu nyie kikundi cha watu 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😭😭😭😭🤝🤝🤝
Ajiria wapi mnaongea tu.
Kuna tatizo ya domokrasia mufanye maboresho pia rushwa inatembea sana
Mama Samia mambo ya hayati Magufuli yote ameyaharibu
nyinyi wanafiki sana mumetulia jpm mulaaniwe
Acha ndg yangu tupambanie family zetu Hawa jamaa cyo wtu vo
MZEE OVYO.
CC TUTAAMUA 2025. WATZ TUMEICHOKA CCM
Anakufaa ww
Mzee nilikuwa namkubali lkn sio mkweli
We mzee zeka sarama. Sio kusifia vyauongoo
uyu mzee hana jipya pia wanajisumbua tu sababu siku zote cha ovyo ni ovyo tu ata mkisifie vip.
"Mama Samia Ni Raisi bora kwa sababu kamrudishia uwaziri mwanangu January "Yusuph Makamba
Kweli nimeamini sio kila mzee ana busara wala akili
Anawafaa ninyi kwa vile amewarudisha watoto wenu kwenye system ,na amewaachia ulaji sasa hivi
Njaaa inakusumbua we mzee
R. I. P. Jpm
Sema SAMIA amewafaa MAFISADI
Huyu mzee anakula bure msimsikilize wametuibia sana huyu mzee hafai watanzania hawawez muelewa huyu mZee anakula bure abapenda sifa ni zawad yako wewe mzee kwakua unakula bure
We mzee acha ujinga kama unamtaka ni ww sisi hatumtaki hata bure 😂
P1
Haoo ndio wachawi walio bakia nchi hii
Umenifurahisha sana kk amin hawa ndo wanga wenyewe
Makamba fala kabisa wewe..nani amekwambia kwamba Samia anatufaa!?..
Msambaa tu ww usitumie maandiko ya Allah kwnye ujinga
Wapumbavu wako wengi sana nchi hii
Kwendraaaàaaa..
Mzee anakula Asali sasa.
We mzee acha unafiki njaa zitakuuwa
Muwe mnahoji watu wenye akili timamu siyo wazee akiri mgando
Kwakwer tumbo duuh mtu mzima unawatoto wapo serikalin lkn bado unachumia tumbo kwer miaka 80
Nizawadi yako siyo sisi Tena chukua mtu wako mjiga wewe mzee
Kwa sababu mwanao wazili
Kina sera nzuri kweli LAKINI Kwa Sasa kinanuka rushwa!; Wewe mzee teteeni ulaji wenu TU!;
Chefuuuuuuuuuuu, unamsifia kwakuwa mnagawana asali huku wananchi Hali ya maisha ni duni
Hayo ni maneno ya walamba asali😂😂😂
Mzee tunataka mapinduz ya kiuchumii atutaki political propaganda...tumekwama na chama chenu kime tukwamishaa
Mzee mimi binafsi sikukubali mpaka ardhi inageuka.
Mzee acha kuona watu hawana akili hujaenda shule peke yako
Mzee umeshiba huna lolote😅
Tuweke sawa unaongee sana wanaosema mama kaupiga mwingi bashiru kasema ndio wanao iba huku wanamsifia mama ni kama machawa kelele nyingi sasa wewe mzee unaongea tu
Habari ya tumbo hiyo, njaa ni mbaya nyie
Turiwamini wazee sasa wanaturudisha nyuma kwakweri
Wewe mzee acha kumushilikisha MUNGU mambo yako ya ajabuajabuhayo!
Ujinga mtupu, huyu na ye ni chawa Tu. Jina la uncle Magu limebaki kama nambo ya Africa.
Ovyo
🤣🤣🤣
mafisad wanapeana vyeo
Mzee usitafute kuwafunga watu usifananishe mfano wa mtume na mwanmke hakuna mfano mte mwanamke
Hahaa, Eti mtume aliulizwa ni nani aliye Bora, mtume akajibu M'bora wenu ni yule anaesaidia watu,...hahahaa'...!...Mzee Anachomekea Sana
We mzee ukaege kimya tu unatutia kichefuchefu
Mungu kwa nini hawa wazee usiwapende zaidi?
🤣
Kwa vile mtoto wako ni waziri
Mzee Makamba muogope Mungu..Anakufaa wewe na January
Umeliona hilo na wewe…!!
Kwasabab mwanao kateuliwa uwaziri
Mpenda cheo mzee huyo hana lolote ana laana huyo,anampigia debe mtoto wake makamba huyo ,fisadi huyo
Huna lolote Mzee fisadi mkubwa ww na mwanao
Baba Makamba.... Wakati wako wa kuongea ulishapita.... Unatuchafulia chama chetu Kwa sifa Yako mbaya.... Maneno mengi SI wakati wake.... Mama kuwa makini na huyu... Siasa za wakati wao SI za wakati huu...iwe heri Kwa Tz
Kaupiga mwingi kwenu lakini sio kwa wanyonge walala hoi, Anazidi kuteketea tu.
Huyu mzee kashiba pesa lakini ipo siku watanzania wataamka wote
Mwanae waziri huyuu atampondaje raisi wazee wenzake wamerudishwa madarakani atampondaje.😔😔😔😔
Huyu mzee anataka mwanae aje kuwa raisi ndoto ambayo itokaa ije kutokea, time ishafika watanzania wanahitaji mabadiliko integrity matters during this time.
