TAKE ONE EXCLUSIVE NA LULU (ELIZABETH MICHAEL) 2-JULY-2013 Part1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • Kwenye Part 1 aelezea mengi ila moja wapo ni haya
    -Sababu za ukimya wake taingia alivyotoka jela
    -Aelezea kitu ambacho hatokuja kukisahau maishani mwake
    -Aelezea kitu ambacho aliwahi kufanya na anakijutia hatokuja kukifanya maishani mwake
    -Kwasasa akiri kwamba hana mahusiano ya kimapenzi na mtu yeyote
    -Aelezea project ambayo anaifanya ambayo kwasasa yupo mbioni kwenye kuifanyia uzinduzi (foolish Age)

ความคิดเห็น • 67

  • @stellaedward7726
    @stellaedward7726 6 ปีที่แล้ว +3

    much respect 2 u lulu cz unakula jasho lako, no body z perfect, kip it up dada kuanza upya c ujinga na hauwez shindana na mdomo wa mwanadam ""

  • @irenetarimo6109
    @irenetarimo6109 2 ปีที่แล้ว +1

    just happy lulu leveled up...hii ngeli hapana

  • @cleopatimothy
    @cleopatimothy 11 ปีที่แล้ว +6

    Gud to c u back lulu mungu akubariki..

  • @edwinpepela1205
    @edwinpepela1205 9 ปีที่แล้ว

    It's great seeing you back.movie zake wamba sana.Wikipedia khaki but huku ni wakati wako

  • @barbiejunior2794
    @barbiejunior2794 11 ปีที่แล้ว +4

    wawoo ili kuwa poa sn..nyc lulu!!!

  • @SamwelNyangala
    @SamwelNyangala 11 ปีที่แล้ว +3

    Lulu jifunze kudanganya vizuri maana ukweli umekushida

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 ปีที่แล้ว

    Yaani Lulu nimekupenda buuuuree

  • @bahatiatarihiingomajamanik998
    @bahatiatarihiingomajamanik998 7 ปีที่แล้ว +1

    Uko vzr dogooo

  • @heritier5119
    @heritier5119 10 ปีที่แล้ว +5

    Hakuna haja ya kumuhukumu lulu juu ya yalopita coz ye ni binadamu hakuomba matatizo yamkute pia ilikuwa ni kipindi cha mpito

  • @monica-eb7nr
    @monica-eb7nr 11 ปีที่แล้ว +2

    asiefunzwa nawazazi anafunzwa na dunia kweli nimekuwa nikimukomment sana hivyo hata bado hajahonja jela.na asipojituria tulia yatampata mengi zaidi ya hayo.

  • @maulidrequelm603
    @maulidrequelm603 9 ปีที่แล้ว +2

    rudi chuo shoste lulu uzungu hauna jifunze ngeli za consonants & vowels upo nyuma sana!!!

  • @nelsonkassena4285
    @nelsonkassena4285 11 ปีที่แล้ว +2

    Jaman lulu kiukweli bana unahitaji kwendashule. Bado mchanga kielim nivizuri kwenda shule
    Kwan xafar badondefu

  • @evlyneirakoze7758
    @evlyneirakoze7758 6 ปีที่แล้ว

    Dieu vous bénisse et vous garde longtemps

  • @chawangilenguruchawange6477
    @chawangilenguruchawange6477 11 ปีที่แล้ว +3

    maisha yanapita ww ndiye muamuzi pekee jiweka sawa

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 11 ปีที่แล้ว +3

    Lulu, usitake kulazimisha maneno, Swali ni ulikuwa napangilia kuhongea nini ukiwa Kwenye interview fulani. Yaani nijambo ambalo tayari ulisha pangilia, siyo uhanze kufikiria tena ukiwa nawazia that means u didn't have any thing to say.. Lakini hongera!

  • @jumambui5407
    @jumambui5407 11 ปีที่แล้ว +4

    lulu acha ushamba na jifunze kuskiza swali uelewe ndo ujibu swali usitumie kizungu juu hujui kabisa labda uache tabia mbaya urudi shule

  • @SaumuBintimohammed
    @SaumuBintimohammed ปีที่แล้ว +1

  • @janethgatoni5981
    @janethgatoni5981 6 ปีที่แล้ว

    Nice my dear

  • @mamzaiya
    @mamzaiya 11 ปีที่แล้ว +5

    huwa hajui kuelezea siku zote kazi kung'atang'ata maneno na kuingizia vineno vya kiingereza utadhani anajifunza kiswahili

  • @jemimahjohaness2512
    @jemimahjohaness2512 11 ปีที่แล้ว +2

    aisee,you should go to school my dear.thinking capacity bado ndogo na ya kawaida.u need to match with the world changes.work work work

  • @senoritadida7415
    @senoritadida7415 10 ปีที่แล้ว +2

    i love u lulu but i c no reason 4 u 2 try speak 4reign language on yo interviews wakt huwezi umebaki unastak stak, punguza kujipritend kuongea just b yourself & speak lyk ukiwa home.my love i only advise u lyk ma little sista plz never do dat next tym unajiaibisha especially huo msamiati mpya uloupata wa "actually" yani mpk inaboa!!!
    but all in all yo ma fans kip it up gal

  • @josekulele6237
    @josekulele6237 10 ปีที่แล้ว +1

    Mambo vipi

  • @aminachande3174
    @aminachande3174 4 ปีที่แล้ว

    Amekua Sasa

  • @nimoissa1880
    @nimoissa1880 10 ปีที่แล้ว +4

    She needs to go back to class#just saying

  • @ndanu2012
    @ndanu2012 11 ปีที่แล้ว +3

    Is English taught in tanzanian schools really..??? cant she express her self in English?

