MTOTO ALIYE-TREND KUTAJA MIRADI YA HAYATI MAGUFULI NA MARAIS 50 AONGEA “NIMEUMIA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 มี.ค. 2021
- Mtoto Baraka ambaye ametrend kwa kutaja maRais wa nchi hamsini,miradi aliyoitekeleza hayati Dkt John Magufuli pamoja na baraza la mawaziri wa serikali ya awamu ya tano amezungumzia kifo cha hayati Dkt Magufuli nakusema ameumia sana baada yakupata taarifa ya kifo chake.
Baraka za Mungu Baba na mwana na Roho Mtakatifu ziwe nawe daima mtoto mzuri uzidi kuwa kichwa na tunda jema katika nchi yetu👏👏👏
Kazi nzuri wazazi Kuna kitu mnakitengeneza na kitawalipa inshallah
Mungu skype maisha marrfu mjukuu wangu akufikishe kwenye ndoto zako mshike sana mungu
Mimi ata raisi wangu cmjui 🇰🇪 naomba serikali ya tanzania 🇹🇿 wamtunze huyu mtoto hii ni faida kwa tanzania na Africa mzima may God keep you safe and protect from the evil eyes somebody say ameen
Hahahha
Hahahahahaha Lena umenichekesha
Ila unasema kweli ame tufunika sisi apa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uso umenishuka kwakweli
Nimejikuta nalia kwa furaha Allah akukuze vyema mtoto mzuri🙏🥰
Hata mimi
Mtoto amenishinda mpaka mim kwahao marais wa nchi za njee mashaalla Allah akupe umri mlefu Rais wa miaka ijayo mungu akutunzee prince
🤣🤣🤣
@@nekesaester2068 yaniii acha tuu vichazi vinatutia heka heka
@@zaiiomary8970 nakwambia 🤣🤣
Hongera sana mama kwakumzaa huyu mtoto tunatumaini sikumoja atakuwa kiongozi Tunakuombea mtoto wetu baraka Mungu akulinde daima From oman
Indigo child
Mzazi yupo busy na mwanawe ktk habari za dunia wengi sisi watz watoto bora asikilize music na kuiba nyimbo za kidunia
Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi na wafadhiri
Ameen
Huyu mtoto ni zaidi ya genius ,mfundisheni na kushika dini atasaidia wengi .., nimempenda
Wow!
Mashaalah
Mungu amjaalie sana
@@lampadshigonko3006 umeona nimetaja dini gani hapo uelewa wako ni mdogo?
Halafu Mimi ni maoni yangu huwezi kuanza kushughulika na mawazo yangu, nawe toa ya kwako na kila mmoja aheshimu mawazo ya mwenzake...naheshimu sana MTU anayemheshimu mwenzake na mawazo yake lakini si kunishambulia tafadhari kaka hunijui sikuji heahima iwepo...
@@daviddotto3529 genius inamuhusu nn ap mbona v2 viwili tofauti usifananishe wa2 ha2fanani
Tanzania tumejaliwa vipaji sana tatizo tu linakuja kwenye matumizi ya vipaji. Juzi tu tumetoka kumsikia mtoto genius wa hesabu leo hii tena mtoto mwingine genius Mashallah!. Mungu awabariki kwakweli. Ningeomba serikali izidi kuweka mazingira mazuri ya kukuza vipaji hivyo kwa mustakabali wa taifa letu. Pia niwashukuru waandishi wa habari specifically Millard Ayo kwa kuendelea kufichua vipawa hivi adhimu na adimu. God bless Tanzania
❤😂the the 😂
Mama nae yuko vizuri, hongera sana mtoto mzuri, Huyu mtoto ni wa pekee sana Mungu amtunze
Kawashida wengi maan mm najuwa malais wangu tu😄😄💝mungu akulinde baraka kutoka kwake km jina lako love you everything day Baraka 🤩🤩🤩👩💻
Hata mm
Wale wenzangu mnaosoma comments , , afu na kati ya hao marais amewataja huyu mtoto hata kumi haufikishi . tujaane jaman
Wakwanzaa
Tupo tupo atujui hata wa5🤣🤣🤣
14
Yani mm ngetokanduki 🤣🤣🤣maana izonchi sizajuihatakwakuzisikia
Najua wangu na wajirani
Hongera kwa mtoto huyu mwenye kipaji cha pekee. Ana uweso wa kiliiongoza bara letu. Mola amjaliye yote yaliyo ndotoni mwake.
