"MKURUGENZI UPO KITAMBI KIKUBWA WATOTO WANAKAA CHINI" MAGUFULI AMBANA DC, MTOTO AMSHANGAZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ค. 2020

ความคิดเห็น • 152

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 ปีที่แล้ว +7

    Such a wonderful Leader, poleni sana Watanzania kwa kumpoteza Rais wa Wanyonge.

  • @charlesnyao8970
    @charlesnyao8970 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mob love from Kenya.
    Keep resting in peace JPM

  • @asheryngaiti5549
    @asheryngaiti5549 4 ปีที่แล้ว +29

    Mh huyu Rais jaman akisimama sehemu lazima mtafurahia uwepo wake

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 ปีที่แล้ว +12

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏

  • @madiyaahmad7453
    @madiyaahmad7453 3 ปีที่แล้ว +4

    Ole wako pesa uile iiiiiiiiiii baba wewe Mungu akudumishe akupe uhai na uzima kura zangu zote kwako wewe Ahsante saanna❤❤

  • @joycemaregesi4189
    @joycemaregesi4189 3 ปีที่แล้ว +9

    Hahahahaha! Et na ole wako uile big up uncle Magu Mungu akubariki uishi miaka kama yote

  • @zainabubakari8489
    @zainabubakari8489 4 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akupe maisha marefu jpm

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 4 ปีที่แล้ว +14

    NINA BABA YANGU ASIYE SHINDWA KAMWE,,NAMPENDA SANA RAIS WANGU ,NAFUATILIA SANA ,MWENYEZI MUNGU AKUTUNZE BABA.

  • @robertsuna
    @robertsuna 4 ปีที่แล้ว +9

    Magufuli daaaah wewe mwanaume wewe una upekee sana ndani yako. I respect you

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 ปีที่แล้ว +30

    Hapo unaweza ukanya Bila kutegemea nampenda Sana raisi wangu maana anachukua maamuzi pale pale kwa WATU wazembe wazembe

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 4 ปีที่แล้ว +17

    Man of action!!

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 4 ปีที่แล้ว +6

    Mungu Akulinde sana Rais wetu. Pole sana kwamajukumu.chapa kazi zetu ni Dua kukuombea Afya njema.In sha Allah Allah Akufanyie Wepesi.

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 9 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢 kama ni Mungu aliamua ufe pumzika kwa amani lakin 😢😢😢 Mungu hujua zaidi

  • @fredrickfresters3610
    @fredrickfresters3610 4 ปีที่แล้ว +10

    Hahahahahahaaa.... Aiseee..!! Rais inabidi utembelee kila sehem. Tutanyooka tu watanzania.. !! Maisha yanasonga..!!

  • @doctorwamapaatz6571
    @doctorwamapaatz6571 9 หลายเดือนก่อน +1

    I MISS YOU DADY💚

  • @shunshmc8868
    @shunshmc8868 3 ปีที่แล้ว +4

    Wa llahi Wa billahi wstaghafillah hakuna rais bora duniani kama john pombe magufuli ,,,,,Allah akubariki ,,,tena unafaaa upewe tuzo ya noble

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 9 หลายเดือนก่อน +1

    Rip magufuli

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 ปีที่แล้ว +7

    Nimecheka kwa saut unajua kunifurahisha musukuma mwenzangu rais magufur😄😄🙏

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 3 ปีที่แล้ว +5

    Nitakukumbuka daima baba. Pumzika kwa amani

  • @harounlyakunga4982
    @harounlyakunga4982 3 ปีที่แล้ว +6

    Kupita bila comment siyo kweli Daaaar!tuna mtu ambaye sikutarajia kama nilikosea kumpatia nafasi ya kuwa Rais 2015 kikweli unafaa kuliongoza taifa kwa awamu nyingine ya pili.

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 ปีที่แล้ว +12

    Yani akifika hoi maana kila sehem anasimama

    • @madammanka2731
      @madammanka2731 4 ปีที่แล้ว

      Huyo ni jiwe wewe usisahau tena

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 3 ปีที่แล้ว +6

    Tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭😭 R.I.P BABA

  • @rosemarymsangi3960
    @rosemarymsangi3960 4 ปีที่แล้ว +9

    Matumbo lazma yaishe huu mwaka, hapa kazi tu!

  • @patrickissakalenga589
    @patrickissakalenga589 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akupe maisha marefu Muheshimiwa MAGUFULI. Afrika, tungekuwa na Ma Raïs kama na wewe, Afrika ingkuwa imeendeleya mbele sana.

