Duh! Barakah Magufuli AMVUNJA MBAVU Rais MAGUFULI, Amwagiwa PESA..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ธ.ค. 2019
- Duh! Barakah Magufuli AMVUNJA MBAVU Rais MAGUFULI, Amwagiwa PESA..
Rais Dkt John Magufuli, leo Desemba 14, amepokea Ndege mpya ya Tanzania (Bombardier Q400) iliyokuwa ikishikiliwa nchini Canada ilipoanza safari kuja nchini baada ya kuachiwa.
Ndege hiyo imepokelewa Disemba 14, 2019 katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
HABARI MPYA DAILY:
th-cam.com/users/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
th-cam.com/users/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
th-cam.com/users/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
th-cam.com/users/playlist?li
gonga like twende pamoja aliye gunduwa Baraka magufuri kachapia jina la makamu wa raisi
Hata mi nimerudia kuangalia hako ka sehem
Baraka Chengula .
Hahhahahaha
We nae mbea
Duh kijana Baraka anaweza kwa kweli, na wewe pia ukiwa unamukubali gonga like yako ili tukujuwe kama wewe mzalendo wa nchi yetu Tz.
.
Kachapia vya hatari
Camera man anazingua sana. Mbona hachukua sura ya raisi wakati jamaa anaongea, na watu wanaotajwa...
Umeonae
Hahaaaa Baraka umeamua hongera sana
Kazi nzuri Sana kaka
😁😁😁😁😁Nimecheka sana jaman
Safi
I can't say anything just to laugh🤣🤣🤣🤣
Likes ziko wapi jamani
Dah Baraka upo juu
Veri nice baraka
Nice
ingekuwa dar ungetiwa chini ya ulinzi lakini magufuli wawatu hanaga tatizo kwa mwenye kujitafutia rizki,kwanza ndo anafurahi dah kijana unajitaidi kaka.
Waambie hao mana hadi wanakera mxiooooooo
Very nice my uncle B
😂😂😂 Baraka Magufuli kiboko yaoooo duuuh nme enjoy saana hajawahi kosea hasa hapo kwenye Ngumi Jiwe
Hongera sana ndugu baraka Mungu awe pamoja nawe kipaji chako kizidi kukuwa unaweza sana tu
.mnaosema hajawachekesha mkachekeshwe na wake zenu sio lazima baraka kwani mnamlipa aunt mlimlipia nauli ya mwanza? inahuuu!
Mbavu zangu mie eti wakachekeshwe na wake zenu hilo nalo neno
Ha ha ha
Safiii
Daaaaaa mungu neema zako nizakila mtu asante kwa kumupa Baraka Magufuli kibali machoni pako kwa kumushika mukono kumwinua juu na hata Rais anasimama kwa kusalimia nakijana huu mungu upewe sifa
Rest In Peace Rais Wetu 😭😭😭😭
Very nice guy. So sad that we lost a great man like magufuli
Haaaaahaaaaaaaaa...Eti wa ngumi mkononi..Ukajikuta ziwa Victoria..
Kweli anaeza kucheka tuu ndo anakosea
Ni kweli kicheko kinamuharibia
Nakukubali sanaaa
Fraha Yangu Ni Kuona Tanzania Yangu Songa Mbele
😂😂😂😂😂😂unaweza ukaja kujitia kiherehere ukashukia upo ziwa Victoria
Hapo kuna Neno kabisa
Jamaniii
Baraka magufuli uko vizuri
Upo vizur
Ha baraka umetisha
I like this
Huyo ndio baraka
atamzawadia kabla ya 2022
Aiseh! anampatia Mzee Sana.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kawaida sana.
Wajamaa wa ngumi mkononi😂
Hongera kwa usanii walo
Leo sauti ime mshinda kisogo sijui ni joto la mwanza?
Imetuliaaaa hio hoyooooooooo
Uyuuu fala anajua mpka anaharbu
namtabilia baraka ipo siku atazawadiwa gari na rais wetu
THE BIGGEST BOSS NASRI
Zaidi ya xana tanzania ni nchi tajiri najivua kuwa mtanzania original
Unawez jitia kiherehere ukajikut upo ziwa Victoria hapo umeuwa 🤣🤣🤣🤣
Kijana huyu kwer anakipaji sana hongera sana
Rip magufuli
Leo baraka kapotea sauti imemkataa kabisaaaaaa.,,amebugi
Huyo nani katolewa kwenye kiti??
Rip Magufuli
R.I.P MAGUFULI😭
Rest in peace
Dr john pombe magufuli
Huyu jamaa kiiutani utani ndio anatoka kimaisha hivo...
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂ashatoka mpk hapa
Rest in peace
😂😂😂
Magufuri oyee
Yani utazani mwenyewe vire
R.I.P JOHN POMBE BARAKA ANZA KUCHAPA KAZI KUWAKUMBUSHA WATANZANIA ALICHOKUWA AKIKIFANYA RAISI WETU
😃😃😃😃
Idirisi sulutani mbona mlikuwa mmemufunga?
🤣🤣🤣🤣🤣
Dah kama magufuli mwenyeweeee pambeeee
hahaha bangi ziruhusiwe
😅😅😅😅😅😅😅
Wala sijacheka kbs
Sio sababu yako kama hufatiiagi hotuba za raisi utachekaje!!?
Mdomo mali jamani, ukiimba pesa inaingia, ukichekesha watu pesa inaingia safi sana 🤣🤣
Ila camera man, haujatulia cjui Editor unatuonyesha watu wengne muda mreefu
Uuuuuuwiiii
Uyo jamaa ni hatare
sijui magufuli ana ona hii kwl
Kashindwa kutaja jina la makamu wa rais mama SAMIA SULUHU HASSAN
Wala haja weza kumi iga raisi makufuli wala hache keshi
Mmmh wivu tu tafuta kibali
We ulioweza mbona hujaonekana
Kuandika kwenyewe huwezi, nenda shule kwanza.
Kachekeshe wewe
Kuandika hujui masiki, hauna elimu ,kichwani hakuna kitu rudi shule kuna memkwa sikuizi
Kama namuona akihesabu mwenyewe anaita fungu la kumi
MUNGU NI WAAJABU
Ndo rais wa 2025
Kwel duniani wawiliwawili😀😀😀
Hahahaha
Mikutano ya ayati maghufuri
utabili
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jaman
Antybaby Bintrashid nampenda
Mchezo ya kihindi
No baati bukuku
Mwaumeanza munch kwanzamengine badae
Pacha wasaut yamagufuli😀😀
Kweli ucje toka manundu hahaaa
Kiufupi we unajikasa
Tanzania raha tupu
Leo kakutana na kakake pacha wake wa utani😄
Usk mwem
🍎😅😅😅😅😅😅
G
Hata hawezi mpuuzi tu jk ndo mpango mzima
Wewe mpuuzi unayeweza mbona hatukusikii?
Inaonekana ulaji amna tena tanzania sio shamba la bibi tena
Ni wivu tu
Z
Nice
Mikutano ya ayati maghufuri
🤣🤣🤣🤣🤣