Serikali ina kila sababu za kuwatunza watoto hawa wafikilie tu hilo jambo.
Mwanangu ubarikiwe sana .
MUNGU WA MBINGUNI AKULINDE DAIMA.
AMINA.
Good work congratulation small boy keep it up nimekupenda sana😍
IQ ya huyo mtoto iko juu sana,pamoja na kufundishwa bt kwa umri huo,kukariri vitu kama hivyo my friend inahitaji bongo kubwa,Kijana yupo juu zaidi ya sana,Mungu amlinde na mahasidi na vijicho vya watu
Ya iq yake so ya kawaida watu wanasema eti anafundishwa 😂😂 Ana iq na kipaji bhana
Pamoja nakufundishwa anakipaji kikubwa mm mwenyewe kwa umri huu siwezi kuyajibu
Hakika Tanzania tuna ma genius wengi sana
Yes
Jamani mtoto mdogo huyo na kipaji.mungu akuongoze.miaka ijayo utakuwa kiongozi..♥️♥️
Huyo mtoto yupo vzr licha ya umakini wa mama yake,mungu amsimamie atimize ndoto zake Amina🇹🇿🙏🙏🙏
Maigizo au
@@kennedytito401 simba
Mtangazaji sema mungu bariki. Au sema masha Allah..sio duh
Hongera sana ayo TV kwa kazi nzuri ya kuvumbua vipaji. Mtoto ana uwezo mkubwa zaidi ya mnavyofikilia.🇹🇿🇸🇪
😊😊😊
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Angekuwa Nchi kubwa, angefuatiliwa na kusimamiw kwa karibu kwa sabab ni special kid!
😭😭😭❤❤mie jmn nahisi kulia kwa furaha tuu mtoto mpaka anatia raha kumskiza😍
Child Prodigy. should be in high school by now. He will be the next Dr. Magufuri of Tanzania in the next 30years or so to come. His Excellency Hon. Dr. Baraka. I may not be a prophet but In the Mighty name of Jesus, I decree and declare it shall come to pass. Mtoto Baraka, God loves you so much . Nasi hapa Kenya twasema Hongera.
Wow wow amazing baby boy Mungu amupe hiyo kipaji, aendelee hivyo hivyo, na amupe nguvu, mama take care of him be blessed all
Mansh'allah 💕💕mtoto uyu hadi amenitowa macozi ety alitamani akutane na magifuli angoe nae jamani 😭😭😭
Mimi zee zima hata ukiniuliza rais wa kenya Nani sijui
@@cosmassetumbi7693 umeona ee ,Mimi namfahamu wa Kenya,Uganda ,Africa kusini,na Rwanda,wengine watajijua,maswali mengine ndio kabisa.
Woooooow i don't even know all the president around the world in my head but this boy is woooooow 😮
Nimejifunza kwamba Mungu yupo kupitia mtoto huyu
Mungu amlinde siku moja aje kuwa vile anavyo tamani awe moyoni!
