Kupita bila comment siyo kweli Daaaar!tuna mtu ambaye sikutarajia kama nilikosea kumpatia nafasi ya kuwa Rais 2015 kikweli unafaa kuliongoza taifa kwa awamu nyingine ya pili.
Oyooo big up kwa kamanda huyu captain mi tangu zamani namkubali sana watoto wakae tuu kuna wasenge wachina walileta barabara mbovu!!!!!mh dingi nakuelewa #.ar to nmg
mwamba pumuzika kwa amani nakama ulilala kwa mapenzi ya mugu basi jina lake lisifiwe ila kama kuna mipango ya wanadamu mungu atalipa ila pengo lako linaonekana
Wakuu wa mikoa ina maana hamjui kuwa watoto wanakaa chini dah Tanzania viongozi mnafanya nini sasa Raisi asingepita ndio basi tena watototo wanakaa chini waziri wa wanawake na watoto jina tu hajui kero za watoto na wanawake ni mambo ya kusikitisha sana Raisi anahitaji asaidiwe peke yake hawezi sasa mnachaguliwa ili mfanyeje duh hii kali
wamejikanyaga hawa. katoa idadi ndogo ya uhaba wa viti, bei ya meza na kiti ni zaidi ya elfu 70. mzee kawapa wiki moja na hali ya kuwa hakuna hata kimoja cha mfano. hapo ndipo vitakapotengenezwa kwa kasi ya zima moto, ubora ni wa muonekano tu.
Lazima aongezewe muda madarakani kutokana na uzalendo alionao. Kweli he is a man of action lkn hata viongozi wote wa Mkuranga wanaonekana ni wachapa kazi ndiyo maana hawajateteleka ht kujibu malalamiko ya wananchi wao,pigeni kazi kila sehemu one changamoto zake siyo huko tu jamani,hii nchi ni kubwa mmmmmmno
Aibu kwani hakuna wizara? Rais anauliza kama kuna school Waziri wa Elimu yuko wapi? Tanzania mko chini bado Uozo uko chini kwa mwananchi.Huku Watu wanasifu oooh Tazara imependeza, oooh ..... mnasifia mtu sana badala ya kuelezea hali halisi
th-cam.com/channels/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ.html *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
Wanafunzi wanakaa chini sasa unashangaa nini? na zipo nyingi tuu mmeshindwa kutawala ACT WAZALENDO TAIFA KWANZA LEO NA KESHO, Mabadiliko chukua hatua. Viti tu hata meza na vyoo havifai Chakavu tupu.
Such a wonderful Leader, poleni sana Watanzania kwa kumpoteza Rais wa Wanyonge.
Mob love from Kenya.
Keep resting in peace JPM
Mh huyu Rais jaman akisimama sehemu lazima mtafurahia uwepo wake
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
Amen
@@brobabuu3973 🙏🙏🙏
Ole wako pesa uile iiiiiiiiiii baba wewe Mungu akudumishe akupe uhai na uzima kura zangu zote kwako wewe Ahsante saanna❤❤
Hahahahaha! Et na ole wako uile big up uncle Magu Mungu akubariki uishi miaka kama yote
Mungu akupe maisha marefu jpm
NINA BABA YANGU ASIYE SHINDWA KAMWE,,NAMPENDA SANA RAIS WANGU ,NAFUATILIA SANA ,MWENYEZI MUNGU AKUTUNZE BABA.
Magufuli daaaah wewe mwanaume wewe una upekee sana ndani yako. I respect you
Too much respect JPM utampenda
Hapo unaweza ukanya Bila kutegemea nampenda Sana raisi wangu maana anachukua maamuzi pale pale kwa WATU wazembe wazembe
kwa kweli Amos hehehehehehe
Tena unajinyea ukiwa umesimama hatari hii jamani
😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahajaa kweli
Mambo mengi yamerahisishwa. Kazi kwetu kuchapa kazi.
Man of action!!
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Pole sana kwamajukumu.chapa kazi zetu ni Dua kukuombea Afya njema.In sha Allah Allah Akufanyie Wepesi.
Ameen ishawah
😢😢😢 kama ni Mungu aliamua ufe pumzika kwa amani lakin 😢😢😢 Mungu hujua zaidi
Hahahahahahaaa.... Aiseee..!! Rais inabidi utembelee kila sehem. Tutanyooka tu watanzania.. !! Maisha yanasonga..!!
