NYUMBA YA NYERERE YAMSHANGAZA BUTIKU "NILIISHI NA MAKONGORO, ILIKUWA NDOGO, ALIUZA MAFUTA YA TAA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2020

ความคิดเห็น • 34

  • @zainabumwagiroabdallamwagi97
    @zainabumwagiroabdallamwagi97 3 ปีที่แล้ว +4

    Ninachoamini mwalimu nyerere amefanya mengi mazuri mungu amrehemu lkn hakufanya peke yake kunawatu walimuezesha kufika hapo ,kama alizaliwa 1922 na chama kilichozaa TANU kilianzishwa 1926 hapo kuna waanzilishi ambao wanafaa kuangaziwa zaidi ili historia isipotee,kuna wazee ambao wako hai mpakasasa ambao niwaasisi was TANU inafaa tuwaangazie zaidi,lkn kawaida yetu wa tanzania kusifu waliokufa ,walio hai hatuwajali.tubadilike.

    • @amabilis-mariesangu9500
      @amabilis-mariesangu9500 2 ปีที่แล้ว

      Tatizo ni kwamba historia ya TANU laiti tungetambua si ya CCM peke yake lakini ya Taifa letu ingetufundisha zaidi. Maana hao wazee walikuwa wa Chama na mambo haya tunadhani ni CCM. Tukikubali haya mambo ni Historia ya nchi na yanastahili kufundishwa ingetujenga sana. Haya yamekaa archive tu kama mambo ya Chama.

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere6875 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Mzee Butiku Kwa kutunza hayo mawazo Ni weredi kabisa ulimpenda baba yeti Mwalimu.Tumuenzi na tuweke hizo kumbukumbu vizazi vyetu viweze kuelewa habari za Rais wa Kwanza wa Tanzania

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 3 ปีที่แล้ว +2

    Wazee wetu mnakumbukumbu nzuri sana Asante kwa kutupa history upo vizuri mzee Butiku

  • @edwinmachumu1402
    @edwinmachumu1402 3 ปีที่แล้ว

    Good history

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 3 ปีที่แล้ว +5

    Uwatembelee wazee waliochoka,hawatambuliki walifanya kazi na nyerere,wana hazina za kutosha

  • @godfreymasenje3866
    @godfreymasenje3866 3 ปีที่แล้ว

    Ganga

  • @prosperkullaya4529
    @prosperkullaya4529 3 ปีที่แล้ว +1

    Very deep .. Mchonga alikuwa ni gift from God sasa tumepewa anko Magu binadamu atuna shukran sana

  • @a2gmgimwa3
    @a2gmgimwa3 3 ปีที่แล้ว

    Kwahiyo kwakua mna maisha manzur hamkupakumbuka

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 ปีที่แล้ว +2

    Mejifunza k2

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 3 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahah mzee kanifurahisha hapo kwenye ukatibu

  • @nestinaviolachemba7914
    @nestinaviolachemba7914 3 ปีที่แล้ว +5

    Kumbukumbu nzuri sana

  • @engineermadiba4879
    @engineermadiba4879 3 ปีที่แล้ว

    Abedi amani karume

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 3 ปีที่แล้ว

    Wambie mzee wame jisahau cnaaa wa kumbushe!!!

  • @Bayothomusic
    @Bayothomusic 3 ปีที่แล้ว

    Sitabaki peke yangu👇
    th-cam.com/video/hur9ZtUkVaA/w-d-xo.html

  • @josephinaalexnsungwe1325
    @josephinaalexnsungwe1325 3 ปีที่แล้ว

    Du nyerere kicha kweli naskia ulikua zaid ashukuliwemungu

  • @stanslauselias9002
    @stanslauselias9002 3 ปีที่แล้ว +2

    Kodi za wanaichi mnazingeuza mtakavyo watu wana shida watu wanamatatizo watu hawana hela za kwenda hospital ila nyumba zinajengwa kwa bilioni mungu anawaona

    • @lameckkamugisha8887
      @lameckkamugisha8887 3 ปีที่แล้ว

      Acha njaa unajua panaingiza kiasi gani apo

    • @menikojohn2782
      @menikojohn2782 3 ปีที่แล้ว +2

      Acha Kuendekeza njaa, piga kazi mtoto wa kiume
      Hospitali mbona zipo nyingi sana kwa sasa tena zipo karibu kabisa na Wananchi, sasa sijui unazizungumzia hospitali gani

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 3 ปีที่แล้ว

      Kwan kuna tatizo gan! usitufokeee