Lulu: Acha Kujikweza / Mkate MGUU, Upate Utajiri! / Usione Huruma!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- EXCLUSIVE INTERVIEW na #Lulu kwenye #ThePlaylist na #LilOmmy ameongea mengi kuhusu MAISHA yake ya GEREZANI, Maisha yake ya Sasa, Mimba ya Majay, Kumchukulia Mwanaume Hamisa Mobeto, Kilichobadilika katika maisha yake, Pete ya uchumba na Ndoa! Pamoja na kampeni yake ya #SaveMyValentine kusaidia watoto wenye uhitaji.
/ lilommy
/ lilommy
#THEMVP #HalfManHalfAmazing #ManOfTheYear
Hongera sana lulu, very intelligent, yaani nimefurahi sana uwezo wako wa kujibu maswali hasa ya kimitego na kimaendeleo, Mungu akujalie naamini siku utafanya mambo makubwa sana. Big up sana.
Ommy io inaweza kua ndo intervew bora ya mwaka na pia inaweza kua bora kuliko zote ulizofanya na waschana wenye rika la lulu. Sio kichwa maji alimradi kujibu au sio jibu zuri tu kisa limezoeleka lakin ni majibu yanayoonesha mtu mwenye upeo au muamko mkubwa sana. Big respect.
Na aweke tu COSECTION🤣🤣 yake kama steve nyerere mzee pull neck
I really love her because she is always Elizabeth I used to know. Unajielewa always 🥰😍
Safi sana Lulu uko vizuri ni kweli mpendwa hayo unayozungumza yani ujumbe umefika wanatakiwa wajue maisha ya kuishi ili waweze kuishi mahali popote
She is very smart
Such a talkative gal 👏👏💪
Hii interview is the best yaani presenters wotee ni mootoo na anayejibuu ndo fireeee kabisaa yani i like it.
Nirisemaga huyu mtoto akifunzwa na dunia ndiyo atakuja kujielewa safi sana Lulu urishindwa kufunzwa na wazazi sasa dunia imekunyoosha 👍👍
Haahhaa.. Jmn
😀😀
Nakupenda sana Lulu I like your life stile
Safi sana Lulu .mungu azidi kukupigania katika shughuli zako za kila siku..
Lulu anakiili sana mjomba magu naomba lulu awe mkuu wa mkoa sumba wanga kama joketi kisalawe
Nothing to say🙌🙌🙌🙌🙌 Your grown lulu Go girl😘😘😘😘
Lulu yuwajua kujieleza sana. Nice interview.
lulu jaman nakupenda mpenz
ntaachaje kuendelea kumpenda eliza daah my all time role model
I so love her...smart upstairs 👊
Jamani lulu nishampenda zaidi ata ya Nandy ,dah ana hekima ,busara na akiki ndefu ,anajielewa sana nmpenda anavyojibu kwa akili majibu yake safi sana Dada lulu hlfu tunalingana nafirahi sana 🥰🥰❤️💓
Kunavitu vinakuja kwenye maisha ili mtu ujifunze Lulu umekuwa mashaallh
Unajua kujibu vizuri hauchoshi
Lovely interview with lulu
Lulu mrembo natural no weave makeup 0unit nakupenda bure
Mashaallh unajibu maswali vzr sn Lulu
Lil Ommy unajua sn, napenda the way unalink matukio.. i nanifanya nipende kufuatilia interviews zako
Mtu anayemfanyia interview Lulu anatakakiwa awe kamili kiakili kwa kweli
Lulu anapenda mambo ya mungu mmmh anaongea mpk anatoka kwenye maic anaona kama uyo dada hamwelew ivvv
Namkubali sana huyu binti na nampenda sana.....ana akili na uelewa wa hali ya juu. kweli ukiomba hekima Mungu anakupa
Najifunza kupitia lulu
Umekuwa Dada twna uko vizuri sanaaa
Natamani usingekua ,nakupenda zaidi ulivyokuwa mtoto mdogo!😃😃