I MISS YOU DADY💚
Wa llahi Wa billahi wstaghafillah hakuna rais bora duniani kama john pombe magufuli ,,,,,Allah akubariki ,,,tena unafaaa upewe tuzo ya noble
Rip magufuli
Nimecheka kwa saut unajua kunifurahisha musukuma mwenzangu rais magufur😄😄🙏
Nitakukumbuka daima baba. Pumzika kwa amani
Kupita bila comment siyo kweli Daaaar!tuna mtu ambaye sikutarajia kama nilikosea kumpatia nafasi ya kuwa Rais 2015 kikweli unafaa kuliongoza taifa kwa awamu nyingine ya pili.
Yani akifika hoi maana kila sehem anasimama
Huyo ni jiwe wewe usisahau tena
Tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭😭 R.I.P BABA
Matumbo lazma yaishe huu mwaka, hapa kazi tu!
RC wa Morogoro aanze gym
Matumbo yatafungwa mkanda
Mungu akupe maisha marefu Muheshimiwa MAGUFULI. Afrika, tungekuwa na Ma Raïs kama na wewe, Afrika ingkuwa imeendeleya mbele sana.
Rest in peace sir
My president my choice
Oyooo big up kwa kamanda huyu captain mi tangu zamani namkubali sana watoto wakae tuu kuna wasenge wachina walileta barabara mbovu!!!!!mh dingi nakuelewa #.ar to nmg
Dah! i miss when The True king spoke out,Every line was a hit..we had the president once..tunakukumbuka na utusamehe kwa kila kitu
mwamba pumuzika kwa amani nakama ulilala kwa mapenzi ya mugu basi jina lake lisifiwe ila kama kuna mipango ya wanadamu mungu atalipa ila pengo lako linaonekana
Daaaah hii ya secondary kukaa chin jau kwel🤔mi nakumbuka shule yetu viti vilikua vya kugombania,,had tunaandika majina kwenye viti
Wil mss u alot big ddy
Dahh!! Huyu raisi kwann tunataka atoke why? Kwnn tusimuache akae milele tunataka nn tena
R.I.P.Mr.President Kazi ya Mungu Haina Makosa.
Mungu akulehemu kwakweli
Ww ni Rais wa dunia
mkurugenzi poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kaah yani mkurugenzi amekoma😢😀😀
Mashallah rais wetu adi raha jmn
Rip sir the best president in Africa
❤❤❤
Sion umuhim wa jpm kupgaa kampeni mwaka huu2020,akae tu ofsin ajirekond tu bas
21st century, Tanzania kwa uchumi wa pili na hamna viti? Mnamuangusha rais!
Mtukufu Rais Magufuli, Mola akuangazie Neema na faraja tele👏👏Nakupenda kwa kazi njema uifanyayo@Kenya
SHUKRANI sana Rais wa AFRICA NZIMA ✊😢 mimi siyo mtanzania ILA TUNAKUECHIM SANA kwetu burundi MUNGU AKUBARIKI baba yetu na akup maisha marefu
Nakupendaga bure
Na olewako uile hahahahahahah...akila pesa yako hajipendii.
Aaaaaah jmn rest easy baba angu😭😭🙏
Tunavifanyia kazi,,,,, mh!!
Thats my president...
Wakuu wa mikoa ina maana hamjui kuwa watoto wanakaa chini dah Tanzania viongozi mnafanya nini sasa Raisi asingepita ndio basi tena watototo wanakaa chini waziri wa wanawake na watoto jina tu hajui kero za watoto na wanawake ni mambo ya kusikitisha sana Raisi anahitaji asaidiwe peke yake hawezi sasa mnachaguliwa ili mfanyeje duh hii kali
Mzee Safi sana
Ukisikia wimbo wa serikali ya awamu ya 5 utafikiri Tz imeishakuwa paradiso ,kumbe usanii tu kila kona vilio mara maji, madawati ,shule hovyo
Mh helanyingi sana hiyo wasikuibie
Tutashukuru Sana ukijatena muheshimiwa
Watoto wengi wa Shule za Serikali wanakaa chini kabisa. Tena shule za manispaa kabisa.