Ukali tu kwa vyombo vya habari ....kuuficha maovu ya chama cha mapinduzi ccm
Tusitende dhambi bure ,wazee wa hivi hawana faida kwenye taifa
Mafisadi wakubwa hao wazee mnasifia hewa kaupiga mwingi kitu gan kwasbb yanashibisha matumbo Yao basi kazi kusifia tu ila ukwel ni kwamba hata ukimaliza mtot mdogo anaelewa system nzima ya uongozi uliopo sasa ni uozo mtupu
Mzee makamba unalamba Asali mmetuweza mmempoteza mzarendo wakwelimnatamba sasaulivyata Mkula
Nataman hivi vizee vinafki vife vote mxiuuuw.
Usitusemee anakufaa ww nafamiliayako zawadi yetu ilikua JPM ...alf wezeee jua kufa kupo izozote mbwembwe
Lazima utatumia nguvu nyingi.kwa sababu
Bwanaeee hiii nchi bana
Huyu mzee akapumzike tu hana jipya
Lazima usifie si ni wale wale nasafarii hiii mwanao hachukui tena jimbo la bumbuli mafisadi wakubwa mko kwamaslahi yenu mwanao amewafanyia nini watu wa jimbo lake????
Sema amana yako ww na ccm wenzio hata mumkoshe vp ss walala hoi tume mkata hatufai ss peleken mbele upuuz wenu majiz wakubwa hatumtakiiiiiiiii huyo mama samia wenu kwendraa
Wee mzee acha kuongeelea watanzania samia anawatesa wananchi yy umnaosifia wote ni mafisaidi tumechoka
Ww mzee kura posho tuu
Ukisoma tu komenti unajua
Kinywa cha Mze kinanuka ila hakisemi uongo mmmmmmm hivi msemo unamashika kweli apa ?
Hawa mafisadi ipo siku yao huyu makamba baba mtoto fisadi jueni watanzania walio wengi bado tupo timu magufuli japo hayupo lakini tupo nae kiroho
Hovyooooooo huyu Mzee, utakufa vibaya acha kumhusisha Mungu na chama kilichozeeka
Aisee jamani hakika kuna wakati mwanadamu anafikiria maisha haya yapo kila siku'namshukuru Mungu kwamba tulikuja uchi tutarudi uchi nchi hii msema ukweli hatakiwi ila muongo husifiwa na kupewa fursa kama huyu mzee makamba lazima autetee uovu kwasababu mwanae yuko kwenye keki kuleni kunyweni furahini pigeni makofi na vigelegele lakini hakuna atakaye ishi miaka miambili ila Mungu ni wa milele mtamkuta ametulia anawasubilia kwenye mahakama awahukumu vizuri
appreciate on you my brother ( big brain)
Mzee ACHA UONGO,2025 ni patashika,nakuombea uhai Mzee Makamba ili ushuhudie Tanzania mpya.
Mama anapita, anamaliza urithi na kumi juu. Subiri uwe hai uje uone.
@@Sheba4651 kwani mtaani kwako wananzengo wanasemaje? Uliza majirani zako popote ulipo nchini utapata majibu Abdu. Tujiandae upinzani kuchukua nchi au CCM iibe uchaguzi wa Rais na kuanzisha serikali mseto.
Sisi watanzania Nini ujinga wewe wewe na familia yako Toka zako uko na mtoto wako mwizi mkubwa wewe?
Unafiki utawauwa .???
Yaan mzee unaongea pumba tupu, Amna kitu
Analamba asali anaongea nini huyu Mzee naliona giza zito katika nchi yetu ukweli unaongea daima RIP Magufuli
Majambazi tu nyie na huyo mama hakuna kinachotembea sawa kwa sasa everything has been ruined
Mgosi kalime viazi
Huyu makamba ni mnafiki tu akafie mbele
Tanzania hii tunawatu wa ajabu hovyo
Lazima atetee ugali wa mtoto wake
Mnatumia nguvu nyingi sana,,, Mungu atawatoa kimya kimya maana mmezidi kuwaonea na kuiba rasilimali za tz
STUPID KABISAAA
Wee Mzee usipendwe kutukanwa una uhakika gani kama unatufaa sisi wa Tanzania achaga ukuda we Mzee na ccm yako ya ufisadi
Wazee acheni unafki,nyie wazee inchi iyo sio yenu ni yawatanzania na sio inchi ya ccm...nyie mmerogwa au la???mbona mnaishi kinafki
Nan kamwambia anafaa kwa watanzania ndo unawasemea watanzania nchi hii inawazee wa ajabu sana
Mzee sio zawadi usituzingue zawadi gani
Huyu anapiga sound ili mwanae kapewa uwazir wanakula kodi zetu
Hamna lolote hapo Siasa swaga
Anakufaa ww cy wananchi
Anakufaa wewe na kuku wako
Samia ANAUPIGA mwingi!; Sawa LAKINI wateule wake wanaupiga mwingi zaidi' kujaza mifuko Yao;! Kila mama anapokopa;' nenepeni TU Kwa kuthulumu jasho la wanyonge!;
Huyu Mzee hivyo kabisa hafai
Lazim usifiee kipindii cha magu njaa iliwajaa. Mlikosa pakupumulia.
Simutaki huyu mze
Mzee wa hovyo kabsa
Mzee umeulizwa maswali na muandishi unamgombeza una panic...tunategemea hekma kuliko jazba
Mzee mwanao ni waziri apo lazima upige kelele, akitoka utanuna tu
Wewe huna jipya, pumzika👎
Wakati wa Magu ulifiata,Leo unaropoka utakavyo haya bwana.