  • @arnoldarnold6271
    @arnoldarnold6271 4 หลายเดือนก่อน +1

    Rest in peace sir

  • @exalttarimo5083
    @exalttarimo5083 4 ปีที่แล้ว +5

    My president my choice

  • @abrahamsamwel7955
    @abrahamsamwel7955 3 ปีที่แล้ว +2

    Oyooo big up kwa kamanda huyu captain mi tangu zamani namkubali sana watoto wakae tuu kuna wasenge wachina walileta barabara mbovu!!!!!mh dingi nakuelewa #.ar to nmg

  • @mathytz25
    @mathytz25 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dah! i miss when The True king spoke out,Every line was a hit..we had the president once..tunakukumbuka na utusamehe kwa kila kitu

  • @user-rv3it6oh8i
    @user-rv3it6oh8i ปีที่แล้ว +1

    mwamba pumuzika kwa amani nakama ulilala kwa mapenzi ya mugu basi jina lake lisifiwe ila kama kuna mipango ya wanadamu mungu atalipa ila pengo lako linaonekana

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 3 ปีที่แล้ว +4

    Daaaah hii ya secondary kukaa chin jau kwel🤔mi nakumbuka shule yetu viti vilikua vya kugombania,,had tunaandika majina kwenye viti

  • @mimitijara4806
    @mimitijara4806 3 ปีที่แล้ว +1

    Wil mss u alot big ddy

  • @raulmagige2698
    @raulmagige2698 3 ปีที่แล้ว +4

    Dahh!! Huyu raisi kwann tunataka atoke why? Kwnn tusimuache akae milele tunataka nn tena

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 3 ปีที่แล้ว +2

    R.I.P.Mr.President Kazi ya Mungu Haina Makosa.

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulehemu kwakweli

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 4 ปีที่แล้ว +5

    Ww ni Rais wa dunia

  • @juneahir-by7hd
    @juneahir-by7hd ปีที่แล้ว +1

    mkurugenzi poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 ปีที่แล้ว +8

    Kaah yani mkurugenzi amekoma😢😀😀

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah rais wetu adi raha jmn

  • @abdiriirashid7717
    @abdiriirashid7717 ปีที่แล้ว +1

    Rip sir the best president in Africa

  • @user-tr7ou5li1x
    @user-tr7ou5li1x 7 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤

  • @bikozikomo9496
    @bikozikomo9496 3 ปีที่แล้ว +2

    Sion umuhim wa jpm kupgaa kampeni mwaka huu2020,akae tu ofsin ajirekond tu bas

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 3 ปีที่แล้ว +4

    21st century, Tanzania kwa uchumi wa pili na hamna viti? Mnamuangusha rais!

  • @teresaonduko4443
    @teresaonduko4443 3 ปีที่แล้ว +2

    Mtukufu Rais Magufuli, Mola akuangazie Neema na faraja tele👏👏Nakupenda kwa kazi njema uifanyayo@Kenya

  • @goldshukri86
    @goldshukri86 3 ปีที่แล้ว +1

    SHUKRANI sana Rais wa AFRICA NZIMA ✊😢 mimi siyo mtanzania ILA TUNAKUECHIM SANA kwetu burundi MUNGU AKUBARIKI baba yetu na akup maisha marefu

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 ปีที่แล้ว +3

    Nakupendaga bure

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 ปีที่แล้ว +7

    Na olewako uile hahahahahahah...akila pesa yako hajipendii.

  • @neemahaji5766
    @neemahaji5766 3 ปีที่แล้ว +1

    Aaaaaah jmn rest easy baba angu😭😭🙏

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว +3

    Tunavifanyia kazi,,,,, mh!!

  • @moudyngereza
    @moudyngereza 3 ปีที่แล้ว +1

    Thats my president...