Wahusika angalieni hilo
😢😢😢😢
Mh magu akila pesa yako huyo dc atakua hajipend
Upumzk salama
Inauma sana
😭😭😭😭😭😭😭😭
R I p kiongozi
Sawa baba
Endelea kupumzikaaa Muheshimiwa
😁😁😁
Pumzika kwa amani
😭😭😭😭 roho inauma
Mbunge katoa million 2 fasta bila kupenda
Ahahaha
Inaitwa chap kwa haraka hiyo
inabidi vinginevyo kutumbuliwa kunakuhusu
huenda kajikuta katamka bila kujijua
@@bjzee1981 akifika kwa wenzie anawauliza hivi nilisemaje pale
wamejikanyaga hawa. katoa idadi ndogo ya uhaba wa viti, bei ya meza na kiti ni zaidi ya elfu 70. mzee kawapa wiki moja na hali ya kuwa hakuna hata kimoja cha mfano. hapo ndipo vitakapotengenezwa kwa kasi ya zima moto, ubora ni wa muonekano tu.
piga kazi baba magu itapunguza madudu kiasi
Huyu jpm Niko tayari kufa kwa kuilinda picha yake tu isichanwe...
Yaani hapa issue hii Magu alikuwa ashatonywa ndo maana akauliza kuna shule hapa?
Makufuli dhaaaaaa
Lazima aongezewe muda madarakani kutokana na uzalendo alionao. Kweli he is a man of action lkn hata viongozi wote wa Mkuranga wanaonekana ni wachapa kazi ndiyo maana hawajateteleka ht kujibu malalamiko ya wananchi wao,pigeni kazi kila sehemu one changamoto zake siyo huko tu jamani,hii nchi ni kubwa mmmmmmno
Rais kaomba radhi kwa kuwapotezea muda watu wake
Kama kuna kitu Tanzania tulishawahi kupoteza ni jembe la namna hii. Apumzike Kwa Amani mbinguni
Natazama kutoka nchi ya Kenya 🇰🇪.
Shule yangu mwinyi kitambo sana
Hao viongozi wilaya ni wazito/Subload
Kusini mwa Tanzania bado watu ni wavivu kufikiri.matatizo mengine ni wananchi kumaliza na viongozi wao.ila kwa kuwa ni wavivu shida zote serikali
Laaaah masikini, jembe limelala.
Laaah jemadari R.I.p
Hahahaa maguuuu
Kuliwa
Du
J.p.m pengo lako halitazibika
Nchi hiii bila kuendeshwa kikamanda mambo hayaendi
Aloo
Baba Mungu akupe maisha hadi useme mwenyewe sitaki tena!!!
Magufuri wetu maskini tunakumiss
Kirausiefum
Hahaha na ole wako uile
Aibu kwani hakuna wizara? Rais anauliza kama kuna school Waziri wa Elimu yuko wapi? Tanzania mko chini bado Uozo uko chini kwa mwananchi.Huku Watu wanasifu oooh Tazara imependeza, oooh ..... mnasifia mtu sana badala ya kuelezea hali halisi
Pore baba kwa kutujari wote
Sema pole siyo pore,,,sema kutujali siyo kutujari
Haaaaaaaaahaaaaaa huu utawala huu haaaaaaaaahaaaaaa duh viongozi wanatabu kweli
atakumbukwa
Hawa watoto wana bahati Sana. Kila siku wanakutana na rais ana kwa ana
Raisi hawa niwatambili
I hate you ccm. Ee mungu naomba unipunguzie hawa watu bado hawatoshi
Mwamba
Mwamba kabisa
th-cam.com/channels/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ.html *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
Wanafunzi wanakaa chini sasa unashangaa nini? na zipo nyingi tuu mmeshindwa kutawala ACT WAZALENDO TAIFA KWANZA LEO NA KESHO, Mabadiliko chukua hatua. Viti tu hata meza na vyoo havifai Chakavu tupu.
Kuma ww
Mnacheza nyinyi
Kwendraaa
Daaaah raid ndio huyu
th-cam.com/video/QZJZPy682mA/w-d-xo.html
Tazama shairi walilotungiwa wajumbe wa Ccm na Mpoto, joti na dk Kumbuka.😂😂😂