  • @dmwanga1
    @dmwanga1 11 ปีที่แล้ว +1

    The host is not asking the questions and Lulu is not answering anything. why is Lulu us talking about herself in the third person.

  • @ernestmbala3609
    @ernestmbala3609 10 หลายเดือนก่อน

    Zawadi ya shule ilikuwa 1,200,000.

  • @ernestmbala3609
    @ernestmbala3609 10 หลายเดือนก่อน

    Kisauke secondary school ilikuwaje cjui

  • @tausimussa4871
    @tausimussa4871 9 ปีที่แล้ว

    GOOD

  • @imaranoah10
    @imaranoah10 10 ปีที่แล้ว

    God help her to do wont she wont to do.

  • @Goddess697
    @Goddess697 11 ปีที่แล้ว

    hope u gonna change 4 de beta.

  • @dipendijoseph873
    @dipendijoseph873 3 ปีที่แล้ว

    I love you

  • @amongeorge7028
    @amongeorge7028 10 ปีที่แล้ว +3

    U luk nc

  • @petermakaumutuku9150
    @petermakaumutuku9150 10 ปีที่แล้ว +2

    Tanzania should come out of that cocoon and come to the the world."Speak english".

    • @SirKimly
      @SirKimly 9 ปีที่แล้ว

      Peter makau mutuku no need for that because Russians , Spanish , Portuguese and the others don't care if you understand them or not

  • @happyhans4908
    @happyhans4908 6 ปีที่แล้ว

    Hyo video yamuda

  • @bennytheboy8412
    @bennytheboy8412 10 ปีที่แล้ว +1

    mia

  • @sachumasangu3986
    @sachumasangu3986 9 ปีที่แล้ว

    Like it

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen1 11 ปีที่แล้ว +1

    Kabadilika huyu mtoto ona hata nguo alovaa kajiheshimu kidogo lakini sijui

  • @jumambui5407
    @jumambui5407 11 ปีที่แล้ว +3

    shule muhim jamaa ona lulu anajichanganya tuuu

  • @nyabarabiuwambui1078
    @nyabarabiuwambui1078 8 ปีที่แล้ว

    hanjui kuongea huyu, thick mind

  • @annenyambura7654
    @annenyambura7654 8 ปีที่แล้ว +1

    05:30 😂😂😂😂rudi shule lol

  • @annasamo7063
    @annasamo7063 4 ปีที่แล้ว

    Zama maswali yako bana

  • @mamzaiya
    @mamzaiya 11 ปีที่แล้ว

    unajua hata jamila(sophia)anakushinda kuelezea

  • @salimuali9098
    @salimuali9098 11 ปีที่แล้ว +2

    the show was meant for tanzanians. poor you

  • @jackytamarcus1517
    @jackytamarcus1517 11 ปีที่แล้ว

    zam your words
    i cant here

  • @yogayogatz1
    @yogayogatz1 11 ปีที่แล้ว

    very sorry for erything but you have to go to school just to prosper your talent.

  • @braciakivuli7603
    @braciakivuli7603 11 ปีที่แล้ว

    ilikua ni lazma kusema

  • @Chai2574
    @Chai2574 11 ปีที่แล้ว

    Did she go on trial and get acquitted or what?

  • @cabdikanikelvines722
    @cabdikanikelvines722 5 ปีที่แล้ว +1

    Nani ako na namba ya Lulu anitumie?

    • @ppendo3611
      @ppendo3611 8 หลายเดือนก่อน

      Njoo inbox

    • @cabdikanikelvines722
      @cabdikanikelvines722 8 หลายเดือนก่อน

      @@ppendo3611 wacha masihara bwana

  • @mohamedyswai7877
    @mohamedyswai7877 11 ปีที่แล้ว

    Mburura.....kilaza kwl!

  • @babyskk421
    @babyskk421 11 ปีที่แล้ว +2

    huyu mtoto ni muongo sana ila the time will tell,,jumba bovu likidondoka atakuja tena hapa hapa kuomba msamaha

  • @gracewanja5397
    @gracewanja5397 6 ปีที่แล้ว

    Little knowledge

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he 6 ปีที่แล้ว

    Anahitaji mwana ume kama marehemu kanumba ili nae ,,,,,,,,,,

  • @rehemamangala7693
    @rehemamangala7693 6 ปีที่แล้ว

    mhh kwakwel skul muhimu yan hap lulu anajing'ata kuongea English anabak kuongea broken tu hapo

  • @selinedawns5966
    @selinedawns5966 11 ปีที่แล้ว

    Kwanini haukuna kitu naelewa????????????????lol

  • @nawal01
    @nawal01 11 ปีที่แล้ว

    Not satisfied with the interview..!

  • @MyShau
    @MyShau 10 ปีที่แล้ว +3

    hichi kilulu kiongo. hata pale alipokuwa hajapata matatizo. pia kilisema uongo akina bwana.
    kiongo kama kanumba

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 3 ปีที่แล้ว

      Haaaaaa

    • @mmn7480
      @mmn7480 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