Waow nice smrt MUNGU AKUBARIKI SANA MTOTO wetu mungu akusishie NEEMA
Yaani huyu mtoto n baraka kama jina lake. Hongera mama na mwanao🙏🙏🙏
MashaAllah
Allah Amkuze
Amjaze Baraka
Amlinde na Husda za watu
Allah Amzidishie
Kipaji chake hadi
Ukubwani Afanikishe Maleno yake, Amin 🤲❤
Amen 🤲🤲🤲
Mungu wangu sasa kayajuaje jamoon
Duuh mungu amlinde huyu mtoto ❤❤
Nimecheka tuu jamani mwanahabari ungepiga tu simu mama akafanya hiyo kazi kkkk
Nilichojifunza mama pia yuko samrt anamfundisha Mtoto hakuna Mtoto asokuwa na akili ni ss wazaz tu tunatakiwa kuwawezesha
Kweli jmn
Na mtoto awe na juhudi
Haya mfundishe wako alafu mlete atueleze kama hivyo
Kweli kabisa mama ana akili SEMA kakosa usimamizi wa awal angekuwa mbali sana
True
Masha Allah Allah amuongoze ampe elimu yenye manufaa Na ampe afya njema Na umri mrf azingatie heshima
Eti mama samia apige moyo konde aisee nakuombea ufanikiwe mwanangu
Kweli apige moyo konde
Mtoto yuko safi sana na mama pia anapambana kuhakikisha mtoto kipaji hakipotei mungu amsaidie sana
Nimependa kauli yake ni kweli yametokea mama samia apige moyo konde maisha yaendelee watanzania tupo nyuma yake
Mungu wangu 🙌🙌hayo majina ya maraisi wa nchi hizo zote ndio kanishangaza anaakili sana huyu mtoto na itakuwa kalisi kwa mama yake.. ❤
huyu mam yake naye arudi shuleni kwani ni kipaj kilichozikwa!!
HUYU NI JPM WETU WA KESHO KUTWA
MABEBERU WA JIPANGE KWELI KWELI
NILICHOKIOA KWA HUYU DOGO
NI KUNASA MANENO YOTE ANAYOFUNDISWA
Mashallah Allah akusimamiye kwa Kila hatuwa
Kweli kabisa na wajipange haswaaaa
Acha kufananisha watu na ujinga wako
Tanzania has got good talents and brains.waleteni uku Kenya tucheze kama sisi
Mashaallah Mungu akupe umri mrefu wenye kheri na ww ajalie afya kwnye akili yako 😊sor proud ✌🏾
Aseee mtoto huyu Mungu amlinde Sanaa maana hatari sio kidogo maana anajua mpaka sayari
Wow! Hatare asee🙏🏻 Huyu atakuja kutukomboa wanaume kuwa 'wakalimani'
très intelligent cet enfant suis en Rd Congo Kinshasa
Mashallah 🤲🏾 ukasome KAKA mungu akuongoze
Wao, God has gifted us differently. This is awesome.
this boy infact he as challeged me,,congracturations...you are the upcoming king
Wow this is soo amazing much love from Uganda greaty boy God bless you more baby boy
Ma sha Allah Allah akurinde na kila shari mtto wang mzr jmn 🤲
Daaaa kweli nime amini kuna kizazi chenye malengo na kuna vizazi vya simat phon
😂😂😂😂😂😂😂 tumbo langou
Wazaz tuwen bze na watt wetu ili kuwapa saport kuelewa vtu vng Bora mtg akuchukie kwa kuwa na mda kidogo wa kucheza ili apate elim ya nyumban na shulen Amina mtt
Moyo wa Furahaaa pamoja nami.
Mungu akubaliki sana mtoto mzuri
Allah akuline na kl bya amiin
Awooow good job young boy
Just epic!👊🇰🇪
Baraka aka blessings
Duuu kwenyeiyo yasayari umenishinda we mwanangu💕💕💕
Hongera Sana kwa kweli huyu mtoto ni guinius walah Mungu amjalie maisha marefu, Maghufuli wa baadae Mashaallah. 🤔🤔🤔🤔
Huyu mtoto aina ya Watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili .. yaani Genius kama hayati JPM maana yeye hakuwa na kona kona!!... serikali huyu mtoto ni hazina ya Taifa mlindeni na kumtunza!!!... hongera mama!!!.. hongera na Wazazi wotee mnaolea watoto wenu wotee kwa staili hii na siyo kumpiga mabao na makelele ya matusi...
Nani kama mama????????💖💖💖💖
Nakupenda 🇹🇿💖
Dah 🙆♂️🙆♂️🙆♂️uyu mtt kikichwa sana mashaallah Allah akuongoze vyema👏👏👏
This gives me joy!! Future Africa will be different for sure.