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 ปีที่แล้ว +1

    Wakuu wa mikoa ina maana hamjui kuwa watoto wanakaa chini dah Tanzania viongozi mnafanya nini sasa Raisi asingepita ndio basi tena watototo wanakaa chini waziri wa wanawake na watoto jina tu hajui kero za watoto na wanawake ni mambo ya kusikitisha sana Raisi anahitaji asaidiwe peke yake hawezi sasa mnachaguliwa ili mfanyeje duh hii kali

  • @johnkariuki2907
    @johnkariuki2907 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee Safi sana

  • @fidelisiboniphacekatole1139
    @fidelisiboniphacekatole1139 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukisikia wimbo wa serikali ya awamu ya 5 utafikiri Tz imeishakuwa paradiso ,kumbe usanii tu kila kona vilio mara maji, madawati ,shule hovyo

  • @abdihq4228
    @abdihq4228 3 ปีที่แล้ว +2

    Mh helanyingi sana hiyo wasikuibie

  • @hassanjumabajwala1862
    @hassanjumabajwala1862 4 ปีที่แล้ว +2

    Tutashukuru Sana ukijatena muheshimiwa

  • @ksmally1985
    @ksmally1985 3 ปีที่แล้ว +1

    Watoto wengi wa Shule za Serikali wanakaa chini kabisa. Tena shule za manispaa kabisa.
    Wahusika angalieni hilo

  • @OjukuSiwila-br3kn
    @OjukuSiwila-br3kn 4 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢😢

  • @mauyahamisi7525
    @mauyahamisi7525 3 ปีที่แล้ว +1

    Mh magu akila pesa yako huyo dc atakua hajipend

  • @emmanuelbugabu115
    @emmanuelbugabu115 ปีที่แล้ว +1

    Upumzk salama

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 3 ปีที่แล้ว +1

    Inauma sana

  • @user-kp7zz9qp2j
    @user-kp7zz9qp2j 7 หลายเดือนก่อน +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @dastanmrope162
    @dastanmrope162 3 ปีที่แล้ว +1

    R I p kiongozi

  • @somanet_tech
    @somanet_tech 3 ปีที่แล้ว +2

    Sawa baba

  • @anawa4326
    @anawa4326 3 ปีที่แล้ว +1

    Endelea kupumzikaaa Muheshimiwa

  • @chrismrisho8321
    @chrismrisho8321 ปีที่แล้ว +1

    😁😁😁

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa amani

  • @halimasalim5477
    @halimasalim5477 3 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭 roho inauma

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 ปีที่แล้ว +12

    Mbunge katoa million 2 fasta bila kupenda

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 4 ปีที่แล้ว

      Ahahaha

    • @josephmanyama435
      @josephmanyama435 4 ปีที่แล้ว

      Inaitwa chap kwa haraka hiyo

    • @kiariedavid8370
      @kiariedavid8370 4 ปีที่แล้ว +1

      inabidi vinginevyo kutumbuliwa kunakuhusu

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +1

      huenda kajikuta katamka bila kujijua

    • @madammanka2731
      @madammanka2731 4 ปีที่แล้ว +2

      @@bjzee1981 akifika kwa wenzie anawauliza hivi nilisemaje pale

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki3226 3 ปีที่แล้ว +1

    wamejikanyaga hawa. katoa idadi ndogo ya uhaba wa viti, bei ya meza na kiti ni zaidi ya elfu 70. mzee kawapa wiki moja na hali ya kuwa hakuna hata kimoja cha mfano. hapo ndipo vitakapotengenezwa kwa kasi ya zima moto, ubora ni wa muonekano tu.

  • @hamzamohamed5007
    @hamzamohamed5007 4 ปีที่แล้ว +1

    piga kazi baba magu itapunguza madudu kiasi

  • @akidanyanje9072
    @akidanyanje9072 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jpm Niko tayari kufa kwa kuilinda picha yake tu isichanwe...

  • @tawfiqmbagwa9407
    @tawfiqmbagwa9407 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaani hapa issue hii Magu alikuwa ashatonywa ndo maana akauliza kuna shule hapa?

  • @cecilemkandama5051
    @cecilemkandama5051 3 ปีที่แล้ว +1

    Makufuli dhaaaaaa

  • @gracemisokalya1061
    @gracemisokalya1061 3 ปีที่แล้ว +1

    Lazima aongezewe muda madarakani kutokana na uzalendo alionao. Kweli he is a man of action lkn hata viongozi wote wa Mkuranga wanaonekana ni wachapa kazi ndiyo maana hawajateteleka ht kujibu malalamiko ya wananchi wao,pigeni kazi kila sehemu one changamoto zake siyo huko tu jamani,hii nchi ni kubwa mmmmmmno

  • @alenyema7738
    @alenyema7738 9 หลายเดือนก่อน +1

    Rais kaomba radhi kwa kuwapotezea muda watu wake

  • @Donyo-rh8do
    @Donyo-rh8do 4 วันที่ผ่านมา

    Kama kuna kitu Tanzania tulishawahi kupoteza ni jembe la namna hii. Apumzike Kwa Amani mbinguni

  • @jonathankaranja5857
    @jonathankaranja5857 18 วันที่ผ่านมา

    Natazama kutoka nchi ya Kenya 🇰🇪.