Hata mie jamani
hongera unajua kujieleza mshike sana mungu
Mashallah mola akujalie lulu wang... Ommy big up
Una mawazo ma zuri saana mungu akupe iyo hekima Mara dufu
I love this girl sooooooo much God Bless you always
Big up girl u hv changed positively
Nakupenda Hadi naumwa nazidi kujifunza kupitia wew
Fantastic and powerful girl big up
Lulu saiv ana akili sn,I like that😍😍
Love her hair
Nakupenda Sana lulu
I like this girl more than other girls
unajielewa sana lulu hongera
Kizazi sana
Lulu bado mdgo sana bt mrembo piah unaakili sanaaaaaa nakupenda mnooo huna majivuno mambo ya kijinga kijingajinga uko bomba
She is very smart
Lulu diamond fid q janjaro young killer f.a ay hawa watu wakifanya interview n.a. lil ommy zinakuwa za kizazi kabisa
Umeongeya point sana bro🙏💪
kizazi sana
Lulu unajua kuongea vzr
nakukubali sana lulu
Firmin devota oy
Pendeza sana lulu wangu
nice interview ur very smart Girl
Diana Mourice nice
Lulu umekuwa very Craver kwny kujibu maswali keep it up na iyo discipline
*clever***
Kingeee...
Hii interview nzuri..
Akili nyingiiiiiii
Very good lulu
Good
jmn lulu nakupenda una ni ispir mnoo
Kweli umekua lulu!
Lulu nakupenda aisee wewe mtoto daah upo smart sana.😍😍❤❤❤❤❤❤❤
The smartest gurrl ever I love you
the girl I love
big up
Sio vizur wakati unaenda interview concentration inakuwa kwa cmu
Nampenda lulu 😙
Lulu😙
Kusikiliza nyimbo zitakazokupa nguvu na kutokata tamaa kwenye mahusiano ya kimapenzi, maneno matam na mapya ya kumtamkia mpenzi wako na kufahamu mengi kuhusu MAPENZI .gusa picha yangu twende sawa
Kitoto kizur zur lulu💕💕💕
#savemyvalentine
Good girl
mmh miwivu tu kwani mlisikia hajafunzwa na wazazi wake huyu
😍
Kwel umefunzwa na ulumweng umekua sasa
Mtoto mrembo sana
Nahitaji like zenu nimepata...soko kwa kuziuza....kwa bei poa...
Kaka unaziuza?maana meno yangu yamekaa mbalmbal nataka yabane
Salome Benson nimeku PM tuzungumze biashara.....
Best interview
Nani aliyesikia sijui coffee sjui kahawa🤣🤣🤣
Mimi nimeskia consetion wakat ni concentration
Consetion😂😂😍❤
maida hamisi 🤣🤣🤣🤣
Nime kuwa4 comment
Zinauzwaje lulu ninunulie na mm
BinT makinii LuLu❤️
Tupo kapuni
Shida zote za nini unakula vyakul vilain kisa meno bora nibaki nilivyo
Hahaha
Anajielewa mno.lulu mdgo akil ka nyumba sion kina oflylnn.uzur wa bure akil sfuri
Azza Mahamdu 😂😂😂😂😂😂😂
Kama unapenda kuwa producer wa muziki gusa linki apo chini
th-cam.com/channels/kF-GlynTbGCTQn3qgoOv3g.html
Lulu shikamo baba
wewe nitapita na wewe..
Atari
waachieni wa rangi rangi tu meno ya bandia
jmdadila tv online kwani haujuwi kazi za hizo vyuma kwa meno? kama haujuwi uliza halafu utaambiwa
Kwani bra ya Lulu mkono ni loose
Lulu uzungu mwing cku iz
labda masomo kaingeza....mtu akisoma sana lazima utachanganya languages na sio kwa ubaya
الو الو الو الو الو
Uzungu mwingi sana fake
😏😏😏 we una wivu tu
Nakukubali sana Lulu nimependa maogezi yk
Nakupenda sana Lulu
Nakupenda sana lulu
Nakupenda sn Lulu