Nimewapenda wote mama namtoto wote mpo vzr kazi ipo huku nyuma kutwa kuwapost watoto zao wajicheza kisingeli wenyewe wanafurahi nakuona chamaana kwa mtoto hongera dada kwakumnoa mwanao mapema apate kujua vyamuimu
Mashallah,that boy is great,May God bless him more
He's very brilliant so wonderful mungu ambariki atimize ndoto zake
Amina hakaka kjna nmakn xan mungu awenawe akuzdxhie barka zte juu yko
Mungu akubariki na akupe maicha marefu umeguza wengi na kuachaa kwa mishangao❣️
Masha Allah Allah akuzidishie kipaji chako mtoto baraka..
Waaaah kweli ako very talented en wise kiongozi wa kesho Majaliwa na hongera mwanangu pia mama hongera kwa kumfunza ila nakuomba mfundishe zaidi kuhusu neno la Mungu ili amjue zaidi jinsi amempa ufahamu upitao akili za wanadamu amuelekeze ktk kila jambo chochea hicho kipaji🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏻🙏🏻
Glory to God,this child is a great gift
Sio kwa kipaji hichi hadi raha jamani .Mungu mpe mwisho mwema na mafanikio teleeee.duhhh.
Maashaallaah mtoto huyu duuh mungu azidi kukupa maisha marefu
Wow! What a great man to be?????? God bless you my youngest bro!!!! Wah!!!!!
Hongera sana babu Mungu aendelee kukutunza hizi nihazinaya taifa
Mungu mjalue na amzidishie kipanji chake na urmi na maisha mungu mkubwa haki ange mwambie jpm matatizo ya moyo
Am so proud with this child, may the almighty God protect you. Nothing to say more.
Safi
That's wonderful , very clever hatari kabisa
Mungu akutunze mtoto nmekupenda bure
Wow that's real talent 😍😍😍
Ndio marais wa baadae hao Allah ampe afya njema innsha'allah
Thanks to teach children from Tanzania
Mungu ambariki mtoto mzuri mana umeniacha mdomo wazi hongera mzazi Mungu akikuze kipaji chake
Congratulations baby boy
Mashallah allah amlindee
Huyu mutoto kiboko👏🏻🥰 eti wangeongeya mambo binafsi😂😂 eti apoge moyokonde sisitukonyumayake🤣🤣
Hongera mama kwa kuzaa genius serikal imuaangalie huyu mtt kipaj kisipotee
Well done👏👏 future leader of tomorrow.
Thanks mother for teaching your kid . hongera . hapa Kenya watoto ufunzwa na mama zao kupenda baba mkate.Hatari.
Ahsante Mungu Kwa uumbaji wako,heshima na utukufu ni vyako Baba kupitia mtoto huyu, sisi wazazi tunaomba hekima Yako ili tuwe karibu na watoto wetu,tuwasikirize,na tuwalee katika njia ipasay
Niulizeni Mimi hata wakuu wa mikoa mh!! Mtanionea huruma
🤣🤣🤣🤣me sayar tu hoi
Hahahahaha
🤣🤣🤣🤣
😀😂🙌
Hahahahahhahahahaahhaha
MashaAllah Mungu akuhifadhi na akuzidishie elimu
Baraka mimi nina miaka 50 sina uwezo wa kutaja viongozi 10 wa nch
Ubarikiwe sana
May the Almighty bless the Kid
Weee mtt duh umenixhinda tbia kaa hongera kwakuzaa genius kaaaah
Maashallah Maashallah Allah amjalie siha njema Amina
Nyota njema
Majina ya Baraka yana nyota ya kiMagufuli
Nimempenda Sana huyu mtoto, Mungu ni mwema... Kampa mama mtoto mwenye kipaji kizuri Sana na akili ya kuelewa
Wallah mtoto unakipaji mola akufanyie wepesi mdogo wangu ufike mbali
Mashaalah mtoto anahitaj msaada WA kuendeleza kipaji aisee🙏🙏❤️
Mashaaa Allah mama na mtoto hongra sana Mungu ampe afya kijana wako
Mtoto anaakili sana lakini fahamu ya kwamba watoto huchoka mama you are un fair to that boy those questions are too much for that age in short BRAVO
Wow God bless you👏👏
Du!
Mungu akujalie zaidi