Mwandishi wa Habari Aliyetangaza Matokeo ya Uchaguzi Zanzibar 1995 Atoboa Siri Alipoyapata Matokeo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 พ.ย. 2023
- Taasisi ya Maalim Seif Foundation leo imeandaa mkutano wa tatu Zanzibar katika kuuenzi mchango wa Maalim Seif Hamad katika uongozi Tanzania. Kauli mbiu ya mkutano huu ni Siasa, Uongozi na Utawala:Tumekosea Wapi, Tujisahihishe Vipi?
Kiongozi wa chama cha upinzani cha South Afrika Build One South Africa, Mmusi Maimane ni mgeni mwalikwa katika tukio hili.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Seif Shariff Hamad was Africa's best politician.
Huyu kijana Balozi polepole mungu amzidishiye busara zaidi
Dakika 2 ni kidogo kuna vichwa vinatoa madini safi,ila muda nadhani next time ongezeni japo muda.
Hhhh. Hatimae ukweli umetangazwa. Je muliemdhulu hayupo. Nani sasa mutamuomba akusameheni kwa dhulma muliyomfanyia?
Kama kila uchaguzi ccm WANAIBA KURA kesho kwa ALLA. mtaenda kujibu mini? KWASABABU SIO DHULMA YA MAALIM SEIFU TU NI DHULMA YA UMMA YA WANANCHI WA ZANZIBAR, ,
Dhulma mama haidumu na ikidumu basi itaasiiri kuna haja ya watu kutubu na kurudi kwa ALLAH na kujireekebisha
Ali Karume amewamaliza ni kweli CCM hamujawahi kushinda hata mara moja toka kuanzishwa vyama vingi hawa wanawekwa na vyombo vya Dola lakini mukumbuke na siku ya kiama mutakwenda kujibu japokuwa kuna kiongozi aliwahi kusema tayari washajipanga kwenda kujibu wewe Mapuri muogope Allah na siku hiyo mzito
DHULMA HAIDUMU✌️
Tatizo lenu Waandishi sasa mumegeuka Wanaharakati wenye "ectivist" za kisiasa, mumetekwa na Wanasiasa.
Hapana sio sababu hiyi Bibie ila Allaah kataka kuwavua nguo watawanya haha maana sio watawala
Duh
𝖍𝖊 𝖚𝖓𝖆𝖘𝖊𝖒𝖆𝖑𝖊𝖔
Wacha zako hizo waandiishi ni kazi zao kila sehemu hebu kama huna la kuandika bora usiandike
Tatizo ni muhali, kujuana, kuchagua na kubagua lakini pia hofu na woga. Sichambui lakini nafkiri nitaeleweka
Akinamama kazi zenu za kulea watoto nyumbani.Allah ndio kapanga hivyo,sio mie
𝖓𝖎𝖐𝖜𝖊𝖑𝖎