  • @stanleymakambi8304
    @stanleymakambi8304 3 ปีที่แล้ว +1

    Shule yangu mwinyi kitambo sana

  • @mkalimala3564
    @mkalimala3564 3 ปีที่แล้ว +1

    Hao viongozi wilaya ni wazito/Subload

  • @richardelias3952
    @richardelias3952 3 ปีที่แล้ว

    Kusini mwa Tanzania bado watu ni wavivu kufikiri.matatizo mengine ni wananchi kumaliza na viongozi wao.ila kwa kuwa ni wavivu shida zote serikali

  • @johnkapesula122
    @johnkapesula122 3 ปีที่แล้ว +1

    Laaaah masikini, jembe limelala.

    • @johnkapesula122
      @johnkapesula122 3 หลายเดือนก่อน

      Laaah jemadari R.I.p

  • @bajunihilali95
    @bajunihilali95 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaa maguuuu

  • @kissdubaleewabibi812
    @kissdubaleewabibi812 3 ปีที่แล้ว +1

    Kuliwa

  • @aishaathumani2254
    @aishaathumani2254 3 ปีที่แล้ว +1

    Du

  • @abelialsen5383
    @abelialsen5383 9 หลายเดือนก่อน +1

    J.p.m pengo lako halitazibika

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 4 ปีที่แล้ว +2

    Nchi hiii bila kuendeshwa kikamanda mambo hayaendi

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h 8 หลายเดือนก่อน +1

    Magufuri wetu maskini tunakumiss

  • @jumajuma6970
    @jumajuma6970 3 ปีที่แล้ว +1

    Kirausiefum

  • @misungwikids563
    @misungwikids563 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha na ole wako uile

  • @badboy2577
    @badboy2577 3 ปีที่แล้ว

    Aibu kwani hakuna wizara? Rais anauliza kama kuna school Waziri wa Elimu yuko wapi? Tanzania mko chini bado Uozo uko chini kwa mwananchi.Huku Watu wanasifu oooh Tazara imependeza, oooh ..... mnasifia mtu sana badala ya kuelezea hali halisi

  • @zemgotanar5264
    @zemgotanar5264 4 ปีที่แล้ว +1

    Pore baba kwa kutujari wote

    • @selector728
      @selector728 4 ปีที่แล้ว

      Sema pole siyo pore,,,sema kutujali siyo kutujari

  • @lazarmakombe7009
    @lazarmakombe7009 4 ปีที่แล้ว

    Haaaaaaaaahaaaaaa huu utawala huu haaaaaaaaahaaaaaa duh viongozi wanatabu kweli

  • @ShijaNtolela-rh9rk
    @ShijaNtolela-rh9rk 8 หลายเดือนก่อน +1

    atakumbukwa

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +1

    Hawa watoto wana bahati Sana. Kila siku wanakutana na rais ana kwa ana

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 3 ปีที่แล้ว

    Raisi hawa niwatambili

  • @user-jk4kw8jr4v
    @user-jk4kw8jr4v 8 หลายเดือนก่อน +1

    I hate you ccm. Ee mungu naomba unipunguzie hawa watu bado hawatoshi

  • @PaulMelikizedeki-py1ke
    @PaulMelikizedeki-py1ke ปีที่แล้ว +1

    Mwamba

  • @josephpetermaganga2907
    @josephpetermaganga2907 ปีที่แล้ว +1

    Mwamba kabisa

  • @mrbenedicto5660
    @mrbenedicto5660 4 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/channels/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ.html *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 ปีที่แล้ว +2

    Wanafunzi wanakaa chini sasa unashangaa nini? na zipo nyingi tuu mmeshindwa kutawala ACT WAZALENDO TAIFA KWANZA LEO NA KESHO, Mabadiliko chukua hatua. Viti tu hata meza na vyoo havifai Chakavu tupu.

  • @FashionJr1
    @FashionJr1 3 ปีที่แล้ว +2

    th-cam.com/video/QZJZPy682mA/w-d-xo.html
    Tazama shairi walilotungiwa wajumbe wa Ccm na Mpoto, joti na dk Kumbuka.😂😂😂